back

[الدعاء الثامن والاربعون]

وكان من دعائه(عليه السلام) يوم الاضحى ويوم الجمعة

أللَّهُمَّ هَذَا يَوْمٌ مُبَارَكٌ مَيْمُونٌ، وَالمُسْلِمُونَ فِيْهِ مُجْتَمِعُونَ فِي أَقْطَارِ أَرْضِكَ، يَشْهَدُ السَّائِلُ مِنْهُمْ وَالطَّالِبُ وَالرَّاغِبُ وَالرَّاهِبُ، وَأَنْتَ النَّاظِرُ فِي حَوَائِجِهِمْ، فَأَسْأَلُكَ بِجُودِكَ وَكَرَمِكَ وَهَوَانِ مَا سَأَلْتُكَ عَلَيْكَ، أَنْ تُصَلِّىَ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ، وَأَسْأَلُكَ اللَّهُمَّ رَبَّنَا بِأَنَّ لَكَ الْمُلْكَ، وَلَكَ الْحَمْدَ، لاَ إلهَ إلاَّ أَنْتَ، الْحَلِيمُ الْكَرِيمُ، الْحَنَّانُ الْمَنَّانُ، ذُو الْجَلاَلِ وَالاِكْرَامِ، بَدِيْعُ السَّمواتِ وَالاَرْضِ، مَهْمَا قَسَمْتَ بَيْنَ عِبَادِكَ الْمُؤْمِنِينَ، مِنْ خَيْر أَوْ عَافِيَة أَوْ بَرَكَة أَوْ هُدىً، أَوْ عَمَل بِطَاعَتِكَ أَوْ خَيْر تَمُنُّ بِهِ عَلَيْهِمْ، تَهْدِيهِمْ بِهِ إلَيْكَ، أَوْ تَرْفَعُ لَهُمْ عِنْدَكَ دَرَجَةً، أَوْ تُعْطِيْهِمْ بِهِ خَيْراً مِنْ خَيْر الدُّنْيَا وَالاخِرَةِ، [و خ ل] أَسْأَلُكَ اللَّهُمَّ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ لاَ إلهَ إلاَّ أَنْتَ أَنْ تُصَلِّيَ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، عَبْدِكَ وَرَسُولِكَ وَحَبِيبِكَ وَصَفْوَتِكَ وَخِيَاراتِكَ مِنْ خَلْقِكَ، وَعَلَى آلِ مُحَمَّد الاَبْرَارِ الطَّاهِرِينَ الاَخْيَارِ، صَلاَةً لاَ يَقْوَى عَلَى إحْصَائِهَا إلاَّ أَنْتَ، وَأَنْ تُشْرِكَنَا فِي صَالِحِ مَنْ دَعَاكَ فِي هَذَا اليَوْمِ مِنْ عِبَادِكَ الْمُؤْمِنِينَ يَارَبَّ الْعَالَمِينَ، وَأَنْ تَغْفِرَ لَنَا وَلَهُمْ إنَّكَ عَلَى كُلِّ شَيْء قَدِيرٌ أللَّهُمَّ إلَيْكَ تَعَمَّدْتُ بِحَاجَتِي، وَبِكَ أَنْزَلْتُ اليَوْمَ فَقْرِي وَفاقَتِي وَمَسْكَنَتِي، وَإنِّي بِمَغْفِرَتِكَ وَرَحْمَتِكَ أَوْثَقُ مِنِّيَ بِعَمَلِي، وَلَمَغْفِرَتُكَ وَرَحْمَتُكَ أَوْسَعُ مِنْ ذُنُوبِي. فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد وَتَوَلَّ قَضَآءَ كُلِّ حَاجَة هِيَ لِيَ بِقُدْرَتِكَ عَلَيْهَا، وَتَيْسِيرِ ذالِكَ عَلَيْكَ، وَبِفَقْرِي إلَيْكَ، وَغِنَاكَ عَنِّي; فَإنِّي لَمْ أُصِبْ خَيْراً قَطُّ إلاّ مِنْكَ،وَلَمْ يَصْرِفْ عَنِّي سُوءاً قَطُّ أَحَدٌ غَيْرُكَ، وَلاَ أَرْجُو لاَِمْرِ آخِرَتِي وَدُنْيَايَ سِوَاكَ. أللَّهُمَّ مَنْ تَهَيَّأَ، وَتَعَبَّأ وَأَعَدَّ وَاسْتَعَدَّ، لِوَفادَة إلَى مَخْلُوق، رَجاءَ رِفْدِهِ وَنَوَافِلِهِ، وَطَلَبِ نَيْلِهِ وَجَائِزَتِهِ، فَإلَيْكَ يَا مَوْلاَيَ كَانَتِ الْيَومَ تَهْيِئَتِي وَتَعْبِئَتِي، وَإعْدَادِي وَاسْتِعْدَادِي، رَجآءَ عَفْوِكَ وَرِفْدِكَ، وَطَلَبِ نَيْلِكَ وَجَائِزَتِكَ. أللَّهُمَّ فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَلاَ تُخَيِّبِ الْيَوْمَ ذالِكَ مِنْ رَجَائِي، يَا مَنْ لاَ يُحْفِيهِ سَائِلٌ، وَلاَ يَنْقُصُهُ نائِلٌ، فَإنِّي لَمْ آتِكَ ثِقَةً مِنِّي بِعَمَل صَالِح قَدَّمْتُهُ، وَلاَ شَفَاعَةِ مَخْلُوق رَجَوْتُهُ إلاَّ شَفَاعَةَ مُحَمَّد وَأَهْلِ بَيْتِهِ [صَلَوَاتُكَ خ ل] عَلَيْهِ وَعَلَيْهِمْ [و خ ل ]سَلامُكَ. أَتَيْتُكَ مُقِرّاً بِالْجُرْمِ وَالاِسَاءَةِ إلَى نَفْسِي، أَتَيْتُكَ أَرْجُو عَظِيمَ عَفْوِكَ الَّذِيْ عَفَوْتَ بِهِ عَنِ الْخَاطِئِينَ ثُمَّ لَمْ يَمْنَعْكَ طُولُ عُكُوفِهِمْ عَلَى عَظِيمِ الْجُرْمِ، أَنْ عُدْتَ عَلَيْهِمْ بِالرَّحْمَةِ وَالْمَغْفِرَةِ. فَيَا مَنْ رَحْمَتُهُ وَاسِعَةٌ، وَعَفْوُهُ عَظِيمٌ، يَا عَظِيمُ يَا عَظِيمُ، يَاكَرِيْمُ يَا كَرِيمُ، صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَعُدْ عَلَيَّ بِرَحْمَتِكَ، وَتَعَطَّفْ عَلَيَّ بِفَضْلِكَ، وَتَوَسَّعْ عَلَيَّ بِمَغْفِرَتِكَ. أللَّهُمَّ إنَّ هَذَا الْمَقَامَ لِخُلَفَائِكَ وَأَصْفِيَآئِكَ وَمَوَاضِعَ أُمَنائِكَ فِي الدَّرَجَةِ الرَّفِيعَةِ الَّتِي اخْتَصَصْتَهُمْ بِهَا، قَدِ ابْتَزُّوهَا وَأَنْتَ الْمُقَدِّرُ لِذَلِكَ، لاَ يُغَالَبُ أَمْرُكَ، وَلاَ يُجَاوَزُ الْمَحْتُومُ مِنْ تَدْبِيرِكَ، كَيْفَ شِئْتَ وَأَنَّى شِئْتَ، وَلِمَا أَنْتَ أَعْلَمُ بِهِ، غَيْرُ مُتَّهَم عَلَى خَلْقِكَ، وَلا لارَادَتِكَ، حَتَّى عَادَ صَفْوَتُكَ وَخُلَفَاؤُكَ مَغْلُوبِينَ مَقْهُورِينَ مُبْتَزِّيْنَ، يَرَوْنَ حُكْمَكَ مُبَدَّلاً، وَكِتابَكَ مَنْبُوذاً، وَفَرَائِضَكَ مُحَرَّفَةً عَنْ جِهَاتِ أشْرَاعِكَ، وَسُنَنَ نَبِيِّكَ مَتْرُوكَةً. أللَّهُمَّ الْعَنْ أَعْدَآءَهُمْ مِنَ الاَوَّلِينَ وَالاخِرِينَ، وَمَنْ رَضِيَ بِفِعَالِهِمْ وَأَشْيَاعَهُمْ. وَأَتْبَاعَهُمْ أللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّد، وَآلِ مُحَمَّد إنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيْدٌ، كَصَلَوَاتِكَ وَبَرَكَاتِكَ وَتَحِيَّاتِكَ عَلَى أَصْفِيآئِكَ إبْراهِيمَ، وَآلِ إبْرَاهِيمَ وَعَجِّلِ الْفَرَجَ وَالرَّوْحَ وَالنُّصْرَةَ وَالتَّمْكِينَوَالتَّأْيِيدَ لَهُمْ. أللَّهُمَّ وَاجْعَلْنِي مِنْ أَهْلِ التَّوْحِيدِ وَالايْمَانِ بِكَ، وَالتَّصْدِيقِ بِرَسُولِكَ، وَالاَْئِمَّةِ الَّذِينَ حَتَمْتَ طَاعَتَهُمْ مِمَّنْ يَجْرِي ذَلِكَ بِهِ وَعَلَى يَدَيْهِ آمِينَ رَبَّ الْعَالَمِينَ. أللَّهُمَّ لَيْسَ يَرُدُّ غَضَبَكَ إلاَّ حِلْمُكَ، وَلاَ يَرُدُّ سَخَطَكَ إلاَّ عَفْوُكَ، وَلاَ يُجِيرُ مِنْ عِقَابِكَ إلاَّ رَحْمَتُكَ، وَلاَ يُنْجِيْنِي مِنْكَ إلاَّ التَّضَرُعُ إلَيْكَ وَبَيْنَ يَدَيْكَ. فصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد وَهَبْ لَنا يَا إلهِيْ مِنْ لَدُنْكَ فَرَجاً بِالْقُدْرَةِ الَّتِي بِهَا تُحْيِيْ أَمْوَاتَ الْعِبادِ، وَبِهَا تَنْشُرُ مَيْتَ الْبِلاَدِ، وَلاَ تُهْلِكْنِي يَا إلهِي غَمّاً حَتَّى تَسْتَجِيْبَ لِيْ، وَتُعَرِّفَنِي الاِجابَةَ فِيْ دُعَآئِي، وَأَذِقْنِي طَعْمَ الْعَافِيَةِ إلى مُنْتَهى أَجَلِي، وَلاَ تُشْمِتْ بِي عَدُوِّي، وَلاَ تُمَكِّنْهُ مِنْ عُنُقِي، وَلاَ تُسَلِّطْهُ عَلَيَّ. إلهِي إنْ رَفَعْتَنِي فَمَنْ ذَا الَّذِي يَضَعُنِيْ، وَإنْ وَضَعْتَنِي فَمَنْ ذَا الَّذِي يَرْفَعُنِي، وَإنْ أَكْرَمْتَنِي فَمَنْ ذَا الَّذِي يُهِينُنِي، وَإنْ أَهَنْتَنِي فَمَنْ ذَا الَّذِي يُكْرِمُنِي، وَإنْ عَذَّبْتَنِي فَمَنْ ذَا الَّذِييَرْحَمُنِي، وَإنْ أَهْلَكْتَنِي فَمَنْ ذَا الَّذِي يَعْرِضُ لَكَ فِي عَبْدِكَ أَوْ يَسْأَلُكَ عَنْ أَمْرِهِ، وَقَدْ عَلِمْتُ أَنَّهُ لَيْسَ فِي حُكْمِكَ ظُلْمٌ، وَلاَ فِي نِقْمَتِكَ عَجَلَةٌ، وَإنَّمَا يَعْجَلُ مَنْ يَخَافُ الْفَوْتَ، وَإنَّمَا يَحْتَاجُ إلَى الظُّلْمِ الضَّعِيفُ، وَقَدْ تَعَالَيْتَ يَا إلهِي عَنْ ذالِكَ عُلُوّاً كَبِيراً. أللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَلاَ تَجْعَلْنِي لِلْبَلاَءِ غَرَضاً، وَلاَ لِنِقْمَتِكَ نَصَباً، وَمَهِّلْنِي وَنَفِّسْنِي، وَأَقِلْنِي عَثْرَتِي، وَلاَ تَبْتَلِيَنِّي بِبَلاَء عَلَى أَثَرِ بَلاَء، فَقَدْ تَرى ضَعْفِي وَقِلَّةَ حِيْلَتِي وَتْضَرُّعِي إلَيْكَ، أَعُوذُ بِكَ اللَّهُمَّ اليَوْمَ مِنْ غَضَبِكَ. فصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَأَعِذْنِي، وَأَسْتَجِيرُ بِكَ الْيَوْمَ مِنْ سَخَطِكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَأَجِرْنِي، وَأَسْأَلُكَ أَمْناً مِنْ عَذَابِكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَآمِنِّي، وَأَسْتَهْدِيْكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَاهْدِنِي، وَأَسْتَنْصِرُكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَانْصُرْنِي، وَأَسْتَرْحِمُكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَارْحَمْنِي،وَأَسْتَكْفِيكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَاكْفِنِي، وَأَسْتَرْزِقُكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَارْزُقْنِي، وَأَسْتَعِينُكَ، فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَأَعِنِّي، وَأَسْتَغْفِرُكَ لِمَا سَلَفَ مِنْ ذُنُوبِي فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَاغْفِرْ لِيْ، وَأَسْتَعْصِمُكَ فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَاعْصِمْنِي; فَإنِّي لَنْ أَعُودَ لِشَيْء كَرِهْتَهُ مِنّيْ إنْ شِئْتَ ذالِكَ، يَارَبِّ يَارَبِّ، يَا حَنَّانُ يَا مَنَّانُ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَالاكْرَامِ، صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ وَاسْتَجِبْ لِي جَمِيعَ مَا سَأَلْتُكَ، وَطَلَبْتُ إلَيْكَ وَرَغِبْتُ فِيهِ إلَيْكَ، وَأَرِدْهُ، وَقَدِّرْهُ، وَاقْضِهِ، وَأَمْضِهِ، وَخِرْ لِي فِيمَا تَقْضِي مِنْهُ، وَبَارِكْ لِي فِي ذالِكَ، وَتَفَضَّلْ عَلَيَّ بِهِ، وَأَسْعِدْنِي بِمَا تُعْطِينِي مِنْهُ، وَزِدْنِي مِنْ فَضْلِكَ وَسَعَةِ مَا عِنْدَكَ، فَإنَّكَ وَاسِعٌ كَرِيمٌ. وَصِلْ ذَلِكَ بِخَيْرِ الاخِرَةِ وَنَعِيْمِهَا يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ. [ثُمَّ تَدْعُو بِمَا بَدا لَكَ وَتُصَلِّي عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ أَلْفَ مَرَّة. هَكَذَا كَانَ يَفْعَلُ عَلَيْهِ السَّلاَم].

48

NA ILIKUWA MIONGONI MWA DU'A ZAKE AMANI  IWE JUU YAKE SIKU YA KUCHINJA,

SIKU YA IJUMAA.

O Allah! Hii ni siku yenye baraka yenye heri. Waislamu katika siku hii wamejikusanya katika sehemu ya ardhi yako. Miongoni mwao akiwemo mwombaji, atafutaye alondeaye mwenye woga.

Nawe ukiwa mwangaliaji wa haja zao kwa hiyo nakuomba kwa upaji wako na ukarimu wako na urahisi wa nilichokuomba. Mrehemu Muhammad na Aali zake. Na ninakuomba O Allah Mola wetu. Kwa sababu ufalme ni wako na zako ni sifa njema.

Hapana Mungu isipokuwa ni wewe. Mwenye huruma mkarimu. Mpendwa wa wote mwema kwa wote. Mwenye Enzi na upaji. Mwanzilishi wa mbingu na ardhi. Ugawanyapo kati ya waja wako waumini miongoni mwa heri au hali bora, au baraka au mwongozo au kazi ya utii wako au heri kwa tunukiayo unawaongoza kwayo kuja kwako. Au unawanyanyua kwako daraja au unawapa kwayo heri miongoni mwa heri ya dunia na akhera.

Nizidishiye hisa yangu na sehemu yangu. Nakuomba O Allah Mola wetu kwa kuwa wako ni ufalme na zako ni sifa njema hapana muabudiwa ila ni wewe.

Mrehemu Muhamrnad (Na Ali zake) mja wako na mjumbe wako mpenzi wako mteule wako mchaguliwa wako katika viumbe wako na ziwe juu   ya Ali wa Muhammad watu wasafi wateuliwa.

Rehema ambazo hana uwezo yeyote wa kuzihesabu isipokuwa wewe.

Tushirikishe na wema waliokuomba katika siku hii miongoni mwa waja wako waumini.

O Bwana wa Walimwengu wote. Tusamehe sisi na wao. Hakika wewe ni Muweza juu ya kila kitu.

O Allah! Kwako nimekusudia kwa haja zangu. Kwako nimekabidhi hii leo umaskini wangu haja zangu na taabu yangu. Kwani kwenye msamaha wako na rehema zako naani mno kuliko aamali yangu (Kazi). Msamaha wako na rehema zako zinawasaa zaidi kuliko dhambi zangu.

Mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad shikilia kukidhi kila haja ambayo ni yangu.

Kwa uwezo wako juu yake na urahisi wa hilo kwako. Na kwa sababu ya ufakiri wangu kwako, na kwa sababu ya kutonihitajia kwako.

Sipati heri kabisa isipokuwa kutoka kwako. Haniondolei yeyote ovu kabisa isipokuwa wewe.

Simtumainii kwa mambo ya akhera yangu na dunia yangu asiyekuwa wewe.

O Allah! Mwenye kujiandaa na kujitayarisha kumwendea kiumbe akitarajia msaada wake na jaalio lake na kutaka kupata na tuzo lake.

Basi kwako Ewe Mola wangu , ndio maandalizi yangu na utayarifu wangu hii leo.

Maandalizi yangu na kuwa tayari kwangu kutaraji msamaha wako na msaada wako na kukupata wewe na kupata zawadi zako.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad usinitowe matumaini leo, hayo ndiyo matarajio yangu.

O yule ambaye hasumbuliwi na mwombaji wala hapunguzwi na mpata (mahitaji). Hakika mimi sikukujia kwa kujiamini kuwa nina aamali njema nimeitanguliza au uombezi wa kiumbe niutarajiao. Isipokuwa uombezi wa Muhammad na Ahl-Bayt wake.

Juu yake na juu yao amani iwafikie amani yako. Nimekujia nikiwa mwenye kutambua makosa na maovu kwa ajili ya nafsi yangu. Nimekujia nikitaraji kupata utukufu wa msamaha wako ambao kwa huwo umewasamehe wakosefu.

Kisha muda mrefu wa kubaki kwao katika madhambi makubwa haukukuzuia kuwa rejelea na Rehema na msamaha.

O yule ambaye rehema zake zinawasaa na msamaha wake mkubwa. Ewe Mtukufu Ewe Mtukufu. Ewe Mkarimu Ewe Mkarimu!

Mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad. Nirudilie kwa Rehema zako kuwa mpole kwangu kwa fadhila zako nienezee msamaha wako.

O Allah!   Hakika nafasi hii ni ya makhalifa wako wateule kwako.

Na nafasi ya waaminifu kwako katika daraja ya juu ambayo umeifanya kuwa ni mahususi kwao wamenyang'anywa wewe ndio mpangaji wa hayo. Amri yako hailemewi. Wala hauvukwi mpango wako wa lazima. Upendavyo wakati upendao. Kwa ambalo wewe wajuwa zaidi, hutuhumiwi kwa kuumba kwako wala kwa utashi wako.

Kitabu chako kimebeuliwa. Faradhi zako zimepotoshwa toka malengo ya sheria zako sunna za Nabii wako zimeachwa.

O Allah! walaani maadui toka wa mwanzo mpaka wa mwisho pamoja na aridhikaye. Pamoja na mwenye kuridhika na vitendo vyao na wenye kuambatana nao na wafuasi wao.

O Allah mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad.

Hakika ewe ni mwenyestahiki ya kuhimidiwa na kutukuzwa. Mfano wa Rehema zako na baraka zako na maamkizi yako kwa wateule wako Ibrahimu na wana wa Ibrahim.

O Allah! waharakishie faraja Raha, msaada, imarisho na kuungwa mkono.

O Allah! nifanye mimi niwe miongoni mwa wenye kukupwekesha na kukuamini na kumsadiki mtumishi wako na maimamu ambao umeamuru utii wao miongoni mwa ambaye kwake wapitisha hayo na mkononi mwake.

Ameen Rabbal-Alameen.

O Allah!

Hapana kirudishacho ghadhabu zako isipokuwa huruma zako. Wala kiirudishacho kasiriko lako ispokuwa msamaha wako. Wala hakuna atowaye kimbilio la kuepuka adhabu ila ni Rehema zako. Hakuna kitakachoniokoa kutoka kwako isipokuwa kunyenyekea kwako mbele yako. Mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad na utupe kutoka kwako Ewe Mola wangu Faraja kwa nguvu ambazo kwayo wa Huisha wafu wa waja.

Na kwayo unarudisha uhai wa wafu wa wala usinihilikishe Ewe Mola wangu katika majonzi kabla hujanijibu na kunijulisha jibu katika duwa yangu.

Nionjeshe utamu wa kuwa na hali njema mpaka mwisho wa muda wangu. Usimpe fursa kunisimanga aduwi yangu, wala usiiweke shingo yangu chini ya uwezo wake usimpe mamlaka juu yangu.

O Mungu! Wangu ukiniinuwa ni nani atanitweza? ukinitweza ni nani ataniinuwa?

Ukinipa heshima ni nani atakayenidunisha ukinidunisha ni nani atakayenipa heshima? Ukiniadhibu ninani atakayenihurumia?

Ukinihilikisha ni nani atakayekupinga katika mja wako au akuulize kuhusu mambo yalee? Nijuavyo ni kwamba hapana dhulma katika hukumu yako, wala haraka katika malipizi yako.

Kwa kuwa hufanya haraka aogopaye kukosa na ni hakika kabisa kuwa aihitajie dhuluma ni yule ambaye ni dhaifu. Na hakika umetukuka Ewe Mola wangu! Umbali na hayo utukufu wa juu kabisa.

O Allah mrehemu Muhammad na Aali wake. Usinifanye kuwa shabaha ya mabalaa wala nisiwe lengo la kisasi chako nipe muda nipe raha.

Niondoshee kujikwaa kwangu

Watambuwa udhaifu wangu na uhaba wa hila yangu na maombi yangu kwako. Na maombi yangu kwako najikinga kwako O Allah dhidi ya ghadhabu yako hii leo.

Mrehemu Muhammad na Aali wake ni kinge na kuomba amani ili niwe mbali na adhabu yako.

Mrehemu Muhammad na Aali wake, na unipe amani.

Nakuomba mwongozo basi mrehemu Muhammad na Aali wake na ni ongoze.

Naomba kwako msaada basi mrehemu Muhammad na Aali wake na unisaidiye na kuomba rehema, basi mrehemu Muhammad na aali wake na unirehemu.

Nakuomba kujitosheleza basi mrehemu Muhammad na Aali wake na unistosheleze. nakuomba riziki basi mrehemu Muhammad na Aali wake na uniruzuku. Nakuomba mssada basi mrehemu muhammad na Aali wake na unisaidie.

Nakuomba msamaha kwa yaliyopita katika dhambi zangu mrehemu Muhammad na Aali wake na unisamehe.

Nihifadhi basi mrehemu Muhammad Na Aali wake na unihifadhi.

Kwa kuwa sitorudia kitu ulichokichukia kutoka kwangu ukipenda hivyo. Yaa Rabbi yaa Rabbi O Mola wangu! O Mola wangu!

Yaa Hannaan yaa Hannan mpenda wote ya Dhal-Jalaal Wal-Ikram O Mwenye Ufalme na ukarimu.

Mrehemu Muhammad na Aali zake na nijibu kwa yote niliyokuomba na nimeyataka kutoka kwako na nilio kulondea agiza, gadiria, nihukumiye nipitishiye. Nipe kizuri katika ukipitishacho, nibariki nacho.

Nifadhili nacho,

Nifanye niwe na furaha na unipacho nizidishie fadhila zako na wasaa kwa uliyo nayo.

Kwani wewe ni mwenye wasaa mpaji na unganisha hayo na heri ya Ahera na Neema Zake.

Ewe Mwenye Rehema sana miongoni mwa wenye kurehemu (hapo omba upendayo na utamsalia Mtume Muhammad na Ahli wake mara 1000 elifu moja. Hivi ndivyo alivyokuwa akifanya amani iwe juu yake).

[الدعاء التاسع والاربعون]

وكان من دعائه(عليه السلام) في دفاع كيد الاعداء وردّ بأسهم

إلهِي هَدَيْتَنِي فَلَهَوْتُ، وَوَعَظْتَ فَقَسَوْتُ، وَأَبْلَيْتَ الْجَمِيلَ فَعَصَيْتُ، ثُمَّ عَرَفْتُ مَا أَصْدَرْتَ؟ إذْ عَرَّفْتَنِيهِ فَاسْتَغْفَرْتُ، فَأَقَلْتَ فَعُدتُ، فَسَتَرْتَ فَلَكَ إلهِي الْحَمْدُ. تَقَحَّمْتُ أَوْدِيَةَ الْهَلاَكِ، وَحَلَلْتُ شِعَابَ تَلَف تَعَرَّضْتُ فِيهَا لِسَطَوَاتِكَ، وَبِحُلُولِهَا عُقُوبَاتِكَ، وَوَسِيلَتِي إلَيْكَ التَّوْحِيدُ، وَذَرِيْعَتِي أَنِّي لَمْ أُشْرِكْ بِكَ شَيْئاً، وَلَمْ أَتَّخِذْ مَعَكَ إلهاً، وَقَدْ فَرَرْتُ إلَيْكَ بِنَفْسِي، وَإلَيْكَ مَفَرُّ الْمُسِيءِ، وَمَفْزَعُ الْمُضَيِّعِ لِحَظِّ نَفْسِهِ، الْمُلْتَجِئِ. فَكَمْ مِنْ عَدُوٍّ انْتَضى عَلَيَّ سَيْفَ عَدَاوَتِهِ، وَشَحَذَ لِيْ ظُبَةَ مُدْيَتِهِ، وَأَرْهَفَ لِي شَبَا حَدِّهِ، وَدَافَ لِيْ قَوَاتِلَ سُمُومِهِ، وَسَدَّدَ نَحْوِي صَوَائِبَ سِهَامِهِ، وَلَمْ تَنَمْ عَنِّي عَيْنُ حِرَاسَتِهِ، وَأَضْمَرَ أَنْ يَسُومَنِي الْمَكْرُوهَ وَيُجَرِّ عَنِّي زُعَافَ مَرَارَتِهِ، فَنَظَرْتَ يا إلهِيْ إلَى ضَعْفِي عَنِ احْتِمَالِ الْفَوَادِحِ، وَعَجْزِي عَنِ الانْتِصَارِ مِمَّنْ قَصَدَنِيْ بِمُحَارَبَتِهِ، وَوَحْدَتِي فِي كَثِيرِ عَدَدِ مَنْ نَاوَانِيْ وَأَرْصَدَ لِيْ بِالْبَلاءِ فِيمَا لَمْ أُعْمِلْ فِيهِ فِكْرِي، فَابْتَدَأْتَنِي بِنَصْرِكَ، وَشَدَدْتَ أَزْرِي بِقُوَّتِكَ، ثُمَّ فَلَلْتَ لِيَ حَدَّهُ، وَصَيَّرْتَهُ مِنْ بَعْدِ جَمْع عَدِيْد وَحْدَهُ، وَأَعْلَيْتَ كَعْبِي عَلَيْهِ، وَجَعَلْتَ مَا سَدَّدَهُ مَرْدُوداً عَلَيْهِ، فَرَدَدْتَهُ لَمْ يَشْفِ غَيْظَهُ، وَلَمْ يَسْكُنْ غَلِيلُهُ، قَدْ عَضَّ عَلَى شَوَاهُ، وَأَدْبَرَ مُوَلِّياً قَدْ أَخْلَفَتَ سَرَاياهُ. وَكَمْ مِنْ باغ بَغانِيْ بِمَكَائِدِهِ، وَنَصَبَ لِيْ شَرَكَ مَصَائِدِهِ، وَوَكَّلَ بِيْ تَفَقُّدَ رِعَايَتِهِ، وَأَظْبَأَ إلَيَّ إظْبَآءَ السَّبُعِ لِطَرِيْدَتِهِ، انْتِظَاراً لانْتِهَازِ الْفُرْصَةِ لِفَرِيسَتِهِ، وَهُوَ يُظْهِرُ لِيْ بَشَاشَةَ المَلَقِ، وَيَنْظُرُنِي عَلَى شِدَّةِالْحَنَقِ، فَلَمَّا رَأَيْتَ يَا إلهِي تَبَارَكْتَ وَتَعَالَيْتَ دَغَلْ سَرِيرَتِهِ، وَقُبْحَ مَا انْطَوى عَلَيْهِ، أَرْكَسْتَهُ لاُِمِّ رَأْسِهِ فِي زُبْيَتِهِ، وَرَدَدْتَهُ فِي مَهْوى حُفْرَتِهِ، فَانْقَمَعَ بَعْدَ اسْتِطَالَتِهِ ذَلِيلاً فِي رِبَقِ حِبالتِهِ الَّتِي كَانَ يُقَدِّرُ أَنْ يَرَانِي فِيهَا، وَقَدْ كَادَ أَنْ يَحُلَّ بِيْ لَوْلاَ رَحْمَتُكَ مَا حَلَّ بِسَاحَتِهِ. وَكَمْ مِنْ حَاسِد قَدْ شَرِقَ بِي بِغُصَّتِهِ، وَشَجِيَ مِنِّي بِغَيْظِهِ، وَسَلَقَنِي بِحَدِّ لِسَانِهِ، وَوَحَرَنِي بِقَرْفِ عُيُوبِهِ، وَجَعَلَ عِرْضِيْ غَرَضاً لِمَرَامِيهِ، وَقَلَّدَنِي خِلاَلاً لَمْ تَزَلْ فِيهِ، وَوَحَرنِي بِكَيْدِهِ، وَقَصَدَنِي بِمَكِيدَتِهِ، فَنَادَيْتُكَ يَا إلهِي مُسْتَغِيْثاً بِكَ، وَاثِقاً بِسُرْعَةِ إجَابَتِكَ، عَالِماً أَنَّهُ لاَ يُضْطَهَدُ مَنْ آوى إلَى ظِلِّ كَنَفِكَ، وَلاَ يَفْزَعُ مَنْ لَجَأَ إلَى مَعْقِل انْتِصَارِكَ، فَحَصَّنْتَنِي مِنْ بَأْسِهِ بِقُدْرَتِكَ. وَكَمْ مِنْ سَحَائِبِ مَكْرُوه جَلَّيْتَهَا عَنِّي، وَسَحَائِبِ نِعَم أَمْطَرْتَهَا عَلَيَّ، وَجَدَاوِلِ رَحْمَة نَشَرْتَهَا، وَعَافِيَة أَلْبَسْتَهَا، وَأَعْيُنِ أَحدَاث طَمَسْتَهَا، وَغَواشي كُرُبَات كَشَفْتَهَا، وَكَمْ مِنْظَنٍّ حَسَن حَقَّقْتَ، وَعَدَم جَبَرْتَ، وَصَرْعَة أَنْعَشْتَ وَمَسْكَنَة، حَوَّلْتَ، كُلُّ ذَلِكَ إنْعَامَاً وَتَطَوُّلاً مِنْكَ، وَفِي جَمِيعِهِ انْهِمَاكاً مِنِّي عَلَى مَعَاصِيْكَ، لَمْ تَمْنَعْكَ إساءَتِي عَنْ إتْمَامِ إحْسَانِكَ، وَلاَ حَجَرَنِي ذالِكَ عَنِ ارْتِكَابِ مَسَاخِطِكَ، لاَ تُسْأَلُ عَمَّا تَفْعَلُ، وَلَقَدْ سُئِلْتَ فَأَعْطَيْتَ، وَلَمْ تُسْأَلْ فابْتَدَأْتَ، وَاسْتُمِيحَ فَضْلُكَ فَمَا أَكْدَيْتَ، أَبَيْتَ يَا مَوْلاَيَ إلاَّ إحْسَانَاً وَامْتِنَاناً وَتَطوُّلاً وَإنْعَاماً، وَأَبَيْتُ إلاَّ تَقَحُّماً لِحُرُماتِكَ، وَتَعَدِّياً لِحُدُودِكَ، وَغَفْلَةً عَنْ وَعِيدِكَ. فَلَكَ الْحَمْدُ إلهِي مِنْ مُقْتَدِر لاَ يُغْلَبُ، وَذِي أَناة لاَ تَعْجَلُ. هَذَا مَقَامُ مَنِ اعْتَرَفَ بِسبوغِ النِّعَمِ، وَقَابَلَهَا بِالتَّقْصِيرِ، وَشَهِدَ عَلَى نَفْسِهِ بِالتَّضْيِيْعِ. أللَّهُمَّ فَإنِّي أَتَقَرَّبُ إلَيْكَ بِالْمُحَمَّدِيَّةِ الرَّفِيعَةِ، وَالْعَلَوِيَّةِ الْبَيْضَآءِ، وَأَتَوَجَّهُ إلَيْكَ بِهِمَا، أَنْ تُعِيذَنِيْ مِنْ شَرِّ [كَذَا وَكَذَا] فَإنَّ ذَالِكَ لا يَضِيْقُ عَلَيْكَ فِي وُجْدِكَ، وَلاَ يَتَكَأدُّكَ فِي قُدْرَتِكَ، وَأَنْتَ عَلَى كُلِّ شَيْء قَدِيرٌ، فَهَبْ لِي يا إلهِي مِنْ رَحْمَتِكَ وَدَوَامِ تَوْفِيقِكَ، مَا أَتَّخِذُهُ سُلَّماً أَعْرُجُ بِهِ إلى رِضْوَانِكَ، وَآمَنُ بِهِ مِنْ عِقَابِكَ، يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

49

NA ILIKUWA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUJIKINGA NA VITIMBI VYA MAADUI NA KUONDOWA MACHUNGU YAO.

Mola wangu uliniongoza nikabeuwa.

Uniwaidhi moyo wangu ukawa mgumu\Ulinitaribu kwa uzuri nimeasi.

Baadaye nilitambuwa uliyo amrisha uliponitambulisha. Nikaomba ghofirani ukaondowa nikarudia ukasitiri. Zako Mola wangu ni sifa njema.

Nimetosha katika bonde za kuangamiza nimejiweka kwenye hatari ya dhahbu zako na ni mashukio ya adhabu zako. Njia yangu kwako ni Tawheed.

Nasababu zangu za kufika kwako ni kuwa sija kushirikisha na kitu chochote sijaambatanisha pamoja na wewe Mungu nimekimbilia kwako na nafsi yangu. Kwako ndio kimbilio la mtenda maovu aliyepoteza hadhi ya nafsi yake na kuomba kimbilio.

Kiasi gani cha aduwi amechoomowa kwa ajili yangu upanga wa uaduwi wake!

Na amechongowa makali ya ncha ya upanga wake kwa ajili yangu!

Na kunowa kwa ajili yangu bapa la makali yake.

Ameichanganya sumu yake iuwayo kwa ajili yangu.

Na kuelekeza kwangu mishale yake iliyonyooka irukayo.

Wala halikulala jicho lake linichungalo.

Na kisiri siri akakusudia kunifanyia makuruuhi.

Ana nitakia mimi uchungu wa chuki yake umeona O Mungu wangu udhaifu wangu kuibeba mizigo mizito na kushindwa kwangu kupata ushindi dhidi ya aliyenikusudia kwa kupigana naye.

Na upeka wangu mbele ya idadi kubwa ya aliye na uaduwi na mimi.

Anivizia kwa balaa ambalo sikuliwazia fikrani mwangu.

Ulianza kunisaidia kwa nusura yako uliimarisha mgongo wangu kwa nguvu zako. Uliyafanya butu makali yake.

Baada ya mkusanyiko mwingi umemfanya abakiye peke.

Umekiinua kisigino changu juu yake na kumfanya aliyonilenga yamrudie ulimrudisha nyuma.

Hakuzituliza ghadhabu zake. Hakukoza kiu chake. Ameuma kidole chake. Aligeuza mgongo na kukimbia mpango wake haukutimia.

Ni mara ngapi mdhalimu amenifanyia udhalimu kwa vitimbi vyake amenitegea mtego wake.

Akaniwekea uangalizi wa walinzi wake akaniwinda uwindaji wa mnyama mkali awindapo windo lake.

Naye unidhihirishia tabasamu ya mwenye kujipendekeza. Huku akiniangalia kwa ghadhabu kali ulipoona Ewe Mungu wangu! Umebarikiwa na umetukuka ubaya wa fikra zake za siri na ubaya wa aliyo nayo.

Ulimtupa kichwa chini ndani ya shimo lake mwenyewe. Na umemtumbukiza katika maporomoko aliyochimba.

Alidogeshwa dhahili baada ya kujitukuza kwake ndani ya tanzi la mtego wake ambao alipanga anione nimenasa humo. Kama si Rehema zako yangenifika yaliyomfika.

Wangapi miongoni mwa hasidi amenisonga koo kwa maumivu makubwa sana. Kwa ukali wake amenihuzunisha amenikata kwa ncha ulimi wake alinifanyia kijicho heshima yangu ilikuwa lengo lake ili kuiharibu. Amenivisha utepe wa aibu ambao ungalipo.

Amenifanyia vitimbi ameniknga na hila zake. Hivyo basi nikakuita O Mungu wangu nikiomba msaada kwako. Nikiwa na uhakika wa haraka ya jibu lako. Nikijua kuwa hatendewi vibaya mwenye kukimbilia kwenye kivuli cha hifadhi yako. Hatofadhaika mwenye kukimbilia kwenye ngome ya ushindi wako. Ukanihifadhi na ukali wake kwa uwezo wako. Kiasi gani cha mawingu makuruhi umeniondolea mbali. Na mawingu ya neema umenyeshesha rehema zake juu yangu. Vijimto vya rehema umevitiririsha na halki njema umenivika nayo macho ya misiba umeyapofowa. Mfululizo wa mfuniko wa majonzi umeitanduwa. Dhana nzuri ngapi umeithibitisha na ukosefu umesawazisha ugonjwa umeuponya. Umasikini umeubadilisha. Yoote hayo ni neema na ufadhili kutoka kwako.

Na katika hali yoote hiyo umeendelea ushupavu kutoka kwangu wa kukuasi.

Matendo yangu maovu hayatakuzuiya kutimiza ihsani ufanyayo.

Hakika uliombwa ukatowa usipo ombwa ulianza (kutowa) uliombwa ufadhili wako haukutowa kwa unyimivu.

Umekataa O Mungu wangu isipokuwa kufanya ihsani na ufadhili na kuneemesha. Nimekataa kila kitu isipokuwa kujitosa katika yaliyoharamisha. Na kuvuka mipaka yako. Na kutotiliya mananni makamio yako. Yako ni sifa njema O Mungu wangu! muweza asiye shindwa. Na saburi hafanyi haraka. Hiki ni kisimamo cha mwenye kutambuwa wingi wa neema na umeikabili kwa kiwango cha chini ya vile inavyobidi. Na amejishuhudiya binafsi kutowajibika.

O Allah mimi najikurubisha kwako kupitia daraja ya juu ya Muhammad na kwa mwanga wa daraja ya juu ya Aali. Naelekea kwako kupitia wao wawili unilinde kutokana na shari fulani na fani. Hakika hayo hayakutii dhiki katika utajiri wako. Wala haikupi taabu katika nguvu zako na wewe ni muweza juu ya kila kitu.

Basi nipe O Mungu wangu katika rehema zako na taufiki yako ya kudumu ambayo nitaifanya ngazi niipandayo ili kuifikia ridhaa yako. III niwe na amani mbali na adhabu yako.

O Mwingi wa rehema kuliko wote wenye kurehemu.

 [الدعاء الخمسون ]

وكان من دعائه(عليه السلام) في الرهبة

أَللَّهُمَّ إنَّكَ خَلَقْتَنِي سَوِيّاً، وَرَبَّيْتَنِي صَغِيراً، وَرَزَقْتَنِي مَكْفِيّاً. أَللَّهُمَّ إنِّي وَجَدْتُ فِيمَا أَنْزَلْتَ مِنْ كِتَابِكَ، وَبَشَّرْتَ بِهِ عِبَادِكَ، أَنْ قُلْتَ: (يا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَى أَنْفُسِهِمْ لاَ تَقْنَطُوا مِنْ رَحْمَةِ اللهِ إنَّ اللهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعاً) وَقَدْ تَقَدَّمَ مِنِّي مَا قَدْ عَلِمْتَ، وَمَا أَنْتَ أَعْلَمُ بِهِ مِنِّي، فَيَا سَوْأَتا مِمَّا أَحْصَاهُ عَلَيَّ كِتَابُكَ، فَلَوْلاَ الْمَوَاقِفُ الَّتِي أُؤَمِّلُ مِنْ عَفْوِكَ الَّذِي شَمِلَ كُلَّ شَيْء لاَلْقَيْتُ بِيَدِي، وَلَوْ أَنَّ أَحَداً اسْتَطاعَ الْهَرَبَ مِنْ رَبِّهِ لَكُنْتُ أَنَا أَحَقُّ بِالهَرَبِ، وَأَنْتَ لاَ تَخْفَى عَلَيْكَ خَافِيَةٌ فِي الاَرْضِ وَلاَ فِي السَّمَآءِ إلاَّ أَتَيْتَ بِهَا، وَكَفى بِكَ جَازِياً، وَكَفىبِكَ حَسِيباً. أللَّهُمَّ إنَّكَ طَالِبِي إنْ أَنَا هَرَبْتُ، وَمُدْرِكِي إنْ أَنَا فَرَرْتُ، فَهَا أَنَا ذَا بَيْنَ يَدَيْكَ خَاضِعٌ ذَلِيلٌ رَاغِمٌ، إنْ تُعَذِّبْنِي فَإنّي لِذلِكَ أَهْلٌ، وَهُوَ يَارَبِّ مِنْكَ عَدْلٌ، وَإنْ تَعْفُ عَنِّي فَقَدِيماً شَمَلَنِي عَفْوُكَ، وَأَلبَسْتَنِي عَافِيَتَكَ. فَأَسْأَلُكَ اللَّهُمَّ بِالْمَخْزونِ مِنْ أَسْمائِكَ، وَبِمَا وَارتْهُ الْحُجُبُ مِنْ بَهَائِكَ، إلاَّ رَحِمْتَ هذِهِ النَّفْسَ الْجَزُوعَةَ، وَهَذِهِ الرِّمَّةَ الْهَلُوعَةَ، الَّتِي لاَ تَسْتَطِيعُ حَرَّ شَمْسِكَ، فَكَيْفَ تَسْتَطِيعُ حَرَّ نارِكَ؟ وَالَّتِي لاَ تَسْتَطِيعُ صَوْتَ رَعْدِكَ، فَكَيْفَ تَسْتَطِيعُ صَوْتَ غَضَبِكَ؟ فَارْحَمْنِي اللَّهُمَّ فَإنِّي امْرُؤٌ حَقِيرٌ، وَخَطَرِي يَسِيرٌ، وَلَيْسَ عَذَابِي مِمَّا يَزِيدُ فِي مُلْكِكَ مِثْقَالَ ذَرَّة، وَلَوْ أَنَّ عَذَابِي مِمَّا يَزِيدُ فِي مُلْكِكَ لَسَأَلْتُكَ الصَّبْرَ عَلَيْهِ، وَأَحْبَبْتُ أَنْ يَكُونَ ذلِكَ لَكَ، وَلكِنْ سُلْطَانُكَ اللَّهُمَّ أَعْظَمُ، وَمُلْكُكَ أَدْوَمُ مِنْ أَنْ تَزِيدَ فِيْهِ طَاعَةُ الْمُطِيعِينَ، أَوْ تُنْقِصَ مِنْهُ مَعْصِيَةُ الْمُذْنِبِينَ. فَارْحَمْنِي يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ، وَتَجاوَزْ عَنِّي يا ذَا الْجَلاَلِ وَالاكْرَامِ، وَتُبْ عَلَيَّ إنَّكَ أَنْتَ التَّوَّابُ الرَّحِيمُ. 

50

NA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA HALI YA WOGA.

O Allah hakika wewe umeniumba katika hali sawa bila dosari. Umenikuza nilipokuwa mdogo, uliniruzuku vya kutosha.

O Allah hakika mimi nimekuta katika uliyoteremsha kitabuni mwako na umewabashiria hayo waja wako umesema:

O! Waja wangu ambao wamezifuja nafsi zao, musikate tamaa na rehema za Allah. hakika Mungu hughofiria dhambi zote.

Na yametangulia toka kwangu katika uliyoyajuwa na ambayo wewe ni mjuzi zaidi kuliko mimi. Aibu iliyoje kwa yale ambayo kitabu chako kimeyahifadhi dhidi yangu. Lau kama si sehemu ambazo nina matumaini ya msamaha wako ambao umeenea kila kitu ningejitupa chini (nikikata tamaa). Lau kama yeyote angeweza kumkimmbia Mola wake ningekuwa na haki zaidi ya kukukimbia. Na wewe hakifichiki kwako chenye kujificha kiwe ardhini au mbinguni ila utakileta.

Wewe ni mwenye kujaza tosha na wewe ni mhasibu tosha.

O Allah! hakika wewe utanitafuta endapo nitakimbi utanipata endapo nitapiga mbio hivyo basi mimi ni huyo ni mbele yako mnyenyekevu dhalili mwenye kujitweza. Ukiniadhibu ninastahiki, nayo O! Mola wangu ni uadilifu kutoka kwako.

Na ukinisamehe toka zamani nimeingizwa katika msamaha wako. Na umenivika hali njema yako.

Hivyo basi nakuomba O Allah ! kwa majina yako yaliyo katika hazina na kwa utukufu wako uliyo nyuma ya pazia, ikiwa hautoihurumia nafsi hii yenye mashaka na hii mifupa iliyo sumbuka ambayo haiwezi joto la jua lako, itawezaje joto kali la moto wako ambayo haiwezi kuvumilia sauti ya radi yako.

Vipi itaweza kuivumilia sauti ya ghadhabu yako. Hivyo basi nihurumie. O Allah ! mimi ni mtu mnyonge, thamani yangu ndogo, kuniadhibu kwako hakuuzidishii ufalme wako uzito hata kama ule wa chembe ya vumbi.. Lau kama kuniadhibu kwako mimi kungezidisha chochote katika ufalme wako, ningekuomba niiivumiliye (adhabu), na ningependa iwe yako. Lakini mamlaka yako Allahumma ni Mtukufu mno, na ufalme wako ni wa kudumu mno kuliko ule wa kuongezwa na utii wa watii au upunguzwe na maasi ya watenda dhambi.

Nihurumiye Ewe mwenye rehema zaidi ya woote wenye kurehemu.

Nivumiliye Ewee mwenye enzi na ukarimu.

Nirejelee, hakika wewe ni mwingi wa kukubali toba mwenye huruma kuliko wote.

[الدعاء الحادي و الخمسون ]

وكان من دعائه(عليه السلام) في التضرّع والاستكانة

إلهِي أَحْمَدُكَ ـ وَأَنْتَ لِلْحَمْدِ أَهْلٌ ـ عَلَى حُسْنِ صَنِيعِكَ إلَيَّ، وَسُبُوغِ نَعْمَآئِكَ عَلَيَّ، وَجَزِيْلِ عَطَآئِكَ عِنْدِي، وَعَلَى ما فَضَّلْتَنِي مِنْ رَحْمَتِكَ، وَأَسْبَغْتَ عَلَيَّ مِنْ نِعْمَتِكَ، فَقَدِ اصْطَنَعْتَ عِنْدِي ما يَعْجِزُ عَنُهُ شُكْرِي، وَلَوْلاَ إحْسَانُكَ، إلَيَّ وَسُبُوغُ نَعْمَآئِكَ عَلَيَّ مَا بَلَغْتُ إحْرازَ حَظِّي، وَلاَ إصْلاَحَ نَفْسِي، وَلكِنَّكَ ابْتَدَأْتَنِي بِالاحْسَانِ، وَرَزَقْتَنِي فِي أُمُورِي كُلِّهَا الْكِفَايَةَ، وَصَرَفْتَ عَنِّي جَهْدَ الْبَلاءِ، وَمَنَعْتَ مِنِّي مَحْذُورَ الْقَضَآءِ. إلهِي فَكَمْ مِنْ بَلاء جَاهِد قَدْ صَرَفْتَ عَنِّي، وَكَمْ مِنْ نِعْمَة سَابِغَة أَقْرَرْتَ بِهَا عَيْنِي، وَكَمْ مِنْ صَنِيعَة كَرِيمَة لَكَ عِنْدِي. أَنْتَ الَّذِي أَجَبْتَ عِنْدَ الاضْطِرَارِ دَعْوَتِي، وَأَقَلْتَ عِنْدَ الْعِثَارِ زَلَّتِي، وَأَخَذْتَ لِي مِنَ الاَعْدَآءِ بِظُلاَمَتِي. إلهِي مَا وَجَدْتُكَ بَخِيلاً حِينَ سَأَلْتُكَ، وَلاَ مُنْقَبِضاً حِينَ أَرَدْتُكَ، بل وَجَدْتُكَ لِدُعَآئِي سَامِعاً، وَلِمَطَالِبِي مُعْطِياً، وَوَجَدْتُ نُعْمَاكَ عَلَيَّ سَابِغَةً، فِي كُلِّ شَأْن مِنْ شَأْنِي، وَكُلِّ زَمَان مِنْ زَمَانِي، فَأَنْتَ عِنْدِي مَحْمُودٌ، وَصَنِيعُكَ لَدَيَّ مَبْرُورٌ، تَحْمَدُكَ نَفْسِي وَلِسَانِيْ وَعَقْلِي حَمْداً يَبْلُغُ الوَفَآءَ وَحَقِيقَةَ الشُّكْرِ، حَمْداً يَكُونُ مَبْلَغَ رِضَاكَ عَنِّي، فَنَجِّنِي مِنْ سَخَطِكَ يَا كَهْفِي حِينَ تُعْيينِي الْمَذَاهِبُ، وَيَا مُقيلِي عَثْرَتِي، فَلَوْلاَ سَتْرُكَ عَوْرَتِي لَكُنْتُ مِنَ الْمَفْضُوحِينَ، وَيَا مُؤَيِّدِي بِالنَّصْرِ، فَلَوْلاَ نَصْرُكَ إيَّايَ لَكُنْتُ مِنَ الْمَغْلُوبِينَ، وَيَا مَنْ وَضَعَتْ لَهُ الْمُلُوكُ نِيرَ الْمَذَلَّةِ عَلى أَعْنَاقِهَا، فَهُمْ مِنْ سَطَواتِهِ خَائِفُونَ، وَيَا أَهْلَ التَّقْوَى، وَيَا مَنْ لَهُ الاَسْمَآءُالْحُسْنى أَسْأَلُكَ أَنْ تَعْفُوَ عَنِّي، وَتَغْفِرَ لِي فَلَسْتُ، بَرِيئاً فَأَعْتَذِرَ، وَلاَ بِذِي قُوَّة فَأَنْتَصِرَ، وَلاَ مَفَرَّ لِي فَأَفِرَّ. وَأَسْتَقِيْلُكَ عَثَراتِي، وَأَتَنَصَّلُ إلَيْكَ مِنْ ذُنُوبِي الَّتِي قَدْ أَوْبَقَتْنِي، وَأَحَاطَتْ بِي فَأَهْلَكَتْنِي، مِنْهَا فَرَرْتُ إلَيْكَ رَبِّ تَائِباً، فَتُبْ عَلَيَّ مُتَعَوِّذاً، فَأَعِذْنِي مُسْتَجِيراً، فَلاَ تَخْذُلْنِي سَآئِلاً، فَلاَ تَحْرِمْنِي مُعْتَصِماً، فَلاَ تُسْلِمْنِي دَاعِياً، فَلاَ تَرُدَّنِي خَائِباً، دَعوْتُكَ يَارَبِّ مِسْكِيناً، مُسْتَكِيناً، مُشْفِقاً، خَائِفاً، وَجِلاً، فَقِيراً، مُضْطَرّاً، إلَيْكَ أَشْكُو إلَيْكَ يَا إلهِي ضَعْفَ نَفْسِي عَنِ الْمُسَارَعَةِ فِيمَا وَعَدْتَهُ أَوْلِيَآءَكَ، وَالْمُجَانَبَةِ عَمَّا حَذَّرْتَهُ أَعْدَآءَكَ، وَكَثْرَةَ هُمُومِي وَوَسْوَسَةَ نَفْسِي. إلهِي لَمْ تَفْضَحْنِي بِسَرِيرَتِي، وَلَمْ تُهْلِكْنِي بِجَرِيرَتِي، أَدْعُوكَ فَتُجِيبُنِي وَإنْ كُنْتُ بَطِيئاً حِيْنَ تَدْعُونِي. وَأَسْأَلُكَ كُلَّمَا شِئْتُ مِنْ حَوَائِجِي، وَحَيْثُ مَا كُنْتُ وَضَعْتُ عِنْدَكَ سِرِّي، فَلاَ أَدْعُو سِوَاكَ، وَلاَ أَرْجُو غَيْرَكَ، لَبَّيْكَ لَبَّيْكَ، تَسْمَعُ مَنْشَكَا إلَيْكَ، وَتَلْقى مَنْ تَوَكَّلَ عَلَيْكَ، وَتُخَلِّصُ مَنِ اعْتَصَمَ بِكَ، وَتُفَرِّجُ عَمَّنْ لاذَ بِكَ. إلهِي فَلاَ تَحْرِمْنِي خَيْرَ الاخِرَةِ وَالاُولى لِقِلَّةِ شُكْرِي، وَاغْفِرْ لِي مَا تَعْلَمُ مِنْ ذُنُوبِي، إنْ تُعَذِّبْ فَأَنَا الظَّالِمُ، الْمُفَرِّطُ، الْمُضَيِّعُ، الاثِمُ، الْمُقَصِّرُ، الْمُضْجِعُ، الُمُغْفِلُ حَظَّ نَفْسِي، وَإنْ تَغْفِرْ فَأَنْتَ أَرْحَمُ الرَّاحِمِينَ.

51

NA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUSIHI NA KUNYENYEKEA

O Mungu wangu nakuhimidi na wewe ni mwenye kustahiki kuhimidiwa, kwa ihisani yako kwangu, na wingi wa neema zako kwangu, na kwa wingi wa utowaji wako kwangu, na kwa uliyonifadhili katika rehema zako.

Umenikamilishia neema zako.Umenitendea mema kwa kiwango nashindwa kutekeleza shukurani yake.

Lau kama si ihisani yako kwangu, na wingi wa neema zako kwangu, nisingeifikia hadhi yangu, wala nisingeiweka nafsi yangu sawa.

Lakini wewe ulianza kunihisani na uliniruzuku vya kutosha katika mambo yangu yote.

Uliniondolea taabu ya balaa. Uliziwiya kwa ajili yangu maamuzi yako yakuogofya.

Mungu wangu, balaa ngapi zitaabishazo umeniondolea. Neema ngapi za ukarimu umeniletea karibu. Matendo yako mangapi ya ukarimu kwangu!

Wewe ndiye ambaye ulinijibu wakati wa dharura ombi langu. Na ulidogesha nilipojikwaa mtelezo wangu na ulinichukulia kutoka kwa maaduwi niliodhulumiwa.

O! Mungu wangu sijakukuta bakhili nikuombapo. Wala mwenye kujikunja nilipo kutaka, bali nilikukuta mwenye kusikiliza DU'A yangu. Na mpaka wa matakwa yangu. Nimekuta neema zako kwangu nyingi. Katika kila jambo miongoni mwa mambo yangu. . Na kila zama katika zama zangu wewe kwangu ni mwenye kuhimidiwa na matendo mema yako kwangu yenye kuheshimiwa.

Nafsi yangu, ulimi wangu, akili yangu, vya kuhimidi himidi ifikiye tekelezo na hakika ya kushukuru. Himidi iwe kiwango cha ridhaa zako kwangu. Niokowe toka kwenye makasiriko yako.

O! Mwokozi wangu nijikwaapo, lau si kama sitara yako aibu yangu, ningekuwa miongoni mwa wenye kufedheheka.

O! Muungaji wangu mkono kwa msaada kama si msaada wako kwangu ningekuwa miongoni mwa wenye kushindwa.

O! We ambaye wafalme wamemwekea kongwa ya udhalili shingoni mwao wakiogopa adhabu zake.

O! Mwenye stahiki ya kutukuzwa. O! Mwenye majina mema. Nakuomba unisamehe na unighofiriye siko mweupe bila dhambi, ili niweze kutowa udhuru. Wala sina nguvu, niwe na weza kupata ushindi wala sina kimbilio niweze kukimbilia.

Ninakuomba uniokowe toka kwenye kujikwaa kwangu.

Najitenga mbele yako na dhambi zangu ambazo zimeniweka pabaya na zimenizunguka na kunihilikisha. Kutokana nazo nimekimbilia kwako Mola wangu mwenye kutubu nikubaliye toba yangu. Najikinga kwako nipe kinga. Nikiomba hifadhi usiniache. Nikiomba usininyime. Nikishikilia usiniache. Nikiomba usinirudishe mikono mitupu. Nimekuomba Ewe Mola wangu niko hali mbaya mnyonge. Mwenye hofu mwoga. Mwenye kutapatapa fakiti. Nimedharurika kwako. Nakulalamikia Ewe Mola wangu, udhaifu wa nafsi yangu kutoharakia kwenye kile ulichowaahidi marafiki zako. Nakujiepusha na ulicho wahadharisha maadui zako. Na kukithiri mayonzi yangu na wasiwasi wa nafsi yangu.

Mola wangu hujanifedhehesha kwa ajili ya fikra zangu za siri, wala hujanihilikisha kwa maovu yangu, nakuita wanijibu japo nipo goigoi unaponiita. Nakuomba nipendapo haja zangu. Popote niwapo naweka siri zangu kwako. Simwombi yeyote bali ni wewe tu. Simtumainii yeyote asiyekuwa wewe. Labeika Labeika. Wamsikia anayekunung'unikia, wampokea akutegemeaye. Wamwokoa mwenye kuomba hifadhi kwako. Wamfariji akimbiliyae kwako.

Mola wangu usininyime mwisho mwema na mwanzo mwema kwa uchache wa shukrani wangu. Nighofirie ujuayo katika dhambi zangu. Ukiadhibu ni kwa kuwa mimi ni dhalimu, mzembe, mwenye kupuuza, mwenye dhambi, mwenye kuachwa mvivu. Mwenye kughafirika na hisa yake binafsi.

Ukinisamehe ni kwa sababu wewe ni mwenye huruma mno kuliko wenye huruma wote.

[الدعاء الثاني و الخمسون ]

وكان من دعائه(عليه السلام) في الالحاح على الله تعالى

يَا أَاللهُ الَّذِي لاَ يَخْفَى عَلَيْهِ شَيْءٌ فِي الاَرْضِ وَلاَ فِي السَّمَآءِ، وَكَيْفَ يَخْفى عَلَيْكَ يَا إلهِي مَا أَنْتَ خَلَقْتَهُ؟ وَكَيْفَ لاَ تُحْصِي مَا أَنْتَ صَنَعْتَهُ؟ أَوْ كَيْفَ يَغِيبُ عَنْكَ مَا أَنْتَ تُدَبِّرُهُ؟ أَوْ كَيْفَ يَسْتَطِيعُ أَنْ يَهْرُبَ مِنْكَ مَنْ لاَ حَياةَ لَهُ إلاَّ بِرِزْقِكَ؟ أَوْ كَيْفَ يَنْجُو مِنْكَ مَنْ لاَ مَذْهَبَ لَهُ فِي غَيْرِ مُلْكِكَ؟ سُبْحَانَكَ! أَخْشى خَلْقِكَ لَكَ أَعْلَمُهُمْ بِكَ، وَأَخْضَعُهُمْ لَكَ أَعْمَلُهُمْ بِطَاعَتِكَ، وَأَهْوَنُهُمْ عَلَيْكَ مَنْ أَنْتَ تَرْزُقُهُ وَهُوَ يَعْبُدُ غَيْرَكَ، سُبْحَانَكَ! لاَ يُنْقِصُ سُلْطَانَكَ مَنْ أَشْرَكَ بِكَ، وَكَذَّبَ رُسُلَكَ، وَلَيْسَ يَسْتَطِيعُ مَنْ كَرِهَ قَضَآءَكَ أَنْ يَرُدَّ أَمْرَكَ، وَلاَ يَمْتَنِعُ مِنْكَ مَنْ كَذَّبَ بِقُدْرَتِكَ، وَلاَ يَفُوتُكَ مَنْ عَبَدَ غَيْرَكَ، وَلاَ يُعَمَّرُ فِي الدُّنْيَا مَنْ كَرِهَ لِقَآءَكَ. سُبْحَانَكَ! مَا أَعْظَمَ شَأْنَكَ، وَأَقْهَرَ سُلْطَانَكَ، وَأَشَدَّ قُوَّتَكَ، وَأَنْفَذَ أَمْرَكَ! سُبْحَانَكَ! قَضَيْتَ عَلَى جَمِيعِ خَلْقِكَ الْمَوْتَ: مَنْ وَحَّدَكَ وَمَنْ كَفَرَ بِكَ، وَكُلٌّ ذَائِقُ المَوْتِ، وَكُلٌّ صَائِرٌ إلَيْكَ، فَتَبَارَكْتَ وَتَعَالَيْتَ، لاَ إلهَ إلاَّ أَنْتَ، وَحْدَكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ، آمَنْتُ بِكَ، وَصَدَّقْتُ رُسُلَكَ وَقَبِلْتُ كِتَابَكَ، وَكَفَرْتُ بِكُلِّ مَعْبُود غَيْرِكَ، وَبَرِئْتُ مِمَّنْ عَبَدَ سِوَاكَ. أللَّهُمَّ إنِّي أُصْبحُ وَأُمْسِي مُسْتَقِلاًّ لِعَمَلِي، مُعْتَرِفاً بِذَنْبِي، مُقِرَّاً بِخَطَايَايَ، أَنَا بِإسْرَافِي عَلَى نَفْسِي ذَلِيلٌ، عَمَلِي أَهْلَكَنِي، وَهَوَايَ أَرْدَانِي، وَشَهَوَاتِي حَرَمَتْنِي. فَأَسْأَلُكَ يَا مَوْلاَيَ سُؤالَ مَنْ نَفْسُهُ لاَهِيَةٌ لِطُولِ أَمَلِهِ، وَبَدَنُهُ غَافِلٌ لِسُكُونِ عُرُوقِهِ، وَقَلْبُهُ مَفْتُونٌ بِكَثْرَةِ النِّعَمِ عَلَيْهِ، وَفِكْرُهُ قَلِيلٌ لِمَا هُوَ صَائِرٌ إلَيْهِ، سُؤَالَ مَنْ قَدْغَلَبَ عَلَيْهِ الاَمَلُ، وَفَتَنَهُ الْهَوى، وَاسْتَمْكَنَتْ مِنْهُ الدُّنْيَا، وَأَظَلَّهُ الاَجَلُ، سُؤَالَ مَنِ اسْتَكْثَرَ ذُنُوبَهُ، وَاعْتَرَفَ بِخَطِيئَتِهِ، سُؤَالَ مَنْ لاَ رَبَّ لَهُ غَيْرُكَ، وَلاَ وَلِيَّ لَهُ دُونَكَ، وَلاَ مُنْقِذَ لَهُ مِنْكَ، وَلاَ مَلْجَأَ لَهُ مِنْكَ إلاَّ إلَيْكَ. إلهِي أسْأَلُكَ بِحَقِّكَ الْوَاجِبِ عَلَى جَمِيعِ خَلْقِكَ، وَبِاسْمِكَ الْعَظِيْمِ الَّذِي أَمَرْتَ رَسُولَكَ أَنْ يُسَبِّحَكَ بِهِ، وَبِجَلاَلِ وَجْهِكَ الْكَرِيمِ الذِي لاَ يَبْلى وَلاَ يَتَغَيَّرُ، وَلاَ يَحُولُ وَلاَ يَفْنى، أَنْ تُصَلِّيَ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَأَنْ تُغْنِيَنِي عَنْ كُلِّ شَيْء بِعِبادَتِكَ، وَأَنْ تُسَلِّيَ نَفْسِيْ عَنِ الدُّنْيَا بِمَخَافَتِكَ، وَأَنْ تُثْنِيَنِي بِالْكَثِيْرِ مِنْ كَرَامَتِكَ بِرَحْمَتِكَ، فَإلَيْكَ أَفِرُّ، و مِنْكَ أَخَافُ، وَبِكَ أَسْتَغِيثُ، وَإيَّاكَ أَرْجُو، وَلَكَ أَدْعُو، وَإلَيْكَ أَلْجَأُ، وَبِكَ أَثِقُ، وَإيَّاكَ أَسْتَعِينُ، وَبِكَ أُؤمِنُ، وَعَلَيْكَ أَتَوَكَّلُ، وَعَلَى جُودِكَ وَكَرَمِكَ أَتَّكِلُ.

52

NA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUMSIHI ALLAH (S.W.T.)

O Allah ! ambaye hakifichiki kitu chochote kwake katika ardhi au mbinguni.

Vipi   kifichike   kwako   Ewee   Mola   wangu   ambacho   wewe umekiumba?

Vipi usijuwe idadi ya ambacho wewe umekiumba!

Au vipi kisionekane kwako ambacho wewe wakimiliki.

O Allah!

Hapana kirudishacho ghadhabu zako isipokuwa huruma zako. Wala kiirudishacho kasiriko lako ispokuwa msamaha wako. Wala hakuna atowaye kimbilio la kuepuka adhabu ila ni Rehema zako. Hakuna kitakachoniokoa kutoka kwako isipokuwa kunyenyekea kwako mbele yako. Mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad na utupe kutoka kwako Ewe Mola wangu Faraja kwa nguvu ambazo kwayo wa Huisha wafu wa waja.

Na kwayo unarudisha uhai wa wafu na wala usinihilikishe Ewe Mola wangu katika majonzi kabla hujanijibu na kunijulisha jibu katika duwa yangu.

Nionjeshe utamu wa kuwa na hali njema mpaka mwisho wa muda wangu. Usimpe fursa kunisimanga aduwi yangu, wala usiiweke shingo yangu chini ya uwezo wake usimpe mamlaka juu yangu.

O Mungu! Wangu ukiniinuwa ni nani atanitweza? ukinitweza ni nani ataniinuwa?

Ukinipa heshima ni nani atakayenidunisha ukinidunisha ni nani atakayenipa heshima? Ukiniadhibu ninani atakayenihurumia?

Ukinihilikisha ni nani atakayekupinga katika mja wako au akuulize kuhusu mambo yalee? Nijuavyo ni kwamba hapana dhulma katika hukumu yako, wala haraka katika malipizi yako.

Kwa kuwa hufanya haraka aogopaye kukosa na ni hakika kabisa kuwa aihitajie dhuluma ni yule ambaye ni dhaifu. Na hakika umetukuka Ewe Mola wangu! Umbali na hayo utukufu wa juu kabisa.

O Allah mrehemu Muhammad na Aali wake. Usinifanye kuwa shabaha ya mabalaa wala nisiwe lengo la kisasi chako nipe muda nipe raha.

Niondoshee kujikwaa kwangu

Watambuwa udhaifu wangu na uhaba wa hila yangu na maombi yangu kwako. Na maombi yangu kwako na jikinga kwako O Allah dhidi ya ghadhabu yako hii leo.

Mrehemu Muhammad na Aali wake ni kinge na kuomba amani ili niwe mbali na adhabu yako.

Mrehemu Muhammad na Aali wake, na unipe amani.

Nakuomba mwongozo basi mrehemu Muhammad na Aali wake na ni ongoze.

Naomba kwako msaada basi mrehemu Muhammad na Aali wake na unisaidiye na kuomba rehema, basi mrehemu Muhammad na aali wake na unirehemu.

Nakuomba kujitosheleza basi mrehemu Muhammad na Aali wake na unitosheleze. nakuomba riziki basi mrehemu Muhammad na Aali wake na uniruzuku. Nakuomba mssada basi mrehemu muhammad na Aali wake na unisaidie.

Nakuomba msamaha kwa yaliyopita katika dhambi zangu mrehemu Muhammad na Aali wake na unisamehe.

Nihifadhi basi mrehemu Muhammad Na Aali wake na unihifadhi.

Kwa kuwa sitorudia kitu ulichokichukia kutoka kwangu ukipenda hivyo. Yaa Rabbi yaa Rabbi O Mola wangu! O Mola wangu!

Yaa Hannaan yaa Hannan mpenda wote ya Dhal-Jalaal Wal-Ikram O Mwenye Ufalme na ukarimu.

Mrehemu Muhammad na Aali zake na nijibu kwa yote niliyokuomba na nimeyataka kutoka kwako na nilio kulondea agiza, gadiria, nihukumiye nipitishiye. Nipe kizuri katika ukipitishacho, nibariki nacho.

Nifadhili nacho,

Nifanye niwe na furaha na unipacho nizidishie fadhila zako na wasaa kwa uliyo nayo.

Kwani wewe ni mwenye wasaa mpaji na unganisha hayo na heri ya Ahera na Neema Zake.

Ewe Mwenye Rehema sana miongoni mwa wenye kurehemu (hapo omba upendayo na utamsalia Mtume Muhammad na Ahli wake mara 1000 elifu moja. Hivi ndivyo alivyokuwa afanya amani iwe juu yake).

[الدعاء الثالث و الخمسون ]

وكان من دعائه(عليه السلام) في التذلّل لله عزّوجلّ

رَبِّ أَفْحَمَتْنِيْ ذُنُوبِي، وَانْقَطَعَتْ مَقَالَتِي، فَلاَ حُجَّةَ لِي، فَأَنَا الاَسِيرُ بِبَلِيَّتِي، الْمُرْتَهَنُ بِعَمَلِي، الْمُتَرَدِّدُ فِي خَطِيئَتِي، الْمُتَحَيِّرُ عَنْ قَصْدِي، الْمُنْقَطَعُ بِي، قَدْ أَوْقَفْتُ نَفْسِي مَوْقِفَ الاَذِلاَّءِ الْمُذْنِبِينَ، مَوْقِفَ الاَشْقِيآءِ الْمُتَجَرِّينَ عَلَيْكَ، الْمُسْتَخِفِّينَ بِوَعْدِكَ. سُبْحَانَكَ! أَيَّ جُرْأَة اجْتَرَأْتُ عَلَيْكَ؟ وَأَيَّ تَغْرِير غَرَّرْتُ بِنَفْسِي مَوْلاَيَ إرْحَمْ كَبْوَتِيْ لِحُرِّ وَجْهِي، وَزَلَّةَ قَدَمِي، وَعُدْ بِحِلْمِكَ عَلَى جَهْلِي، وَبِإحْسَانِكَ عَلَى إسَآءَتِي، فَأَنَا الْمُقِرُّ بِذَنْبِي، الْمُعْتَرِفُ بِخَطِيئَتِي، وَهَذِهِ يَدِيْ وَنَاصِيَتِي، أَسْتَكِينُ بِالْقَوْدِ مِنْ نَفْسِي. إرْحَمْ شَيْبَتِي، وَنَفَادَ أَيَّامِي، وَاقْتِرَابَ أَجَلِي، وَضَعْفِي، وَمَسْكَنَتِي، وَقِلَّةَ حِيلَتِي. مَوْلاَيَ وَارْحَمْنِي إذَا انْقَطَعَ مِنَ الدُّنْيَا أَثَرِي، وَامَّحى مِنَ الْمَخْلُوقِينَ ذِكْرِي، وَكُنْتُ فِي الْمَنْسِيِّينَ، كَمَنْ قَدْ نُسِيَ. مَوْلاَيَ وَارْحَمْنِي عِنْدَ تَغَيُّرِ صُورَتِي وَحَالِي إذَا بَلِيَ جِسْمِي، وَتَفَرَّقَتْ أَعْضَائِي، وَتَقَطَّعَتْ أَوْصَالِيْ، يا غَفْلَتِي عَمَّا يُرَادُ بِيَ. مَوْلاَيَ وَارْحَمْنِي فِي حَشْرِي وَنَشْرِي، وَاجْعَل فِي ذَلِكَ الْيَومِ مَعَ أَوْلِيَآئِكَ مَوْقِفِي، وَفِي أَحِبَّائِكَ مَصْدَرِي، وَفِي جِوَارِكَ مَسْكَنِي يَا رَبَّ الْعَالَمِينَ.

53

NA ILIKUWA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUJIDHALILISHA KWA MUNGU MWENYE ENZI  MTUKUFU

O Mola wangu zimeninyamazisha dhambi zangu maneno yangu yamekatika sina hoja nimekuwa mateka wa balaa yangu.

Niko rehani kwa matendo yangu. Mwenye kutaradadi katika makosa yangu nimechanganyikiwa katika makusudio yangu. Nimezuilika.

Nimejikwamisha binafsi mahali pa madhalili wenye dhambi.

Mahali pa wenye hali mbaya wanaothubutu dhidi yako, ambao waifanyao ahadi yako nyepesi.

Sub'haanaka-utakatifu    ni    wako.    Ni    ufedhuli    ulioje nimekufanyia!

Kudanganyika gani nimejidanganya nafsi yangu Mola wangu uhurumiye mtelezo wangu ulioniweka fudi fudi.

Na kuteleza kwa nyayo yangu nitendee kwa upole wako kulingna na kutojuwa kwangu.

Na kwa ih'sani yako juu ya uovu wangu.

Mimi ni mwenye kukiri dhambi yangu.

Mwenye kutambuwa makosa yangu.

Huu mkono wangu na paji langu la uso.

Najitoa kwa malipizi nafsi yangu, zihurumie mvi zangu na

kwisha kwa siku zangu.

Na kukurubia muda wangu, udhaifu wangu taabu yangu, na uchache wa hila yangu Mola wangu nihurumie pindi athari yangu ikatikapo duniani.

Na kufutika kwa viumbe utajo wangu nikawa miongoni mwa waliosahaulika kama ambaye amekwisha sahauliwa.

Mola wangu nihurumie libadilikapo umbo langu na hali yangu uozapo mwili wangu na kutawanyika viungo vyangu.

O! mghafala ni wangu kwa yaliyotakiwa kwangu. O Mola wangu! nihurumie siku ya kukusanywa kwangu na kufufuka kwangu. Jaalia siku ile kisimamo changu niwe pamoja na mawalii wako. Matokeo yangu yawe pamoja na wapenzi wako. Makazi yangu yawe karibu yako. O Mola wa ulimwengu.

[الدعاء الرابع و الخمسون ]

وكان من دعائه(عليه السلام) في استكشاف الهموم

يَا فَارِجَ الْهَمِّ وَكَاشِفَ الغَمِّ، يَا رَحْمنَ الدُّنْيَا وَالاخِرَةِ وَرَحِيمَهُمَا، صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَافْرُجْ هَمِّيَ، وَاكْشِفْ غَمِّيَ، يَا وَاحِدُ يَا أَحَدُ، يَا صَمَدُ، يَامَنْ لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ، وَلَمْ يَكُنْ لَهُ كُفُواً أَحَدٌ، اعْصِمْنِي وَطَهِّرْنِي، وَاْذهِبْ بِبَلِيَّتِي. [وَاقْرَأْ آيَةَ الْكُرسِيّ وَالْمُعَوِّذَتَيْنِ وَقُلْ هُوَ اللهُ أَحَدٌ وَقُلْ:] أَللَّهُمَّ إنِّيْ أَسْأَلُكَ سُؤَالَ مَنِ اشْتَدَّتْ فَاقَتُهُ، وَضَعُفَتْ قُوَّتُهُ، وَكَثُرَتْ ذُنُوبُهُ، سُؤَالَ مَنْ لاَ يَجِدُ لِفَاقَتِهِ مُغِيْثاً، وَلاَ لِضَعْفِهِ مُقَوِّياً، وَلاَ لِذَنْبِهِ غَافِراً غَيْرَكَ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَالاكْرَامِ. أَسْأَلُكَ عَمَلاً تُحِبُّ بِهِ مَنْ عَمِلَ بِهِ، وَيَقِيناً تَنْفَعُ بِهِ مَنِ اسْتَيْقَنَ بِهِ حَقَّ الْيَقِينِ فِيْ نَفَاذِ أَمْرِكَ. أللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَاقْبِضَ عَلَى الصِّدْقِ نَفْسِي، وَاقْطَعْ مِنَ الدُّنْيَا حَاجَتِي، وَاجْعَلْ فِيمَا عِنْدَكَ رَغْبَتِي، شَوْقاً إلَى لِقَائِكَ، وَهَبْ لِي صِدْقَ التَّوَكُّلِ عَلَيْكَ. أَسْأَلُكَ مِنْ خَيْرِ كِتَاب قَدْ خَلاَ وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ كِتَاب قَدْ خَلاَ أَسْأَلُكَ خَوْفَ الْعَابِدِينَ لَكَ، وَعِبَادَةَ الْخَاشِعِينَ لَكَ، وَيَقِيْنَ الْمُتَوَكِّلِينَ عَلَيْكَ، وَتَوَكُّلَ الْمُؤْمِنِينَ عَلَيْكَ. أَللَّهُمَّ اجْعَلْ رَغْبَتِي فِي مَسْأَلَتِي مِثْلَ رَغْبَةِ أَوْلِيَآئِكَ فِي مَسَائِلِهِمْ، وَرَهْبَتِيْ مِثْلَ رَهْبَةِ أَوْلِيَآئِكَ، وَاسْتَعْمِلْنِي فِي مَرْضَاتِكَ، عَمَلاً لاَ أَتْرُكُ مَعَهُ شَيْئاً مِنْ دِيْنِكَ مَخَافَةَ أَحْد مِنْ خَلْقِكَ. أللَّهُمَّ هَذِهِ حَاجَتِي، فَأَعْظِمْ فِيهَا رَغْبَتِي، وَأَظْهِرْ فِيهَا عُذْرِي، وَلَقِّنِي فِيهَا حُجَّتِي وَعَافِ فِيْهَا جَسَدِيْ. أللَّهُمَّ مَنْ أَصْبَحَ لَهُ ثِقَةٌ أَوْ رَجَآءٌ غَيْرُكَ، فَقَدْ أَصْبَحْتُ وَأَنْتَ ثِقَتِي وَرَجَآئِي فِي الاُمُورِ كُلِّهَا، فَاقْضِ لِيْ بِخَيْرِهَا عَاقِبَةً، وَنَجِّنِيْ مِنْ مُضِلاَّتِ الْفِتَنِ، بِرَحْمَتِكَ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

وَصَلَّى اللهُ عَلَى سَيِّدِنَا مُحَمَّد رُسُولِ اللهِ المُصْطَفَى، وَعَلَى آلِهِ الطَّاهِرِينَ.

54

MIONGONI MWA DU'A ZAKE KUONDOWA MASHAKA

O mfariji wa mashaka, muondoa huzuni mwenye reh'ma ya dunia na akhera na mwenye huruma kwa zote mbili (dunia na akhera).

Mrehemu Muhammad na Ali wa Muhammad.

Nifariji mashaka yangu. Niondolee huzuni yangu. O we! mmoja O wee pekee! O we kimbilio la kudumu!

O we ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa halingani na mmoja yeyote. Ni hifadhi, nifanye niwe safi niondolee balaa langu. Na hapa watakiwa isome.

AYATAL-KURSIYI  NA  QUL AUDHU BIRABIL-FALAQ  NA QUL-AUDHU BIRA BINNASI  NA QUL-HUWALLAHU AHADU.

Kisha soma DU'A hii: O Allah hakika mimi nakuomba ombi la ambaye hajja yake ni kubwa sana, nguvu zake zimedhoofu dhambi zake zimekithiri ombi la ambaye hampati wakumsaidia mahitaji yake, wala wakurudisha nguvu kwenye udhaifu wake wala wa kumghofiria dhambi zake asiyekuwa wewe, O mwenye utukufu na ukarimu.

Nakuomba amali ambayo waipenda mwenye kuitenda na yakini itamfaa mwenye kuwa na yakini ya kweli katika kutekeleza amri yako.

O Allah mrehemu Muhammad na Ali wa Muhammad ichukuwe nafsi yangu ikiwa katika hali ya kusadikisha, iondolee hajja yangu ya dunia na jaalia upendo wangu uwe katika yale yaliyo kwako nikiwa na shauku ya kukutana na wewe.

Nipe ukweli wa kukutegemea na kuomba kheri iliyoachwa na kitabu kitakatifu na ninajikinga kwako na shari ya iliyoachwa na kitabu kitakatifu.

Nakuomba hofu ya wanao kuabudu na ibada ya wakunyenyekeao kukuogopa na yakini ya wanaokutegemea na kukutegemea kwa waumini.

O Allah ufanye utashi wangu katika maombi yangu mfano wa utashi wa mawalii wako katika maombi yao. Na woga wangu mfano wa woga wa mawalii wako. Nitumikishe katika maridhawa yako aamali sitoacha pamoja nayo kitu chochote katika dini yako kwa kumwogopa yeyote katika viumbe wako.

O Allah hii ni hajja yangu ukuze utashi wangu humo, dhihirisha humo udhuru wangu, nifundishe humo hoja yangu na humo kipe afya kiwili wili changu.

O Allah mwenye kufikiwa na asubuhi akiwa na matumaini au tarajio kwa asiyekuwa wewe, nimefikiwa na asubuhi na wewe ni matumaini yangu na ndio tarajio langu katika mambo yote niamulie ambalo linamwisho mwema na uniepushe na fitna potovu, kwa huruma yako, ewe mwenye huruma zaidi ya wenye huruma wote.

Mungu mbariki muheshimiwa wetu Muhammadi na mjumbe wa Mungu mteule na wabariki ali zake waliotahirika.

[وممّا اُلحق ببعض نسخ الصحيفة ]

وكان من دعائه(عليه السلام) في التسبيح

سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَحَنَانَيْكَ. سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَتَعَالَيْتَ. سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَالْعِزُّ إزارُكَ. سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَالْعَظَمَةُ رِدآؤُكَ. سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَالْكِبْرِيآءُ سُلْطانُكَ. سُبْحَانَكَ مِنْ عَظِيم ما أَعْظَمَكَ. سُبْحَانَكَ سُبِّحْتَ فِي الملا الاَعْلى، تَسْمَعُ وَتَرى ما تَحْتَ الثَّرى. سُبْحَانَكَ أَنْتَ شَاهِدُ كُلِّ نَجْوى. سُبْحَانَكَ مَوْضِعُ كُلِّ شَكْوى. سُبْحَانَكَ حاضِرُ كُلِّ مَلا. سُبْحَانَكَ عَظِيمُ الرَّجآءِ. سُبْحَانَكَ تَرى ما فِي قَعْرِ الْمَآءِ. سُبْحَانَكَ تَسْمَعُ أَنْفَاسَ الْحِيتَانِ فِي قُعُورِ الْبِحَارِ. سُبْحَانَكَ تَعْلَمُ وَزْنَ السَّمَواتِ. سُبْحَانَكَ تَعْلَمُ وَزْنَ الاَرَضِينَ. سُبْحَانَكَ تَعْلَمُ وَزْنَ الشَّمْسِ وَالْقَمَرِ. سُبْحَانَكَ تَعْلَمُ وَزْنَ الظُّلْمَةِ وَالنُّورِ. سُبْحَانَكَ تَعْلَمُ وَزْنَ الْفَيْءِ وَالْهَوَآءِ. سُبْحَانَكَ تَعْلَمُ وَزْنَ الرِّيحِ كَمْ هِيَ مِنْ مِثْقَالِ ذَرَّة. سُبْحَانَكَ قُدُّوسٌ قُدُّوسٌ قُدُّوسٌ. سُبْحَانَكَ عَجَبَاً مَنْ عَرَفَكَ كَيْفَ لاَ يَخَافُكَ؟!. سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ. سُبْحَانَكَ اللهُ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ.

رَوى الزُّهْرِي عَنْ سَعِيدِ بْنِ الْمُسَيَّبِ قالَ: كانَ الْقَوْمُ لا يَخْرُجُونَ مِنْ مَكَّةَ حَتَّى يَخْرُجَ عَلِيٌّ بْنُ الْحُسَيْنِ سَيِّدُ الْعَابِدِينَ عَلَيْهِ السَّلامُ، فَخَرَجَ وَخَرَجْتُ مَعَهُ، فَنَزَلَ فِي بَعْضِ الْمَنَازِلِ فَصَلَّى رَكْعَتَيْنِ، فَسَبَّحَ فِي سُجُودِهِ ـ يَعْنِي بِهذَا التَّسْبِيحِ ـ فَلَمْ يَبْقَ شَجَرٌ وَلا مَدَرٌ إلاَّ سَبَّحَ مَعَهُ، فَفَزِعْنَا، فَرَفَعَ رَأسَهُ، فَقَالَ: يَا سَعِيدٌ أَفَزِعْتَ؟ فَقُلْتُ: نَعَمْ يَاابْنَ رَسُولِ اللهِ فَقالَ: هذَا التَّسْبِيحُ الاعْظَمُ، حَدَّثَنِي أَبِي عَنْ جَدِّي عَنْ رَسُولِ اللهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ: لاَ تَبْقَى الذُّنُوبُ مَعَ هَذَا التَّسْبِيحِ، وَأَنَّ الله جَلَّ جَلالُهُ لَمَّا خَلَقَ جَبْرَئِيلَ أَلْهَمَهُ هذَا التَّسْبِيحَ، وَهُوَ اسْمُ اللهِ الاَكْبَرُ.

55

MIONGONI MWA TASBEEHI ZAKE NAMKUSUDIA ZAYNUL-AABIDEENA ALAYHIS-SALAAM

Utakatifu ni wako O Allah na ninakuomba uangalizi wako wenye upendo.

Utakatifu ni wako O Allah na umetukuka juu kabisa. Adhama ni yako O Allah na enzi ni shuka yako utakatifu ni wako O Allah na dhama ni joho lako utakatifu ni wako O Allah na ukubwa ni mamlaka yako.

Utakatifu ni wako, ulioje utukufu wako! Utakatifu ni wako umetukuzwa juu, wasikia na waona kilicho chini ya udongo. Utakatifu ni wako washuhudia kila nong'ono, utakatifu ni wako mahali ambapo malalamiko yote huwekwa hapo. Utakatifu ni wako uko hadhiri katika kila mkusanyiko.

Utakatifu ni wako ni lengo la kila matumaini. Utakatifu ni wako wakiona kilicho chini kabisa ya maji. Utakatifu ni wako wasikia pumzi za samaki waliochini kabisa ya bahari. Utakatifu ni wako wajuwa uzito wa mbingu. Utakatifu ni wako wajuwa uzito wa ardhi zote. Utakatifu ni wako wajuwa uzito wa jua na wa mwezi. Utakatifu ni wako wajuwa uzito wa giza na nuru. Utakatifu ni wako wajuwa uzito wa kivuli na wa hewa.

 Utakatifu ni wako wajuwa uzito wa upepo mara ngapi kubwa kuliko uzito wa chembe ya vumbi. Utakatifu ni wako Qudusu Qudusu utakatifu ni wako mwenye kukutambuwa vipi asikuogope. Utakatifu ni wako O Allah sifa njema ni zako. Utakatifu ni wa Mungu mtukufu mkubwa.

Zuh'riy alieleza habari kutoka kwa Saeedi bin Musayyib amesema:

Qaumu ya watu walikuwa hawatoki nje ya mji wa Makka mpaka atoke Aliy bin Husayn bwana wa wafanya ibada amani iwe juu yake.

Hivyo basi alitoka nikatoka pamoja naye alisimama katika moja ya vituo akasali rakaa mbili akawa yu afanya tasbihi hii: (hapo juu) haukubaki mti wala kidongo isipokuwa kilifanya tasbihi pamoja naye. Tukafazaika, akainuwa kichwa chake akasema: Ewe Saeed umefadhaika?

Nikasema ndiyo ewe mwana wa Mjumbe wa Mungu!

Akasema hii ni tasbihi tukufu amenihadithia baba yangu kutoka kwa babu yangu mjumbe wa Mungu (s.a.w.w.) dhambi haitobaki pamoja na tasbihi hii, kwamba mungu umetukuka utukufu wake alipomuumba Jibrail alimfundisha tasbihi hii nayo ni jina kubwa la Mungu.

دعاء وتمجيد له(عليه السلام)

1 ـ الْحَمْدُ للهِ الَّذِي تَجَلَّى لِلْقُلُوبِ بِالْعَظَمَةِ، وَاحْتَجَبَ عِنِ الاَبْصَارِ بِالْعِزَّةِ، وَاقْتَدَرَ عَلَى الاَشْيآءِ بِالْقُدْرَةِ.

2 ـ فَلاَ الاَبْصارُ تَثْبُتُ لِرُؤْيَتِهِ وَلاَ الاَوْهَامُ تَبْلُغُ كُنْهَ عَظَمَتِهِ.

3 ـ تَجَبَّرَ بالْعَظَمَةِ وَالْكِبْرِيآءِ، وَتَعَطَّفَ بِالْعِزِّ وَالْبِرِّ وَالْجَلالِ، وَتَقَدَّسَ بِالْحُسْنِ وَالْجَمَالِ، وَتَمَجَّدَ بِالْفَخْرِ وَالْبَهآءِ، وَتَجَلَّلَ بِالْمَجْدِ وَالاْلاءِ، وَاسْتَخْلَصَ بِالنَّورِ وَالضِّيآءِ.

4 ـ خالِقٌ لا نَظِيرَ لَهُ، وَأَحَدٌ لا نِدَّ لَهُ، وَواحِدٌ لا ضِدَّ لَهُ، وَصَمَدٌ لاَ كُفْوَ لَهُ، وَإلهٌ لا ثَانِيَ مَعَهُ، وَفاطِرٌ لا شَرِيكَ لَهُ، وَرازِقٌ لا مُعِينَ لَهُ. 5 ـ وَالاَوَّلُ بِلا زَوال، والدَّآئِمُ بِلا فَناء، وَالْقائِمُ بِلا عَنآء، وَالْمُؤْمِنُ بِلا نِهَايَة وَالْمُبْدِئُ بِلا أَمَد، وَالصَّانِعُ بِلا أَحَد، وَالرَّبُّ بِلا شَرِيك، وَالْفاطِرُ بِلا كُلْفَة، وَالْفَعَّالُ بِلا عَجْز.

6 ـ لَيْسَ لَهُ حَدٌّ فِي مَكان، وَلا غايَةٌ فِي زَمان. لَمْ يَزَلْ وَلاَ يَزُولُ وَلَنْ يَزَالَ كَذلِكَ أَبَدَاً هُوَ الاِلهُ الْحَيُّ الْقَيُّومُ، الدَّآئِمُ الْقادِرُ الْحَكِيمُ.

7 ـ إلهِي عُبَيْدُكَ بِفِنآئِكَ، سآئِلُكَ بِفِنآئِكَ، فَقِيرُكَ بِفِنآئِكَ (ثَلاثاً).

8 ـ إلهِي لَكَ يَرْهَبُ الْمُتَرَهِّبُونَ، وَإلَيْكَ أَخْلَصَ الْمُسْتَهِلُّونَ، رَهْبَةً لَكَ، وَرَجآءً لِعَفْوِكَ.

9 ـ يا إلهَ الْحَقِّ ارْحَمْ دُعآءَ الْمُسْتَصْرِخِينَ، وَاعْفُ عَنْ جَرآئِمِ الْغافِلِينَ، وَزِدْ فِي إحْسَانِ الْمُنِيبِينَ يَوْمَ الْوُفُودِ عَلَيْكَ يا كَرِيمُ.

56

DU'A NA KUMADHIM KWAKE

Sifa njema ni za Allah ambaye amejitokeza nyoyoni kwa utukufu. Na amejificha kando na macho kwa nguvu akajiwezesha juu ya vitu kwa uwezo macho hayathubutu kumwona, wala mawazo hayafikii kiini cha utukufu wake.

Ameonyesha nguvu zake na ukubwa amejizinga nguvu wema, na utukufu na amejitakasa kwa wema na uzuri. Ametukuka kwa fahari na uzuri. Amejitanda utukufu na neema. Amejichagulia nuru na mwanga. Muumbaji asiye na kifani pekee hana mpinzani, kimbilio la milele halingani mungu hana wa pili pamoja naye.

 Mwanzilishi hana mshirika, mtowa rizki hana msaidizi. Wa kwanza bila ya kutoweka wadaima bila kutoweka. Msimamizi bila taabu, mtowa amani bila mwisho, mwanzilishi bila muda, mtengenezaji bila ya kitu, bwana mwenye bila mshirika, muumbaji bila ya takalifu, mtekelezaji bila ya ajizi hana mpaka wa mahali, hana upeo katika zama, alikuwapo, yupo, ataendelea kuwa yupo kama alivyo, bila kikomo.

Yeye ni Allah yu hai mwenye kujisimamia wa daima wa tangu, muweza mwenye busara, mungu wangu mbele yako watetemeka watetemekaji wa chaji.

Na kwako wamekuwa na ikhlasi waliaji wakikuogopa na wakitarajia msamaha wako ewe Mungu wa haki. Ihurumiye DU'A ya waliowakiomba msaada, samehe dhambi za walioghafilika, zidisha ihisani za warejeao siku ya kuja kwako O mkarim.

[وكان من دعائه في ذكر آل محمد (عليهم السلام)]

أللَّهُمَّ يَا مَنْ خَصَّ مُحَمَّداً وآلَهُ بِالْكَرَامَةِ وَحَبَاهُمْ بِاْلرِّسَالَةِ وَخَصَّصَهُمْ بِالْوَسِيلَةِ وَجَعَلَهُمْ وَرَثَةَ الانْبِياءِ وَخَتَمَ بِهِمُ الاوْصِيَاءَ وَالاَئِمَّةَ وَعَلَّمَهُمْ عِلْمَ مَا كَانَ وَمَا بَقِيَ وَجَعَلَ أَفْئِدَةً مِنَ النَّاسِ تَهْوِي إلَيْهِمْ. فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ الطَّاهِرِينَ، وَافْعَـلْ بِنَا مَـا أَنْتَ أَهْلُهُ فِي الدّيْنِ وَالـدُّنْيَـا وَالاخِرَةِ إنَّكَ عَلَى كُلِّ شَيْء قَدِيرٌ. وكان من دعائه (عليه السلام) في ذكر آل محمّد(عليهم السلام)

1 ـ أَللَّهُمَّ يامَنْ خَصَّ مُحَمَّداً وَآلَهُ بِالْكَرَامَةِ، وَحَباهُمْ بِالرِّسالَةِ، وَخَصَّصهُمْ بِالْوَسِيلَةِ، وَجَعَلَهُمْ وَرَثَةَ الاَنْبِيآءِ، وَخَتَمَ بِهِمُ الاَوْصِيآءَ وَالاَئِمَّةَ، وَعَلَّمَهُمْ عِلْمَ ما كَانَ وَعِلمَ مَا بَقِيَ وَجَعَلَ أَفْئِدَةً مِنَ النَّاسِ تَهْوِي إلَيْهِمْ.

2 ـ فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ الطَّاهِرِينَ، وَافْعَلْ بِنا ما أَنْتَ أَهْلُهُ فِي الدِّينِ وَالدُّنْيا وَالاخِرَةِ، إنَّكَ عَلَى كُلِّ شَيْء قَدِيرٌ.

57

DU'A ZAKE KATIKA KUWATAJA ALI WA MUHAMMAD (A.S.)

O Allah  ambaye  umemteuwa Muhammad na Ali wake kwa heshima na kuwapendelea kwa risala na kuwachagua makhsusi kwa uombezi na kuwafanya kuwa ni mawarithi wa Manabiy na kwao ndio umehitimishwa uwasii na Maimamu na amewafundisha elimu ya mambo yaliyokuwa na yanayoendelea, na kuzifanya nyoyo za watu zielemee kwao mrehemu Muhammad na Ali zake waliotahirika tufanyiye yale ambayo wewe ni mwenye kustahiki katika dini na dunia na akhera, hakika wewe ni muweza wa kila kitu.

وكان من دعائه(عليه السلام) في الصلاة على آدم(عليه السلام)

1 ـ أَللَّهُمَّ وَآدَمُ بَدِيعُ فِطْرَتِكَ، وَأَوَّلُ مُعْتَرِف مِنَ الطِّينِ بِرُبوبِيَّتِكَ، وَبَدْوُ حُجَّتِكَ عَلى عِبادِكَ وَبَرِيَّتِكَ، وَالدَّلِيلُ عَلَى الاسْتِجَارَةِ بِعَفْوِكَ مِنْ عُقُوبَتِكَ، وَالنَّاهِجُ سُبُلَ تَوْبَتِكَ، وَالْمُوَسَّلُ بَيْنَ الْخَلْقِ وَبَيْنَ مَعْرِفَتِكَ.

2 ـ وَالَّذِي لَقَّنْتَهُ مَا رَضَيْتَ بِهِ عَنْهُ، بِمَنِّكَ عَلَيْهِ وَرَحْمَتِكَ.

3 ـ وَالْمُنِيبُ الَّذِي لَمْ يُصِرَّ عَلَى مَعْصِيَتِكَ، وَسآبِقُ الْمُتَذَلِّلِينَ بِحَلْقِ رَأْسِهِ فِي حَرَمِكَ، وَالْمُتَوَسِّلُ بَعْدَ الْمَعْصِيَةِ بِالطَّاعَةِ إلى عَفْوِكَ، وَأَبُو الاَنْبِيآءِ الَّذِينَ أُوذُوا فِي جَنْبِكَ، وَأَكْثَرُ سُكَّانِ الاَرْضِ سَعْياً فِي طاعَتِكَ.

4 ـ فَصَلِّ عَلَيْهِ أَنْتَ يا رَحْمنُ، وَمَلائِكَتُكَ، وَسُكَّانُ سَمواتِكَ وَأَرْضِكَ كَما عَظَّمَ حُرُماتِكَ، وَدَلَّنا عَلى سَبِيلِ مَرْضَاتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.      

58

NA MIONGONI MWA DU'A ZAKE KATIKA KUMTAKIA REHMA ADAM (A.S.)

O Allah Adamu ni shani ya maumbile yako, wa kwanza kuumbwa kutokana na udongo mwenye kutambua ubwana wako, mwanzo wa haja yako kwa waja wako na viumbe wako, na dalili ya kuomba hifadhi ya msamaha wa adhabu yako, na ni mfunguzi wa njia za toba yako, na ni wasila kati ya viumbe na kukujuwa wewe na

ambaye umemfikishia uliyoyaridhia kwake kwa huruma yako kwake na rehema zako, ni mwenye kurejea kwako ambaye hakung'ng'ania kukuasi, mtangulizi wa wajidhalilishao kwa kunyoa kichwa chake katika haram yako, mwenye kutafuta wasila baada ya uasi kukutii ili aufikiye msamaha wako, baba wa Manabiy ambaye ambao wameudhiwa kwa ajili yako, ambaye amepambana sana kati ya wakazi wa ardhini katika kukutii.

Hivyo mrehemu O we mwingi wa rehema na malaika wako na wakazi wa mbingu zako na ardhi yako, kama alivoadhimisha amri zako zisizoweza vurugwa, ametujulisha sisi njia za ridha zako O we mwingi wa rehema miongoni mwa wenye kurehemu.

وكان من دعائه(عليه السلام) في الكرب والاقالة

1 ـ إلهِي لا تُشْمِتْ بِي عَدُوِّي، وَلاَ تَفْجَعْ بِي حَمِيمِي وَصَدِيقِي.

2 ـ إلهي هَبْ لِي لَحْظَةً مِنْ لَحَظاتِكَ تَكْشِفُ عَنِّي مَا ابْتَلَيْتَنِي بِهِ، وَتُعِيدُنِي إلَى أَحْسَنِ عَادَاتِكَ عِنْدِي، وَاسْتَجِبْ دُعَائِي وَدُعَاءَ مَنْ أَخْلَصَ لَكَ دُعآءَهُ، فَقَدْ ضَعُفَتْ قُوَّتِي، وَقَلَّتْ حِيلَتِي، وَاشْتَدَّتْ حَالِي، وَأَيِسْتُ مِمَّا عِنْدَ خَلْقِكَ فَلَمْ يَبْقَ لِي إلاَّ رَجآؤُكَ عَلَيَّ.

3 ـ إلهِي إنَّ قُدْرَتَكَ عَلَى كَشْفِ مَا أَنَا فِيهِ كُقُدْرَتِكَ عَلى مَا ابْتَلَيْتَنِي بِهِ، وَإنَّ ذِكْرَ عَوآئِدِكَ يُونِسُنِي، وَالرَّجآءُ فِي إنْعَامِكَ وَفَضْلِكَ يُقَوِّينِي; لاَِنِّي لَمْ أَخْلُ مِنْ نِعْمَتِكَ مُنْذُ خَلَقْتَنِي.

4 ـ وَأَنْتَ إلهِي مَفْزَعِي وَمَلْجَأي، وَالْحَافِظُ لِي وَالذَّآبُّ عَنِّي،

5 ـ الْمُتَحَنِّنُ عَلَيَّ، الرَّحِيمُ بِيَ، الْمُتَكَفِّلُ بِرِزْقِي، فِي قَضآئِكَ كَان ما حَلَّ بِي، وَبِعِلْمِكَ مَا صِرْتُ إلَيْهِ.

6 ـ فَاجْعَلْ يا وَلِيِّي وَسَيِّدِي فِيما قَدَّرْتَ وَقَضَيْتَ عَلَيَّ، وَحَتَمْتَ عافِيَتِي، وَما فِيهِ صَلاَحِي وَخَلاصِي مِمَّا أَنَا فِيهِ;

7 ـ فَإنِّي لا أَرْجُو لِدَفْعِ ذلِكَ غَيْرَكَ، وَلا أَعْتَمِدُ فِيهِ إلاَّ عَلَيْكَ.

8 ـ فَكُنْ يا ذَا الْجَلاَلِ وَالاِكْرَامِ، عِنْدَ أَحْسَنِ ظَنِّي بِكَ.

9 ـ وَارْحَمْ ضَعْفِي وَقِلَّةَ حِيلَتِي، وَاكْشِفْ كُرْبَتِي، وَاسْتَجِبْ دَعْوَتِي، وَأَقِلْنِي عَثْرَتِي، وَامْنُنْ عَلَيَّ بِذلِكَ، وَعَلى كُلِّ داع لَكَ. أَمَرْتَنِي يا سَيِّدِي بِالدُّعآءِ، وَتَكَفَّلْتَ بِالاجابَةِ، وَوَعْدُكَ الْحَقُّ الَّذِي لا خُلْفَ فِيهِ وَلا تَبْدِيلَ.

10 ـ فَصَلِّ عَلى مُحَمَّد نَبِيِّكَ وَعَبْدِكَ، وَعَلَى الطَّاهِرِينَ مِنْ أَهْلِ بَيْتِهِ، وَأَغِثْنِي; فَإنَّكَ غِياثُ مَنْ لا غِيَاثَ لَهُ، وَحِرْزُ مَنْ لا حِرْزَ لَهُ، وَأَنَا الْمُضْطَرُّ الَّذِي أَوْجَبْتَ إجابَتَهُ، وَكَشْفَ ما بِهِ مِنَ السُّوءِ.

11 ـ فَأَجِبْنِي، وَاكْشِفْ هَمِّي [عنِّي خ ل ]وَفَرِّجْ غَمِّي، وَأَعِدْ حالِي إلى أَحْسَنِ ما كانَتْ عَلَيْهِ وَلا تُجازِنِي بِالاسْتِحْقاقِ، وَلكِنْ بِرَحْمَتِكَ الَّتِي وَسِعَتْ كُلَّ شَيْء يا ذَا الْجَلالِ وَالاِكْرامِ، صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَاسْمَعْ وَأَجِبْ يا عَزِيزُ.

59

MIONGONI MWA DU'A ZAKE KATIKA USUMBUFU NA KUOMBA FARAJA

O Mola wangu usimwache adui wangu anisimange, wala usimuumize mpenzi na rafiki yangu kupitia mimi.

Mola wangu nipe mtazamo miongoni mwa mitazamo yako uniondolee humo uliyonisibu nayo. Ili unirudishe kwenye kawaida yako iliyo nzuri zaidi kwangu, nikubalie maombi yangu na maombi ya ambaye mwenye ikhilasi kwako ombi lake.Hakika nguvu zangu zimedhoofika werevu wangu ni mdogo, hali yangu imekuwa mbaya, nimekata tamaa na yaliyo kwa viumbe wako hakuna lililobaki kwangu isipokuwa kukutumainia wewe.

O Mola wangu, hakika uwezo wako wa kuniondolea nilionayo ni kama uwezo wako juu ya yaliyonisibu, hakika kukumbuka mazuri yako kwangu kwanipa raha, na kutumainia fadhila zako na neema zako kwanipa nguvu, kwa sababu sijapata kuwa bila ya neema zako toka ulivoniumba, wewe ndio Mungu wangu ndio kimbilio langu ngome yangu, muhifadi wangu mlinzi wangu, mwenye upendo kwangu, mwenye rehema kwangu, mlinzi wa rizki yangu.

Katika amri yako imekuwa yaliyo halali kwangu, kwa elimu yako ndiyo nilivyojaalia ee bwana wangu Sayyidi wangu ulichokikadiria na kuamuwa kwa ajili yangu, ulichokifanya hapana budi, kwa hali njema yangu ambacho ndani yake kuna manufaa yangu na kupata faraja kwa kuepukana na niliyo nayo.

Mimi simtarajii yeyote kuzuwia hilo asiyekuwa wewe, simtegemei kwa hilo isipokuwa kwako basi ewe mwenye utukufu na heshima kuwa kwenye dhana yangu nzuri mno kwako.

Uhurumie udhaifu wangu na uchache wa werevu wangu, niondolee shida zangu, nikubaliye maombi yangu, niokowe toka kwenye kujikwaa kwangu, nionyeshe huruma kwa hilo na kila mwenye kukuomba, umeniamuru ewe bwana wangu kuomba na ulijipa jukumu la kuikubali ahadi yako ni thabiti haikhalifu wala kubadilika.

Hivyo basi mrehemu Muhammad Nabiy wako na mja wako, na waliotahirika katika Ahli-Bayt wake. Nisaidie kwa kuwa wewe ni msaada kwa asiyekuwa na msaada na ngome kwa asiyekuwa na hifadhi.

Nami ni mwenye dhiki ambaye umewajibisha kumjibu na kumwondolea aliyo nayo miongoni mwa maovu. Nijibu niondolee huzuni yangu irejeshe hali yangu kwenye ubora zaidi kuliko ilivyokuwa. Usinilipe kama ninavostahiki lakini nilipe kwa kulingana na rehema zako ambazo zimeenea juu ya kila kitu, ewe mwenye utukufu na heshima mrehemu Muhammad na Ali wa Muhammad sikiliza na ujibu owe mwenye enzi.

وكان من دعائه(عليه السلام) ممّا يحذره ويخافه

1 ـ إلهِي إنَّهُ لَيْسَ يَرُدُّ غَضَبَكَ إلاَّ حِلْمُكَ، وَلاَ يُنْجِي مِنْ عِقَابِكَ إلاَّ عَفْوُكَ، وَلاَ يُخَلِّصُ مِنْكَ إلاَّ رَحْمَتُكَ وَالتَّضَرُّعُ إلَيْكَ.

2 ـ فَهَبْ لِي يا إلهِي فَرَحاً بِالْقُدْرَةِ الَّتِي بِهَا تُحْيِي مَيْتَ الْبِلادِ، وَبِها تَنْشُرُ أَرْواحَ الْعِبادِ، وَلا تُهْلِكْنِي، وَعَرِّفْنِي الاجابَةَ يارَبِّ، وَارْفَعْنِي وَلا تَضَعْنِي، وَانْصُرْنِي، وَارْزُقْنِي، وَعافِنِي مِنَ الافاتِ.

3 ـ يارَبِّ إنْ تَرْفَعْنِي فَمَنْ يَضَعُنِي؟ وَإنْ تَضَعْنِي فَمَنْ يَرْفَعُنِي؟ وَقَدْ عَلِمْتُ يا إلهِي أَنْ لَيْسَ فِي حُكْمِكَ ظُلْمٌ، وَلا فِي نَقِمَتِكَ عَجَلَةٌ، إنَّما يَعْجَلُ مَنْ يَخافُ الْفَوْتَ، وَيَحْتاجُ إلَى الظُّلْمِ الضَّعِيفُ، وَقَدْ تَعالَيْتَ عَنْ

ذلِكَ يا سَيِّدِي عُلُوَّاً كَبِيراً.

4 ـ رَبِّ لا تَجْعَلْنِي لِلْبَلاءِ غَرَضَاً، وَلا لِنَقِمَتِكَ نَصَباً، وَمَهِّلْنِي وَنَفِّسْنِي، وَأَقِلْنِي عَثْرَتِي، وَلا تُتْبِعْنِي بِالْبَلاءِ، فَقَدْ تَرى ضَعْفِي وَقِلَّةَ حِيلَتِي، فَصَبِّرْنِي، فَإنّي يارَبِّ ضَعِيفٌ مُتَضَرِّعٌ إلَيْكَ يا رَبِّ.

5 ـ وَأَعُوذُ بِكَ مِنْكَ، فَأَعِذْنِي.

6 ـ وَأَسْتَجِيرُ بِكَ مِنْ كُلِّ بَلاء، فَأَجِرْنِي.

7 ـ وَأَسْتَتِرُ بِكَ، فَاسْتُرْنِي يا سَيِّدِي مِمَّا أَخافُ وَأَحْذَرُ.

8 ـ وَأَنْتَ الْعَظِيمُ أَعْظَمُ مِنْ كُلِّ عَظِيم.

9 ـ بِكَ بِكَ بِكَ اسْتَتَرْتُ.

10 ـ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ يا أَللَّهُ صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ الطَّيِّبِينَ الطَّاهِرِينَ.

60

DU'A ZAKE A.S. KWA AYAHOFIAYO NA KUYAOGOPA

O Mola wangu hakuna liwezalo kuziwiya ghadhabu zako isipokuwa huruma zako, wala liokowalo toka kwenye adhabu yako isipokuwa msamaha wako. Hakuna liwezalo kuokowa kutoka kwako isipokuwa rehma zako na kunyenyekea kwako.

Hivyo basi nipe ewe Mola wangu faraja kwa nguvu ambazo kwazo wahuisha mauti wa nchi na kwayo wazifufuwa roho za waja, wala usiniangamize na unipe maarifa ya jibu.

Ewe Mola wangu niinuwe usinirudishe chini, nisaidie nipe rizki, ewe Mola wangu, ukiniinuwa nani atanirudisha chini, ukinirudisha chini nani ataniinuwa? Nimejuwa ewe Mola wangu katika hukumu yako hakuna dhuluma wala hapana haraka katika malipizi yako.

Afanyaye haraka yule ahofiaye kukosa na aihitajiaye dhulma ambaye ni dhaifu, nawe uko juu kabisa mbali na hayo ewe bwana wangu. Mola wangu usinifanye kuwa lengo la shabaha ya balaa wala nisiwe ndio kiguzo cha malipizi yako, nipe muhula nipe raha, niokowe toka kwenye kujikwaa kwangu usinifuatilie kwa balaa baada ya balaa.

Umeona udhaifu wangu na uchache wawerevu wangu, nipe uvumilivu kwa hakika mimi ni dhaifu nanyenyekea kwako ewe Mola wangu, ninajikinga kwako kutoka kwako basi nipe kinga.

Naomba hifadhi kwako kutokana na kila balaa nipe kimbilio, najisitiri na wewe nipe sitara ewe bwana wangu na ambayo nayaogopa na kujihadhari nayo, wewe ni mtukufu mno u mtukufu kuliko      kila      kitukufu,      bika      bika      bika      nimejisitir ya Allah yaa Allah ya Allah (kariri hiyo mara kumi) Mrehemu Muhammad na Ali zake wataharifu.

وكان من دعائه(عليه السلام) في التذلّل

1 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْمَوْلَى، وَأَنَا الْعَبْدُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الْعَبْدَ إلاَّ الْمَوْلى.

2 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْعَزِيزُ، وَأَنَا الذَّلِيلُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الذَّلِيلَ إلاَّ الْعَزِيزُ.

3 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْخَالِقُ، وَأَنَا الْمَخْلُوقُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الْمَخْلُوقَ إلاَّ الْخَالِقُ.

4 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْمُعْطِي وَأَنَا السَّائِلُ، وَهَلْ يَرْحَمُ السَّائِلَ إلاَّ الْمُعْطِي.

5 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْمُغِيْثُ وَأَنَا الْمُسْتَغِيثُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الْمُسْتَغِيثَ إلاَّ الْمُغِيثُ.

6 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْباقِي وَأَنَا الْفَانِي، وَهَلْ يَرْحَمُ الْفانِي إلاَّ الْباقِي.

 7 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الدَّائِمُ وَأَنَا الزَّائِلُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الزَّآئِلَ إلاَّ الدَّآئِمُ.

8 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْحَيُّ وَأَنَا الْمَيِّتُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الْمَيِّتَ إلاَّ الْحَيُّ.

9 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْقَوِيُّ وَأَنَا الضَّعِيفُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الضَّعِيفَ إلاَّ الْقَوِيُّ.

10 ـ [مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْغَنِيُّ وَأَنَا الْفَقِيرُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الْفَقِيرَ إلاَّ الْغَنِيُّ. خ ل]

11 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْكَبِيرُ وَأَنَا الصَّغِيرُ، وَهَلْ يَرْحَمُ الصَّغِيرَ إلاَّ الْكَبِيرُ.

12 ـ مَوْلايَ مَوْلايَ، أَنْتَ الْمَالِكُ وَأَنَا الْمَمْلُوكَ، وَهَلْ يَرْحَمُ الْمَمْلُوكَ إلاَّ الْمالِكُ.

61

MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUJIDHALILISHA

Mola wangu Mola wangu, wewe ni Mola na mimi ni mja yeyote amrehemu mja! Ni Mola tu Mola wangu Mola wangu, wewe u mtukufu namimi ni dhalili, yeyote amuhurumia dhalili ni mwenye utukufu tu.

Mola wangu Mola wangu, wewe ni muumba na mimi ni kiumbe amuhurumia kiumbe ni muumba tu, Mola wangu Mola wangu, wewe ndio mpaji na mimi ni mwombaji, anayemuhurumia mwombaji ni mpaji tu.

Mola wangu Mola wangu, wewe ni msaidiaji na mimi nimtaka msaada, anayemuhurumia mtaka msaada ni msaidiaji tu. Mola wangu Mola wangu, wewe ni mwenye kubakia na mimi ni mwenye kuhiliki, anayemrehemu mwenye kuhiliki ni mwenye kubaki tu. Mola wangu Mola wangu, wewe ni wa daima na mimi ni wakutoweka, anamrehemu mwenye kutoweka isipokuwa ni wa daima.

Mola wangu Mola wangu, wewe u hai na mimi ni mayiti, anayemrehemu mayiti isipokuwa aliyehai. Mola wangu Mola wangu, wewe ni mwenye nguvu na mimi ni dhaifu amrehemu dhaifu isipokuwa mwenye nguvu, Mola wangu Mola wangu, wewe ni tajiri na mimi ni miskini anayemuhurumia miskini isipokuwa tajiri.

Mola wangu Mola wangu, wewe ni mkubwa na mimi ni mdogo, anamrehemu mdogo isipokuwa mkubwa. Mola wangu Mola wangu, wewe ni mwenye kumiliki na mimi ni mwenye kumilikiwa, amuhurumiaye mmilikiwa ni mmiliki tu.

وكان من دعائه (عليه السلام) في الايّام السبعة

1 ـ دعاء يوم الاحد

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ بِسْمِ اللهِ الَّذِي لاَ أَرْجُو إِلاَّ فَضْلَهُ، وَلاَ أَخْشَى إلاَّ عَدْلَهُ، وَلا أَعْتَمِدُ إلاَّ قَوْلَهُ، وَلا أَتَمَسَّكُ [اُمْسِكُ خ ل ]إلاَّ بِحَبْلِهِ.

2 ـ بِكَ أَسْتَجِيرُ يا ذَا الْعَفْوِ وَالرِّضْوانِ مِنَ الظُّلْمِ وَالْعُدْوانِ، وَمِنْ غِيَرِ الزَّمانِ، وَتَواتُرِ الاَحْزانِ، [وَمِنْ طَوارِقِ الْحَدَثَانِ خ ل ]، وَمِنِ انْقِضآءِ الْمُدَّةِ قَبْلَ التَّأَهُّبِ

وَالْعُدَّةِ.

3 ـ وَإيَّاكَ أَسْتَرْشِدُ لِما فِيهِ الصَّلاحُ وَالاِصْلاحُ،

4 ـ وَبِكَ أَسْتَعِينُ فِيما يَقْتَرِنُ بِهِ النَّجاحُ وَالاِنْجاحُ.

5 ـ وَإيَّاكَ أَرْغَبُ فِي لِباسِ الْعافِيَةِ وَتَمامِها، وَشُمُولِ السَّلامَةِ وَدَوامِها، وَأَعُوذُ بِكَ يارَبِّ مِنْ هَمَزاتِ الشَّياطِينِ، وَأَحْتَرِزُ بِسُلْطانِكَ مِنْ جَوْرِ السَّلاطِينِ، فَتَقَبَّلْ ما كانَ مِنْ صَلاتِي وَصَوْمِي، واجْعَلْ غدي وَمَا بَعْدَهُ أفَضَلَ من سَاعَتي وَيَوْمِي، وَأَعِزَّنِي فِي عَشِيرَتِي وَقَوْمِي، وَاحْفَظْنِي فِي يَقْظَتِي وَنَوْمِي، فَأَنْتَ اللَّهُ خَيْرٌ حافِظاً، وَأَنْتَ أَرْحَمُ الرَّاحِمِينَ.

6 ـ أَللَّهُمَّ إنِّي أَبْرَأُ إلَيْكَ فِي يَوْمِي هذا وَ]في خ ل] ما بَعْدَهُ مِنَ الاحادِ مِنَ الشِّرْكَ وَالالْحَادِ، وَأُخْلِصُ لَكَ دُعآئِي تَعَرُّضَاً لِلاِجابَةِ [واُقيم على طاعتِكَ رجاءً للأِثابَةِ خ ل].

7 ـ فَصَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد خَيْرِ خَلْقِكَ، الدَّاعِي إلَى حَقِّكَ، وَأَعِزَّنِي بِعِزِّكَ الَّذِي لا يُضامُ، وَاحْفَظْنِي بِعَيْنِك الَّتِي لاتَنامُ، وَاخْتِمْ بِالانْقِطَاعِ إلَيْكَ أَمْرِي، وَبِالْمَغْفِرَةِ عُمْرِي، إنَّكَ أَنْتَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ.

62

DU'A ZAKE SIKU YA JUMAPILI

Kwa Jina la Mwenjzi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenje Kurehemu.

Kwa jina la Allah ambaye siitarajii isipokuwa fadhila zake. Wala siogopi isipokuwa uadilifu wake, sitegemei isipokuwa kauli yake sishikamani isipokuwa na kamba yake. Kwako naomba hifadhi , O mwenye msamaha na ridhaa kutokana na dhulma na uaduwi na kutokana na mabadiliko ya zama na kurudia rudia kwa huzuni na kutokana na pigo la matokeo mabaya nakwisha kwa muda kabla ya maandalizi na utayarifu.

Kwako tunaomba mwongozo kwa ambayo ndani yake kuna wema na marekebisho, kwako naomba msaada wa ambalo lina mafungamano na mafanikio na jibu muwafaka, na kwako tunaloendea vazi la hali njema na ukamilifu wake na kuenea kwa amani na kudumu kwake.

Ninajikinga kwako O Mola wangu na shinikizo la shetani, na ninaomba ulinzi kwa mamlaka yako na dhulma ya watawala, hivyo basi zikubali sala zangu zilizopita na swaumu yangu, na ijaaliye siku yangu ya kesho na ya baadaye iwe bora kuliko saa yangu hii na siku yangu, nienzi mimi katika ukoo wangu na kaumu yangu, ni hifadhi nikiwa macho na nikiwa nimelala.

Wewe ni Allah muhifadhi bora na wewe ni mwingi mno wa rehma kuliko wote wenye kurehemu O Allah hakika mimi nina uhama ushirikina na kufuru, katika siku yangu hii na baada yake miongoni mwa siku za jumapili ninakuomba kwa unyofu kabisa ili nipate jibiwa, mrehemu Muhammad na Ali wa Muhammad, viumbe wako bora mwitaji wa kwenye ukweli wako, nitukuze kwa utukuzo wako ambao haudhuriwi, nihifadhi kwa jicho lako ambalo halilali, hitimisha mambo yangu kwa kujikata na mengine yoote isipokuwa kwako nahitimisha maisha yangu kwa ghofira hakika wewe ndio mghofiri mwingi wa huruma.

دعاء يوم الاثنين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَلْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي لَمْ يُشْهِدْ أَحَدَاً حِينَ فَطَرَ السَّمواتِ وَالاَرْضَ، وَلاَ اتَّخَذَ مُعِيناً حِينَ بَرَأَ النَّسَماتِ.

2 ـ لَمْ يُشارَكْ فِي الالهِيَّةِ، وَلَمْ يُظَاهَرْ فِي الْوَحْدانِيَّةِ.

3 ـ كَلَّتِ الاَلْسُنُ عَنْ غايَةِ صِفَتِهِ، وَ [انْحَسَرَتِخ ل ]الْعُقُولُ عَنْ كُنْهِ مَعْرِفَتِهِ، وَتَوَاضَعَتِ الْجَبابِرَةُ لِهَيْبَتِهِ، وَعَنَتِ الْوُجُوهُ لِخَشْيَتِهِ، وَانْقَادَ كُلُّ عَظِيم لِعَظَمَتِهِ. 4 ـ فَلَكَ الْحَمْدُ مُتَوَاتِراً مُتَّسِقاً، وَمُتَوَالِياً مُسْتَوْسِقَاً.

5 ـ وَصَلَواتُهُ عَلَى رَسُولِهِ أَبَدَاً، وَسَلامُهُ دَآئِماً سَرْمَدَاً.

6 ـ أَللَّهُمَّ اجْعَلْ أَوَّلَ يَوْمِي هذَا صَلاحَاً، وَأَوْسَطَهُ فَلاحَاً، وَآخِرَهُ نَجاحَاً، وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ يَوْم أَوَّلُهُ فَزَعُ، وَأَوْسَطُهُ جَزَعٌ، وَآخِرُهُ وَجَعٌ.

7 ـ أَللَّهُمَّ إنِّي أَسْتَغْفِرُكَ لِكُلِّ نَذْر نَذَرْتُهُ، وَلِكُلِّ وَعْد وَعَدْتُهُ، وَلِكُلِّ عَهْد عاهَدْتُهُ، ثُمَّ لَمْ أَفِ لَكَ بِهِ.

8 ـ وَأَسْأَلُكَ فِي مَظالِمِ عِبادِكَ عِنْدِي، فَأَيُّما عَبْد مِنْ عَبِيدِكَ، أَوْ أَمَة مِنْ إمآئِكَ، كَانَتْ لَهُ قِبَلِي مَظْلَمَةٌ ظَلَمْتُها إيَّاهُ فِي نَفْسِهِ، أَوْ فِي عِرْضِهِ، أَوْ فِي مالِهِ، أَوْ فِي أَهْلِهِ وَوَلَدِهِ، أَوْ غَيْبَةٌ اغْتَبْتَهُ بِها، أَوْ تَحامُلٌ عَلَيْهِ بِمَيْل أَوْ هَوَىً، أَوْ أَنَفَة، أَوْ حَمِيَّة، أَوْ رِيآء، أَوْ عَصَبِيَّة غائِباً كانَ أَوْ شاهِداً، وَحَيّاً كانَ أَوْ مَيِّتاً، فَقَصُرَتْ يَدِي، وَضاقَ وُسْعِي عَنْ رَدِّها إلَيْهِ، وَالتَّحَلُّلِ مِنْهُ. 9 ـ فَأَسْأَلُكَ يا مَنْ يَمْلِكُ الْحاجاتِ، وَهِيَ مُسْتَجِيبَةٌ بِمَشِيَّتِهِ [لِمَشِيَّتِهِ خ ]، وَمُسْرِعَةٌ إلى إرادَتِهِ، أَنْ تُصَلِّيَ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد، وَأَنْ تُرْضِيَهُ عَنِّي بِما شِئْتَ، وَتَهَبَ لِي مِنْ عِنْدِكَ رَحْمَةً، إنَّهُ لا تَنْقُصُكَ الْمَغْفِرَةُ، وَلا تَضُرُّكَ المَوْهِبَةُ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

10 ـ أَللَّهُمَّ أَوْلِنِي فِي كُلِّ يَوْمِ اثْنَيْنِ نِعْمَتَيْنِ مِنْكَ ثِنْتَيْنِ: سَعادَةً فِي أَوَّلِهِ بِطاعَتِكَ، وَنِعْمَةً فِي آخِرِهِ بِمَغْفِرَتِكَ يامَنْ هُوَ الاِلهُ، وَلا يَغْفِرُ الذُّنُوبَ سِواهُ.

63

DU'A YAKE YA SIKU YA JUMATATU

Kwa Jina la Mwenjezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

Hakumruhusu yeyote kushuhudia alipoziumba mbingu na ardhi, wala hakumchukuwa msaidizi alipoziumba nafsi, hakushirikisha katika uungu wala hakukusaidiwa katika umoja, ndimi ziko butu kufikia kikomo cha sifa yake.

Akili zimeshindwa kumtambuwa yeye, wadhalimu wamenyenyekea kwa kumwogopa yeye, nyuso zimenyenyekea kwa kumwogopa kila mtukufu ametii utukufu wake (Mungu).

Wako ni utukufu tena na tena wenye uwiano mfululizo kwa utaratibu ziwe baraka zake kwa mjumbe wake milele. Na amani yake ya daima bila mwisho O Allah jaalia mwanzo wa siku yangu hii iwe njema na kati yake iwe ya ufanisi.

Mwisho wake uwe wa mafanikio na ninajikinga kwako na siku mwanzo wake ni hofu na katikati yake ni mashaka na mwisho wake maumivu O Allah kwa hakika mimi nakuomba msamaha kwa kila nadhiri nimeifanya na kila ahadi nimeiahidi kisha sikuitekeleza kwa ajili yako.

Na ninakuomba kuhusu malalamiko ya waja wako kwangu hivyo basi mja yeyote katika watumwa wako au mjakazi miongoni mwa vijakazi wako alikuwa na malalmiko dhidi yangu nimemtendea vibaya yeye mwenyewe au katika heshima yake au katika mali yake, au katika ahli wake au mtoto wake au nimemsengenya au kumsingizia kwa kuelemea upande fulani dhidi yake au utashi wa moyo wivu, kujionyesha au upendeleo awe yupo hayo yakitendeka au hayupo, akiwa hai au amekufa.

Kwa namna ambayo mkono wangu ulishindwa au sikuwa na wasaa wa kumrudishia na kujitowa kuwa dhidi yake.

Nakuomba ewe mwenye kumiliki haja nazo hutolewa kwa utashi wake na ziko haraka kwenye irada yake, umrehemu Muhammad na Ali wa Muhammad, umridhishe kwa ajili yangu upendavyo nipe rehema kutoka kwako hakika yeye hapungukiwi kwa kughofiri kutoa hakumdhuru.

Ewe mwingi wa rehema miongoni mwa wenye kurehemu. O Allah nipe mimi kila siku ya jumatatu neema mbili kutoka kwako, heri mwanzoni mwake kwa kukutii wewe na neema mwishoni mwake kwa msamaha wako, O ambaye ndiyo Allah. Haghofiri dhambi asiyekuwa yeye.

دعاء يوم الثلاثاء

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَلْحَمْدُ للّهِ وَالْحَمْدُ حَقُّهُ كَما يَسْتَحِقُّهُ حَمْداً كَثِيراً.

2 ـ وَأَعُوذُ بِهِ مِنْ شَرِّ نَفْسِي، إنَّ النَّفْسَ لاَمَّارَةٌ بِالسُّوءِ إلاَّ

ما رَحِمَ رَبِّي،

3 ـ وَأَعُوذُ بِهِ مِنْ شَرِّ الشَّيْطَانِ الَّذِي يَزِيدُنِي ذَنْباً إلَى ذَنْبِي،

4 ـ وَأَحْتَرِزُ بِهِ مِنْ كُلِّ جَبَّار فاجِر، وَسُلْطان جآئر، وَعَدُوٍّ قاهِر.

5 ـ أَللَّهُمَّ اجْعَلْنِي مِنْ جُنْدِكَ فَإنَّ جُنْدَكَ هُمُ الْغالِبُونَ، وَاجْعَلْنِي مِنْ حِزْبِكَ; فَإنَّ حِزْبَكَ هُمُ الْمُفْلِحُونَ، وَاجْعَلْنِي مِنْ أَوْلِيآئِكَ; فَإنَّ أَوْلِيَاءَكَ لا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلا هُمْ يَحْزَنُونَ.

6 ـ أَللَّهُمَّ أَصْلِحْ لِي دِيْنِي فَإنَّهُ عِصْمَةُ أَمْرِي، وَأَصْلِحْ لِي آخِرَتِي فَإنَّهَا دارُ مَقَرِّي، وَإلَيْها مِنْ مُجاوَرَةِ اللِّئامِ مَفَرِّي، وَاجْعَلِ الْحَياةَ زِيادَةً لِي فِي كُلِّ خَيْر، وَالْوَفاةَ رَاحَةً لِي مِنْ كُلِّ شَرٍّ.

7 ـ أَللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّد خاتَمِ النَّبِيِّينَ وَتَمَامِ عِدَّةِ الْمُرْسَلِينَ وَعَلَى آلِهِ الطَّيِّبِينَ الطَّاهِرِينَ، وَأَصْحَابِهِ الْمُنْتَجَبِينَ وَهَبْ لِي فِي الثُلُثآءِ ثَلاثاً:

8 ـ لا تَدَعْ لِي ذَنْباً إلاَّ غَفَرْتَهُ، وَلا غَمّاً إلاَّ أَذْهَبْتَهُ، وَلا عَدُوّاً إلاَّ دَفَعْتَهُ. بِبِسْمِ اللهِ خَيْرِ الاَسْمآءِ، بِسْمِ اللهِ رَبِّ الاَرْضِ وَالسَّمآءِ،

9 ـ أَسْتَدْفِعُ كُلَّ مَكْرُوه أَوَّلُهُ سَخَطُهُ، وَأَسْتَجْلِبُ كُلَّ مَحْبُوب أَوَّلُهُ رِضاهُ.

10 ـ فَاخْتِمْ لِي مِنْكَ بِالْغُفْرانِ يا وَلِيَّ الاِحْسانِ.

64

DU'A YAKE SIKU YA JUMANNE

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Sifa njema ni zake Allah na himidi ni haki yake kama anavyostahiki himidi nyingi, na ninajikinga na yeye na shari ya nafsi yangu (Innan-nafsa-la-ammaratun bis-suuin illaa ma rahima rabiy) (12:53)

Hakika nafsi ni yenye kuamrisha uovu isipokuwa Mungu wangu akiirehemu.

Na ninajikinga naye (Mungu) na shari ya shetani ambaye huniongezea dhambi kwenye dhambi zangu. Naomba ulinzi kwake dhidi ya kila fedhuli muovu, na mtawala dhalimu na aduwi mwenye mabavu.

O Allah nifanye kuwa miongoni mwa askari wako kwa sababu askari wako ndio washindi, nifanye niwe kwenye kundi lako kwa sababu kundi lako ndilo lenye ufanisi, nifanye miongoni mwa Mawaliy wako kwa sababu Mawaliy wako hawatokuwa na hofu wala hawatohuzunika.

O Allah niwekee sawa dini yangu kwa sababu ndio hifadhi ya mambo yangu, niwekee sawa ahera yangu kwa kuwa ndio nyumba ya makazi yangu ya kudumu, na ndio kimbilio langu la kuwa jirani na waovu. Ujaaliye uhai uwe ndio zidisho langu la kila kheri, na kifo kiwe raha kwangu kwa kuepukana na kila shari.

O Allah mrehemu Muhammad na khaataman Nabiyyin na ambaye timizo la idadi ya wajumbe. Na warehemu Aali wake wema walio tahirishwa. Na sahaba wake wateule. Nipe mimi siku ya jumanne mambo matatu:

Usiniachie dhambi ila iwe umeisamehe, wala mayonzi ila uwe umeyaondowa, wala adui ila uwe umemsukuma nyuma.

Kwa jina la Allah ni jina bora miongoni mwa majina

Bismillahi bwana wa ardhi na mbingu najikinga na kila makuruhi mwanzo wake kasiriko lake, na ninaleta kila lipendwalo mwanzo wake ridhaa yake, ni hitimishiye kwa msamaha toka kwako ewe muhisani

دعاء يوم الاربعاء

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَلْحَمْدُ لِلّهِ الَّذِي جَعَلَ اللَّيْلَ لِباساً، وَالنَّوْمَ سُباتَاً، وَجَعَلَ النَّهارَ نُشُوراً.

2 ـ لَكَ الْحَمْدُ أَنْ بَعَثْتَنِي مِنْ مَرْقَدِي، وَلَوْ شِئْتَ جَعَلْتَهُ سَرْمَداً حَمْداً دَائِمَاً لا يَنْقَطِعُ أَبَداً، وَلا يُحْصِي لَهُ الْخَلائِقُ عَدَدَاً.

3 ـ أَللَّهُمَّ لَكَ الْحَمْدُ أَنْ خَلَقْتَ فَسَوَّيْتَ، وَقَدَّرْتَ وَقَضَيْتَ، وَأَمَتَّ وَأَحْيَيْتَ، وَأَمْرَضْتَ وَشَفَيْتَ، وَعافَيْتَ وَأَبْلَيْتَ، وَعَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَيْتَ، وَعَلَى الْمُلْكِ احْتَوَيْتَ.

4 ـ أَدْعُوكَ دُعآءَ مَنْ ضَعُفَتْ وَسِيلَتُهُ، وَانْقَطَعَتْ حِيلَتُهُ، وَاقْتَرَبَ أَجَلُهُ، وَتَدانى فِي الدُّنْيا أَمَلُهُ، وَاشْتَدَّتْ إلى رَحْمَتِكَ فاقَتُهُ، وَعَظُمَتْ لِتَفْرِيطِهِ حَسْرَتُهُ، وَكَثُرَتْ زَلَّتُهُ وَعَثْرَتُهُ، وَخَلُصَتْ لِوَجْهِكَ تَوْبَتُهُ.

5 ـ فَصَلِّ عَلى مُحَمَّد خاتَمِ النَّبِيِّينَ، وَعَلى أَهْلِ بَيْتِهِ الطَّيِّبِينَ الطَّاهِرِينَ، وَارْزُقْنِي شَفاعَةَ مُحَمَّد صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ، وَلا تَحْرِمْنِي صُحْبَتَهُ إنَّكَ أَنْتَ أَرْحَمُ الرَّاحِمِينَ.

6 ـ أَللَّهُمَّ اقْضِ لِي فِي الاَرْبِعآءِ أَرْبَعَاً: إجْعَلْ قُوَّتِي فِي طاعَتِكَ، وَنَشاطِي فِي عِبادَتِكَ، وَرَغْبَتِي فِي ثَوَابِكَ، وَزُهْدِي فِيما يُوجِبُ لِي أَلِيمَ عِقابِكَ، إنَّكَ لَطِيفٌ لِما تَشآءُ.

65

DU'A YAKE SIKU YA JUMATANO

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

Sifa njema ni zake Allah ambaye ameujaalia usiku kuwa ni vazi, na usingizi kuwa ni pumziko. Na ameujaalia mchana kuwa wakati wa kuinuka. Sifa njema ni yako umeniinuwa toka usingizini mwangu. Lau ungependa ungejaalia wa milele. Sifa njema daima haikatiki, idadi yake viumbe hawaiwezi.

O Allah! zako ni sifa njema kwa kuwa umeumba na ukakadiria. Ulikadiria na kuamuru, umeweka umauti na uhai, umeuguza na umeponya, umetowa afya na umeweka balaa, umetawalia kitanda cha enzi, ufalme ukauzingira, nakuomba ombi la ambaye uombezi wake umedhoofika, ujanja wake umekatika, muda wake umekurubia, matumaini yake duniani yamenywea, mahitaji yake ya rehma zako yameshika kasi, majuto yake kwa kupuuza kwake yamekuwa makubwa, kuteleza kwake na kujikwaa kumezidi, toba yake kwa ajili ya uso wako imekuwa nyofu, mrehemu Muhammad hitimisho la manabiy na warehemu watu wa nyumbani mwake wazuri waliotahirishwa, nitunukiye uombezi wa Muhammad.

O Allah mbariki yeye na Ali zake, usininyime kuwa pamoja naye, kwa hakika wewe ni mwingi mno wa kurehemu katika wanao rahemu.

O Allah niamuliye siku ya jumatano mambo manne:

Ijaaliye nguvu yangu katika utii wako, na furaha yangu iwe katika ibada yako, upendo wangu uwe katika thawabu zako, kujiepusha kwangu kuwe katika ambalo linawajibisha kwa ajili yangu maumivu ya adhabu yako, kwa hakika umpole kwa umpendaye.

دعاء يوم الخميس

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَلْحَمْدُ لِلّهِ الَّذِي أَذْهَبَ اللَّيْلَ مُظْلِمَاً بِقُدْرَتِهِ، وَجآءَ بِالنَّهارِ مُبْصِراً بِرَحْمَتِهِ، وَكَسانِي ضِيآءَهُ وَآتانِي نِعْمَتَهُ.

2 ـ أَللَّهُمَّ فَكَما أَبْقَيْتَنِي لَهُ فَأَبْقِنِي لاَِمْثالِهِ، وَصَلِّ عَلَى النَّبِيِّ مُحَمَّد وَآلِهِ، وَلا تَفْجَعْنِي فِيهِ وَفِي غَيْرِهِ مِنَ اللَّيالِي وَالاَيَّامِ بِارْتِكابِ الْمَحارِمِ، وَاكْتِسابِ الْمَاثِمِ، وَارْزُقْنِي خَيْرَهُ، وَخَيْرَ ما فِيهِ، وَخَيْرَ ما بَعْدَهُ، وَاصْرِفْ عَنِّي شَرَّهُ، وَشَرَّ ما فِيهِ، وَشَرَّ ما بَعْدَهُ.

3 ـ أَللَّهُمَّ إنِّي بِذِمَّةِ الاِسْلامِ أَتَوَسَّلُ إلَيْكَ، وَبِحُرْمَةِ الْقُرْآنِ أَعْتَمِدُ عَلَيْكَ، وَبِمُحَمَّد الْمُصْطَفى صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وآلِهِ أَسْتَشْفِعُ لَدَيْكَ، فَاعْرِفِ اللَّهُمَّ ذِمَّتِي الَّتِي رَجَوْتُ بِها قَضآءَ حاجَتِي، يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

4 ـ أَللَّهُمَّ اقْضِ لِي فِي الخَمِيسِ خَمْساً لا يَتَّسِعُ لَها إلاَّ كَرَمُكَ وَلا يُطِيقُها إلاَّ نِعَمُكَ: سَلامَةً أَقْوى بِها عَلَى طاعَتِكَ وَعِبادَةً أَسْتَحِقُّ بِها جَزِيلَ مَثُوبَتِكَ، وَسَعَةً فِي الْحالِ مِنَ الرِّزْقِ الْحَلالِ، وَأَنْ تُؤْمِنَنِي فِي مَواقِفِ الْخَوْفِ بِأَمْنِكَ، وَتَجْعَلَنِي مِنْ طَوارِقِ الْهُمُومِ وَالْغُمُومِ فِي حِصْنِكَ، صَلِّ عَلى مُحَمَّد وَآلِهِ، وَاجْعَل تَوَسُّلِي بِهِ شافِعَاً يَوْمَ الْقِيامَةِ نافِعاً، إنَّكَ أَنْتَ أَرْحَمُ الرَّاحِمِينَ.

66

DU'A YAKE SIKU YA ALHAMISI

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu

Sifa njema ni za Allah ambaye ameuondowa usiku wenye giza kwa uwezo wake, na ameleta mchana wenye mwanga kwa rehma yake, amenivisha mimi mwanga wake na amenipa neema za (mchana). O Allah kama ulivyonibakisha kwa huo mchana nibakishe kwa mfano wake. (mchana mwingine).

Mrehemu Nabiy Mohammad na Ali zake usinipe mahangaiko humo na katika usiku mingine na mchana kwa kufanya yaliyoharamu na kutenda dhambi, niruzuku kheri zake na kheri zilizomo humo na kheri ya baadaye.

Niondolee shari yake na shari iliyomo humo na shari ya baada yake. O Allah hakika mimi kwa hifadhi ya Uislam naomba wasila wa kuelekea kwako. Na kwa heshima ya Qur'an isiodhurika nakutegemea. Na kwa Muhammad mteule rehema za Allah zimfikie yeye na Ali zake naomba shafaa kwako.

Tambuwa O Allah! dhimma yangu ambayo nimeitarajia kukidhi haja zangu. Ewe mwenye rehma nyingi kuliko wote wenye kurehemu.

O Allah nikidhiye katika siku ya Al-hamisi matano hakuna wasaa kwayo isipokuwa ukarimu wako. Hakuna aya wezae isipokuwa neema zako; usalama unipe nguvu kwa ajili ya utii wako.

Ibada ilinistahiki kwa ajili yake wingi wa thawabu zako. Hali ya wasaa kutokana na riziki ya halali. Uniweke katika amani mahali tuwa hofu kwa amani yako. Niweke katika ngome yako dhidi ya mahangaiko na mayonzi, mrehemu Muhammad na Ali wake jaalia wasila wangu kupitia yeye wenye mafanikio siku ya kiyama yenye manufaa kwa hakika wewe ni mwenye huruma zaidi miongoni mwa wenye huruma.

دعاء يوم الجمعة

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَلْحَمْدُ لِلّهِ الاَوَّلِ قَبْلَ الانْشآءِ وَالاحْيآءِ، وَالاخِرِ بَعْدَ فَنآءِ الاَشْيَآءِ، الْعَلِيمِ الَّذِي لا يَنْسَى مَنْ ذَكَرَهُ، وَلا يَنْقُصُ مَنْ شَكَرَه، وَلا يُخَيِّبُ [يَخِيبُ خ ل] مَنْ دَعاهُ، وَلا يَقْطَعُ رَجآءَ مَنْ رَجاهُ.

2 ـ أَللَّهُمَّ إنِّي أُشْهِدُكَ وَكَفى بِكَ شَهِيداً، وَأُشْهِدُ جَمِيعَ مَلائِكَتِكَ، وَسُكَّانَ سَمواتِكَ، وَحَمَلَةَ عَرْشِكَ، وَمَنْ بَعَثْتَ مِنْ أَنْبِيآئِكَ وَرُسُلِكَ وَأَنْشَأْتَ مِنْ أَصْنافِ خَلْقِكَ، أَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللَّهُ لا إلهَ إلاَّ أَنْتَ، وَحْدَكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ، وَلا عَدِيلَ وَلا خُلْفَ لِقَوْلِكَ وَلا تَبْدِيْلَ، وَأَنَّ مُحَمَّداً صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وآلِهِ عَبْدُكَ وَرَسُولُكَ، أَدَّى ما حَمَّلْتَهُ إلَى الْعِبادِ، وَجاهَدَ فِي اللَّهِ [عزّوجل خ ل ]حَقَّ الْجِهادِ، وَأَنَّهُ بَشَّرَ بِما هُوَ حَقٌّ مِنَ الثَّوابِ، وَأَنْذَرَ بِما هُوَ صِدْقٌ مِنَ الْعِقابِ.

3 ـ أَللَّهُمَّ ثَبِّتْنِي عَلى دِينِكَ ما أَحْيَيْتَنِي، وَلا تُزِغْ قَلْبِي بَعْدَ إذْ هَدَيْتَنِي، وَهَبْ لِي مِنْ لَدُنْكَ رَحْمَةً، إنَّكَ أَنْتَ الْوَهَّابُ، صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِ مُحَمَّد وَاجْعَلْنِي مِنْ أَتْباعِهِ وَشِيعَتِهِ وَاحْشُرْنِي فِي زُمْرَتِهِ وَوَفِّقْنِي لاَداءِ فَرْضِ الْجُمُعاتِ، وَما أَوْجَبْتَ عَلَيَّ فِيها مِنَ الطَّاعاتِ، وَقَسَمْتَ لاَِهْلِها مِنَ الْعَطآءِ فِي يَوْمِ الْجَزآءِ، إنَّكَ أَنْتَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ.

67

DU'A YAKE SIKU YA IJUMAA

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mnringi 'wa Kehema Mwenje Kurehemu.

Sifa njema ni zake Allah wa kwanza kabla ya kuumba na kutoa uhai, wa mwisho baada ya kwisha vitu, mjuzi wa yote ambaye hamsahau mwenye kumkumbuka.

Hampunguzi anayemshukuru haachi kumtekelezea amwombaye hakati matumaini ya mwenye kumtumainia.

O Allah mimi nakuomba ushuhudiye nawe ni shahidi tosha na nawaomba washuhudie malaika wako wote na wakazi wa mbungu zako nawabeba arshi yako na uliowatuma miongoni mwa Manabiy wako na Mitume wako na uliowaumba miongoni mwa sampuli za viumbe wako.

Kwamba mimi nashuhudia kuwa hakika wewe ni Allah hapana miungu isipokuwa wewe peke yako huna mshirika wa kulingana. Halishindwi neno lako wala kubadilika na hakika Muhammad ni rehema na amani zimfikie yeye na Ali zake ni mtumwa wako na mjumbe wako.

Ametekeleza amefikisha ulilo mtuma kwa waja na amefanya juhudi kwa ajili ya Mungu aliye mtukufu juhudi ya haki na kwamba yeye alibashiri ambayo ni haki miongoni mwa thawabu na ameonnya ambayo ni kweli miongoni mwa adhabu.

O Allah niimarishe katika dini yako pindi unibakishapo hai, usiupotoshe moyo wangu baada ya kuwa umeniongoza nipe rehema kutoka kwako hakika wewe ni mtowaji sana mrehemu Muhammad na Ali wa Muhammad nifanye mimi niwe miongoni mwa wafuasi wake na Shia wake, nikusanye mimi katika kundi lake ni wafikishe kutekeleza faridha ya Ijumaa zote, na uliyowajibisha humo kwangu miongoni mwa utii, na umegawa kwa watu wake chakutowa siku ya malipo, hakika wewe ni mwenye nguvu mwenye hekima.

دعاء يوم السبت

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ بِسْمِ الِلّهِ كَلِمَةِ الْمُعْتَصِمِينَ، وَمَقالَةِ الْمُتَحَرِّزِينَ، وَأَعُوذُ بِالِلّه تَعالى مِنْ جَوْرِ الْجآئِرِينَ، وَكَيْدِ الْحاسِدِينَ، وَبَغْيِ الظَّالِمِينَ، وَأَحْمَدُهُ فَوْقَ حَمْدِ الْحامِدِينَ.

2 ـ أَللَّهُمَّ أَنْتَ الْواحِدُ بِلا شَرِيك، وَالْمَلِكُ بِلا تَمْلِيك، لا تُضَادُّ فِي حُكْمِكَ، وَلا تُنازَعُ فِي مُلْكِكَ.

3 ـ أَسْأَلُكَ أَنْ تُصَلِّىَ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ، عَبْدِكَ وَرَسُولِكَ، وَأَنْ تُوزِعَنِي مِنْ شُكْرِ نُعْماكَ ما تَبْلُغُ بِي غايَةَ رِضاكَ، وَأَنْ تُعِينَنِي عَلى طاعَتِكَ، وَلُزُومِ عِبادَتِكَ، وَاسْتِحْقاقِ مَثُوبَتِكَ بِلُطْفِ عِنايَتِكَ، وَتَرْحَمَنِي، وَتَصُدَّنِي [صُدَّني خ ل] عَنْ مَعَاصِيكَ مَا أَحْيَيْتَنِي، وَتُوَفِّقَنِي لِما يَنْفَعُنِي ما أَبْقَيْتَنِي، وَأَنْ تَشْرَحَ بِكِتابِكَ صَدْرِي، وَتَحُطَّ بِتِلاوَتِهِ وِزْرِي، وَتَمْنَحَنِي السَّلامَةَ فِي دِينِي وَنَفْسِي، وَلا تُوحِشَ بِي أَهْلَ أُنْسِي، وَتُتِمَّ إحْسَانَكَ فِيما بَقِيَ مِنْ عُمُرِي كَما أَحْسَنْتَ فِيما مَضَى مِنْهُ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

68

DU'A YAKE SIKU YA JUMAMOSI

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Bismillaahi ni neno la wenye kushikamana kwake. Na niusemi wa watakao ulinzi kwake, najikinga kwa Mungu mtukufu na jeuri ya wajeuri na vitimbi vya mahasidi na uchokozi wa madhalimu na ninamuhimidi zaidi ya himidi ya wenye kumuhimidi.

O Allah wewe ni mmoja bila mshirika na u mfalme bila kutawazwa. Hupingwi katika hukumu yako hushindwi katika ufalme wako nakuomba umrehemu Muhammadi na Ali zake mtumwa wako na mtume wako, niongoze kushukuru neema zako (shukrani) itakayo nifikisha upeo wa ridhaa zako, unisaidie kukutii wewe na kujilazimisha ibada yako ili nistahiki thawabu zako kwa huruma ya uangalizi wako.

Nihurumiye na uniziwiye maasi yako kwa kadiri uniwekapo hai, uniwafikishe linaloninufaisha kadiri unibakishapo. Kipanuwe kifua changu kwa kitabu chako, punguza kwa kukisoma kwake mzigo wangu wa dhambi. Nitunukiye salama katika dini yangu na nafsi yangu usinifarakishe na wapenzi wangu timiliza ihisani yako katika umri wangu uliobaki. Kama ulivyofanya ihisani katika umri wangu uliyopita, O wee mwenye huruma nyingi kuliko wote wenye huruma.

المناجَيات الخمسَ عشرةَ من كلام سيّد الساجدين

الاُولى: مناجاة التائبين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي أَلْبَسَتْنِي الْخَطايا ثَوْبَ مَذَلَّتِي، وَجَلَّلَنِي التَّباعُدُ مِنْكَ لِباسَ مَسْكَنَتِي، وَأَماتَ قَلْبِي عَظِيمُ جِنايَتِي، فَأَحْيِه بِتَوْبَة مِنْكَ يا أَمَلِي وَبُغْيَتِي، وَيا سُؤْلِي وَمُنْيَتِي، فَوَعِزَّتِكَ ما أَجِدُ لِذُنُوبِي سِواكَ غافِراً، وَلا أَرى لِكَسْرِي غَيْرَكَ جابِراً، وَقَدْ خَضَعْتُ بِالانابَةِ إلَيْكَ وَعَنَوْتُ بِالاسْتِكانَةِ لَدَيْكَ، فَإنْ طَرَدْتَنِي مِنْ بابِكَ فَبِمَنْ أَلُوذُ؟ وَإنْ رَدَدْتَنِي عَنْ جَنابِكَ فَبِمَنْ أَعُوذُ؟ فَواأَسَفاهُ مِنْ خَجْلَتِي وَافْتِضَاحِي، وَوالَهْفاهُ مِنْ سُوءِ عَمَلِي وَاجْتِراحِي.

2 ـ أَسْأَلُكَ يا غافِرَ الذَّنْبِ الْكَبِيرِ، وَيا جابِرَ الْعَظْمِ الْكَسِيرِ، أَنْ تَهَبَ لِي مُوبِقاتِ الْجَرآئِرِ، وَتَسْتُرَ عَلَيَّ فاضِحاتِ السَّرآئِرِ، وَلا تُخْلِنِي فِي مَشْهَدِ الْقِيامَةِ مِنْ بَرْدِ عَفْوِكَ وَغَفْرِكَ، وَلا تُعْرِنِي مِنْ جَمِيلِ صَفْحِكَ وَسَتْرِكَ.

3 ـ إلهِي ظَلِّلْ عَلَى ذُنُوبِي غَمامَ رَحْمَتِكَ، وَأَرْسِلْ عَلى عُيُوبِي سَحابَ رَأْفَتِكَ.

4 ـ إلهِي هَلْ يَرْجِعُ الْعَبْدُ الابِقُ إلاَّ إلَى مَوْلاهُ أَمْ هَلْ يُجِيرُهُ مِنْ سَخَطِهِ أَحَدٌ سِواهُ؟

5 ـ إلهِي إنْ كانَ النَّدَمُ عَلَى الذَّنْب تَوْبَةً، فَإنِّي وَعِزَّتِكَ مِنَ النَّادِمِينَ، وَإنْ كَانَ الاسْتِغْفارُ مِنَ الْخَطيئَةِ حِطَّةً، فَإنِّي لَكَ مِنَ الُمُسْتَغْفِرِينَ، لَكَ الْعُتْبى حَتّى تَرْضى.

6 ـ إلهِي بِقُدْرَتِكَ عَلَيَّ تُبْ عَلَيَّ، وَبِحِلْمِكَ عَنِّي اعْفُ عَنِّي، وَبِعِلْمِكَ بِي ارْفَقْ بِي.

7 ـ إلهِي أَنْتَ الَّذي فَتَحْتَ لِعِبادِكَ بَابَاً إلَى عَفْوِكَ سَمَّيْتَهُ التَّوْبَةَ، فَقُلْتَ: (تُوبُوا إلَى اللَّهِ تَوْبَةً نَصُوحَاً)، فَما عُذْرُ مَنْ أَغْفَلَ دُخُولَ الْبابِ بَعْدَ فَتْحِهِ.

8 ـ إلهِي إنْ كانَ قَبُحَ الذَّنْبُ مِنْ عَبْدِكَ فَلْيَحْسُنِ الْعَفْوُ مِنْ عِنْدِكَ.

9 ـ إلهِي ما أَنَا بِأَوَّلِ مَنْ عَصاكَ، فَتُبْتَ عَلَيْهِ، وَتَعَرَّضَ بِمَعْرُوفِكَ، فَجُدْتَ عَلَيْهِ، يا مُجِيبَ الْمُضْطَرِّ، يا كَاشِفَ الضُّرِّ، يا عَظِيمَ الْبِرِّ، يا عَليمَاً بِما فِي السِّرِّ، يا جَمِيلَ السِّتْرِ اسْتَشْفَعْتُ بِجُودِكَ وَكَرَمِكَ إلَيْكَ، وَتَوَسَّلْتُ بِجَنابِكَ وَتَرَحُّمِكَ لَدَيْكَ، فَاسْتَجِبْ دُعآئِي، وَلا تُخَيِّبْ فِيكَ رَجآئِي وَتَقَبَّلْ تَوْبَتِي وَكَفِّرْ خَطيئَتِي، بِمَنِّكَ وَرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

69

MNONG'ONO WA IBADA YA WENYE KUJUTA

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

O Mungu wangu makosa yamenivika nguo ya udhalili wangu, kuwa mbali na wewe kumenifunika vazi la huzuni yangu kuu. Dhambi yangu kubwa imefisha moyo wangu, hivyo basi uhuishe kwa kutubu kwako.

O we tumaini langu na lengo langu. O we ndio utashi wangu na hitajio langu. Kwa uwezo wako, simpati wakusamehe dhambi zangu ambaye si wewe, simwoni yeyote wakuganga vunjiko langu ambaye si wewe. Nimenyenyekea kwa kurejea kwako, nimenyongeka kwa kujiweka chini kwako.

Ikiwa utanifukuza toka mlangonni kwako ni kwa nani nitapata kimbilio! Ukinirudisha nyuma toka upande wako ni kwa nani nitajikinga. Huzuni iliyoje kwa kuaibika kwangu na kufedheheka.

O wee huzuni ni yangu kutokana na matendo yangu maovu na yale niliyoyatenda. Nakuomba ewe mwenye kughofiria dhambi kubwa.

 O wee mwenye kuganga mfupa uliovunjika, yafumbiye macho matendo yangu yaangamizayo. Na unisitiri siri zangu za kufedhehesha, usinitowe siku ya ushuhuda wa kiyama toka kwenye baridi ya msamaha wako na ghofira yako. Yapeleke mawingu ya msamaha wako juu ya aibu yangu.

Mola wangu, harejei mtumwa aliyekimbia isipokuwa kwa bwana wake. Je yeyote aweza kumpa kimbilio toka makasiriko yake asiyekuwa yeye. Mola wangu! Ikiwa kujuta kwa ajili ya dhambi ni toba hakika mimi naapa kwa uwezo wako ni miongoni mwa wajutao. Ikiwa kuomba ghofira kutokana na makosa ni kupunguza, hakika mimi ni mwenye kuomba ghofira kwako, kwako narejea ili uridhike.

O Mungu wangu kwa uwezo wako juu yangu nikubalie toba yangu. Kwa huruma yako kwangu nisamehe na kwa kunijuwa kwako mimi nifanyiye upole. Mola wangu wewe ndiye ambaye umefunguwa mlango wa msamaha wako kwa waja wako umeuita toba ukasema (tubuni kwa Allah toba ilioimara) ni udhuru gani atakuwa nao mwenye kughafilika kuingia mlango ule baada ya kufunguliwa kwake!

Mola wangu! Ikiwa dhambi iko mbaya toka kwa mtumwa wako, msamaha uwe mwema kutoka kwako. Mola wangu mimi si wa kwanza kukuasi ulimkubalia toba yake au aliyejitahidi kutaka mema yako ulimfadhili.

O we mwenye kumjibu aliye dharurika. O we mwenye kuondowa dhara. O we mkubwa wa mema. O we mjuzi wa yaliyo siri. O wee mzuri waa kusitiri! Ninaomba kwako shifaa kwa ukarimu wako na upaji wako.

Naomba kwa upande wako na huruma yako nikubalie DU'A yangu kwako usininyime kufanikiwa kwako matumaini yangu. Nikubalie toba yangu. Nifichie makosa yangu kwa huruma yako.

na rehema zako ewee mwingi wa kurehemu miongoni mwa wenye kurehemu.

المناجاة الثانية: مناجاة الشاكين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي إليْكَ أَشْكُو نَفْساً بِالسُّوءِ أَمَّارَةً، وَإلَى الْخَطيئَةِ مُبادِرَةً، وَبِمَعاصِيكَ مُولَعَةً، وَلِسَخَطِكَ مُتَعَرِّضَةً، تسْلُكُ بِي مَسالِكَ الْمَهالِكِ، وَتَجْعَلُنِي عِنْدَكَ أَهْوَنَ هالِك، كَثِيرَةَ الْعِلَلِ طَوِيلَةَ الاَمَلِ، إنْ مَسَّهَا الشَّرُّ تَجْزَعُ، وَإنْ مَسَّهَا الْخَيْرُ تَمْنَعُ، مَيَّالَةً إلَى اللَّعِبِ وَاللَّهْوِ، مَمْلُوَّةً بِالْغَفْلَةِ وَالسَّهُوِ، تُسْرِعُ بِي إلَى الْحَوْبَةِ، وَتُسَوِّفُنِي بِالتَّوْبَةِ.

2 ـ إلهِي أَشْكُو إلَيْكَ عَدُوّاً يُضِلُّنِي، وَشَيْطانَاً يَغْوِينِي، قَدْ مَلاَ بِالْوَسْواسِ صَدْرِي، وَأَحاطَتْ هَواجِسُهُ بِقَلْبِي يُعاضِدُ لِيَ الْهَوى، وَيُزَيِّنُ لِي حُبَّ الدُّنْيَا، وَيَحُولُ بَيْنِي وَبَيْنَ الطَّاعَةِ وَالزُّلْفى.

3 ـ إلهِي إلَيْكَ أَشْكُو قَلْبَاً قاسِياً مَعَ الْوَسْواسِ مُتَقَلِّباً، وَبِالرَّيْنِ وَالطَّبْعِ مُتَلَبِّساً، وَعَيْنَاً عَنِ الْبُكآءِ مِنْ خَوْفِكَ جامِدَةً، وَإلى ما تَسُرُّها طامِحَةً. 4 ـ إلهِي لا حَوْلَ وَلا قُوَّةَ إلاَّ بِقُدْرَتِكَ، وَلا نَجاةَ لِي مِنْ مَكارِهِ الدُّنْيا إلاَّ بِعِصْمَتِكَ، فَأَسْأَلُكَ بِبَلاغَةِ حِكْمَتِكَ، وَنَفاذِ مَشِيَّتِكَ، أَنْ لا تَجْعَلَنِي لِغَيْرِ جُودِكَ مُتَعَرِّضاً، وَلا تُصَيِّرَنِي لِلْفِتَنِ غَرَضاً، وَكُنْ لِي عَلَى الاَعْدآءِ ناصِرَاً، وَعَلَى الْمَخَازِي وَالْعُيُوبِ ساتِراً، وَمِنَ الْبَلاءِ واقِياً، وَعَنِ الْمَعاصِي عاصِمَاً، بِرَأْفَتِكَ وَرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

70

NONG'ONO LA SALA YA MNUNG'UNIKAJI

Kwa Jina la Mwenyezi Mwingi wa Rehema Mwenje Kurehemu.

Mola wangu nanung'unika kwako nafsi yenye kuamrisha maovu, yenye kuharakia kwenye makosa inabidii kwenye maasi yako, ikijiweka kwenye hatari ya kasiriko lako, yaipeleka mapito ya kuhilikisha yanifanya mimi mbele yako mwenye kuhiliki rahisi kabisa nyudhuru nyingi.

Ikiwa na matumaini marefu, ikiguswa na shari yafadhaika na endapo itaguswa na kheri yazuiya yenye kuelemea sana kwenye mchezo na upuuzi. Imejawa na mghafala na kusahau yaniharakishia kwenye matendo yasiyotakiwa. Yanifanya nichelewe kutubu. Mola wangu nanung'unika kwako adui anipoteza na shetani anipotosha.

Amekijaza wasi wasi kifuwa changu ushauri wake umejaa moyo wangu anaunga mkono upuuzi dhidi yangu. Yanipambia kuipenda dunia yazuia kati yangu na utii na ukaribu. Mola wangu kwako nanung'unika moyo mgumu wageuka pamoja na wasi wasi imejivisha kutu na kupigwa muhuri na jicho lisilo lia kwa hofu yako na kwa mambo yanayolifurahisha lina tamaa nayo.

Mola wangu, hapana hila wala nguvu ila kwa nguvu zako, wala sina uwokozi kutokana na makuruhi ya dunia ila kwa hifadhi yako kwa hiyo nakuomba kwa umbali unaofikia hekima zako na upenyo wa utashi wako, usiniache nijitose kusiko kuwa na upaji wako, usinifanye nijiingize kwenye fitna kuwa mwenye kunisaidia dhidi ya maadui na mwenye kunisitiri kwenye fedhea na aibu. Na mlinzi kwenye balaa na mhifadhi kwenye maasi kwa huruma yako na rehema zako.

المناجاة الثالثة: مناجاة الخائفين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي أَتَراكَ بَعْدَ الاِيْمانِ بِكَ تُعَذِّبُنِي، أَمْ بَعْدَ حُبِّي إيَّاكَ تُبَعِّدُنِي، أَمْ مَعَ رَجآئِي يرحمَتِكَ وَصَفْحِكَ تَحْرِمُنِي، أَمْ مَعَ اسْتِجارَتِي بِعَفْوِكَ تُسْلِمُنِي؟ حاشا لِوَجْهِكَ الْكَرِيمِ أَنْ تُخَيِّبَنِي، لَيْتَ شِعْرِي، أَلِلشَّقآءِ وَلَدَتْنِي أُمِّي، أَمْ لِلْعَنآءِ رَبَّتْنِي؟ فَلَيْتَهَا لَمْ تَلِدْنِي وَلَمْ تُرَبِّنِي، وَلَيْتَنِي عَلِمْتُ أَمِنْ أَهْلِ السَّعادَةِ جَعَلْتَنِي؟ وَبِقُرْبِكَ وَجَوارِكَ خَصَصْتَنِي؟ فَتَقَرَّ بِذلِكَ عَيْنِي، وَتَطْمَئِنَّ لَهُ نَفْسِي.

2 ـ إلهِي هَلْ تُسَوِّدُ وُجُوهً خَرَّتْ ساجِدَةً لِعَظَمَتِكَ؟ أَوْ تُخْرِسُ أَلْسِنَةً نَطَقَتْ بِالثَّنآءِ عَلَى مَجْدِكَ وَجَلالَتِكَ؟ أَوْ تَطْبَعُ عَلَى قُلُوب انْطَوَتْ عَلى مَحَبَّتِكَ؟ أَوْ تُصِمُّ أَسْماعَاً تَلَذَّذَتْ بِسَماعِ ذِكْرِكَ فِي إرادَتِكَ؟ أَوْ تَغُلُّ أَكُفَّاً رَفَعَتْهَا الامالُ إلَيْكَ رَجآءَ رَأْفَتِكَ؟ أَوْ تُعاقِبُ أَبْداناً عَمِلَتْ بِطاعَتِكَ حَتَّى نَحِلَتْ فِي مُجاهَدَتِكَ، أَوْ تُعَذِّبُ أَرْجُلاً سَعَتْ فِي عِبادَتِكَ.

3 ـ إلهِي لا تُغْلِقْ عَلى مُوَحِّدِيكَ أَبْوابَ رَحْمَتِكَ، وَلا تَحْجُبْ مُشْتاقِيكَ عَنِ النَّظَرِ إلَى جَمِيلِ رُؤْيَتِكَ.

4 ـ إلهِي نَفْسٌ أَعْزَزْتَها بِتَوْحِيدِكَ، كَيْفَ تُذِلُّها بِمَهانَةِ هِجْرانِكَ؟ وَضَمِيرٌ انْعَقَدَ عَلى مَوَدَّتِكَ كَيْفَ تُحْرِقُهُ بِحَرَارَةِ نِيرانِكَ؟

5 ـ إلهِي أَجِرْنِي مِنْ أَلِيمِ غَضَبِكَ وَعَظِيمِ سَخَطِكَ، يا

حَنَّانُ يا مَنَّانُ، يا رَحِيمُ يا رَحْمنُ، يا جَبَّارُ يا قَهَّارُ، يا غَفَّارُ يا سَتَّارُ، نَجِّنِي بِرَحْمَتِكَ مِنْ عَذابِ النَّارِ، وَفَضِيحَةِ الْعارِ، إذَا امْتازَ الاَخْيارُ مِنَ الاَشْرارِ، وَحالَتِ الاَحْوالُ، وَهالَتِ الاَهْوالُ وَقَرُبَ الْمُحْسِنُونَ، وَبَعُدَ الْمُسِيؤُونَ، وَوُفِّيَتْ كُلُّ نَفْس ما كَسَبَتْ وَهُمْ لا يُظْلَمُونَ.

71

NONG'ONO LA SALA YA MWENYE HOFU

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu, waona baada ya kuamini utaniadhibu! Au baada ya upendo wangu kwako utanifurusha. Au pamoja na matumaini yangu rehema zako na msamaha wako uninyime utanitupa pamoja na kukuomba kwangu saana hifadhi.

Vipi uso wako mkarimu unifanyie kinyume na matumaini lau ningejua ni kwa ajili ya balaa na udhalili mama yangu amenizaa. Au ili nitaabike amenilea, ni afadhali basi asingenizaa wala asingenilea, afadhali ningejua umenijaalia kuwa miongoni mwa watu wa heri na umenichagua kuwa miongoni mwa wa karibu wako.

Ili lifurahiwe kwa hilo jicho langu, na kwalo nafsi yangu iwe na utulivu Mungu wangu, hivi utaziweusisha nyuso ziliporomoka chini zikisujudu kwa utukufu wako, au utazifanya bubu ndimi zilitamka sifa za utukufu wako na enzi yako, au utazipiga muhuri nyoyo ndanimwe mulikuwa na upendo wako, au utayafanya kiziwi masikio yaliona ladha kusikia utajo wako kwa utashi wako, au utaifunga pingu mikono ambayo matumaini yameinyanyuwa kwako ikitazamia huruma yako au utaiadhibu miili imekonda katika juhudi kukutii wewe, au utaiadhibu miguu imefanya bidii katika ibada yako.

O Mola wangu usimfungie mlango wa rehema zako akupwekeshaye. Usiwazuiye wenye shauku nawe kuangalia uzuri wa mtazamo wako. Mola wangu nafsi uliyoienzi kwa kunena tawhidi yako vipi utaidhalilisha kwa twezo kuiacha kwako.

Dhamira imejifunga kwa mapenzi yako vipi utaiunguza kwa joto la moto wako. Mola wangu, nikinge na ukali wa ghadhabu zako na kasiriko lako kubwa, O mpendwa O mwenye huruma O mpole O mwenye huruma, O jabbar O mshindi, ewe msamehevu O msitiri, kwa rehema yako niokowe tokana na adhabu ya moto na fedheha ya aibu wajitengapo watu wema kando na washari.

Na zibadilikapo sura hali ya kutisha itakapo chukuwa nafasi, wema watakapoletwa karibu waovu wawekwapo mbali (na kila nafsi zitapopewa yoote iliyo ikiyafanya wao hawato dhulumiwa).

المناجاة الرابعة: مناجاة الراجين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ يا مَنْ إذا سَأَلَهُ عَبْدٌ أَعْطَاهُ، وَإذا أَمَّلَ ما عِنْدَهُ بَلَّغَهُ مُناهُ، وَإذا أَقْبَلَ عَلَيْهِ قَرَّبَهُ وَأَدْناهُ، وَإذا جاهَرَهُ بِالْعِصْيانِ سَتَرَ عَلَى ذَنْبِهِ وَغَطَّاهُ، وَإذا تَوَكَّلَ عَلَيْهِ أَحْسَبَهُ وَكَفَاهُ.

2 ـ إلهِي مَنِ الَّذِي نَزَلَ بِكَ مُلْتَمِساً قِراكَ فَما قَرَيْتَهُ؟ وَمَنِ الَّذِي أَناخَ بِبابِكَ مُرْتَجِياً نَداكَ فَما أَوْلَيْتَهُ؟ أَيَحْسُنُ أَنْ أَرْجِعَ عَنْ بابِكَ بِالْخَيْبَةِ مَصْرُوفاً، وَلَسْتُ أَعْرِفُ سِواكَ مَوْلىً بِالاِحْسانِ مَوْصُوفاً؟ كَيْفَ أَرْجُو غَيْرَكَ وَالْخَيْرُ كُلُّهُ بِيَدِكَ؟! وَكَيْفَ أُوَمِّلُ سِوَاكَ وَالْخَلْقُ وَالاَمْرُ لَكَ؟! أَأَقْطَعُ رَجآئِي مِنْكَ وَقَدْ أَوْلَيْتَنِي ما لَمْ أَسْأَلْهُ مِنْ فَضْلِكَ؟! أَمْ تُفْقِرُنِي إلى مِثْلِي وَأَنَا أَعْتَصِمُ بِحَبْلِكَ؟! يا مَنْ سَعِدَ بِرَحْمَتِهِ الْقاصِدُونَ، وَلَمْ يَشْقَ بِنِقْمَتِهِ الْمُسْتَغْفِرُونَ، كَيْفَ أَنْسَاكَ وَلَمْ تَزَلْ ذاكِرِي؟! وَكَيْفَ أَلْهُو عَنْكَ وَأَنْتَ مُراقِبِي؟!

3 ـ إلهِي بِذَيْلِ كَرَمِكَ أَعْلَقتُ يَدِي، وَلِنَيْلِ عَطاياكَ بَسَطْتُ أَمَلِي، فَأَخْلِصْنِي بِخالِصَةِ تَوْحِيدِكَ، وَاجْعَلْنِي مِنْ صَفْوَةِ عَبِيدِك، يامَنْ كُلُّ هارِب إلَيْهِ يَلْتَجِئُ، وَكُلُّ طالِب إيَّاهُ يَرْتَجِي، يا خَيْرَ مَرْجُوٍّ، وَيا أَكْرَمَ مَدْعُوٍّ، وَيا مَنْ لا يُرَدُّ سآئِلُهُ، وَلا يُخَيَّبُ آمِلُهُ، يا مَنْ بابُهُ مَفْتُوحٌ لِدَاعِيهِ، وَحِجابُهُ مَرْفُوعٌ لِراجِيهِ، أَسْأَلُكَ بِكَرَمِكَ أَنْ تَمُنَّ عَلَيَّ مِنْ عَطآئِكَ بِما تَقَرُّ بِهِ عَيْنِي، وَمِنْ رَجآئِكَ بِما تَطْمَئِنُّ بِهِ نَفْسِي، وَمِنَ الْيَقِينِ بِما تُهَوِّنُ بِهِ عَلَيَّ مُصِيباتِ الدُّنْيا، وَتَجْلُو بِهِ عَنْ بَصِيرَتِي غَشَواتِ الْعَمى بِرَحْمتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

72

NONG'ONO LA SALA YA WENYE MATUMAINI

Kwa Jina la Mwenyezi Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

O ambaye mja wake amwombapo humpa, akiyatumainia aliyo nayo humpa utashi wake. Akimsogelea humkurubisha na kumleta karibu, akimdhihirishia maasi humsitiri dhambi zake na huifunika, akimtegemea humtosheleza.

Mola wangu nani afikaye kwako akiomba takrima yako na usimkarimu, nani ateremkiaye mlangoni kwako akitarajia wema wako na usimwonyeshe, je ni vizuri nirejee toka mlangoni kwako hali nimeondolewa bila ya matarajio yangu nami simjuwi bwana mfadhili mwenye kusifika kwa hisani asiyekuwa wewe.

Vipi nimtarajiye asiyekuwa wewe hali yakuwa heri zote ziko mikononi mwako. Vipi nimtumainiye mwingine hali kuumba na amri ni vyako, vipi nitumai wengine.

Nikate matarajio yangu kwako hali ya kuwa umenionyesha ukarimu wako kwa ambalo sikuliomba katika fadhila zako je utanifanya niwe muhitaji kwa aliye mfano wangu, hali nikishikamana na kamba yako!

O yule ambaye wamekuwa na maisha ya furaha kwa rehema zake wenye juhudi, wala hawakuwa duni kwa kisasi chake waomba ghofira, vipi nikusahau hali ungali wanikumbuka. Vipi nitageuzwa mtazamo mbali na wewe hali wewe wanichunga.

Mola wangu kwenye pindo la ukarimu wako nimeangika mkono wangu ili kukifikia ukitowacho nimenyosha matumaini yangu, unipe safi Ikh'laasi kwa kunena tawheed yako, nijaaliye niwe miongoni mwa waja wako wateule.

O ambaye kila akimbiaye kuelekea kwake hupata kimbilio, ni tumaini la kila mtafutaji, ewe mbora wa atarajiwaye, ewee mkarimu mno wa wenye kuombwa, ewe ambaye hamkatalii mwombaji wake wala hamsitukizi kwa kutomtekelezea amtumainiaye.

O wee ambaye mlango wake uwazi kwa mwombaji wake, pazia yake imenyanyuliwa kwa mwenye matumaini kwake. Nakuomba kwa ukarimu wako unionyeshe huruma kwa bakshishi yako iwezayo kutuliza jicho langu.

Na kwa kukutarajia wewe ambako kutaipa nafsi yangu utulivu, na kwa yakini ambayo itanifanyia wepesi misiba ya dunia, na . kuniondolea kifuniko cha upofu toka kwenye ufahamu wangu. Kwa huruma yako ewe mwenye huruma zaidi ya wote wenye kuhurumia.

المناجاة الخامسة: مناجاة الراغبين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي إنْ كانَ قَلَّ زادِي فِي الْمَسِيرِ إلَيْكَ، فَلَقَدْ حَسُنَ ظَنِّي بِالتَّوَكُّلِ عَلَيْكَ، وَإنْ كَانَ جُرْمِي قَدْ أَخافَنِي مِنْ عُقُوبَتِكَ، فَإنَّ رَجآئِي قَدْ أَشْعَرَنِي بِالاَمْنِ مِنْ نِقْمَتِكَ، وَإنْ كانَ ذَنْبِي قَدْ عَرَّضَنِي لِعِقابِكَ، فَقَدْ آذَنَنِي حُسْنُ ثِقَتِي بِثَوابِكَ، وَإنْ أَنامَتْنِي الْغَفْلَةُ عَنِ الاسْتِعْدادِ لِلِقآئِكَ، فَقَدْ نَبَّهَتْنِي الْمَعْرِفَةُ بِكَرَمِكَ وَآلائِكَ، وَإنْ أَوْحَشَ ما بَيْنِي وَبَيْنَكَ فَرْطُ الْعِصْيانِ وَالطُّغْيانِ، فَقَدْ آنَسَنِي بُشْرَى الْغُفْرانِ وَالرِّضْوانِ، أَسْأَلُكَ بِسُبُحاتِ وَجْهِكَ وَبِأَنْوارِ قُدْسِكَ، وَأَبْتَهِلُ إلَيْكَ بِعَوَاطِفِ رَحمَتِكَ وَلَطائِفِ بِرِّكَ، أَنْ تُحَقِّقَ ظَنِّي بِما أُؤمِّلُهُ مِنْ جَزِيلِ إكْرامِكَ، وَجَمِيلِ إنْعامِكَ فِي الْقُرْبى مِنْكَ، وَالزُّلْفى لَدَيْكَ، وَالتَّمَتُّعِ بِالنَّظَرِ إلَيْكَ، وَها أَنَا مُتَعَرِّضٌ لِنَفَحاتِ رَوْحِكَ وَعَطْفِكَ، وَمُنْتَجِعٌ غَيْثَ جُودِكَ وَلُطْفِكَ، فَارٌّ مِنْ سَخَطِكَ إلى رِضاكَ، هارِبٌ مِنْكَ إلَيْكَ، راج أَحْسَنَ ما لَدَيْكَ مُعَوِّلٌ عَلى مَواهِبِكَ، مُفْتَقِرٌ إلى رِعايَتِكَ.

2 ـ إلهِي ما بَدَأْتَ بِهِ مِنْ فَضْلِكَ فَتَمِّمْهُ، وَما وَهَبْتَ لِي مِنْ كَرَمِكَ فَلا تَسْلُبْهُ، وَما سَتَرْتَهُ عَلَيَّ بِحِلْمِكَ فَلا تَهْتِكْهُ، وَما عَلِمْتَهُ مِنْ قَبِيحِ فِعْلِي فَاغْفِرْهُ.

3 ـ إلهِي اسْتَشْفَعْتُ بِكَ إلَيْكَ وَاسْتَجَرْتُ بِكَ مِنْكَ أَتَيْتُكَ طامِعَاً فِي إحْسانِكَ، راغِباً فِي امْتِنانِكَ، مُسْتَسْقِياً وابِلَ طَوْلِكَ مُسْتَمْطِراً غَمامَ فَضْلِكَ، طالِباً مَرْضاتِكَ، قاصِدَاً جَنابَكَ، وارِداً شَرِيعَةَ رِفْدِكَ، مُلْتَمِساً سَنِيَّ الْخَيْراتِ مِنْ عِنْدِكَ، وافِدَاً إلى حَضْرَةِ جَمالِكَ، مُرِيداً وَجْهَكَ، طارِقاً بابَكَ، مُسْتَكِيناً لِعَظَمَتِكَ وَجَلالِكَ، فَافْعَلْ بِي ما أَنْتَ أَهْلُهُ مِنَ الْمَغْفِرَةِ وَالرَّحْمَةِ، وَلا تَفْعَلْ بِي ما أَنَا أَهْلُهُ مِنَ الْعَذابِ وَالنِّقْمَةِ بِرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

73

NONG'ONO LA WENYE KUSIHI SANA

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu ikiwa masurufu yangu ni madogo katika msafara wangu kuelekea kwako, basi dhana yangu imekuwa nzuri kwa kutawakali kwako.

Ingawaje dhambi zangu zimenihofisha adhabu yako matumaini yangu yamenitambulisha kuwa nitakuwa katika amani bila malipizi yako.

Ingawa dhambi zangu zimenichongea kwenye adhabu yako uzuri wa imani yangu umenipasha khabari ya kupata thawabu yako.

Ingawaje mghafala umenilaza nisiandae kukutana na wewe maarifa yamenizindu'a kwa ukarimu wako na neema zako japokuwa kutotii na maasi yaliyo kithiri kumefarikisha kati yangu na wewe, bishara ya msamaha na ridhaa zimenifurahisha na kunifanya nihisi ni karibu.

Nakuomba kwa fahari ya uso wako na kwa nuru za utukufu wako, nakuomba sana kwa upole wa huruma yako na raufu ya wema wako nithibitishiye dhana yangu ninayoyatumainia, katika wingi wa takrima yako.

Na uzuri wa neema zako kwa ukaribu na wewe na ujirani kwako napendezwa na kukutazama wewe. Mimi ni hapa!

Nimejiweka kwenye kibaridi cha upya wako na huruma yako. Nataka msaada wa mvuwa ya ukarimu wako na huruma yako, nikikimbia toka kwenye kasiriko lako kuelekea ridhaa zako. Nakimbia kutoka kwako nikielekea kwako nikitumai kizuri mno kilicho kwako nikitegemea matunzo yako, muhitaji wa uangalizi wako.

Mola wangu, fadhila zako ulizozianza zitimize fadhila zako ulizo nitunukia, usiziondowe na ambalo umenisitiri usinifichuwe nalo, ambalo umelijuwa mionngoni mwa matendo yangu mabaya ni ghofiriye.

O Mola wangu, naomba mwombezi kwako kwa ajili yako ninaomba hifadhi kuja kwako kutoka kwako nimekuja kwako, nikitumai hisani yako, nikitaka wema wako, nikiomba maji ya mvuwa ya fadhila zako, nikiomba mawingu ya mvuwa za fadhila zako, nikiomba ridhaa zako, nikija upande wako, nikija mahali patekwapo maji ya msaada wako, nikiomba mema ya hali ya juu kutoka kwako.

Naja kwenye hadhara ya uzuri wako nikitaka uso wako, nikigonga mlango wako, nikijidhalilisha mbele ya utukufu wako na adhama yako. Nifanyie ghofira na huruma ambazo wastahiki, wala usinifanyie ambayo mimi nastahiki miongoni mwa adhabu na malipizi, kwa huruma yako ewe mwenye huruma mno kuliko woote wenye huruma.

المناجاة السادسة: مناجاة الشاكرين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي أَذْهَلَنِي عَنْ إقامَةِ شُكْرِكَ تَتابُعُ طَوْلِكَ، وَأَعْجَزَنِي عَنْ إحْصآءِ ثَنآئِكَ فَيْضُ فَضْلِكَ، وَشَغَلَنِي عَنْ ذِكْرِ مَحامِدِكَ تَرادُفُ عَوآئِدِكَ، وَأَعْيانِي عَنْ نَشْرِ عوارِفِكَ تَوالِي أَيدِيكَ، وَهذَا مَقامُ مَنِ اعْتَرَفَ بِسُبُوغِ النَّعْمآءِ، وَقابَلَها بِالتَّقْصِيرِ، وَشَهِدَ عَلى نَفْسِهِ بِالاهْمالِ وَالتَّضْيِيعِ، وَأَنْتَ الرَّؤُوفُ الرَّحِيمُ الْبَرُّ الْكَرِيمُ، الَّذِي لا يُخَيِّبُ قاصِدِيهِ، وَلا يَطْرُدُ عَنْ فِنآئِهِ آمِلِيهِ، بِساحَتِكَ تَحُطُّ رِحالُ الرَّاجِينَ، وَبِعَرْصَتِكَ تَقِفُ آمالُ الْمُسْتَرْفِدِينَ، فَلا تُقابِلْ آمالَنا بِالتَّخْيِيبِ وَالاياسِ، وَلا تُلْبِسْنا سِرْبالَ الْقُنُوطِ وَالاِبْلاسِ.

2 ـ إلهِي تَصاغَرَ عِنْدَ تَعاظُمِ آلائِكَ شُكْرِي، وَتَضَاءَلَ فِي جَنْبِ إكْرَامِكَ إيَّايَ ثَنآئِي وَنَشْرِي، جَلَّلَتْنِي نِعَمُكَ مِنْ أَنْوَارِ الاِيْمانِ حُلَلاً، وَضَرَبَتْ عَلَيَّ لَطآئِفُ بِرِّكَ مِنَ الْعِزِّ كِلَلاً، وَقَلَّدْتَنِي مِنْكَ قَلائِدَ لا تُحَلُّ، وَطَوَّقْتَنِي أَطْوَاقَاً لا تُفَلُّ، فَآلاؤُكَ جَمَّةٌ ضَعُفَ لِسانِي عَنْ إحْصائِها، وَنَعْمآؤُكَ كَثِيرَةٌ قَصُرَ فَهْمِي عَنْ إدْرَاكِها فَضْلاً عَنِ اسْتِقْصآئِها، فَكَيْفَ لِي بِتَحْصِيلِ الشُّكْرِ، وَشُكْرِي إيَّاكَ يَفْتَقِرُ إلى شُكْر، فَكُلَّما قُلْتُ: لَكَ الْحَمْدُ، وَجَبَ عَلَيَّ لِذلِكَ أَنْ أَقُولَ: لَكَ الْحَمْدُ.

3 ـ إلهِي فَكَما غَذَّيْتَنا بِلُطْفِكَ، وَرَبَّيْتَنا بِصُنْعِكَ، فَتَمِّمْ عَلَيْنَا سَوابِـغَ النِّعَمِ، وَادْفَعْ عَنَّا مَكارِهَ النِّقَمِ، وَآتِنا مِنْ حُظُوظِ الدَّارَيْنِ أَرْفَعَهَا وَأَجَلَّها عاجِلاً وَآجِلاً، وَلَكَ الْحَمْدُ عَلى حُسْنِ بَلاَئِكَ وَسُبُوغِ نَعْمآئِكَ حَمْدَاً يُوافِقُ رِضاكَ، وَيَمْتَرِي الْعَظِيمَ مِنْ بِرِّكَ وَنَداكَ، يا عَظِيمُ يا كَرِيمُ، بِرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

74

MNONG'ONO WA SALA ZA WENYE KUSHUKURU

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu umenisahaulisha kukushukuru mfululizo wa umbuji wako wingi wa fadhila zako umenifanya nishindwe kuhesabu sifa zako, mtiririko wa mema yako kwangu umenishughulisha nisitaje sifa njema zako.

Mfululizo wa nufaisho lako kwangu kumenishindisha kutangaza fadhila zako, hiki ni kituo cha aliyetambua wingi wa neema na akazikabili kwa uzembe ameshuhudia dhidi yake mwenye kutojali na kuzembea, wewe ndio mwenye huruma na mpole, mwema mkarimu, ambaye amvunji moyo amwendeaye.

Wala hamfukuzi toka ukumbi wake amtumainiaye, uwanjani kwako kwaishia misafara ya wenye matumaini katika kituo cha uwanjani mwako husimama matumaini ya1 waomba msaada, usiyakabili matumaini yetu kwa kutotekelezewa na kukatishwa tamaa.

Shukurani zangu zimekuwa ndogo mbele ya ukubwa wa ufadhili wako, himidi yangu na tangazo langu zimenywea mbele ya takrima yako kwangu, neema zako zimenifunika mavazi ya nuru ya iymani, umakii wa wema wako umenifunika pazia la kupendeza.

Wema wako umenivika mkufu ambao hauto vulika na umenivika tepe ambazo hazito vunjika, fadhila zako chungu tele ulimi wangu umedhoofika kuzihesabu, neema zako nyingi fahamu zangu zimeshindwa kuzifahamu sembuse kuzitafiti.

Hivyo basi vipi nitafanikiwa kushukuru hali yakuwa shukrani yangu kwako yahitaji ishukuriwe kila nikwambiapo Al-hamdulillahi itakuwa wajibu juu yangu nikwambie Al-hamdulillahi!

Mola wangu kama ulivyotulisha kwa upole wako na ukatulea kwa fadhila zako, tukamilishie fadhila nyingi, tukinge na makuruhi za malipizi. Utupe hisa za makazi mawili zilizo juu mno na bora mno zote mbili za papo kwa papo na za baadaye.

Nawastahiki sifa njema kwa uzuri wa majaribu yako na wingi wa neema zako sifa njema ziwafikianazo na ridhaa yako na ivutayo wema wako mkubwa na utu wako, yaa adhiim yaa kareem, kwa rehema zako ewee mwingi wa huruma kuliko wote wenye huruma.

المناجاة السابعة: مناجاة المطيعين للهِ

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَللَّهُمَّ أَلْهِمْنا طاعَتَكَ، وَجَنِّبْنا مَعْصِيَتَكَ، وَيَسِّرْ لَنا بُلُوغَ ما نَتَمَنّى مِنِ ابْتِغآءِ رِضْوانِكَ، وَأَحْلِلْنا بُحْبُوحَةَ جِنانِكَ، وَاقْشَعْ عَنْ بَصائِرنا سَحابَ الارْتِيابِ، وَاكْشِفْ عَنْ قُلُوبِنا أَغْشِيَةَ الْمِرْيَةِ وَالْحِجابِ، وَأَزْهِقِ الْباطِلَ عَنْ ضَمآئِرِنا، وَأَثْبِتِ الْحَقَّ فِي سَرائِرِنا، فَإنَّ الشُّكُوكَ وَالظُّنُونَ لَواقِحُ الْفِتَنِ، وَمُكَدِّرَةٌ لِصَفْوِ الْمَنآئِحِ وَالْمِنَنِ.

2 ـ أَللَّهُمَّ احْمِلْنا فِي سُفُنِ نَجاتِكَ، وَمَتِّعْنا بِلَذِيْذِ مُناجاتِكَ، وَأَوْرِدْنا حِياضَ حُبِّكَ، وَأَذِقْنا حَلاوَةَ وُدِّكَ وَقُرْبِكَ، وَاجْعَلْ جِهادَنا فِيكَ، وَهَمَّنا فِي طاعَتِكَ، وَأَخْلِصْ نِيَّاتِنا فِي مُعامَلَتِكَ، فَإنَّا بِكَ وَلَكَ، وَلا وَسِيلَةَ لَنا إلَيْكَ إلاَّ أَنْتَ.

3 ـ إلهِي اجْعَلْنِي مِنَ الْمُصْطَفَيْنَ الاَخْيارِ، وَأَلْحِقْنِي بِالصَّالِحِينَ الاَبْرارِ، السَّابِقِينَ إلَى الْمَكْرُماتِ، الْمسارِعِينَ إلَى الْخَيْراتِ، الْعامِلِينَ لِلْباقِياتِ الصَّالِحاتِ، السَّاعِينَ إلى رَفِيعِ الدَّرَجاتِ، إنَّكَ عَلى كُلِّ شَيْء قَدِيرٌ، وَبِالاجابَةِ جَدِيرٌ بِرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

75

NONG'ONO LA WATU WA MUNGU

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

O Allah tufundishe utii wako, tuepushe maasi yako, tufanyie wepesi kufikia tunayoyatamani miongoni mwa utashi wa ridhaa zako.

Tuweke katikati ya janna yako, tanduwa toka kwenye ufahamu wetu mawingu ya shaka, fungua nyoyo zetu zingo na pazia la shaka. Ondoa ubatili toka dhamiri zetu, imarisha haki katika fikra zetu za siri, kwa sababu shaka shaka na dhana ni virutubisho vya fitna na vichafuzi vya usafi wa tuzo na wema.

O Allah tujaalie tuwe katika safina za uokovu wako, tupe ladha ya sala ya kunong'ona na wewe, tunyweshe vidimbwi vya upendo wako, tuonjeshe utamu wa upendo wako na ukaribu wako, jaalia juhudi yetu kwa ajili yako na hima yetu iwe katika utii wako isafishe nia zetu kwa kazi yako tu.

Kwa hakika sisi tupo kwa kuwapo kwako na tu wako, hatuna njia ya kufikia kwako isipokuwa ni wewe.

Ewe Mungu wangu niweke mimi pamoja na wateule wema, niunge na wema watawa waliotangulia kuifikia zawadi ya ukarimu wenye haraka kwenye matendo mema watenda mema yenye kubaki wenye juhudi kuinuwa daraja, hakika wewe ni muweza juu ya kila kitu, kwa kujibu ndio wafaa, kwa rehema zako ewe mwingi mno wa wenye kurehemu.

المناجاة الثامنة: مناجاة المريدين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ سُبْحانَكَ ما أَضْيَقَ الطُّرُقَ عَلى مَنْ لَمْ تَكُنْ دَلِيلَهُ! وَما أَوْضَحَ الْحَقَّ عِنْدَ مَنْ هَدَيْتَهُ سَبِيلَه!

2 ـ إلهِي فاسْلُكْ بِنا سُبُلَ الْوُصُولِ إلَيْكَ، وَسَيِّرْنا فِي أَقْرَبِ الطُّرُقِ لِلْوُفُودِ عَلَيْكَ، قَرِّبْ عَلَيْنَا الْبَعِيدَ، وَسَهِّلَ عَلَيْنَا الْعَسِيرَ الشَّدِيدَ، وَأَلْحِقْنا بِعِبادِكَ الَّذِينَ هُمْ بِالْبِدارِ إلَيْكَ يُسارِعُونَ، وَبابَكَ عَلَى الدَّوامِ يَطْرُقُونَ، وَإيَّاكَ فِي اللَّيْلِ وَالنَّهارِ يَعْبُدُونَ، وَهُمْ مِنْ هَيْبَتِكَ مُشْفِقُونَ، الَّذِينَ صَفَّيْتَ لَهُمُ الْمَشارِبَ، وَبَلَّغْتَهُمُ الرَّغآئِبَ، وَأَنْجَحْتَ لَهُمُ الْمَطالِبَ، وَقَضَيْتَ لَهُمْ مِنْ فَضْلِكَ الْمَآرِبَ، وَمَلاْتَ لَهُمْ ضَمآئِرَهُمْ مِنْ حُبِّكَ وَرَوَّيْتَهُمْ مِنْ صافِي شِرْبِكَ، فَبِكَ إلى لَذِيذِ مُناجاتِكَ وَصَلُوا، وَمِنْكَ أَقْصى مَقاصِدِهِمْ حَصَّلُوا، فَيا مَنْ هُوَ عَلَى الْمُقْبِلِينَ عَلَيْهِ مُقْبِلٌ، وَبِالْعَطْفِ عَلَيْهِمْ عآئِدٌ مُفْضِلٌ، وَبِالْغافِلِينَ عَنْ ذِكْرِهِ رَحِيمٌ رَؤُوفٌ، وَبِجَذْبِهمْ إلى بابِهِ وَدُودٌ عَطُوفٌ، أَسْأَلُكَ أَنْ تَجْعَلَنِي مِنْ أَوْفَرِهِمْ مِنْكَ حَظّاً، وَأَعْلاهُمْ عِنْدَكَ مَنْزِلاً، وَأَجْزَلِهِمْ مِنْ وُدِّكَ قِسَماً، وَأَفْضَلِهِمْ فِي مَعْرِفَتِكَ نَصِيباً، فَقَدِ انْقطَعَتْ إلَيْكَ هِمَّتِي، وَانْصَرَفَتْ نَحْوَكَ رَغْبَتِي، فَأَنْتَ لاَ غَيْرُكَ مُرادِي، وَلَكَ لا لِسِواكَ سَهَرِي وَسُهادِي، وَلِقاؤُكَ قُرَّةُ عَيْني، وَوَصْلُكَ مُنى نَفْسِي، وَإلَيْكَ شَوْقِي، وَفِي مَحَبَّتِكَ وَلَهِي، وَإلى هَواكَ صَبابَتِي، وَرِضاكَ بُغْيَتي، وَرُؤْيَتُكَ حاجَتِي، وَجِوارُكَ طَلَبِي، وَقُرْبُكَ غايَةُ سُؤْلِي، وَفِي مُنَاجَاتِكَ رَوْحِي وَراحَتِي، وَعِنْدَكَ دَوآءُعِلَّتِي، وَشِفآءُ غُلَّتِي، وَبَرْدُ لَوْعَتِي، وَكَشْفُ كُرْبَتِي. فَكُنْ أَنِيْسِي فِي وَحْشَتِي، وَمُقِيلَ عَثْرَتِي، وَغافِرَ زَلَّتِي، وَقابِلَ تَوْبَتِي، وَمُجِيبَ دَعْوَتِي، وَوَلِيَّ عِصْمَتِي، وَمُغْنِيَ فاقَتِي، وَلا تَقْطَعْنِي عَنْكَ، وَلا تُبْعِدْنِي مِنْكَ يا نَعِيمِي وَجَنَّتِي، وَيا دُنْيايَ وَآخِرَتِي، يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

76

NONG'ONO LA SALA YA WANA MUREEDI

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

Utakatifu ni wako, njia nyembamba zilioje kwa usiyemwongoza! Haki yawazi iliyoje kwa uliye mwongoza njia yake! Mola wangu tupitishe njia za kufika kwako, tuendeshe katika njia ya karibu mno kufika kwako, tufanyie karibu mbali, na turahisishie gumu la taabu.

Na utukutanishe na waja wako ambao kwa kuwahi kwako waharakia, daima wabisha hodi mlangoni kwako usiku na mchana wakuabudu wewe tu, nao waiogopa haiba yako, ambao umewasafishia manyweo.

Na umewafikishia wayapendayo, umewapa wayatakayo, umewatekelezea kwa fadhila zako, utashi wao, umejaza upendo wako ndani ya dhamira zao, umetosheleza kiuzao kwa kinywaji chako safi, kupitia wewe wamewasili kwenye ladha ya kunong'ona na wewe, kutoka kwako wamefikia malengo yao ya mbali sana.

O we ambaye kwa wale wamwendeaye huwaendea na huwapa zawadi na huwatunukia fadhila kwa upole, mwenye huruma na mwema kwa walioghafilika kumkumbuka, mpendwa mwenye huruma kwa kuwavuta kuelekea mlango wake.

Nakuomba unijaalie niwe miongoni mwa wenye hisa kubwa mno kubwa, na mwenye daraja ya juu zaidi kwako na miongoni mwa wenye hisa ya mapenzi kubwa kwako na mwenye hisa bora zaidi katika kukutambua, hima yangu imekatika isipokuwa kwako tu, utashi wangu umeelekea kwako tu, wewe tu ndio kusudio langu sio mwingine, kwa ajili yako tu kuamka kwangu na kukesha kwangu, wala si kwa ajili ya mwingine.

Kukutana na wewe ndio tulizo la jicho langu. Kuungana na wewe ndio utashi wa nafsi yangu, shauku yangu ni kwako katika upendo wako ndio shauku yangu, kujiambatanisha na wewe ndio bidii yangu, ridhaa zako ni lengo niombalo.

Kukuona wewe ndio haja yangu, ujirani na wewe ndio ombi langu, ukaribu na wewe upeo wa ombi langu, sala ya kunong'ona na wewe ndio pumziko na raha yangu, kwako kuna dawa ya ugonjwa wangu na ponyo la moyo wangu unao unguwa, burudisho la shauku yangu, na kitu cha kuondoa taabu yangu.

Kuwa mwenzi wangu katika upeka wangu, tulizo la kujigonga kwangu uwe mwenye kuni ghofiria kuteleza kwangu, mwenye kukubali toba yangu, mwenye kuitikia DU'A yangu, mfadhili wa kunihifadhi na dhambi, mwenye kunitoa toka ufakiri wangu, usikate mawasiliano yangu nawe. O we jaha yangu na bostani yangu, O we ambaye ndio dunia yangu na akhera yangu, O wee mwenye rehema nyingi kuliko wote wenye kurehemu.

المناجاة التاسعة: مناجاة المحبّين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي مَنْ ذَا الَّذِي ذَاقَ حَلاوَةَ مَحَبَّتِكَ، فَرامَ مِنْكَ بَدَلاً؟ وَمَنْ ذَا الَّذِي أَنِسَ بِقُرْبِكَ، فَابْتَغَى عَنْكَ حِوَلاً؟

2 ـ إلهِي فَاجْعَلْنا مِمَّنِ اصْطَفَيْتَهُ لِقُرْبِكَ وَوِلايَتِكَ، وَأَخْلَصْتَه لِوُدِّكَ وَمَحَبَّتِكَ، وَشَوَّقْتَهُ إلى لِقَآئِكَ، وَرَضَّيْتَهُ بِقَضآئِكَ، وَمَنَحْتَهُ بِالنَّظَرِ إلى وَجْهِكَ، وَحَبَوْتَهُ بِرِضاكَ، وَأَعَدْتَهُ مِنْ هَجْرِكَ وَقِلاكَ، وَبَوَّأْتَهُ مَقْعَدَ الصِّدْقِ فِي جَوارِكَ، وَخَصَصْتَهُ بِمَعْرِفَتِكَ، وَأَهَّلْتَهُ لِعِبادَتِكَ، وَهَيَّمْتَ قَلْبَهُ لارادَتِكَ، وَاجْتَبَيْتَهُ لِمُشاهَدَتِكَ، وَأَخْلَيْتَ وَجْهَهُ لَكَ، وَفَرَّغْتَ فُؤادَهُ لِحُبِّكَ، وَرَغَّبْتَهُ فِيمَا عِنْدَكَ، وَأَلْهَمْتَهُ ذِكْرَكَ، وَأَوْزَعْتَهُ شُكْرَكَ، وَشَغَلْتَهُ بِطاعَتِكَ، وَصَيَّرْتَهُ مِنْ صالِحِي بَرِيَّتِكَ، وَاخْتَرْتَهُ لِمُناجاتِكَ، وَقَطَعْتَ عَنْهُ كُلَّ شَيْء يَقْطَعُهُ عَنْكَ.

3 ـ أَللَّهُمَّ اجْعَلْنَا مِمَّنْ دَأْبُهُمُ الارْتِياحُ إلَيْكَ وَالْحَنِينُ، وَدَهْرُهُمُ الزَّفْرَةُ وَالاَنِينُ، جِباهُهُمْ سَاجِدَةٌ لِعَظَمَتِكَ، وَعُيُونُهُمْ ساهِرَةٌ فِي خِدْمَتِكَ، وَدُمُوُعُهُمْ سآئِلَةٌ مِنْ خَشْيَتِكَ، وَقُلُوبُهُمْ مُتَعَلِّقَةٌ بِمَحَبَّتِكَ، وَأَفْئِدَتُهُمْ مُنْخَلِعَةٌ مِنْ مَهابَتِكَ، يامَنْ أَنْوارُ قُدْسِهِ لاَِبْصارِ مُحِبِّيهِ رآئِقَةٌ، وَسُبُحاتُ وَجْهِهِ لِقُلُوبِ عارِفيهِ شآئِقَةٌ، يا مُنى قُلُوبِ الْمُشْتاقِينَ، وَيا غَايَةَ آمالِ الْمُحِبِّينَ أَسْأَلُكَ حُبَّكَ وَحُبَّ مَنْ يُحِبُّكَ، وَحُبَّ كُلِّ عَمَل يُوصِلُنِي إلى قُرْبِكَ، وَأَنْ تَجْعَلَكَ أَحَبَّ إلَيَّ مِمَّا سِواكَ وَأَنْ تَجْعَلَ حُبِّي

إيَّاكَ قآئِداً إلى رِضْوانِكَ، وَشَوْقِي إلَيْكَ ذآئِداً عَنْ عِصْيانِكَ، وَامْنُنْ بِالنَّظَرِ إلَيْكَ عَلَيَّ، وَانْظُرْ بِعَيْنِ الْوُدِّ وَالْعَطْفِ إلَيَّ، وَلا تَصْرِفْ عَنِّي وَجْهَكَ، وَاجْعَلْنِي مِنْ أَهْلِ الاِسْعادِ وَالْحُظْوَةِ عِنْدَكَ، يا مُجِيبُ، يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

77

NONG'ONO LA SALA YA WAPENZI

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu ni nani ambaye ameonja utamu wa mapenzi yako kisha amkusudie mwingine badala yako! Ni nani ambaye umekuwa wa moyoni kwake kwa ukaribu wako naye kisha akamtaka mwingine na kujitoa mbali nawewe!

Mola wangu tujaaliye tuwe miongoni mwa uliowachagua kuwa wakaribu na wewe na wapenzi wako, uliyemtakasa kwa upendo wako na mahaba yako, umempa shauku ya kukutana na wewe umemfanya apende maamuru yako, na umemtunuku kuangalia uso wako, na umempendelea ridhaa zako.

Umempa kinga ya kutokukuhama na kukukirihi, umemfanyia makazi ya uhakika karibu na wewe, umemteuwa kwa ajili ya ukweli wa kukujua wewe, na kumfanya yu astahiki kukuabudu, umeutiisha moyo wake kwa utashi wako.

Umemchagua ili kukushuhudia, umeuweka tupu mtizamo wake kwa ajili yako, umeweka wazi moyo wake kwa upendo wako, umempendezesha yaliyo kwako umemwongoza utajo wako, umemgawiya shukrani yako umemshughulisha kwa utii wako.

Umemfanya kuwa miongoni mwa viumbe wako wema, umemchagua kwa sala ya kunong'ona na wewe, umekata kutoka kwake vitu vyote vimkatavyo kutoka kwako.

O Allah tujaalie tuwe miongoni mwa ambao mwendo wao ni kukufurahia wewe na upendo na nyakati zao ni kupiga kite na kulia, paji zao za uso zi katika hali ya sijda kwa taadhima yako.

Macho yao yakesha yakiwa chini ya huduma yako, machozi yao yatiririka kwa kukuogopa nyoyo zao zimejitundika kwa upendo wako, viini vyao vyatikisika kwa kukuogopa, O we ambaye nuru ya utukufu wake huvuta macho ya wapenzi wake, utukufu wa uso wake huamsha upendo wa nyoyo za wamjuao.

O we utashi wa nyoyo za wenye shauku, O wee upeo wa matumaini ya wapenzi, naomba kwako upendo kwa ajili yako, na kuwapenda wanaokupenda, nakupenda kila tendo linifikishalo karibu yako.Na jaalia umpendwa mno kwangu kuliko mwingine yeyote, na jaalia upendo wangu kwako uwe mwongozo kwenye ridhaa zako, na shauku yangu kwako iwe kinga ya kutokukuasi, niangalie kwa jicho la upendo na huruma, usiugeuze uso wako mbali na mimi, nijalie niwe miongoni mwa watu wenye furaha na wewe na wenye hadhi kwako O mwenye kuitikia, O we mwenye huruma kuliko wote wenye huruma.

المناجاة العاشرة: مناجاة المتوسّلين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي لَيْسَ لِي وَسِيلَةٌ إلَيْكَ إلاَّ عَواطِفُ رَأفَتِكَ، وَلا لِي ذَرِيعَةٌ إلَيْكَ إلاَّ عَوارِفُ رَحْمَتِكَ، وَشَفاعَةُ نَبِيِّكَ نَبِيِّ الرَّحْمَةِ، وَمُنْقِذِ الاُمَّةِ مِنَ الْغُمَّةِ، فَاجْعَلْهُما لِي سَبَباً إلى نَيْلِ غُفْرانِكَ، وَصَيِّرْهُمَا لِي وُصْلَةً إلَى الْفَوْزِ بِرِضْوانِكَ، وَقَدْ حَلَّ رَجآئِي بِحَرَمِ كَرَمِكَ، وَحَطَّ طَمَعِي بِفِنآءِ جُودِكَ. فَحَقِّقْ فِيكَ أَمَلِيْ وَاخْتِمْ بِالْخَيْرِ عَمَلِي، وَاجْعَلْنِي مِنْ صَفْوَتِكَ الَّذِينَ أَحْلَلْتَهُمْ بُحْبُوحَةَ جَنَّتِكَ، وَبَوَّأْتَهُمْ دارَ كَرامَتِكَ وَأَقْرَرْتَ أَعْيُنَهُمْ بِالنَّظَرِ إلَيْكَ يَوْمَ لِقآئِكَ، وَأَوْرَثْتَهُمْ مَنازِلَ الصِّدْقِ فِي جِوارِكَ.

2 ـ يامَنْ لا يَفِدُ الْوافِدُونَ عَلى أَكْرَمَ مِنْهُ، وَلا يَجِدُ الْقاصِدُونَ أَرْحَمَ مِنْهُ، يا خَيْرَ مَنْ خَلا بِهِ وَحِيدٌ، وَيا أَعْطَفَ مَنْ أَوى إلَيْهِ طَرِيدٌ، إلى سَعَةِ عَفْوِكَ مَدَدْتُ يَدِي وَبِذَيْلِ كَرَمِكَ أَعْلَقْتُ كَفِّي، فَلا تُولِنِي الْحِرْمانَ، وَلا تُبْلِنِي بِالْخَيْبَةِ وَالْخُسْرانِ، يا سَمِيعَ الدُّعآءِ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

78

NONG'ONO LA SALA YA WAOMBAO WASILA

Kwa Jina la Mwenyez mwingi wa Rehema Mwenje Kurehemu.

Mola wangu sina wasila kufikia kwako isipokuwa matendo ya upole wa huruma yako, wala njia yeyote ya kunifikisha kwako isipokuwa fadhila za upole wa rehema zako, na uombezi wa Nabiy wako Nabiy mwenye huruma, mwokozi wa umma toka kwenye bumbuwazo.

Jaalia viwili hivyo kwangu ndio sababu ya kupata ghofira yako, vifanye viwili hivyo kwangu kiungo cha kufuzu ridhaa zako, matumaini yangu yamefika kwenye kitalu cha ukarimu wako, tamaa zangu zimetuwa kwenye ukumbi wa upaji wako.

Matumaini yangu yameimarika kwako, hitimisha amali yangu kwa muhuri wa kheri nijaalie niwe miongoni mwa wateule wako ambao umewaweka katikati ya janna yako na umewaweka nyumba ya ukarimu wako uliofurahisha macho yao kwa kukuangalia wewe siku ya kukutana na wewe, uliowarithisha vituo vya ukweli karibu yako.

Hawafiki wafikaji kwa mkarimu mno kuliko yeye, wakusudiaji hawampati mwenye rehema zaidi kuliko yeye, O mbora wa mwenye kuwa naye peke yake.

O we mpole wa mwenye kukimbilia ya kwake hali amefukuzwa, nimenyosha mikono yangu kuelekea wasaa wa msamaha wako, kwenye ncha ya ukarimu wako nimetungika mkono wangu, usininyime, wala usinipe balaa la kutofanikiwa na kuhasirika. O we msikiaji DU'A, O we mwenye kurehemu mno kuliko wote wenye kurehemu.

المناجاة الحادية عشرة: مناجاة المفتقرين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي كَسْرِي لا يَجْبُرُهُ إلاَّ لُطْفُكَ وَحَنانُكَ، وَفَقْرِي لا يُغْنِيهِ إلاَّ عَطْفُكَ وَإحْسانُكَ، وَرَوْعَتِي لا يُسَكِّنُهَا إلاَّ أَمانُكَ، وَذِلَّتِي لا يُعِزُّها إلاَّ سُلْطانُكَ، وَأُمْنِيَّتِي لا يُبَلِّغُنِيها إلاَّ فَضْلُكَ، وَخَلَّتِي لا يَسُدُّها إلاَّ طَوْلُكَ، وَحاجَتِي لا يَقْضِيها غَيْرُكَ، وَكَرْبِي لاَ يُفَرِّجُهُ سِوى رَحْمَتِكَ، وَضُرِّي لا يَكْشِفُهُ غَيْرُ رَأْفَتِكَ، وَغُلَّتِي لا يُبَرِّدُها إلاَّ وَصْلُكَ، وَلَوْعَتِي لا يُطْفِيها إلاَّ لِقآؤُكَ، وَشَوْقِي إلَيْكَ لا يَبُلُّهُ إلاَّ النَّظَرُ إلى وَجْهِكَ، وَقَرارِي لا يَقِرُّ دُونَ دُنُوِّي مِنْكَ، وَلَهْفَتِي لاَ يَرُدُّها إلاَّ رَوْحُكَ، وَسُقْمِي لا يَشْفِيهِ إلاَّ طِبُّكَ، وَغَمِّي لا يُزِيلُهُ إلاَّ قُرْبُكَ، وَجُرْحِي لا يُبْرِئُهُ إلاَّ صَفْحُكَ، وَرَيْنُ قَلْبِي لا يَجْلُوهُ إلاَّ عَفْوُكَ، وَوَسْواسُ صَدْرِي لا يُزِيحُهُ إلاَّ أَمْرُكَ.

2 ـ فَيا مُنْتَهى أَمَلِ الامِلِينَ، وَيا غايَةَ سُؤْلِ السَّآئِلِينَ، وَيا أَقْصى طَلِبَةِ الطَّالِبِينَ، وَيا أَعْلَى رَغْبَةِ الرَّاغِبِينَ، وَيا وَلِيَّ الصَّالِحِينَ، وَيا أَمانَ الْخآئِفِينَ، وَيا مُجِيبَ دَعْوَةِ الْمُضْطَرِّينَ، وَيا ذُخْرَ الْمُعْدِمِينَ، وَيا كَنْزَ الْبآئِسِينَ، وَيا غِياثَ الْمُسْتَغيثِينَ، وَيا قَاضِيَ حَوائِجَ الْفُقَرآءِ وَالْمَساكِينِ، وَيا أَكْرَمَ الاَكْرَمِينَ، وَيا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ، لَكَ تَخَضُّعِي وَسُؤالِي، وَإلَيْكَ تَضَرُّعِي وَابْتِهالِيْ، أَسْأَلُكَ أَنْ تُنِيلَنِي مِنْ رَوْحِ رِضْوانِكَ، وَتُدِيمَ عَلَيَّ نِعَمَ امْتِنانِكَ، وَها أَنَا بِبابِ كَرَمِكَ واقِفٌ، وَلِنَفَحاتِ بِرِّكَ مُتَعَرِّضٌ، وَبِحَبْلِكَ الشَّدِيدِ مُعْتَصِمٌ، وَبِعُرْوَتِكَ الْوُثْقى مُتَمَسِّكٌ.

3 ـ إلهِي ارْحَمْ عَبْدَكَ الذَّلِيلَ، ذَا اللِّسانِ الْكَلِيلِ وَالْعَمَلِ الْقَلِيلِ، وَامْنُنْ عَلَيْهِ بِطَوْلِكَ الْجَزِيلِ، وَاكْنُفْهُ تَحْتَ ظِلِّكَ الظَّلِيلِ يا كَرِيمُ يا جَمِيلُ، يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

79

NONG'ONO LA SALA YA MAFAKIRI

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu mvunjiko wangu haugangwi ila na upole wako na upendo wako, ufakiri wangu hautoshelezi yeyote isipokuwa na upendo wako na hisani yako, woga wangu hautulizi yeyote isipokuw na amani yako.

Udhalili wangu hawezi kuuenzi yeyote isipokuwa mamlaka yako, hatonifikisha kwenye matumaini yangu isipokuwa fadhila zako, hawezi kurekebisha ukosefu wangu isipokuwa umbaji wako. Hawezi kukidhi haja yangu asiyekuwa wewe, hawezi kunifariji dhiki yangu isipokuwa rehema yako.

Madhara yangu hayaondowi yeyote ila huruma yako, kiu yangu iunguzayo hawezi kuiburudisha yeyote isipokuwa mawasiliano yako, shauku yangu hawezi kuizima yeyote isipokuwa kukutana na wewe. Shauku yangu kwako hakuna wa kuituliza isipokuwa kwa kuangalia uso wako.

Kuwa imara kwangu hakuwezi kufanyika isipokuwa kwa kusogea karibu yako, woga wangu hautulizi yeyote isipokuwa tulizo lako ugonjwa wangu hawezi kuutibu yeyote isipokuwa dawa yako, mayonzi yangu hayatowi yeyote isipokuwa kwa kuwa karibu yako, jeraha langu hawezi liponya yeyote isipokuwa msamaha wako, kutu ya moyo wangu haiondowi yeyote isipokuwa msamaha wako, wasi wasi wa moyo wangu hauondowi yeyote isipokuwa amri yako.

O we upeo wa matumaini ya wenye kutumaini, O we upeo wa ombi la waombaji, O we umbali wa utashi wa watakaji, O we ambaye ndio juu kabisa wa takwa la watakaji, O we mfadhili wa watu wema, O we ambaye ni amani ya walio na woga, O we mwenye kujibu maombi ya wenye madhara, O we ambaye ni bohari ya wasiokuwa na kitu, O we ambaye ni hazina ya wanyonge, O we mwenye kukidhi haja za mafakiri na masikini, O we mkarimu mno wa wakarimu.

Ewe mwenye rehema zaidi ya wenye kurehemu, Kunyenyekea kwangu na ombi langu ni kwako, utetezi wangu na ombi langu sana ni kwako nakuomba unipe tulizo la bidhaa yako, udumishe kwangu neema za huruma yako.

Mimi ni huyu! Mwenye kusimama kwenye mlango wa ukarimu wako, nimejiweka kwenye baridi ya wema wako, nimeshikilia kamba yako madhubuti, nimeshikamana na kishiko chako thabiti.

Mola wangu muhurumie mja wako dhalili, mwenye ulimi butu na amali (kazi) ndogo, mpe kwa hisani zako nyingi mno, mhifadhi chini ya kivuli chako kikubwa, ewe mkarimu, ewee mzuri, ewee mwingi wa huruma kuliko wote wenye huruma.

المناجاة الثانية عشرة: مناجاة العارفين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي قَصُرَتِ الاَلْسُنُ عَنْ بُلُوغِ ثَنآئِكَ، كَما يَلِيقُ بِجَلالِكَ، وَعَجَزَتِ الْعُقُولُ عَنْ إدْراكِ كُنْهِ جَمالِكَ، وَانْحَسَرَتِ الاَبْصارُ دُونَ النَّظَرِ إلى سُبُحاتِ وَجْهِكَ، وَلَمْ تَجْعَلْ لِلْخَلْقِ طَرِيقاً إلى مَعْرِفَتِكَ إلاَّ بِالْعَجْزِ عَنْ مَعْرِفَتِكَ.

2 ـ إلهِي فَاجْعَلْنا مِنَ الَّذِينَ تَرَسَّخَتْ أَشْجارُ الشَّوقِ إلَيْكَ فِي حَدآئِقِ صُدُورِهِمْ، وَأَخَذَتْ لَوْعَةُ مَحَبَّتِكَ بِمَجامِعِ قُلُوبِهِمْ، فَهُمْ إلَى أَوْكارِ الاَفْكارِ يَأْوُونَ، وَفِي رِياضِ الْقُرْبِ وَالْمُكاشَفَةِ يَرْتَعُونَ، وَمِنْ حِياضِ الْمَحَبَّةِ بِكَأْسِ الْمُلاطَفَةِ يَكْرَعُونَ، وَشَرايعَ الْمُصافاةِ يَرِدُونَ، قَدْ كُشِفَ الْغِطآءُ عَنْ أَبْصَارِهِمْ، وَانْجَلَتْ ظُلْمَةُ الرَّيْبِ عَنْ عَقآئِدِهِمْ، وَانْتَفَتْ مُخالَجَةُ الشَّكِّ عَنْ قُلُوبِهِمْ وَسَرآئِرِهِمْ، وَانْشَرَحَتْ بِتَحْقِيقِ الْمَعْرِفَةِ صُدُورُهُمْ، وَعَلَتْ لِسَبْقِ السَّعادَةِ فِي الزَّهادَةِ هِمَمُهُمْ، وَعَذُبَ فِي مَعِينِ الْمُعامَلَةِ شِرْبُهُمْ وَطابَ فِي مَجْلِسِ الاُنْسِ سِرُّهُمْ، وَأَمِنَ فِي مَوْطِنِ الْمَخافَةِ سِرْبُهُمْ، وَاطْمَأَنَّتْ بِالرُّجُوْعِ إلى رَبِّ الاَرْبابِ أَنْفُسُهُمْ، وَتَيَقَّنَتْ بِالْفَوْزِ وَالْفَلاحِ أَرْواحُهُمْ، وَقَرَّتْ بِالنَّظَرِ إلى مَحْبُوبِهِمْ أَعْيُنُهُمْ، وَاسْتَقَرَّ بِإدْراكِ السُّؤْلِ وَنَيْلِ الْمَأْمُولِ قَرَارُهُمْ، وَرَبِحَتْ فِي بَيْعِ الدُّنْيَا بِالاخِرَةِ تِجارَتُهُمْ.

3 ـ إلهِي ما أَلَذَّ خَواطِرَ الاِلْهامِ بِذِكْرِكَ عَلَى الْقُلُوبِ، وَما أَحْلَى الْمَسِيرَ إلَيْكَ بِالاَوْهامِ فِي مَسالِكِ الْغُيُوبِ، وَما أَطْيَبَ طَعْمَ حُبِّكَ، وَما أَعْذَبَ شِرْبَ قُرْبِكَ، فَأَعِذْنا مِنْ طَرْدِكَ وَإبْعادِكَ، وَاجْعَلْنا مِنْ أَخَصِّ عارِفِيكَ، وَأَصْلَحِ عِبادِكَ، وَأَصْدَقِ طآئِعِيكَ وَأَخْلَصِ عُبَّادِكَ، يا عَظِيمُ، يا جَلِيلُ، يا كَرِيمُ، يا مُنِيلُ، بِرَحْمَتِكَ وَمَنِّكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

80

NONG'ONO LA SALA YA WAJUZI

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu, ndimi zimeshindwa kuifikia sifa yako njema, kwa kiwango kinacholingana na utukufu wako, akili zimeshindwa kuifikia hakika ya uzuri wako, macho yamehasirika bila ya uwezo wa kuangalia utukufu wa uso wako, wala haujamfanyia kiumbe njia ya kukujua wewe, isipokuwa kwa kutoweza kukujua.

Mola wangu tujaalie sisi tuwe miongoni mwa ambao imeimarika miti ya shauku yako katika bostani za vifuwa vyao, nguvu ya shauku ya upendo wako imechukuwa mioyo yao yote, wao wakimbilia kwenye viota vya fikra wajilisha katika bostani ya ukaribu na ufunuo.

Wanywa kwa glasi ya upendo pamoja na upole wa vikombe vya fadhila, waingia sehemu za maji yenye vuguvugu la upendo, vifuniko vimeondolewa toka macho yao giza la mashaka limewatoka kwenye akida zao na dhamira zao, zimetoweka ingio za shaka nyoyoni mwao na fikra zao za siri.

Vifua vyao vimekunjuka kwa kuthibitisha elimu ya kweli, hima zao zimepanda ili kuwahi maisha ya furaha katika zuhudi kinywaji chao kimekuwa kitamu katika chemchemu ya kazi njema, fikra zao za siri zimekuwa nzuri katika kikao cha moyoni.

Akili zao zimekuwa na amani sehemu za hofu, nyoyo zao zimetakata kwa kurejea kwa bwana wa mabwana, nyoyo zao zimeyakinisha kufaulu na ufanisi, macho yao yamefurahishwa na kumwangalia mpendwa wao, yameimarika makazi yao kwa kupata ombi na kuyafikia matumaini.

Biashara yao imepata faida kwa kuiuza dunia kwa akhera, fikra za il-hamu zinaladha ilioje kwa kukukumbuka moyoni, unautamu ulioje msafara wa kifikra kuelekea kwako katika njia isioonekana, wapendeza mno utamu wa upendo wako.

Kitamu kilioje kinywaji cha kuwa karibu nawewe, tukinge na fukuzo lako na kuwekwa mbali na wewe, tujaalie tuwe miongoni mwa mahsusi wakujuao, na waja wako wema mno, na wa kweli mno katika waja wako watii na wenye ikhlasi mno katika waja wako wachamungu.

O we mwenye adhama mwenye ufalme, Ewe mkarimu ewe mtowaji, kwa rehema zako na huruma yako ewe mwngi wa rehema kuliko wenye kurehemu wote.

المناجاة الثالثة عشرة: مناجاة الذاكرين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي لَوْلا الْواجِبُ مِنْ قَبُولِ أمْرِكَ لَنَزَّهْتُكَ مِنْ ذِكْرِي إيَّاكَ، عَلى أَنَّ ذِكْرِي لَكَ بِقَدْرِي، لا بِقَدْرِكَ، وَما عَسى أَنْ يَبْلُغَ مِقْدارِي، حَتّى أُجْعَلَ مَحَلاًّ لِتَقْدِيسِكَ، وَمِنْ أَعْظَمِ النِّعَمِ عَلَيْنا جَرَيانُ ذِكْرِكَ عَلى أَلْسِنَتِنَا، وَإذْنُكَ لَنا بِدُعآئِكَ، وَتَنْزِيهِكَ وَتَسْبِيحِكَ.

2 ـ إلهِي فَأَلْهِمْنا ذِكْرَكَ فِي الْخَلاءِ وَالْمَلاءِ، وَاللَّيْلِ وَالنَّهارِ، وَالاِعْلانِ وَالاِسْرارِ، وَفِي السَّرَّآءِ وَالضَّرَّآءِ وَآنِسْنا بِالذِّكْرِ الْخَفِيِّ، وَاسْتَعْمِلْنا بِالْعَمَلِ الزَّكِيِّ، وَالسَّعْي الْمَرْضِيِّ، وَجازِنا بِالْمِيزانِ الَوَفِيِّ.

3 ـ إلهِي بِكَ هامَتِ الْقُلُوبُ الْوالِهَةُ، وَعَلى مَعْرِفَتِكَ جُمِعَتِ الْعُقُولُ الْمُتَبايِنَةُ، فَلا تَطْمَئِنُّ الْقُلُوبُ إلاَّ بِذِكْراكَ، وَلا تَسْكُنُ النُّفُوسُ إلاّ عِنْدَ رُؤْياكَ، أَنْتَ الْمُسَبَّحُ فِي كُلِّ مَكان، وَالْمَعْبُودُ فِي كُلِّ زَمان، وَالْمَوْجُودُ فِي كُلِّ أَوان، وَالْمَدْعُوُّ بِكُلِّ لِسان، وَالْمُعَظَّمُ فِي كُلِّ جَنان، وَأَسْتَغْفِرُكَ مِنْ كُلِّ لَذَّة بِغَيْرِ ذِكْرِكَ، وَمِنْ كُلِّ راحَة بِغَيْرِ أُنْسِكَ، وَمِنْ كُلِّ سُرُور بِغَيْرِ قُرْبِكَ، وَمِنْ كُلِّ شُغْل بِغَيْرِ طاعَتِكَ.

4 ـ إلهِي أَنْتَ قُلْتَ وَقَوْلُكَ الْحَقُّ: (يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اذْكُرُوا اللهَ ذِكْراً كَثِيراً وَسَبِّحُوهُ بُكْرَةً وَأَصِيلاً) وَقُلْتَ وَقَوْلُكَ الْحَقُّ: (فَاذْكُرُونِي أَذْكُرْكُمْ)فَأَمَرْتَنا بِذِكْرِكَ، وَوَعَدْتَنا عَلَيْهِ أَنْ تَذْكُرَنا تَشْرِيفاً لَنا وَتَفْخِيمَاً وَإعْظامَاً، وَها نَحْنُ ذاكِرُوكَ كَما أَمَرْتَنا، فَأَنْجِزْ لَنا مَا وَعَدْتَنا يا ذاكِرَ الذَّاكِرِينَ، وَيا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

81

NONG'ONO LA SALA YA WENYE KUMBU KUMBU

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Kehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu lau si wajibu kukubali amri yako ningekutakasa kuwa uko mbali sana na kukukumbuka kwangu wewe, kwa sababu kukukumbuka kwangu wewe ni kwa kadiri yangu si kwa kadiri yako, kadiri yangu haiwezi kufikia mahali pa kukutakasa wewe.

Miongoni mwa neema kubwa sana juu yetu kuipitisha dhikri yako ndimini mwetu, na idhini yako kwetu kwa DU'A na kukutakasa na kukusabbihi mungu wangu tia moyoni mwetu utajo wako kando ya watu na katika mkusanyiko.

Usiku na mchana, kwa kutangaza na kwa siri wakati wa mafanikio na wataabu, tuambatanishe na utajo wa siri tutumikishe na aamali iliyo safi, na juhudi yenye kuridhiwa na wewe tulipe kwa mizani iliyojaa.

Mola wangu!

Nyoyo zenye upendo zafurahiwa na wewe kwa ajili ya kukutambua. Na kwa ajili ya upendo wako zimekusanywa nyoyo zilizotengana. Kutengana nyoyo hazitulii safi isipokuwa kwa kukukumbuka wewe, wala nafsi hazitulii isipokuwa zikuonapo.

Wewe ni mwenye kutukuzwa kila mahali, mwabudiwa katika kila zana, upo kila wakati, muombwa kwa kila lugha mwenye kuadhimishwa katika kila moyo, nakuomba unisamehe katika kila ladha imepita bila ya kukukumbuka. Na katika kila raha bila ya kujiambatanisha na wewe, na katika kila furaha bila ya kujikurubisha kwako, na katika kila shughuli bila ya utii wako.

Mola wangu! Wewe umesema na usemi wako ni wa haki (o ninyi mlioamini mkumbukeni Mungu sana na mumtukuze asubuhi na jioni) ulisema na usemi wako ni wa haki: (nikumbukeni nitakukumbukeni) ulituamrisha tukukumbuke na ulituahidi kuwa utatukumbuka ili kuinuwa heshima yetu na kututukuza sisi na hao twakukumbuka kama ulivyo tuamuru.

Hivyo basi tutekelezee uliyotuahidi, Owe mkumbukaji mno miongoni mwa wakumbukaji, O we mwenye huruma mno miongoni mwa wenye huruma.

المناجاة الرابعة عشرة: مناجاة المعتصمين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ أَللَّهُمَّ يا مَلاَذَ اللائِذِينَ، وَيا مَعاذَ الْعآئِذِينَ، وَيا مُنْجِيَ الْهالِكِينَ، وَيا عاصِمَ الْبآئِسِينَ، وَيا راحِمَ الْمَساكِينِ، وَيا مُجِيبَ الْمُضْطَرِّينَ، وَيا كَنْزَ الْمُفْتَقِرِينَ وَيا جابِرَ الْمُنْكَسِرِينَ، وَيا مَأْوَى الْمُنْقَطِعِينَ، وَيا ناصِرَ الْمُسْتَضْعَفِينَ، وَيا مُجِيرَ الْخآئِفِينَ، وَيا مُغِيثَ الْمَكْرُوبِينَ وَيا حِصْنَ اللاَّجِينَ، إنْ لَمْ أَعُذْ بِعِزَّتِكَ فَبِمَنْ أَعُوذُ؟ وَإنْ لَمْ أَلُذْ بِقُدْرَتِكَ فَبِمَنْ أَلُوذُ؟ وَقَدْ أَلْجَأَتْنِي الذُّنُوبُ إلَى التَّشَبُّثِ بِأَذْيالِ عَفْوِكَ، وَأَحْوَجَتْنِي الْخَطايا إلَى اسْتِفْتاحِ أَبْوابِ صَفْحِكَ، وَدَعَتْنِي الاِسآءَةُ إلَى الاِناخَةِ بِفِنآءِ عِزِّكَ، وَحَمَلَتْنِي الْمَخافَةُ مِنْ نِقْمَتِكَ عَلَى التَّمَسُّكِ بِعُرْوَةِ عَطْفِكَ، وَما حَقُّ مَنِ اعْتَصَمَ بِحَبْلِكَ أَنْ يُخْذَلَ، وَلا يَلِيقُ بِمَنِ اسْتَجَارَ بِعِزِّكَ أَنْ يُسْلَمَ أَوْ يُهْمَلَ. إلهِي فَلا تُخْلِنا مِنْ حِمايَتِكَ، وَلاَ تُعْرِنَا مِنْ رِعَايَتِكَ، وَذُدْنا عَنْ مَوارِدِ الْهَلَكَةِ، فَإنَّا بِعَيْنِكَ وَفِي كَنَفِكَ، وَلَكَ أَسْأَلُكَ بِأَهْل خاصَّتِكَ مِنْ مَلائِكَتِكَ، وَالصَّالِحِينَ مِنْ بَرِيَّتِكَ، أَنْ تَجْعَلَ عَلَيْنا واقِيَةً تُنْجِينا مِنَ الْهَلَكاتِ، وَتُجَنِّبُنا مِنَ الافاتِ، وَتُكِنُّنا مِنْ دَواهِي الْمُصِيباتِ، وَأَنْ تُنْزِلَ عَلَيْنا مِنْ سِكَيْنَتِكَ، وَأَنْ تُغَشِّيَ وُجُوهَنا بِأَنْوارِ مَحَبَّتِكَ، وَأَنْ تُؤْوِيَنا إلى شَدِيدِ رُكْنِكَ، وَأَنْ تَحْوِيَنا فِي أَكْنافِ عِصْمَتِكَ بِرأْفَتِكَ وَرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ.

82

NONG'ONO LA SALA YA WENYE KUSHIKAMANA

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

O Allah O we kimbilio la wakimbiliao! O we kinga ya wenye kujikinga! O we mwokozi wa wahilikio! O we mhifadhi wa wanyonge! O we mwenye huruma kwa masikini! O we mwenye kuwajibu wenye shida! Ewe hazina ya wenye hajja! O we mwenye kuwaganga waliovunjika! Ewe kimbilio la waliokatikiwa! O msaidizi wa wanyonge! O we mtowa hifadhi kwa wenye hofu!  O msaidia wenye taabu!

O ngome ya wakimbizi! Ikiwa sikujikinga na uwezo wako ni kwa nani nitajikinga naye? Endapo  sikuomba kimbilio kwa uwezo wako kwa nani nitakimbilia! Dhambi zimenifanya nishike upindo wa vazi la msamaha wako!

Makosa yamenifanya niombe kubisha hodi kwenye mlango wa msamaha wako. Maovu yamenifanya niteremke kwenye ukumbi wa utukufu wako. Hofu ya adhabu yako imenichukuwa nishikamane na kishiko cha huruma yako.

Si haki kwa ambaye ameshikamana na kamba yako atupiliwe mbali. Wala haiwi sawa kwa ambaye ameomba hifadhi kwa enzi yako asalimishwe au atelekezwe! O Mola wangu usitutowe nje ya himaya yako. Usituvue uangalizi wako.

Tulinde kwenye njia za kuangamiza. Hakika sisi tuko machoni mwako.

Na tu katika bawa lako.

Nakuomba kwa wateule wako miongoni mwa malaika wako na walio wema miongoni mwa viumbe wako. Utujaaliye juu yetu mlinzi atakaye tuokowa kutoka kwenye maangamizi, na utuepushe na maafa. Tufiche kutokana na misiba mibaya.

Tuteremshie utulivu wako na funika nyuso zetu kwa nuru ya mahabba yako.

Utupe hifadhi kwenye ngome yako. Tukusanye chini ya bawa la uhifadhi wako. Kwa huruma yako na rehema yako. Ewe mwenye huruma nyingi kuliko wote wenye huruma.

المناجاة الخامسة عشرة: مناجاة الزاهدين

بسم الله الرحمن الرحيم

1 ـ إلهِي أَسْكَنْتَنا داراً حَفَرَتْ لَنا حُفَرَ مَكْرِها وَعَلَّقَتْنا بِأَيْدِي الْمَنايا فِي حَبائِلِ غَدْرِها، فَإلَيْكَ نَلْتَجِئُ مِنْ مَكآئِدِ خُدَعِها، وَبِكَ نَعْتَصِمُ مِنَ الاغْتِرارِ بِزَخارِفِ زِيْنَتِهَا، فَإنَّهَا الْمُهْلِكَةُ طُلاَّبَهَا، الْمُتْلِفَةُ حُلاَّلَهَا، الْمَحْشُوَّةُ بِالافاتِ، الْمَشْحُونَةُ بِالنَّكَباتِ.

2 ـ إلهِي فَزَهِّدْنا فِيها، وَسَلِّمْنا مِنْها بِتَوْفِيقِكَ وَعِصْمَتِكَ، وَانْزَعْ عَنَّا جَلابِيبَ مُخالَفَتِكَ، وَتَوَلَّ أُمُورَنا بِحُسْنِ كِفايَتِكَ، وَأَوْفِرْ مَزِيدَنا مِنْ سَعَةِ رَحْمَتِكَ، وَأَجْمِلْ صِلاتِنا مِنْ فَيْضِ مَواهِبِكَ، وَاغْرِسْ فِي أَفْئِدَتِنا أَشْجارَ مَحَبَّتِكَ، وَأَتْمِمْ لَنا أَنْوارَ مَعْرِفَتِكَ، وَأَذِقْنا حَلاوَةَ عَفْوِكَ، وَلَذَّةَ مَغْفِرَتِكَ، وَأَقْرِرْ أَعْيُنَنا يَوْمَ لِقآئِكَ بِرُؤْيَتِكَ، وَأَخْرِجْ حُبَّ الدُّنْيا مِنْ قُلُوبِنا كَما فَعَلْتَ بِالصَّالِحِينَ مِنْ صَفْوَتِكَ، وَالاَبْرارِ مِنْ خاصَّتِكَ بِرَحْمَتِكَ يا أَرْحَمَ الرَّاحِمِينَ، وَيا أَكْرَمَ الاَكْرَمِينَ.

83

NONG'ONO LA SALA YA WATAWA

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.

Mola wangu umetuweka katika makazi yaliyotuchimbia shimo la vitimbi vyake.

Umetuambatanisha kwenye mkono wa umauti katika kamba ya usaliti wake. Kwako twakimbilia toka kwenye vitimbi vya ujanja wake. Kwako twaomba hifadhi ili tusighurike na mng'aro wa mapambo yake.

Kwa sababu yenyewe ni yenye kuwaangamiza wayatafutayo, yenye kuwaharibu wakazi wake, yamejaa maafa, misiba. Mungu wangu tushawishi kujiepusha nayo.

Tupe salama mbali nao kwa tawfiki yako na hifadhi yako. Tuvuwe majoho ya kukuhalifu wewe, yasimamie mambo yetu kwa uzuri wa utoshelezaji wako. Tuongezee ziada yetu kutoka wasaa wa rehema yako.

Jaalia majazi yetu toka kwenye wingi wa ruzuku zako. Panda mioyoni mwetu miti ya upendo wako tutimiziye nuru ya maarifa yako, tuonjeshe utamu wa msamaha wako na ladha ya maarifa yako, yafurahishe macho yetu siku ya kukutana na wewe kwa kukuomba wewe.

Toa kuipenda dunia ndani ya mioyo yetu kama ulivyo wafanyia watu wema miongoni mwa wateule wako, na watu wema miongoni mwa watu wako mahsusi. Ewe mwingi wa rehema kuliko wote wenye kurehemu. O wee mkarimu mno kuliko makarimu wote.

back