back next

Dua ya 20

DU'A ZAKE KATIKA TABIA NJEMA NA VITENDO VYA KURIDHISHA:

Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake. Ifanye iymani yangu ifikiye daraja kamilifu ya iymanni. Na ifanye yakini yangu iwe yakini bora. Na ifikishe nia yangu kwenye nia nzuri mno. Ewe Mola kwa huruma zako ikamilishe nia yangu. Ifanye yakini yangu iwe sahihi kwa yale uliyonayo. rekebisha kwa uwezo wako kilicho haribika kwangu.

Ewe Mola msalie Muhammad na Aliy zake. Niepushe na hima inishughulishayo na kunirudisha nyuma. Nitumikishe katika ambayo utaniuliza kesho. Ziache siku zangu zitumike kwa yale tu ambayo kwa ajili yake uliniumba.

Nitosheleze unipanulie riziki yako, usinipe mtihani wa kutokuwa na shukrani. Nipe enzi usinitihani kwa kunifanya niwe na kibri. Nifanye niwe nakuabudia wewe usiiharibu ibada yangu kwa kujisifu.

Ipitishe mikononi mwangu kheri kwa watu usiifute kwa masimbulizi yangu kwao. Nipe tabia njema za hali ya juu kabisa. Nilinde na kujifaharisha. Ewe Mola wangu mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Wala usinipandishe daraja kwa watu ila uwe umeniteremshia nafsini mwangu mfano wake, usinifanyie utukufu wa wazi isipokuwa uwe umenifanyia udhalili wa ndani ya nafsi yangu kwa kadiri ile ile.

 Ewe Mola msalie Muhammad na Aliy zake. Na unistareheshe kwa mwongozo mwema ambao sitoubadilisha. Na njia ya haki ambayo sitopotoka na nia ongofu ambayo sitokuwa na mashaka nayo.

Nipe maisha ikiwa maisha yangu yatakuwa zawadi ya bure kukutii wewe. Na endapo maisha yangu yatakuwa malisho mema ya shetani nichukuwa kwako kabla haijatangulia chuki yako kwangu au kabla haijachukuwa nafasi ghadhabu zako juu yangu.

Ewe Mola usiiache sifa ambayo kwayo nitaaibishwa isipokuwa utakuwa umeirekebisha. Au aibu nalaumiwa kwayo ila itakuwa umeirekebisha. Wala daraja bora linakasoro uwe umelikamilisha.

Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake. Nibadilishie bughudha ya watu wenye chuki kwa upendo. Na nibadilishie husda ya mafedhuli iwe mapenzi, na dhana ya watu wema iwe uaminifu, na uadui wa makaraba uwe urafiki, na kutojaliwa na watu wa tumbo moja kuwe wema, na kutupiliwa mbali na ndugu wa karibu kuwa ni msaada, na upendo wa wabembe uwe upendo uliorekebika upendo sahihi, na kukataliwa na wenzi kuwe heshima na urafiki.

Uchungu wa kuwaogopa wadhalimu uwe utamu wa uaminifu. Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake. Unijaalie niwe na mkono wa juu dhidi ya wanaonidhulumu, na ulimi wa juu dhidi ya wanaonigomba, ushindi kwa anayemng'ang'ania kunikaidi.

Nipe mbinu dhidi ya anayenifanyia vitimbi, na uwezo dhidi ya anayenikandamiza na kumkanusha anayenikebehhi, nipe usalama kwa anayenikamia, nipe taufiki ya kumtii anayeniweka sawa.

Kumfuata anayeniongoza. Ewe Mola msalie Muhammad na Aliy zake. Niweke sawa ili nimpinge anayenighushi kwa nasaha, mlipe anayejitenga na mimi kwa wema umlipe mwenye kuninyima kwa kutoa bure, umlipe mwenye kujitenga na mimi kwa mawasiliano, nimpinge mwenye kunisengenya kwa kunitaja vyema, na niwezeshe kushukuru yaliyomema na kuyafumbia macho maovu, ewe Mola mrehemu Muhammad na Ali zake, nipambe kwa mapambo ya watu wema nivishe pambo la wachamungu kwa kueneza uadilifu.

Kujizuiya na ghadhabu, kuuzima moto wa chuki, kuwaleta pamoja watu waliotawanyika, kusuluhisha mizozo ya wasiopatana, kueneza mema, kusitiri aibu, kuwa na tabia ya upole, kushusha bawa chini, mwendo mwema, uvumilivu, uzuri wa mwenendo, na kuharakia maadili, kuchagua fadhila, kuacha kuaibisha, kumfadhili asiyestahiki, kusema yaliyo haki japo ni machungu, kuudogesha wema japo uwe mwingi, kwa kauli yangu au kwa kitendo changu, nakuikithirisha shari japo iwe ndogo kwa kauli yangu au kitendo changu.

Nikamilishie hayo mimi kwa kudumisha utii, na kujiambatanisha na jamaa na kuwakataa wazushi na watumiao rai zao za kubuni. Ewe Mola mrehemu Muhammad na aliy zake.

Na jaalia riziki yangu iwe riziki ya wasaa mno kwangu endapo nitakuwa mtu mzima. Na mwenye nguvu sana katika nguvu zako nitakapoishiwa nguvu. Usinipe mtihani wakuwa mvivu katika ibada yako.

Wala kuwa kipofu wakutoiona njia yako, wala kujihusisha na linalopingana na mapenzi yako, wala kujiunga na ambaye amejitenga na wewe, wala kujitenga na aliyejiambatanisha na wewe.

Ewe Mola nifanye niwe narukia kwako wakati wa dharura. Nakuomba wakati wa haja, nanyenyekea kwako wakati wa shida, usinipe mtihani wa kuomba msaada kwa mwingine mbali na wewe nikiwa nimedharurika wala kunyenyekea kwa ombi kwa mwingine mbali na wewe niwapo fakiri, wala kunyenyekea kwa ambaye ni chini yako nikiwa na woga. Kwa kufanya hivyo nitastahiki kutupiliwa mbali na wewe na kukabiliwa na zuio lako na kutumbiwa mgongo na wewe.

Ewe mwingi mno wa kurehemu kuliko wanaorehemu wote. Ewe Mola fanya anachonitupia shetani moyoni miongoni mwa tamaa, dhana, na husda iwe ni kumbusho la utukufu wako kuitafakari nguvu yako, na iwe ni onyo dhidi ya adui wako.

Nayafanye ayapitishayo ulimini mwangu miongoni mwa tamko baya au kebbehi au ushahidi batili, au kumsengenye muumini asiyekuwapo au kumtusi aliyopo na yaliyomfano wa hayo iwe ni tamko la kukuhimidi wewe.

Na kuzama katika kukusifu wewe na juhudi katika kukuenzi wewe na shukrani kwa ajili ya neema zako. Nakutambua ihisani yako, na kuhesabu huruma yako.

Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake. Nisidhulumiwe hali wewe ni muweza wakunilinda, wala nisidhulumu nawe waweza kunizuia, usiache nipotee hali waweza kuniongoza, usinniache niwe masikini na hali kwako kuna yakunitosheleza. Nisivuke mipaka haki kwako ndio utajiri wangu.

Ewe Mola, nimekuja kwenye msamaha wako, naelekea msamaha wako. Ninashauku na kufumbiwa macho kwako ninaithibati na fadhila zako, sina kinachoweza kuwajibisha msamaha wako kwangu, wala katika kazi yangu hakuna ninachoweza kustahiki msamaha wako, sina chochote baada ya kujihukumia mwenyewe dhidi ya nafsi yangu kinifaacho ila fadhila zako, mrehemu Muhammad na Ali zake, nipe fadhila zako.

Ewe Mola, nitamkishe uongofu, nipe mwongozo wa uchamungu, niwafikishe fanaka katika ambacho ni safi mno, nitumikishe kwa ambalo lakuridhiwa ewe Mola nipitishe njia ya mfano bora. Yafanye maisha yangu katika mila yako kufa na kupona. Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Nifanye wakufurahiya iktiswadi (yaani uwekevu), nifanye niwe miongonni mwa watu wa sawa miongoni mwa waongofu, miongoni mwa waja wema, niruzuku kuwa mwenye kufaulu marejeo na usalama wa mawindo.

Ewe Mola, chukuwa kwa ajili yako kutoka nafsini mwangu kitachoitakasa, nabakisha kwa ajili ya nafsi yangu kutoka nafsi yangu kitakachoifanya iwe njema kwa kuwa nafsi yangu ni yenye kuangamia isipokuwa ukiilinda.

Ewe Mola, wewe ndio kifao changu ni huzunikapo wewe ndio kimbilio langu ninyimwapo kwako ndio mahali pa kuomba msaada nikiwa katika taabu. Na kwako kuna badali ya yaliyopotea na marekebisho kwa kilichoharibika. Na mabadiliko kwa ulichokikaa, nihurumie kwa kunipa afya kabla ya balaa.

Na mali kabla ya kuomba, na kabla ya kupotea uongofu, nitosheleze nisipatwe na mzigo wa aibu kwa waja, unipe amani siku ya marejeo, nipe mwongozo mwema, ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Nilinde kwa rehma yako, nilishe kwa neema zako, nisawazishe kwa ukarimu wako, nitibu kwa wema wako, nifunike kwa kivuli chako, nienezee ridhaa zako.

Niwafikishe ili nifikie jambo lenye mwongozo mno endapo mambo yatachanganyika mbele yangu, nifikie kwenye kazi iliyo safi mno endapo kazi zitashabihiyana, nifikie kwenye itikadi iridhiwayo endapo itikadi zitapingana, ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake, nivishe taji la kuridhika.

Nipe malezi mema, nipe mwongozo sahihi, usinipe mtihani kwa kuwa na nafasi, unipe maisha mema, usiyafanye maisha yangu kuwa ya taabu na shida, usiirudishe DU'A yangu kwangu kwa kuikataa.

Kwa hakika mimi sikufanyii yeyote kuwa dhidi yako, wala simwombi yeyote pamoja na wewe nikimfanya kuwa yu sawa na wewe, ewe Mola msalie Muhammad na Aliy wake. Niziwie ili nisiwe mfujaji, ilinde riziki yangu na uharibifu, zidisha mali zangu kwa kuzibariki, niwafikishe njia ya mwongozo kwa wema wa niyatumiayo, ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Niepushe na mzigo wa kuchuma, na unipe bila ya hesabu, kutafuta kusiniziwie kufanya ibada yako, nisibebe mzigo wa matokeo mabaya ya uchumaji.

Ewe Mola nipe niyatafutayo kwa uwezo wako, nipe kimbilio safi kwa nguvu zako kwa nihofiayo, ewe Mola msalie Muhammad na Aliy zake uhifadhi uso wangu kwa kuwa na nafasi bora ya maisha, usiidhalilishe heshima yangu kwa ufakiri ili nisije waomba riziki uliowaruzuku au niwaombe kipawa watu washari katika viumbe wako.

Kwa hiyo nitakuwa katika fitna ya kumsifu atakaye nipa na kuingia katika balaa la kumlaumu atakaye nikatalia.

Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aliy zake. Na wewe siwawo ndio Bwana wa utoaji na uzuiaji. Ewe Mola mrehemu Muhammad na Alali zake.

Na unipe siha katika ibada, nijihusishe na zuhud, na elimu katika matendo, na kujiepusha katika kipimo.

Ewe Mola hitimisha muda wangu kwa msamaha wako.

Nayathibitishie matarajio ya Rehma zako matazamio yangu. Wepesisha njia zangu kufikia Ridhaa zako. Amali zifanye nzuri katika hali zote. Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aali zake.

Nizinduwe kukukumbuka nyakati za mghafala. Nitumikishe katika utii wako siku za Raha.

Nifanyie njia nyeupe na rahisi kuelekea mapenzi yako. Nikamilishie kwayo kheri ya dunia na Akhera.

E Mola mrehemu Muhammad na Aali zake.

Kwa ubora ule uliomrehemu yeyote katika viumbe vyako kabla yake. Na ule ambao utamrehemu yeyote baada yake. Tupe mema hapa duniani na mema akhera. Na unilinde kwa rehema zako na adhabu za mto.

[ÇáÏøÚÇÁ ÇáÍÇÏí æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå ÅÐÇ ÃÍÒäå ÃãÑ æÃåãøÊå ÇáÎØÇíÇ]

Ãóááøóåõãøó íóÇ ßóÇÝöíó ÇáúÝóÑúÏö ÇáÖóÚöíúÝö¡ æóæóÇÞöíó ÇáÇãúÑö ÇáúãóÎõæúÝö¡ ÃóÝúÑóÏóÊúäöí ÇáúÎóÜØóÇíóÇ; ÝóÜáÇó ÕóÇÍöÈó ãóÚöí¡ æóÖóÚõÝúÊõ Úóäú ÛóÖóÈößó; ÝóáÇó ãõÄóíøöÏó áöí¡ æóÃóÔúÑóÝúÊõ Úóáóì ÎóæúÝö áöÞóÇÆößó; ÝóáÇó ãõÓóßøöäó áöÑóæúÚóÊöí¡ æóãóäú íõÄúãöäõäöí ãöäúßó æóÃóäúÊó ÃóÎóÝúÊóäöí¿ æóãóä íÓÇÚöÏõäöí æóÃóäúÊó ÃóÝúÑóÏúÊóäöí¿ æóãóäú íõÞóæøöíúäöí æóÃóäúÊó ÃóÖúÚóÝúÊóäöí¿ áÇó íõÌíÑõ íÇ Åáåí ÅáÇø ÑóÈøñ Úóáóì ãóÑúÈõæÈ¡ æóáÇó íõÄúãöäõ ÅáÇø ÛÇáöÈñ Úóáóì ãóÛúáõæÈ¡ æóáÇó íõÚöíäõ ÅöáÇø ØÇáöÈñ Úóáóì ãóØúáõæÈ¡ æóÈöíóÜÏößó íóÜÇó Åáåöí ÌóãöíÚõ Ðáößó ÇáÓøóÈóÈö¡ æóÅáóíúßó ÇáúãóÝóÑøõ æóÇáúãóåúÑÈõ. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóÌöÑú åóÑóÈöí æóÃóäúÌöÍú ãóØúáóÈöí. Ãááøóåõãøó Åäøóßó Åäú ÕóÑóÝúÊó Úóäøöí æóÌúåóßó ÇáúßóÑöíúãó¡ Ãóæú ãóäóÚúÊóäöí ÝóÖúáóßó ÇáúÌóÓöíãó¡ Ãóæú ÍóÙóÑúÊó Úóáóíøó ÑöÒúÞóßó Ãóæú ÞóØóÚúÊó Úóäøöí ÓóÈóÈóÜßó áóãú ÃóÌöÏö ÇáÓøóÈöíÜáó Åáóì ÔóíúÁ ãöäú Ãóãóáöí ÛóíúÑóßó¡ æóáóãú ÃóÞúÏöÑú Úóáóì ãóÇ ÚöäúÏóßó ÈöãóÚõæäóÉö ÓöæóÇßó; ÝóÅäøöí ÚóÈúÏõßó¡ æóÝöí ÞóÈúÖóÊößó äóÇÕöíóÊöí ÈöíóÏößó¡ áÇó ÃóãúÑó áöí ãóÚó ÃóãúÑößó¡ ãóÇÖ Ýöíøó Íõßúãõßó¡ ÚóÏúáñ Ýöíøó ÞóÖóÇÄõßó¡ æóáÇó ÞõæøóÉó áöí Úóáóì ÇáúÎõÜÑõæÌö ãöäú ÓõáúØóÇäöÜßó¡ æóáÇó ÃóÓúÊóØöíÜÚõ ãõÌóÇæóÒóÉó ÞõÏúÑóÊößó¡ æóáÇó ÃóÓúÊóÜãöíáõ åóæóÇßó¡ æóáÇóÃÈúáõÛõ ÑöÖóÇßó¡ æóáÇó ÃóäóÇáõ ãóÇ ÚöäúÏóßó ÅáÇøó ÈöØóÇÚóÊößó æóÈöÝóÖúá ÑóÍúãóÊößó. Åáåöí ÃóÕúÈóÍúÊõ æóÃóãúÓóíúÊõ ÚóÈúÏÇð ÏóÇÎöÑÇð áóßó¡ áÇ Ãóãúáößõ áöäóÝúÓöí äóÝúÚÇð æóáÇó ÖóÑøÇð ÅáÇøó Èößó ÃóÔúåóÏõ ÈöÐóáößó Úóáóì äóÝúÓöí æóÃóÚúÊóÜÑöÝõ ÈöÖóÚúÝö ÞõÜæøóÊöí æóÞöáøóÉö ÍöíúáóÊöí ÝóÃóäúÌÒú áöí ãóÇ æóÚóÏúÊóäöí¡ æóÊóãøöãú áöí ãóÇ ÂÊóíúÊóäöí; ÝóÅäøöí ÚóÈúÜÏõßó ÇáúãöÓúßöíäõ ÇáúãõÓúÊßöíäõ ÇáÖøóÚöíÝõ ÇáÖøóÜÑöíÜÑõ ÇáÐøóáöíáõ ÇáúÍóÞöíÑõ Çáúãóåöíäõ ÇáúÝóÞöíÑõ ÇáúÎóÇÆöÝõ ÇáúãõÓúÊóÌöíÑõ. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóáÇóÊóÌúÚóáúäöí äóÇÓöíóÇð áöÐößúÑößó ÝöíãóÇ ÃóæúáóíúÊóäöí¡ æóáÇó ÛÇÝöáÇð áÇÍúÓóÇäößó ÝöíãóÇ ÃóÈúáóíúÊóäöí¡ æóáÇ ÂíÓóÇð ãöäú ÅÌóÇÈóÊößó áöí æóÅäú ÃóÈúØóÃÊó Úóäøöí Ýöí ÓóÑøóÇÁó ßõäúÊõ Ãóæú ÖóÑøóÇÁó¡ Ãóæú ÔöÏøóÉ Ãóæú ÑóÎóÇÁ¡ Ãóæú ÚóÇÝöíóÉ Ãóæú ÈóáÇÁ¡ Ãóæú ÈõÄúÓ Ãóæú äóÚúãóÇÁó¡ Ãóæú ÌöÏóÉ Ãóæú áÇæóÇÁó¡ Ãóæú ÝóÞúÑ Ãóæú Ûöäìð. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÌúÚóáú ËóäÇÆöí Úóáóíúßó æóãóÏúÍöí ÅíøóÇßó æóÍóãúÏöí áóßó Ýöí ßõáøö ÍóÇáÇóÊöí ÍóÊøóì áÇó ÃóÝúÑóÍó ÈöãóÇ ÂÊóíúÊóäöí ãöäó ÇáÏøõäúíóÇ¡ æóáÇó ÃóÍúÜÒóäó Úóáóì ãóÇ ãóäóÚúÊóäöí ÝöíåóÇ¡ æóÃóÔúÚöÑú ÞóáúÈöí ÊóÞúæóÇßó¡ æóÇÓúÊóÚúãöáú ÈóÏóäöí ÝöíúãóÇ ÊóÞúÈóáõåõ ãöäøöí¡ æóÇÔúÛóáú ÈöØóÇÚóÊößó äóÝúÓöí Úóäú ßõáøö ãóÇíóÑöÏõ Úóáóìøó ÍóÊøóì áÇó ÇõÍöÈøó ÔóíúÆóÇð ãöäú ÓõÎúØößó¡ æóáÇ ÃóÓúÎóØó ÔóíúÆÜÇð ãöäú ÑöÖóÜÇßó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÝóÑøöÛú ÞóáúÈöí áöãóÍóÈøóÊößó¡ æóÇÔúÛóáúåõ ÈöÐößúÑößó¡ æóÇäúÚóÔúåõ ÈöÎóæúÝößó¡ æóÈöÇáúæóÌóáö ãöäúßó¡ æóÞóæøöåö ÈöÇáÑøóÛúÈóÉö Åáóíúßó¡ æóÃóãöáúåõ Åáóì ØóÇÚóÊößó¡ æóÃóÌúÑö Èöåö Ýöí ÃóÍóÈøö ÇáÓøõÈõáö Åáóíúßó¡ æóÐóáøöáúåõ ÈöÇáÑøóÛúÈóÉö ÝöíãóÇ ÚöäúÏóßó ÃóíøóÇãó ÍóíóÇÊöí ßõáøöåóÇ¡ æóÇÌúÚóáú ÊóÞúæóÇßó ãöäó ÇáÏøõäúíóÇ ÒóÇÏöí¡æóÅáóì ÑóÍúãóÊößó ÑöÍúáóÊöí¡ æóÝöí ãóÑúÖóÇÊößó ãóÏúÎóáöí. æóÇÌúÚóáú Ýöí ÌóäøóÊößó ãóËúæóÇíó¡ æóåóÈú áöí ÞõæøóÉð ÃóÍúÊóãöáõ ÈöåóÇ ÌóãöíÚó ãóÑúÖóÇÊößó¡ æóÇÌúÚóáú ÝöÑóÇÑöí Åáóíúßó¡ æóÑóÛúÈóÊöí ÝöíãóÇ ÚöäúÏóßó¡ æóÃóáúÈöÓú ÞóáúÈöí ÇáúæóÍúÔóÉó ãöäú ÔöÑÇÑö ÎóáúÞößó. æóåóÈú áöí ÇáÇõäúÓó Èößó æóÈöÃóæúáöíóÜÂÆößó æóÃóåúáö ØóÇÚóÊößó¡ æóáÇó ÊóÌúÚóáú áöÜÝóÇÌöÜÑ æóáÇßóÇÝöÑ Úóáóíøó ãöäøóÉð¡ æóáÇó áóÜåõ ÚöäúÏöí íóÏÇð¡ æóáÇ Èöí Åáóíúåöãú ÍóÇÌóÉð¡ Èóá ÇÌúÚóÜáú ÓõßõÜæäó ÞóáúÈöí æóÇõäúÓó äóÝúÓöí æóÇÓúÊöÛúäóÜÇÆöí æóßöÝóÇíóÊöí Èößó æóÈöÎöíóÜÇÑö ÎóáúÞößó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÇÌúÚóáúäöí áóåõãú ÞóÜÑöíäÇð¡ æóÇÌúÚóáúäöí áóåõãú äóÕöíúÑÇð¡ æóÇãúäõäú Úóáóíøó ÈöÔóæúÞ Åáóíúßó¡ æóÈöÇáúÚóãóáö áóßó ÈöãóÇ ÊõÍöÈøõ æóÊóÑúÖóì Åäøóßó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíÑñ¡ æóÐóáößó Úóáóíúßó íóÓöíÑñ.

Dua ya 21

NA ALIKUWA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) AKIHUZUNISHWA NA JAMBO NA YA MUOGOPESHAPO MAKOSA:

Ewe Mola! Ewe mwenye kumtosheleza mpweka dhaifu. Mlinzi wa jambo lihofiwalo. Makosa yamenitenga wala sina mwenzi nimekuwa dhaifu kwa ghadhabu zako hakuna wakunipa nguvu.

Nimeikaribia hofu ya kukutana na wewe hakuna wakuituliza hofu yangu nani anipe amani kwako na wewe ndiye umeniogopesha?

Hatowi kimbilio Ewe! Mola wangu ila Bwana mlezi kwa awaleao hatowi amani ila mshindi kwa mshindwa. Hakuna asaidiaye juu ya chenye kuombwa ila ni mwombaji. Na mkononi mwako Ewe! Mola wangu kuna sababu zote hizo.

Kwako ndio kwa kukimbilia na ndio kimbilio msaliye Muhammad na Aali zake. Na nipe kimbilio kwa ajili ya kimbilio langu fanikisha ombi langu.

Ewe Mola hakika wewe ukinigeuzia uso wako mtukufu mbali nami au ukiniziwiya fadhila zako kubwa, au kunikataza riziki yako. Au ukikata mbali namimi sababu yako sitoipata njia kufikia chochote katika matumaini yangu bila ya wewe. Wala sitoweza kuyapata yaliyo kwako kwa msaada wa mwingine.

Mimi ni mja wako niko mashikoni mwako. Nyele zangu za mbele zi mikononi mwako. Sina amri pamoja na amri yako hukumu yako yatekelezeka kwangu. Maamuzi yako kwangu ni ya kiadilifu. Sina uwezo wakutoka nje ya mamlaka yako.

Wala siwezi kuzikurubia nguvu zako wala siwezi kuelemeza upendo wako. si ufikii upendo wako. wala sitoyapata yaliyokwako isipokuwa kwa utii wako nakwa fadhila za rehema zako Oh! Mungu wangu! muda wote niko mjawako wa ngazi ya chini kabisa.

Si miliki manufaa kwa ajili ya nafsi yangu wala madhara isipokuwa kwa njia yako.

Nashuhudia hilo mwenyewe binafsi. Natambua udhaifu wa nguvu zangu na uhaba wa mbinu zangu:

Hivyo basi nipe ulilo niahadi. Nitimizie ulilonipa Mimi ni mja wako Masikini, mnyonge Dhaifu mwenye dhiki

Dhalili, mwenye kudharauliwa, mnyonge fakiri.

Aliyeshikwa na woga aombaye hifadhi, Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aali zake. Ala mwenye kughafilika ihsani yako uliponipa mtihani. Wala kukata tamaa na jibu lako japo lije polepole sana kwangu. Sawa niwe katika neema au katika taabu.

Shida au raha.

Katika hali njema au katika balaa. Katika maafa au katika raha. Katika utajiri au hangaiko. Ufakiri au utajiri. Ewe Mola mrehemu Muhammadi na Aali zake.

Na jaaliya kukusifu kwangu kwa sifa njema, kukuhimidi, na kukutukuza kuwe katika hali zangu zote. Ili niwe sifurahii ulionipa katika dunia.

Wala nisihuzunikie ulionizuia humo. Upe moyo wangu kukuogopa wewe utumikishe mwili wangu kwa lile unalolikubali kutoka kwangu.

Ishughulishe nafsi yangu katika utii wako kwa kila liingialo kwangu kiasi chakuwa nisikipende chochote kinachokukasirisha.

Wala nisichukie chochote kikufurahishacho. Ewe Mola msalie Muhammad na Aali zake. Ufanye moyo wangu uwe tupu ila kukupenda wewe.

Na ushughulishe kukukumbuka wewe. Uhuishe kukuogopa na utishike na wewe upe nguvu kukusihi wewe. Uelemeze kwenye utii wako. Upitishe katika njia zipendwazo sana na wewe.

Udhalilishe kupenda ulichonacho siku zote za uhai wangu. Kukuogopa wewe Duniani iwe ndio masurufu yangu. Safari yangu iwe kuielekea Rehma za kuingia kwangu kuwe katika maridhawa yako.

Jaalia makazi yangu yawe katika jannah yako. Nipe nguvu za kubeba kila kitu ukipendacho. Jaalia kukimbia kwangu iwe kuja kwako na kupenda kwangu kile kilichokuwa kwako. Uvishe moyo wngu kuwaona watenda shari katika viumbe wako kuwa si wako kawaida.

Nipe urafiki na wewe na marafiki zako na watu wako watii. Wala usimjaalie muwovu wala kafiri fadhila juu yangu, wala asiwe na mkono kwangu, wala ni siwee na haja kwake.

Lakini jaalia utulivu wa moyo wangu, Raha ya nafsi yangu, kujitegemea, kwangu na kujitosheleza kwangu kwako. Na kwa viumbe wako wazuri mno. Ewe! Mola mrehemu Muhammad na Aali zake nifanye niwe rafiki kwao.   Nifanye niwe msaidizi kwao.

Nitunukie niwe na shauku ya upendo wako na kufanya mema kwa ajili yako yale uyapendayo na wayaridhiya. Hakika wewe ni muweza wa kila kitu. Na hayo kwako ni mepesi.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇäí æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÚäÏ ÇáÔÏøÉ æÇáÌåÏ æÊÚÓøÑ ÇáÇõãæÑ]

Ãóááøóåõãøó Åäøóßó ßóáøóÝúÊóäöí ãöäú äóÝúÓöí ãóÇ ÃóäúÊó Ãóãúáóßõ Èöåö ãöäøöí¡ æóÞõÏúÑóÊõßó Úóáóíúåö æóÚóáóíøó ÃóÛúáóÈõ ãöäú ÞõÏúÑóÊöí¡ ÝóÃóÚúØöäöí ãöäú äóÝúÓöí ãóÇ íõÑúÖöíúßó Úóäøöí¡ æóÎõÐú áöäóÝúÓößó ÑöÖóÇåóÇ ãöäú äóÝúÓöí Ýöí ÚóÇÝöíóÉ. Ãááøóåõãøó áÇó ØóÇÞóÉó áöí ÈöÇáÌóåúÏö¡ æóáÇó ÕóÈúÑó áöí Úóáóì ÇáÈóáÇóÁö¡ æóáÇó ÞõæøóÉó áöí Úóáóì ÇáúÝóÞúÑö¡ ÝóáÇó ÊóÍúÙõÑú Úóáóíøó ÑöÒúÞöí¡ æóáÇó Êóßöáúäöíú Åáóì ÎóáúÞößó Èóáú ÊóÝóÑøóÏú ÈöÍóÇÌóÊöí¡ æóÊóæáøó ßöÝóÇíóÊöí¡ æóÇäúÙõÑú Åáóíøó æóÇäúÙõÑú áöí Ýöí ÌóãöíúÚö ÇõãõæÑöí¡ ÝóÅäøóßó Åäú æóßóáúÊóäöí Åáóì äóÝúÓöí ÚóÌóÒúÊõ ÚóäúåóÇ¡ æóáóãú ÇõÞöãú ãóÇ Ýöíåö ãóÕúáóÍóÊõåóÇ¡ æóÅäú æóßóáúÊóäöí Åáóì ÎóáúÞößó ÊóÌóåøóãõæäöí¡ æóÅäú ÃóáúÌóÃÊóäöíú Åáóì ÞóÑóÇÈóÊöí ÍóÑóãõæäöí¡ æóÅäú ÃóÚúØóæúÇ ÃóÚúØóæúÇ ÞóáöíúáÇð äóßöÏÇð¡ æóãóäøõæÇ Úóáóíøó ØóæöíáÇð æóÐóãøõæÇ ßóËöíÑÇð. ÝóÈöÝóÖúáößó Ãááøóåõãøó ÝóÃóÛúäöäöí¡ æóÈöÚóÙóãóÊöÜßó ÝóÇäúÚóÔäöí¡ æóÈöÓóÚóÊößó ÝóÇÈúÓõØú íóÏöí¡ æóÈöãóÇ ÚöäúÏóßó ÝóÇßúÝöäöí. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÎóáøöÕúäöí ãöäó ÇáúÍóÓóÏö¡ æóÇÍúÕõÑúäöí Úóä ÇáÐøõäõæÈö¡ æóæóÑøöÚúäöí Úóäö ÇáúãóÍóÇÑöãö¡ æóáÇ ÊõÌóÑøöÆúäöí Úóáóì ÇáúãóÚóÇÕöí¡ æóÇÌúÚóáú åóæÇíó ÚöäúÏóßó¡ æóÑöÖóÇíó ÝöíãóÇ íóÑöÏõ Úóáóíøó ãöäúßó¡ æóÈóÇÑößú áöí ÝöíúãóÇ ÑóÒóÞúÊóäöí¡ æóÝöíãóÇ ÎóæøóáúÊóäöí¡ æóÝöíãóÇ ÃóäúÚóãúÊó Èöåö Úóáóíøó¡ æóÇÌúÚóáúäöí Ýöí ßõáøö ÍóÇáÇóÊöí ãóÍúÝõæÙóÇð ãóßúáõæÁÇð ãóÓúÊõæÑÇð ãóãúäõæÚÇð ãõÚóÇÐÇð ãõÌóÇÑÇð. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÞúÖö Úóäøöí ßõáøóãóÇ ÃóáúÒóãúÊóäöíåö æóÝóÑóÖúÊóåõ Úóáóíøó áóßó Ýöí æóÌúå ãöäú æõÌõæåö ØóÇÚóÊößó¡ Ãóæú áöÎóáúÞ ãöäú ÎóáúÞößó æóÅäú ÖóÚõÝó Úóäú Ðóáößó ÈóÏóäöí¡ æóæóåóäóÊú Úóäúåõ ÞõÜæøóÊöí¡ æóáóãú Êóäóáúåõ ãóÞúÏöÑóÊöí¡ æóáóãú íóÓóÚúåõ ãóÇáöí æóáÇó ÐóÇÊõ íóÏöí¡ ÐóßóÑúÊõåõ Ãóæú äóÓöíÊõåõ åõæó íóÇ ÑóÈøö ãöãøóÇ ÞóÏú ÃóÍúÕóíúÊóåõ Úóáóíøó æóÃóÛúÝóáúÊõåõ ÃóäóÇ ãöäúäóÝúÓöí¡ ÝóÃóÏøöåö Úóäøöí ãöäú ÌóÒöíúáö ÚóØöíøóÊößó æóßóËöíÑö ãóÇ ÚöäúÏóßó¡ ÝóÅäøóßó æóÇÓöÚñ ßóÑöíãñ ÍóÊøóì áÇó íóÈúÞóì Úóáóíøó ÔóíúÁñ ãöäúåõ ÊõÑöíÏõ Ãóäú ÊõÞóÇÕøóäöí Èöåö ãöäú ÍóÓóäóÇÊöí¡ Ãóæú ÊõÖóÇÚöÝó Èöåö ãöäú ÓóíøöÆÇÊöí íóæúãó ÃóáúÞóÇßó íóÇ ÑóÈøö. Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÑúÒõÞúäöí ÇáÑøóÛúÈóÉó Ýöí ÇáúÚóãóÜáö áóßó áÇÎöÜÑóÊöí¡ ÍóÊøóì ÃóÚúÑöÝó ÕöÏúÞó Ðáößó ãöäú ÞóáúÈöí¡ æóÍóÊøóì íóßõæäó ÇáúÛóÇáöÈõ Úóáóíøó ÇáÒøõåúÏõ Ýöí ÏõäúíóÇíó¡ æóÍóÊøóì ÃóÚúãóáó ÇáúÍóÓóäóÇÊö ÔóæúÞÇð¡ æóÂãóäó ãöäó ÇáÓøóíøöÆÇÊö ÝóÑóÞÇð æóÎóæúÝÇð¡ æóåóÈú áöí äõæÑÇð ÃóãúÔöí Èöåö Ýöí ÇáäøóÇÓö¡ æóÃóåúÊóÏöí Èöåö Ýöí ÇáÙøõáõãÇÊö¡ æóÃóÓúÊóÖöíÁõ Èöåö ãöäó ÇáÔøóßøö æóÇáÔøõÈõåóÜÇÊö. Çááøåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÑúÒõÞúäöí ÎóÜæúÝó Ûóãøö ÇáúæóÚöíúÜÏö¡ æóÔóæúÞó ËóæóÇÈö ÇáúãóæúÚõæÏö ÍóÊøóì ÃóÌöÏó áóÐøóÉó ãóÇ ÃóÏúÚõæßó áóåõ¡ æóßóÃúÈóÉó ãóÇ ÃóÓúÊóÌöíÑõ Èößó ãöäúåõ. Ãááøóåõãøó ÞóÜÏú ÊóÚúáóãõ ãóÇ íõÕúáöÍõäöí ãöäú ÃóãúÑö ÏõäúíóÇíó æóÂÎöÜÑóÊöí¡ Ýóßõäú ÈöÍóæóÇÆöÌöíú ÍóÝöíøÇð. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáö ãõÍóãøóÏ æóÇÑúÒõÞúäöí ÇáúÍóÞøó ÚöäúÏó ÊóÞúÕöíÑöí Ýöí ÇáÔøõßúÑö áóßó ÈöãóÇÃóäúÚóãúÊó Úóáóíøó Ýöí ÇáíõÓÜÑö æóÇáúÚõÓúÑö æóÇáÕøöÍøóÜÉö æóÇáÓøóÞóãö ÍóÊøóì ÃóÊóÚóÑøóÝó ãöäú äóÝúÓöí ÑóæúÍó ÇáÑøöÖóÇ æóØõãóÃäöíäóÉó ÇáäøóÝúÓö ãöäøöí ÈöãóÇ íóÍúÏõËõ áóßó ÝöíãóÇ íóÍúÏõËõ Ýöí ÍóÇáö ÇáúÎóæúÝö æóÇáÇóãúäö¡ æóÇáÑøöÖóÇ æóÇáÓøõÎúØö¡ æóÇáÖøóÑøö æóÇáäøóÝúÚö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÑúÒõÞúäöí ÓóáÇóãóÉó ÇáÕøóÏúÑö ãöäó ÇáúÍóÓóÏö ÍóÊøóì áÇó ÃóÍúÓõÏó ÃóÍóÏÇð ãöäú ÎóáúÞößó Úóáóì ÔóíúÁ ãöäú ÝóÖúáößó¡ æóÍóÊøóì áÇó ÃóÑì äöÚúãóÜÉð ãöäú äöÚóãöÜßó Úóáóì ÃóÍóÏ ãöäú ÎóáúÞößó Ýöí Ïöíúä Ãóæú ÏõäúíÇ¡ Ãóæú ÚóÇÝöíóÉ Ãóæú ÊóÞúæóì¡ Ãóæú ÓóÚóÉ Ãóæú ÑóÎÇÁ¡ ÅáÇø ÑóÌóæúÊõ áöäóÝúÓöí ÃóÝúÖóáó Ðáößó¡ Èößó æóãöäúßó æóÍúÏóßó áÇó ÔóÑöíßó áóßó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÜÏ æóÂáöÜåö æóÇÑúÒõÞúäöí ÇáÊøóÍóÝøõÙó ãöä ÇáúÎóØóÇíóÜÇ¡ æóÇáÇÍúÊöÑóÇÓó ãöäó ÇáÒøóáóáö Ýöí ÇáÏøõäúíóÇ æóÇáÇÎöÑóÉö¡ Ýöí ÍóÇáö ÇáÑøöÖóÇ æóÇáúÛóÖóÈö¡ ÍóÊøóì Ãßõæäó ÈöãóÇ íóÑöÏõ Úóáóíøó ãöäúåõãóÇ ÈöãóäúÒöáóÉ ÓóæóÇÁ¡ ÚóÇãöáÇð ÈöØóÇÚóÊößó ãõÄúËöÑÇð áöÑöÖóÇßó Úóáóì ãóÇ ÓöæóÇåõãóÇ Ýöí ÇáÇóæúáöíÇÁö æóÇáÇÚúÏóÇÁö ÍóÊøì íóÃúãóäó ÚóÏõæøöí ãöäú Ùõáúãöí æóÌóæúÑöí¡ æóíóíúÃóÓó æóáöíøöí ãöäú ãóíúáöí æóÇäúÍöØóÇØö åóæóÇíó¡ æóÇÌúÚóáäöí ãöãøóäú íóÏúÚõæßó ãõÎúáöÕÇð Ýí ÇáÜÑøóÎóÇÁö ÏõÚóÜÇÁó ÇáúãõÎúáöÕöíäó ÇáúãõÖúØóÑøöíäó áóÜßó Ýöí ÇáÏøõÚóÇÁö Åäøóßó ÍóãöíÏñ ãóÌíÏñ.

Dua ya 22

DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA SHIDANA JUHUDI NA MAMBO YANAPOKUWA MAGUMU

Oh! Allah Hakika umeniagiza jambo lihusulo nafsi yangu ambalo wewe wahusika nalo zaidi kuliko mimi. Uwezo wako juu yake na juu yangu ni mkubwa mno kuliko uwezo wangu.

Hivyo basi nipe mimi ndani ya nafsi yangu linalokuridhisha kutoka kwangu na chukuwa kwa ajili ya nafsi yako ridhaa zake toka nafsini mwangu, katika hali ya afya njema.

O Allah! Sina ustahimilivu katika juhudi wala sina subira katika balaa, sina nguvu za kuubeba mzigo wa ufakiri hivyo usikataze Riziki yangu, wala usiniwakilishe kwa viumbe wako ishughulikie haja yangu peke yako. Shikilia mwenyewe kunitosheleza.

Niangalie nichunge, katika mambo yangu yote kwa kuwa wewe ukiwakilisha kwangu mwenyewe nitakuwa nimehemewa na sitofanya lenye maslahi. Kwa nafsi yangu.

Endapo utaniwakilisha kwa viumbe wako watanikunjia uso, Ukinifanya nikimbilie kwa ndugu zangu wa karibu wataninyima. Na kama watanipa watanipa kidogo shingo pembeni. Na watanisimbulia saana mda mrefu na huku wakinilaumu sana. Hivyo basi kwa fadhila zako O Allah!

Nitosheleze. Na utukufu wako ni nyanyuwe, kwa wasaa wako ikunjuwe mikono yangu. Nitosheleze kwa yaliyo kwako. O Allah!   Msalie Muhammad na Aali Zake.

Na uniweke mbali na husda nitenge mbali na dhambi nifanye niogope kutenda haram. Nisithubutu kutenda maasi.

Fanya upendo wangu kwako na Ridhaa yangu iwe kwenye kinifikiacho kutoka kwako. Kibariki kwa ajili yangu, ulichoniruzuku. Na ulichonijaalia.

Na ulichonineemesha.

Nijaaliye katika hali zangu zote mwenye kuhifadhiwa mwenye kulindwa.

Mwenye kusitiriwa mwenye kuzuiliwa. Mwenye kukingwa kupewa kimbilio.

Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aali zake. Nifanye nitekeleze yote ulionilazimisha na uliyoyafaradhisha juu yangu kukuelekea wewe.

Katika namna moja miongoni mwa aina zako za kukutii.

Au kwa ajili ya kiumbe miongoni mwa viumbe wako. Japo mwili wangu uwe dhaifu kwa hilo na kudhoofu kwa hilo nguvu zangu.

Uwezo wangu ukashindwa kulifikia hilo na mali yangu yakawa kidogo na hata kilichomkononi mwangu.

Sawa niwe nakumbuka au nasahau. Mola wangu ni miongoni mwa uliyo yadhibiti hisabu yake dhidi yangu. Wakati mimi binafsi nimeghafilika.

Ni jaaliye kutekeleza kwa wingi wa utoaji wako na kwa ukubwa wa ulichonacho. Kwa kuwa wewe unawasaa mno na ni mkarimu.

Ili kwangu kisibakie kitu ambacho wataka kunifuatilia hesabu yake miongoni mwa maovu yangu siku nitakutana na wewe o Mola wangu!

Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aali zake. Niruzuku upendo wa kutenda mema kwa ajili yako ili itengenee kheri yangu. Nijuwe ukweli wa hilo moyoni mwangu. Na kujinyima starehe ya dunia kuwe ndio mshindi.

Nitende mazuri kwa shauku kabisa niwe katika usalama wakutotenda matendo maovu kwa kitisho na woga.

Nipe mwanga uniwezeshao kutembea kati ya watu. Utakao niwezesha kupata mwongozo gizani. Ning’arishe kwa mwanga huo shaka na mambo yanapokuwa si dhahiri.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Na uniruzuku kuogopa mayonzi ya kitisho. Na niruzuku kuwa na shauku ya  thawabu iliyoahidiwa kiasi kwamba ni ipate ladha ya yale nikuombayo.

Na niyapate majonzi ya kile nikiombeacho kimbilio kwako.

O Allah! Wajua fika kitakachoweka sawa mambo ya dunia yangu na Akhera yangu.

Hivyo basi kuwa na upendeleo kwenye mahitaji yangu. O Allah! mrehemu Muhammad na Aali Zake.

Uniruzuku haki ninaposhindwa kukushukuru ipasavyo kwa ajili ya Neema zako ulizonineemesha. Nikiwa katika nafasi nzuri na katika matatizo. Katika siha njema na katika ugonjwa kiasi kwamba niwe natambua mwenyewe.

Faraja ya maridhawa na utulivu wa nafsi kwa yaliyo wajibu kwako ambayo yazukayo katika hali ya hofu na amani.

Hali ya ridhaa na ya makasiriko ya madhara na manufaa. O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake.

Na uniruzuku usalama wa kifua kuepukana na husuda. Ili nisimhusudu yeyote katika ujumbe wako juu ya kitu chochote miongoni mwa fadhila zako.

Kiasi kwamba nisione neema katika neema zako kwa yeyote miongoni mwa viumbe wako kwa yeyote miongoni mwa viumbe wako sawa iwe katika dini au dunia katika hali njema ya maisha au uchamungu.

Sawa iwe wasaa au Raha. Isipokuwa niwe natarajia kwa ajili ya nafsi yangu yaliyo bora ya hayo kwako kutoka kwako peke yako huna mshirika.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Na uniruzuku kujilinda na makosa na niogope kuteleza hapa duniani na Akhera.

Katika hali ya ridhaa na ghadhabu kwa kiasi isiwe sawa kwangu liingialo kati ya hayo mawili. Nitende utii wako nichaguwe ridhaa zako na kuacha yasiyokuwa hayo mawili.

Kwa marafiki na maadui. Ili hata aduwi wangu awe katika amani mbali na dhulma yangu na maovu yangu. Na akate tamaa rafiki yangu na elemeo langu na kupinda kwenye matamanio yangu.

Na ni jaalie niwe miongoni mwa wakuombao kwa unyofu katika raha ombi la wakuombao katika hali ya unyofu wamedharurika kukuomba. Hakika wewe wastahiki sifa njema u mtukufu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇáË æÇáÚÔÑæä]

[æóßÇäó ãä ÏõÚÇÆöåö(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ ÓÃá Çááå ÇáÚÇÝíÉó æóÔõßÑåÇ]

Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóáúÈöÓúäöí ÚóÇÝöíóÊóßó¡ æóÌóáøöáúäöí ÚóÜÇÝöíóÊóßó¡ æóÍóÕøöäøöí ÈöÚóÜÇÝöíóÊöÜßó¡ æóÃßúÜÑöãúäöí ÈöÚóÇÝöíóÊößó¡ æóÃÛúäöäöí ÈöÚóÇÝöíóÊößó¡ æóÊóÕóÏøóÞú Úóáóíøó ÈöÚóÇÝöíóÊößó¡ æóåóÈú áöí ÚóÇÝöíóÊóßó¡ æóÃóÝúÑöÔúäöí ÚóÇÝöíóÊóßó¡ æóÃóÕúáöÍú áöí ÚóÇÝöíóÊóßó¡ æóáÇ ÊõÝóÑøöÞú Èóíúäöí æóÈóíúäó ÚóÇÝöíóÊößó Ýöí ÇáÏøõäúíóÇ æóÇáÇÎöÑóÉö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÚóÇÝöäöí ÚóÇÝöíóÉð ßóÇÝöíóÉð ÔóÇÝöíóÉð ÚóÇáöíóÉð äóÇãöíÉð¡ ÚóÇÝöíóÉð ÊõæóáøöÏõ Ýöí ÈóÏóäöí ÇáúÚóÇÝöíóÉó¡ ÚóÇÝöíóÉó ÇáÏøõäúíóÇ æÇáÇÎöÑóÉö¡ æóÇãúäõäú Úóáóíøó ÈöÇáÕøöÍøóÉö æóÇáÇãúäö æóÇáÓøóáÇóãóÉö Ýöí Ïöíúäöí æóÈóÜÏóäöí¡ æóÇáúÈóÕöíÜÑóÉö Ýöí ÞóáúÈöíæóÇáäøóÝóÇÐö Ýöí ÃãõæÑöíú æóÇáúÎóÔúíóÉö áóßó¡ æóÇáúÎóæúÝö ãöäúßó æóÇáúÞõæøóÉö Úóáóì ãóÇ ÃóãóÑúÊóäöí Èöåö ãöäú ØóÇÚóÊößó æóÇáÇÌúÊöäóÇÈö áöãóÜÇ äóåóíúÊóäöí Úóäúåõ ãöäú ãóÚúÕöíóÊöÜßó. Ãááøóåõãøó æóÇãúäõäú Úóáóíøó ÈöÇáúÍóÌøö æóÇáúÚõãúÑóÉö¡ æóÒöíóÇÑóÉö ÞóÈúÑö ÑóÓõæáößó ÕóáóæóÇÊõßó Úóáóíúåö æóÑóÍúãóÊõßó æóÈóÑóßóÇÊõßó Úóáóíúåö æóÚóáóì Âáöåö¡ æóÂáö ÑóÓõæáößó Úóáóíúåöãõ ÇáÓøóáÇóãõ ÃóÈóÏÇð ãóÇ ÃóÈúÞóíúÊóäöí¡ Ýöí ÚóÇãöí åóÐóÇ æóÝöí ßõáøö ÚóÇã¡ æóÇÌúÚóáú Ðóáößó ãóÞúÈõæáÇð ãóÔúßõæÑÇð ãóÐúßõæÑÇð áóÏóíúßó¡ ãóÐúÎõæÑÇð ÚöäúÏóßó¡ æóÃóäúØöÞú ÈöÍóãúÏößó æóÔõßúÑößó æóÐößúÑößó æóÍõÓúäö ÇáËøóäÇÁö Úóáóíúßó áöÓóÇäöí¡ æóÇÔúÑóÍú áöãóÑóÇÔöÏö Ïöíäößó ÞóáúÈöí¡ æóÃóÚöÐúäöí æóÐõÑøöíøóÊöí ãöäó ÇáÔøóíúØóÇäö ÇáÑøóÌöíã æóãöäú ÔóÑøö ÇáÓøóÇãøóÉö æóÇáúåóÇãøóÉö æóÇáúÚóÇãøóÉö æóÇááÇøóãøóÉö æóãöäú ÔóÑøö ßõáøö ÔóíúØóÇä ãóÑöíÏ¡ æóãöäú ÔóÑøößõáøö ÓõáúØóÇä ÚóäöíÏ¡ æóãöäú ÔóÑøö ßõáøö ãõÊúÑóÝ ÍóÝöíÏ¡ æóãöäú ÔóÑøö ßõáøö ÖóÚöíÝ æóÔóÏöíÏ¡ æóãöäú ÔóÑøößõáøö ÔóÑöíÝ æóæóÖöíÚ¡ æóãöäú ÔóÑøö ßõáøö ÕóÛöíÑ æóßóÈöíÑ¡ æóãöäú ÔóÑøö ßõáøö ÞóÑöíúÈ æóÈóÚöíÏ¡ æóãöäú ÔóÑøö ßõáøö ãóäú äóÕóÈó áöÑóÓõæáößó æóáÇöåúáö ÈóíúÊöåö ÍóÑúÈóÜÇð ãöäó ÇáúÌöäøöæóÇáÇäúÓö¡ æóãöäú ÔóÑø ßõáøö ÏóÇÈøóÉ ÃóäúÊó ÂÎöÐñ ÈöäóÇÕöíóÊöåóÇ Åäøóßó Úóáóì ÕöÑóÇØ ãõÓúÊóÞöíã. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æÂáöåö æóãóäú ÃóÑóÇÏóäöí ÈöÓõæÁ ÝóÇÕúÑöÝúåõ Úóäøöí æóÇÏúÍóÑú Úóäøöí ãóßúÑóåõ¡ æóÇÏúÑóà Úóäøöí ÔóÑøóåõ¡ æóÑõÏøó ßóíúÏóåõ Ýöí äóÍúÑöåö¡ æóÇÌúÚóáú Èóíúäó íóÏóíúåö ÓóÏøÇð ÍóÊøóì ÊõÚúãöíó Úóäøöí ÈóÕóÑóåõ¡ æóÊõÕöãøó Úóäú ÐößúÑí ÓóãúÚóåõ¡ æóÊõÞúÝöáó Ïõæäó ÅÎúØóÇÑöí ÞóáúÈóåõ¡ æóÊõÎúÑöÓó Úóäóí áöÓóÇäóåõ¡ æóÊóÞúãóÚó ÑóÃÓóåõ¡ æóÊõÐöáøó ÚöÒøóåõ¡ æóÊóßúÓöÑó ÌóÈóÑõæÊóåõ¡ æóÊõÐöáøó ÑóÞóÈóÊóåõ¡ æóÊóÝúÓóÎó ßöÈúÑóåõ¡ æóÊõÄúãöäóäöí ãöäú ÌóãöíúÚö ÖóÑøöåö æóÔóÑøöåö æóÛóãúÒöåö æóåóãúÒöåö æóáóãúÒöåö æóÍóÓóÏöåö æóÚóÏóÇæóÊöåö æóÍóÈóÇÆöáöåö æóãóÕóÇÆöÏöåö æóÑóÌúáöåö æóÎóíúáöåö Åäøóßó ÚóÒöíÒ ÞóÏöíÑñ.  

Dua ya 23

NA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) AMWOMBAPO MUNGU HALI NJEMA NA

ANAPOISHUKURU.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Nivishe afya yako. Niviringishe afya yako. Niweke kwenye ngome ya afya yako. Nipe heshma kwa afya yako. Nitosheleze kwa afya yako.Nipe sadaka kwa afya yako. Nitunukiye afya yako Nitandikiye afya yako. Niwekee sawa afya yako. Usinitenge mbali na afya yako. Duniani na Akhera. O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake nipe afya. Afya ya kutosha iponyeshayo, ya hali ya juu ikuayo. Afya izalishayo mwilini mwangu afya njema. Afya njema duniani na akhera. Nifanye niwajibike kwa siha na amani. Na usalama katika Dini yangu na Mungu wangu. Na ufahamu moyoni mwangu.

Na uwezo wa kuyapitisha mambo yangu na kukuogopa wewe. Na    kukuhofia    wewe.    Niwe    na    nguvu    juu    ya uliyoniamrisha katika kukutii. Na kujiepusha na uliyo nikataza miongoni mwa maasi yako.

O Allah! Nifadhili kwa kufanya hija na umra na kuzuru kaburi la Mtume wako, Rehema zako na baraka zako zimfikie na ziwafikiye watu wa nyumba ya Mtume wako.

Milele pindi unibakishapo katika mwaka wangu huu na katika kila mwaka. Naijaalie iwe yenye kukubaliwa yenye kushukuriwa. Yenye kutajwa mbele yako. Yenye kuhifadhiwa kwako. Utamkishe ulimi wangu shukrani yako, kukukumbuka wewe na kukusifu kwa sifa njema.

Ukunjuwe moyo wangu kwa mwongozo wa dini yako. Na unipe mimi na kizazi changu ulinzi dhidi ya shetani aliyelaaniwa.

Na shari ya chuki na uharibifu na jicho baya. Na shari ya kila shetani muasi. Na shari ya kila mtawala mkaidi

Na shari ya kila mkwasi mtumikiwa. Na shari ya kila dhaifu na mwenye nguvu.

Na shari ya kila mdogo na mkubwa, na shari ya kila wakaribu na wa mbali na shari ya kila mwenye kufanya uaduwi kwa Mtume wako na watu wanyumbani mwake miongoni mwa jini au mtu.

Na shari ya kila kiumbe kitambaacho ambacho wewe umezishika nyele zake mbele ya kichwa. Hakika wewe uko juu ya njia ilinyooka.    O Allah! Mrehemu Muammad na Aali zake.

Endapo yeyote atanitakia uovu niondolee naye mbali. Niondolee mbali vitimbi vitmbi vyake.

Ikinge mbali na mimi shari na virudishe vitimbi vyake kooni kwake.

Na weka mbele yake boma ili ufanye macho yake yasinione na umfanye Asisikiye utajo wangu uufunge moyo wake usihihisi. Uzimishe ulimi wake dhidi yangu kiziwiye kichwa chake. Utweze utukufu wake. ivunje jeuri yake.

Idhalilishe shingo yake. Haribu kibri chake, niweke katika amani na madhara yake yote na shari yake.

Na masingizio yake, masengenyo yake na uchokozi wake.

Husuda yake na uaduwi wake. Mtego wake na mawindo yake. Waenda kwa miguu wake na wapanda farasi wake. Hakika wewe muweza na mwenye nguvu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÑÇÈÚ æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) áÇÈæíå(ÚáíåãÇ ÇáÓáÇã)]

Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ ÚóÈúÜÏößó æóÑóÓõæáöÜßó æóÃóåúáö ÈóíúÊöåö ÇáØøóÇåöÑöíäó¡ æóÇÎúÕõÕúåõãú ÈöÃóÝúÖóáö ÕóáóæóÇÊößó æóÑóÍúãóÊößó æóÈóÑóßóÇÊößó æóÓóáÇóãößó¡ æóÇÎúÕõÕö Çááøóåõãøó æóÇáöÏóíøó ÈöÇáúßóÑóÇãóÉö áóÏóíúßó¡ æóÇáÕøóáÇóÉö ãöäúßó íóÇ ÃóÑúÍóãó ÇáÑøóÇÍöãöíäó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóáúåöãúäöí Úöáúãó ãóÇ íóÌÈõ áóåõãóÇ Úóáóìøó ÅáúåóÇãÇð¡ æóÇÌúãóÚú áöí Úöáúãó Ðáößó ßõáøöåö ÊóãóÇãÜÇð¡ Ëõãøó ÇÓúÊóÚúãöáúäöí ÈöãóÇ Êõáúåöãõäöí ãöäúÜåõ¡ æóæóÝøöÞúäöí áöáäøõÝõæÐö ÝöíãóÇ ÊõÈóÕøöÜÑõäöíú ãöäú Úöáúãöåö¡ ÍóÊøóì áÇó íóÝõæÊóäöí ÇÓúÊöÚúãóÇáõ ÔóíúÁ ÚóáøóãúÊóäöíúåö¡ æóáÇó ÊóËúÞõáó ÃóÑúßóÇäöí Úóäö ÇáúÍõÝõæÝö ÝöíãóÇ ÃóáúåóãúÊóäöíåö. Ãááøóåõãøó ÕóáøÚóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ßóãóÇ ÔóÑøóÝúÊóäóÇ Èöåö æóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ßóãóÇ ÃóæúÌóÈúÊó áóäóÇ ÇáúÍóÞøó Úóáóì ÇáúÎóáúÞö ÈöÓóÈóÈöåö. Ãááøóåõãøó ÇÌúÚóáúäöí ÃóåóÇÈõåõãóÇ åóíúÈóÉó ÇáÓøõáúØóÇäö ÇáúÚóÓõæÝö¡ æóÃóÈóÑøõåõãóÇ ÈöÑøó ÇáÇõãøö ÇáÑøóÄõæÝö¡ æóÇÌúÚóáú ØóÇÚóÊöí áöæóÇáöÏóíøó æóÈöÑøöíú ÈöåöãóÇ ÃóÞóÑøó áöÚóíúäöí ãöäú ÑóÞúÏóÉö ÇáúæóÓúäóÇäö¡ æóÃóËúáóÌó áöÕóÏúÑöí ãöäú ÔóÑúÈóÉö ÇáÙøóãúÂäö ÍóÊøóì ÃæËöÑó Úóáóì åóæóÇíó åóæóÇåõãóÇ æóÇõÞóÏøöãó Úóáóì ÑöÖóÇìó ÑöÖóÇåõãóÇ æóÃóÓúÊóßúËöÑó ÈöÑøóåõãóÇ Èöí æóÅäú Þóáøó æóÃóÓúÊóÞöáøó ÈöÑøöí ÈöåöãóÇ æóÅäú ßóËõÑó. Ãááøóåõãøó ÎóÝøöÖú áóåõãóÇ ÕóæúÊöí¡ æóÃóØöÈú áóåõãóÇ ßóáÇóãöí¡ æóÃóáöäú áóåõãóÇ ÚóÑöíúßóÊöí¡ æóÇÚúØöÝú ÚóáóíúåöãóÇ ÞóáúÈöí¡ æóÕóíøöÑúäöí ÈöåöãóÇ ÑóÝöíÞÇð¡ æóÚóáóíúåöãóÇ ÔóÝöíÞÇð. Ãááøóåõãøó ÇÔúßõÑú áóåõãóÇ ÊóÑúÈöíóÊöí æóÃóËöÈúåõãóÇ Úóáóì ÊóßúÑöãóÊöí¡ æóÇÍúÝóÙú áóåõãóÇ ãóÇ ÍóÝöÙóÇåõ ãöäøöí Ýöí ÕöÛóÑöí. Çááøóåõãøó æóãóÇ ãóÓøóåõãóÇ ãöäøöí ãöäú ÃóÐóìð Ãóæú ÎóáóÕó ÅáóíúåöãóÇ Úóäøöí ãöäú ãóßúÑõæå Ãóæú ÖóÇÚó ÞöÈóáöí áóåõãóÇ ãöäú ÍóÞøò ÝóÇÌúÚóáúåõ ÍöØøóÉð áöÐõäõæÈöåöãóÇ æóÚõáõæøÇð Ýöí ÏóÑóÌóÇÊöåöãóÇ æóÒöíóÇÏóÉð Ýöí ÍóÓóäóÇÊöåöãóÇ íóÇ ãõÈóÏøöáó ÇáÓøóíøöÆÇÊö ÈöÃóÖúÚóÇÝöåóÇ ãöäó öÇáúÍóÓóäóÇÊö. Ãááøóåõãøó æóãóÇ ÊóÚóÏøóíóÇ Úóáóíøó Ýöíåö ãöäú Þóæúá¡ Ãóæú ÃóÓúÑóÝóÇ Úóáóìøó Ýöíúåö ãöäú ÝöÚúá¡ Ãóæú ÖóíøóÚóÇåõ áöí ãöäú ÍóÞøò ÃóæúÞóÕøóÑÇ Èöí Úóäúåõ ãöäú æóÇÌöÈ ÝóÞóÏú æóåóÈúÊõåõ æóÌõÏúÊõ Èöåö ÚóáóíúåöãóÇ¡ æóÑóÛöÈúÊõ Åáóíúßó Ýöí æóÖúÚö ÊóÈöÚóÊöåö ÚóäúåõãóÇ ÝóÅäøöí áÇ ÃóÊøóåöãõåõãóÇ Úóáóì äóÝúÓöÜí¡ æóáÇó ÃóÓúÊóÈúØöÆõåõãóÇ Ýöí ÈöÑøöí¡ æóáÇ ÃßúÑóåõ ãóÇ ÊóæóáøóíÇåõ ãöäú ÃóãúÑöí íóÇ ÑóÈøö ÝóåõãóÇ ÃóæúÌóÈõ ÍóÞøÇð Úóáóíøó¡ æóÃóÞúÏóãõ ÅÍúÓóÇäÜÇð Åáóíøó æóÃóÚúÙóãõ ãöäøóÉð áóÜÏóíøó ãöäú Ãóäú ÃÞóÇÕøóåõãóÜÇ ÈöÚóÏúá¡ Ãóæú ÇõÌóÇÒöíóåõãóÇ Úóáóì ãöËúá¡ Ãóíúäó ÅÐÇð íóÇ Åáåöíú Øõæáõ ÔõÛúáöåöãóÇ ÈöÊóÑúÈöíóÊöí¿ æóÃóíúäó ÔöÏøóÉõ ÊóÚóÈöåöãóÇ Ýöí ÍöÑóÇÓóÊöíú¿ æóÃóíúäó ÅÞúÊóÇÑõåõãóÇ Úóáóì ÃóäúÝõÓöåöãóÇ áöáÊøóæúÓöÚóÉö Úóáóíøó¿ åóíúåóÇÊó ãóÇ íóÓúÊóæúÝöíóÇäö ãöäøöí ÍóÞøóåõãóÇ¡ æóáÇó ÇõÏúÑößõ ãóÇ íóÌöÈõ Úóáóíøó áóåõãóÇ æóáÇ ÃóäóÇ ÈöÞóÇÖ æóÙöíÝóÉó ÎöÏúãóÊöåöãóÇ. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóÚöäøöí íóÇ ÎóíúÑó ãóäö ÇÓúÊõÚöíäó Èöåö. æóæóÝøöÞúäöí íóÇ ÃóåúÏóì ãóäú ÑõÛöÈó Åáóíúåö¡ æóáÇó ÊóÌúÚóáúäöí Ýöí Ãóåúáö ÇáúÚõÞõæÞö áöáÇÈÂÁö æóÇáÇõãøóåÇÊö íóæúãó ÊõÌúÒì ßõáøõ äóÝúÓ ÈöãóÇ ßóÓóÈóÊú æóåõãú áÇóíõÙúáóãõæäó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì  ãõÍóãøóÏ æóÂáöÜåö æóÐõÑøöíøóÊöåö¡ æóÇÎúÕõÕú ÃóÈóæóíøó ÈöÃóÝúÖóáö ãóÇ ÎóÕóÕúÊó Èöåö ÂÈóÇÁó ÚöÈóÇÏößó ÇáúãõÄúãöäöíäó æóÇõãøóåóÇÊöåöãú íóÇ ÃóÑúÍóãó ÇáÜÑøóÇÍöãöíäó. Ãááøóåõãøó áÇó ÊõäúÓöäöí ÐößúÑóåõãóÇ Ýöí ÃóÏúÈóÇÑö ÕóáóæóÇÊöí æóÝöí ÃóäÇð ãöäú ÂäÇÁö áóíúáöí¡ æóÝöí ßõáøö ÓóÇÚóÉ ãöäú ÓóÇÚóÇÊö äóåóÇÑöí. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÛúÝöÑú áöí ÈöÏõÚóÇÆöí áóåõãóÇ¡ æóÇÛúÝöÑú áóåõãóÜÇ ÈöÈöÑøöåöãóÜÇ Èöí¡ ãóÛúÝöÑóÉð ÍóÊúãÜÇð æóÇÑúÖó ÚóäúåõãóÇ ÈöÔóÝóÇÚóÊöí áóåõãóÇ ÑöÖóìð ÚóÒúãÇð¡ æóÈóáøöÛúåõãóÇ ÈöÇáúßóÑóÇãóÉö ãóæóÇØöäó ÇáÓøóáÇóãóÉö. Ãááøóåõãøó æóÅäú ÓóÈóÞóÊú ãóÛúÝöÑóÊõßó áóåõãóÇ ÝóÔóÝøöÚúåõãóÇ Ýöíøó¡ æóÅäú ÓóÈóÞóÊú ãóÛúÝöÑóÊõÜßó áöí ÝóÔóÝøöÚúäöí ÝöíúåöãóÇ¡ ÍóÊøì äóÌúÊóãöÚó ÈöÑóÃÝóÊößó Ýöí ÏóÇÑö ßóÑóÇãóÊößó æóãóÍóáøö ãóÛúÝöÑóÊößó æóÑóÍúãóÊößó¡ Åäøóßó Ðõæ ÇáúÝóÖúáö ÇáúÚóÙöíãö æóÇáúãóäøö ÇáúÞóÏöíúãö æóÃóäúÊó ÃóÑúÍóãõ ÇáÑøóÇÍöãöíäó.

Dua ya 24

DU'A ZAKE (A.S.) KWA AJILI YA WAZEE WAKE (A.S.).

O Allah! Mrehemu Muhammad mja wako na mjumbe wako na warehemu Ahlul-Bayt wake watakatifu. Na uwahusishe kwa ajili yao peke yao kwa fadhila zako na rehema zako na baraka zako na amani yako.

Wahusishe O Allah! wazazi wangu wawili kwa heshima mbele yako na Rehema kutoka kwako. O! We mwenye kurehemu sana miongoni mwa wanaorehemu O Allah ! Mrehemu Muhammad na Aali zake.

Na unifundishe kwa hamu elimu ya mambo ambayo ni wajibu wangu kwao.

Na unikusanyie Elimu ya yote hayo kikamilifu. Kisha nitumikishe kwa yale unifundishayo kwa Il-ham.

Niwafikishe kutekeleza elimu uliyonipa ili yasinipite matumizi ya kitu ulichonifundisha.

Wala viungo vyangu visiwe vizito kutekeleza uliyonifundisha kwa njia ya Il-hamu.

O Allah! Mrenemu Muhammad na Aali zake.

Kama ulivyotupa heshima kupitia kwake. Na mrehemu Muhammada na Aali zake kama ulivyowajibisha juu yetu haki juu ya viumbe kwa sababu yake.

O Allah! Nifanye natishika nao (wazazi wawili) kitisho cha mtu mbele ya mtawala mshari nifanye niwe mwema kwao kama wema wa mama mwenye huruma.

Na ufanye utii wangu na wema wangu kwao kuwa ni kitulizo cha macho yangu sana kuliko usingizi wa mwenye usingizi mzito. Na yawe baridi mno kwenye kifua changu kuliko kinywaji cha mwenye kiu kali.

Ili niliweke walipendalo mbele kuliko nilipendelealo.Na niitangulize ridhaa yao mbele ya ridhaa yangu.

Na niuone wema wao kwangu kuwa ni mkubwa japo uwe kidogo. Na niuone wema wangu kwao ni mdogo sana japo uwe mwingi.

O Allah! Irudishe sauti yangu chini mbele yao. Yafanye maneno yangu kwao kuwa maneno yanayokubalika. Ifanye tabia yangu kuwa ya upole mbele yao.

Ufanye moyo wangu laini kwao nifanye niwe mwenzi mwama, mwenye kuwahurumia.

O Allah! Washukuru kwa malezi yangu na walipe mema kwa kunipa mimi heshima. Na wahifadhi kama walivyokuwa wananihifadhi nilipokuwa mdogo.

O Allah! Na kwa aina yoyote ya maudhi yaliwagusa kutoka kwangu na mambo yachukizayo yaliwafika kutoka kwangu.

Au haki yao iliopuuzwa na mimi basi fanya iwe ni sababu ya kupunguza dhambi zao. Na kupanda kwao daraja yao. Na kuzidi kwa mema mengi sana.

O Allah! Neno lolote liwalo walilonikosea au hawakuwa waadilifu kwangu katika tendo waliipoteza haki yangu. Au walizembea kutekeleza wajibu wao kwangu. Nawazawadia na kuwapa wao kama tulizo nakusihi kuwaondolea malipizi dhidi yao kwani mimi siwashitaki kwa ajili   yangu.

Wala siwaoni kuwa wamefanya goi goi katika kunitendea wema. Wala si chukii jinsi walivyo yapeleka mambo yangu. Ewe Mola wao wanahaki juu yangu zaidi hisani yao ndiyo ya kwanza zaidi kunifikia.

Huruma yao ni kubwa mno kwangu kuliko niwezavyo kuwa fuaatilia kwa uadilifu. Au niwalipe kulingana nao. Uwapi basi Ewe Mola wangu urefu wa shughuli yao kunilea?

Iwapi basi taabu kubwa ya kunilinda kwao mimi?

Kuwapi kujinyima kwao wenyewe ili wanipe mimi kwa wingi baada yao? Haiwezekani!

Hawawezi kupata haki yao kamili kutoka kwangu. Wala siwezi kutekeleza yaliyowajibu juu yangu kwao. Wala siwezi kukamilisha wajibu wangu kwao kuwahudumiya. Hivyo basi mrehemu Muhammad na Aali zake.

Na nisaidie Ewe mbora wa waombwa msaada.

Na nifanikishe Ewe mbora wa waombwao mwongozo wake. Usinifanye niwe miongoni mwa wasio wathamini baba zao na mama zao (siku ambayo kila nafsi italipwa ilichochuma nao hawatodhulumiwa).

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake na dhuria zake.

Uwatengee wazazi wangu wawili fadhila makhsusi uliyowatengea wazazi wa waja wako waumini na mama zao. Ewe Mwingi wa Kurehemu!

O Allah! Usinisahaulishe kuwa kumbuka. Baada ya sala zangu. Nawakati wowote ule katika nyakati za usiku.

Na katika kila saa miongoni mwa saa za mchana wangu. O Allah! Msaliye Muhammad na Aali zake. Ni ghofiriye kwa sababu ya DU'A yangu kwao.

Na waghofiriye wao kwa wema wao kwangu ghofira ya sawa sana. Waridhiye kwa maombezi yangu kwa ajili yao ridhaa za yakini kabisa. Kwa ukarimu wako wafikishe makazi ya salama.

O Allah! Na endapo ghofira zako zimetangulia kuwafika basi zifanye ziwe mwombezi wangu na ikiwa ghofira zako zimenifikia mwanzo. Nifanye niwe mwombezi wao. Ili tuweze kukutana pamoja kwa huruma zako. Katika nyumba ya heshima yako na mahali pa msamaha wako na rehema zako.

Kwa hakika wewe ni mwenye fadhila nyingi na huruma ya kale. Na wewe ni mwenye Rehema sana kuliko wenye kurehemu wote.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÎÇãÓ æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) áæõáúÏöå(Úáíåã ÇáÓáÇã)]

Ãááøóåõãøó æóãõäøó Úóáóíøó ÈöÈóÞóÇÁö æõáúÏöí¡ æóÈöÅÕúáÇóÍöåöãú áöí¡ æóÈöÅãúÊóÇÚöí Èöåöãú. Åáåöí ÃãúÏõÏú áöí Ýöí ÃóÚúãóÇÑöåöãú¡ æóÒöÏú áöí Ýöí ÂÌóÇáöåöãú¡ æóÑóÈøö áöí ÕóÛöíÑóåõãú æóÞóæøö áöí ÖóÚöíúÝóåõãú¡ æóÃóÕöÍøó áöí ÃóÈúÏóÇäóåõãú æóÃóÏúíóÇäóåõãú æóÃóÎúáÇóÞóåõãú¡ æóÚóÇÝöåöãú Ýöí ÃóäúÝõÓöåöãú æóÝöí ÌóæóÇÑöÍöåöãú æóÝöí ßõáøö ãóÇ ÚõäöíúÊõ Èöåö ãöäú ÃóãúÑöåöãú¡ æóÃóÏúÑöÑú áöí æóÚóáóì íóÜÏöí ÃóÑúÒóÇÞóåõãú¡ æóÇÌúÚóáúåõãú ÃóÈúÑóÇÑÇð ÃóÊúÞöíóÇÁó ÈõÕóÑÇÁó ÓóÇãöÚöíäó ãõØöíÚöíäó áóßó æóáÇæúáöíóÇÆößó ãõÍöÈøöíäó ãõäóÇÕöÍöíäó¡ æóáöÌóãöíúÚö ÃóÚúÏóÂÆößó ãõÚóÇäöÏöíäó æóãõÈúÛöÖöíäó Âãöíäó. Ãááøóåõãøó ÇÔúÏõÏú Èöåöãú ÚóÖõÏöí¡ æóÃóÞöãú Èöåöãú ÃóæóÏöíú¡ æóßóËøöÑú Èöåöãú ÚóÏóÏöí¡ æóÒóíøöäú Èöåöãú ãóÍúÖóÑöí¡ æóÃóÍúííö Èöåöãú ÐößúÑöí¡ æóÇßúÝöäöí Èöåöãú Ýöí ÛóíúÈóÊöí æóÃóÚöäøöí Èöåöãú Úóáóì ÍóÜÇÌóÊöí¡ æóÇÌúÚóáúåõãú áöí ãõÍöÈøöíäó¡ æóÚóáóíøó ÍóÏöÈöíäó ãõÞúÈöáöíäó ãõÓúÊóÞöíãöíäó áöíú¡ ãõØöíÚöíäó ÛóíúÑó ÚóÇÕöíäó æóáÇó ÚóÇÞøöíäó æóáÇ ãõÎóÇáöÝöíäó æóáÇó ÎÜÇØöÆöíäó¡ æóÃóÚöäøöí Úóáóì ÊóÑúÈöíóÊöåöãú æóÊóÃÏöíúÈöåöãú æóÈöÑøöåöãú¡ æóåóÈú áöíú ãöäú áóÏõäúßó ãóÚóåõãú ÃóæúáÇÏÇð ÐõßõæÑÇð¡ æóÇÌúÚóáú Ðóáößó ÎóíúÑÇð áí æóÇÌúÚóáúåõãú áöí ÚóæäÇð Úóáóì ãóÇ ÓóÃóáúÊõßó¡ æóÃóÚöÐúäöí æóÐõÑøöíøóÊöí ãöäó ÇáÔøóíúØóÇäö ÇáÑøóÌöíãö¡ ÝóÅäøóßó ÎóáóÞúÊóäóÇ æóÃóãóÑúÊóäóÇ æóäóåóíúÊóäóÇ æóÑóÛøÈúÊóäóÇ Ýöí ËóæóÇÈö ãÇ ÃóãóÑúÊóäóÇ æóÑóåøóÈúÊóäóÇ ÚöÞóÇÈóåõ¡ æóÌóÚóáúÊó áóäóÇ ÚóÏõæøÇð íóßöíÏõäóÇ¡ ÓóáøóØúÊóåõ ãöäøóÇ Úóáóì ãóÇ áóãú ÊõÓóáøöØúäóÇ Úóáóíúåö ãöäúåõ¡ ÃóÓúßóäúÊóåõ ÕõÏõæÑóäóÇ¡ æóÃóÌúÑóíúÊóåõ ãóÌóÇÑöíó ÏöãóÇÆöäóÇ¡ áÇó íóÛúÝõáõ Åäú ÛóÝóáúäóÇ¡ æóáÇó íóäúÓóì Åäú äóÓöíäóÇ¡ íõÄúãöäõäóÇ ÚöÞóÇÈóßó¡ æóíóÎóæøöÝõäóÇ ÈöÛóíúÑößó¡ Åäú åóãóãúäóÇ ÈöÝóÇÍöÔóÉ ÔóÌøóÚóäóÇ ÚóáóíúåóÇ¡ æóÅäú åóãóãúäóÇ ÈöÚóãóá ÕóÇáöÍ ËóÈøóØóäóÇ Úóäúåõ¡ íóÊóÚóÑøóÖõ áóäóÇ ÈöÇáÔøóåóæóÇÊö¡ æóíóäúÕöÈõ áóäóÇ ÈöÇáÔøóÈõåóÇÊö¡ Åäú æóÚóÏóäóÇ ßóÐóÈóäóÇ æóÅäú ãóäøóÇäÇ¡ ÃóÎúáóÝóäóÇ æóÇáÇøÊóÕúÑöÝú ÚóäøóÇ ßóíúÏóåõ íõÖöáøóäóÇ¡ æóÅáÇø ÊóÞöäóÇ ÎóÈÇáóåõ íóÓúÊóÒöáøóäóÇ. Ãááøóåõãøó ÝóÇÞúåóÑú ÓõáúØóÇäóåõ ÚóäøóÇ ÈöÓõáúØóÇäößó ÍóÊøóì ÊóÍúÈöÓóåõ ÚóäøóÇ ÈößóËúÑóÉö ÇáÏøõÚóÇÁö áóßó¡ ÝóäõÕúÈÍó ãöäú ßóíúÏöåö Ýöí ÇáúãóÚúÕõæãöíäó Èößó. Ãááøóåõãøó ÃóÚúØöäöí ßõáøó ÓõÄúáöí¡ æóÇÞúÖö áöí ÍóæóÇÆöÌöí¡ æóáÇó ÊóãúäóÚúäöí ÇáÇÌóÇÈóÉó æóÞóÏú ÖóãöäúÊóåóÇ áöí¡ æóáÇ ÊóÍúÌõÈú ÏõÚóÇÆöí Úóäúßó æóÞóÏú ÃóãóÑúÊóäöí Èöåö¡ æóÇãúäõäú Úóáóíøó Èößõáøö ãóÇ íõÕúáöÍõäöíú Ýöíú ÏõäúíóÇíó æóÂÎöÑóÊöí ãóÇ ÐóßóÑúÊõ ãöäúåõ æóãóÜÇ äóÓöíÊõ¡ Ãóæú ÃóÙúåóÜÑÊõ Ãóæú ÃóÎúÝóíúÊõ¡ Ãóæú ÃóÚúáóäúÊõ Ãóæú ÃóÓúÑóÑúÊõ¡ æóÇÌúÚóáúäöí Ýöí ÌóãöíÚö Ðáößó ãöäó ÇáúãõÕúáöÍöíäó ÈöÓõÄóÇáöí ÅíøóÜÇßó¡ ÇáúãõäúÌöÍöíäó ÈöÇáÜØøóáóÈö ÅáóíúÜßó¡ ÛóíúÜÑö ÇáúãóãúäõæÚöíäó ÈöÇáÊøóæóßøõáö Úóáóíúßó¡ ÇáúãõÚóæøóÏöíäó ÈöÇáÊøóÚóæøõÐö Èößó¡ ÇáÑøóÇÈöÍöíäó Ýöí ÇáÊøöÌóÇÑóÉö ÚóáóíúÜßó¡ ÇáúãõÌóÇÑöíúäó ÈöÚöÜÒøößó¡ ÇáúãõÜæóÓøóÜÚö Úóáóíúåöãõ ÇáÜÑøöÒúÞõ ÇáúÍóÜáÇóáõ ãöäú ÝóÖúáößó ÇáúæóÇÓöÚö ÈöÌõæÏößó æóßóÑóãößó¡ ÇáúãõÚóÒøöíäó ãöäó ÇáÐøõáøö Èößó¡ æóÇáúãõÌóÇÑöíäó ãöä ÇáÙøõáúãö ÈöÚóÏúáößó¡ æóÇáúãõÚóÇÝóíúäó ãöäó ÇáúÈóáÇÁö ÈöÑóÍúãóÊößó¡ æóÇáúãõÛúäóíúäó ãöäó ÇáúÝóÞúÑö ÈöÛöäóÇßó¡æóÇáúãóÚúÕæãöíäó ãöäó ÇáÐøõäõæÈö æóÇáÒøóáóáö æóÇáúÎóØóÃö ÈöÊóÞúæóÇßó¡ æóÇáúãõæóÝøóÞöíäó áöáúÎóíúÑö æóÇáÑøõÔúÏö æóÇáÕøóæóÇÈö ÈöØóÇÚóÊößó¡ æóÇáúãõÍóÇáö Èóíúäóåõãú æóÈóíúäó ÇáÐøõäõæÈö ÈöÞõÏúÑóÊößó¡ ÇáÊøóÜÇÑößöíäó áößõáøö ãóÚúÕöíóÊößó¡ ÇáÓøóÇßöäöíäó Ýöí ÌöæóÇÑößó. Ãááøóåõãøó ÃóÚúØöäóÇ ÌóãöíÚó Ðáößó ÈöÊóæúÝöíÞößó æóÑóÍúãóÊößó¡ æóÃóÚöÐúäóÇ ãöäú ÚóÐóÇÈö ÇáÓøóÚöíÑö¡ æóÃóÚúØö ÌóãöíÜÚó ÇáúãõÓúáöãöíäó æóÇáúãõÓúáöãóÜÇÊö æóÇáúãõÄúãöäöíúäó æóÇáúãõÄúãöäóÇÊö ãöËúáó ÇáøóÐöí ÓóÃóáúÊõßó áöäóÝúÓöí æóáöæõáúÏöí Ýöí ÚóÇÌöáö ÇáÏøõäúíóÇ æóÂÌöáö ÇáÇÎöÑóÉö¡ Åäøóßó ÞóÑöíÈñ ãõÌöíÈñ ÓóãöíÚñ Úóáöíãñ ÚóÝõæøñ ÛóÝõÜæÑñ ÑóÄõæÝñ ÑóÍöíãñ. æóÂÊöäóÇ Ýöí ÇáÏøõäúíóÇ ÍóÓóäóÉð æóÝöí ÇáÇÎöÑóÉö ÍóÓóäóÉð æóÞöäóÇ ÚóÐóÇÈó ÇáäøóÇÑö.

Dua ya 25

DU'A ZAKE (A.S.) KWA AJILI YA WATOTO WAKE (A.S.).

O Allah! Nihurumie kwa kubaki watoto wangu, na kuwa kwao wema kwangu, na kwa kufurahikiwa nao kwangu, Mola wangu.

Refusha umri wako kwa ajili yangu wazidishie muda wao kwa ajili yangu mlee kwa ajili yangu mdogo miongoni mwako.

Mpe nguvu aliyedhaifu miongoni mwao vipe siha kwa ajili yangu viwili wili vyao, miili yao na dini yao natabia zao.

Wape afya nafsini mwao, viungo vya miili yao na kwa kila chenye umuhimu kwangu katika mambo yao. Nitiririshie juu ya mikono yangu riziki zao.

Na wafanye wawe wema, wacha mungu watambuzi. Wasikivu watii kwao na kwa mawalii wako wana wapenda na kufuata ushauri wao.

Na kwa maaduwi zako wote wana wapinga vikali ameen.

O Allah! Ipe nguvu mikono yangu kupitia wao kupitia wao unyoshe mgongo wangu uliotopewa. Iongeze Idadi yangu. Kupitia wao yapambe maudhurio yangu. Kupitia wao huisha utajo wangu. Kupitia wao nitosheleze nikiwa sipo. Kupitia wao nisaidiye Haja zangu.

Wafanye wanipende wanielekee wanyofu watii kwangu. Wasiwe waasi wala watovu wa heshima wasiwe wafanyao kinyume wala wakosaji. Nisaidiye malezi yao kuwa adabisha na kuwafanya wawe wema. Unipe mimi pamoja na wao kutoka kwa watoto wa kiume.

Hivyo ni kheri kwangu uwajaalie wawe msaada kwangu juu ya niliyokuomba. Nilinde mimi na kizazi changu na shetani mlaaniwa. Kwa kuwa wewe umetuumba, umetuamuru na umetukataza. Na umetupendezesha malipo kwa uliyotuamuru, na kutuogopesha adhabu yake.

Umetufanyia aduwi anatushauri vibaya umemuwezesha kwetu juu ya ambayo hukutuwezesha sisi juu yake. Umemuwezesha kuketi vifuwani   mwetu na kumpitisha ndani ya mishipa yetu ya damu. Haghafiliki tughafilikapo.

Hasahau tunaposahau! Anatufanya tuone tuko salama na adhabu yako. Na yu atuogopesha na mwingine asiyekuwa wewe.

Tukusudiapo kutenda yasiyofaa anatushajiisha. Na tukusudiapo kufanya tendo jema atuvunja moyo. Anatupinga kwa vishawishi. Hutuwekea mashaka. Akitupa ahadi hudanganya akitupa   matumaini atatufanyia kinyume chake.

Kama hautotuondolea vitimbi vyake atatupoteza. Kama hautotulinda na maovu yake atatutekelezesha.

O Allah! Ushinde uwezo wake kwetu kwa uwezo wako. Ili umzuiye mbali nasi kwa wingi wa DU'A zetu kwako. Mpaka tuwe miongoni mwa waliohifadhiwa na wewe mbali na vitimbi vyake.

O Allah! Nipe mimi niliyoyaomba yote. Na kidhi haja zangu. Usiniziwiye itikio hali ulikwishachukuwa dhamana yake kwa ajili yangu usiizibe duwa yangu kwako hali uliniamuru nikuombe.

Kuwa mwema kwangu kwa kila kitakachoniweka sawa katika dunia yangu na akhera yangu. Nikumbukacho na ni nachosahau. Ninachodhihirisha na ninachokificha. Nilichokitangaza au kukifanya siri nifanye kwa yote hayo kwa maombi yangu kwako kuwa miongoni mwa watu wema.

Walio fanikiwa kwa kukuomba wewe wasio zuiliwa kwa kutegemea juu yako waliokingwa kwa kuomba kinga kwako waliopata faida kwa kufanya biashara na wewe.

Waliopewa kimbilio kwa enzi yako. Waliopewa riziki nyingi ya halali kwa fadhila zako zenye wasaa na upaji, na ukarimu.

Walioepushwa na dhulma kwa uadilifu wako. Waliowekwa mbali na balaa kwa rehma zako. Waliotajirishwa baada ya ufakiri kwa utajiri wako. Waliohifadhiwa mbali na dhambi kuteleza, na makosa kwa kukuogopa wewe. Waliofanikishwa kwa mema, mwongozo, na umakini kwa kukutii wewe. Waliokingwa kati yao na dhambi kwa uwezo wako. Walioacha maasi yako yote. Wakazi jirani na wewe. O Allah! Tupe yote hayo kwa kufanikishwa na wewe na kwa huruma yako. Tuepushe na adhabu ya moto.

Uwape Waislamu wote wanaume na Waislamu   wanawake wote.

Waumini wanaume na waumini wanawake. Kama yale niliyokuomba kwa ajili ya nafsi yangu na kwa watoto wangu. Kwa haraka ya hapa duniani na baadaye akhera. Hakika wewe ukaribu na mwenye uwezo wa kujibu.

Msikilizaji mjuzi. Mwenye kughofiria mwenye kusamehe mpole mwenye huruma. Na tupe sisi mema duniani na mema akhera na tulinde na adhabu ya moto.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÓÇÏÓ æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) áÌíÑÇäå æÃæáíÇÆå ÅÐÇ ÐßÑåã]

Ãááøóåõãøó ÕóÜáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöÜåö æóÊóÜæóáøóäöí Ýöí ÌíÑóÇäöí æóãóæóÇáöíøó æóÇáúÚóÜÇÑöÝöíäó ÈÍóÞøöäóÇ æóÇáúãõäóÜÇÈöÐöíäó áÇöÚúÏóÇÆöäóÇ ÈöÃóÝúÖóáö æóáÇóíóÊößó¡ æóæóÝøöÞúåõãú áÇÞóÇãóÉö ÓõäøóÊößó æóÇáÇóÎúÐö ÈöãóÍóÇÓöäö ÃóÏóÈößó Ýöí ÅÑúÝóÇÞö ÖóÚöíÝöåöãú¡ æóÓóÏøö ÎóáøóÊöåöãú¡ æóÚöíóÇÏóÉö ãóÑöíÖöåöãú¡ æóåöÜÏóÇíóÉö ãõÓúÊóÜÑúÔöÏöåöãú¡ æóãõäóÇÕóÍóÉö ãõÓúÊóÔöíÑöåöãú¡ æóÊóÚóåøõÏö ÞóÜÇÏöãöåöãú¡ æóßöÊúãóÇäö ÃóÓúÑóÇÑöåöãú¡ æóÓóÊúÑö ÚóæúÑóÇÊöåöãú¡ æóäõÕúÑóÉö ãóÙúáõæãöåöãú¡ æóÍõÓúäö ãõæóÇÓóÇÊöåöãú ÈöÇáúãóÇÚõæäö¡ æóÇáúÚóæúÏö Úóáóíúåöãú ÈöÜÇáúÌöÜÏóÉö æóÇáÇöÝúÖóÜÇáö¡ æóÅÚúØóÂÁö ãóÜÇ íóÌöÈõ áóåõãú ÞóÈúáó ÇáÓøõÄÇáö æÇÌúÚóáúäöí Çááøóåõãøó ÃóÌúÒöí ÈöÇáÇÍúÓóÇäö ãõÓöíúÆóåõãú¡ æóÇÚúÑöÖõ ÈöÇáÊøóÌóÇæõÒö Úóäú ÙóÇáöãöåöãú¡ æóÃóÓúÊóÚúãöáú ÍõÓúäó ÇáÙøäøö Ýöí ßóÇÝøóÊöåöãú¡ æóÃóÊóæóáøóì ÈöÇáúÈöÑøö ÚóÇãøóÊóåõãú¡ æóÃóÛõÖøõ ÈóÕóÑöí Úóäúåõãú ÚöÝøóÉð¡ æóÃáöíäõ ÌóÇäöÈöíú áóåõãú ÊóæóÇÖõÚÇð¡ æóÃóÑöÞøõ Úóáóì Ãóåúáö ÇáúÈóáÇÁö ãöäúåõãú ÑóÍúãóÉð¡ æóÃÓöÑøõ áóåõãú ÈöÇáúÛóíúÈö ãóæóÏøóÉð¡ æóÇõÍöÈøõ ÈóÞóÇÁó ÇáäøöÚúãóÉö ÚöäúÏóåõãú äõÕúÍÇð¡ æóÇõæÌöÈõ áóåõãú ãóÇ ÇõæÌöÈõ áöÍóÇãøóÊöí¡ æóÃóÑúÚóì áóåõãú ãóÇ ÃóÑúÚóì áöÎóÇÕøóÊöí. Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøöÏ æóÂáöåö¡ æóÇÑúÒõÞúäöí ãöËúáó Ðóáößó ãöäúåõãú¡ æóÇÌúÚóáú áöí ÃóæúÝóì ÇáúÍõÙõæÙö ÝöíãóÇ ÚöäúÏóåõãú¡ æóÒöÏúåõãú ÈóÕöíúÑóÉð Ýöí ÍóÞøöí¡ æóãóÚúÑöÝóÉð ÈöÝóÖúáöí¡ ÍóÊøóì íóÓúÚóÏõæÇ Èöí æóÃóÓúÚóÏó Èöåöãú Âãöíäó ÑóÈøó ÇáúÚóÇáóãöíäó.

Dua ya 26

DU'A ZAKE (A.S.) KWA AJILI YA MAJIRANI ZAKE NA MARAFIKI ZAKE AWATAJAPO

O Allah!   Mrehemu Muhammad na Aali zake. Nitumikishe kwa majirani zangu na marafiki zangu waitambuayo haki yetu na wapiganao na maaduwi zetu kwa utumishi ulio bora. Wafanikieshe. Kutekeleza sunnah 'yako. Nakuchukuwa adabu zako nzuri. Katika kuwatendea kwa upole wanyonge wao. Na kurekibisha dosari yao.

Kuwatembelea wagonjwa wao. Kumwongoza atakayemwongozo. Kumpa nasaha mwenye kuwataka ushauri.

kumpokea msafiri wao anaporudi. Kuwafichia siri zao. Kusitiri aibu yao. Kumsaidia mdhulumiwa wao. Kushirikiana nao vizuri katika matumizi ya vyombo. Nakuwapa yaliyo wajibu kwao kabla hawajaomba Nijaalie O Allah! Nimlipe mema muovu wao Nitupilie mbali kwa uvumilivu maovu ya dhalimu wao. Kuwadhania dhana njema wote.

Niwatendee wema wote. Nirudishe macho yangu chini kujizuia na tamaa. Niteremshe upande wangu kwao kwa unyenyekevu. Niwe mpole kwa waliokumbwa na balaa miongoni mwao kuwa hurumia. Niwafurahishe wakiwa hawapo kwa upendo Nipende wabakiye na Neema kwa nia njema wape ambalo niwapalo jamaa zangu. Niwachungiye ambalo niwachungialo Marafiki zangu mahsusi.

O Allah!   Mrehemu Muhammad na Aali zake. Niruzuku kwa kadiri hiyo hiyo toka kwao. Nijaaliye    hadhi    ya    kutosha    katika    waliyonayo wazidishiye utambuzi katika haki yangu, Na elimu ya ubora wangu. Ili wafanikiwe kupitia mimi na nifanikiwe kupitia wao. Ameen, E! Bwana wa Ulimwengu wote.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÓÇÈÚ æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) áÇåá ÇáËÛæÑ]

Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÍóÕøöäú ËõÛõæÑó ÇáúãõÓúáöãöíäó ÈöÚöÒøóÊößó¡ æóÃóíøöÏú ÍõãóÇÊóåóÇ ÈöÞõæøóÊößó¡ æóÃóÓúÈÛó ÚóØóÇíóÇåõãú ãöäú ÌöÏóÊößó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóßóËøöÑú ÚöÏøóÊóåõãú¡ æóÇÔúÍóÐú ÃóÓúáöÍóÊóåõãú¡ æóÇÍúÑõÓú ÍóæúÒóÊóåõãú¡ æóÇãúäóÚú ÍóæúãóÊóåõãú¡ æóÃóáøöÝú ÌóãúÚóåõãú¡ æóÏóÈøöÑú ÃóãúÑóåõãú¡ æóæóÇÊöÑú Èóíúäó ãöíóÑöåöãú¡ æóÊóæóÍøóÏú ÈößöÝóÇíóÉö ãóÄóäöåöãú¡ æóÇÚúÖõÏúåõãú ÈöÇáäøóÕúÑö¡ æóÃóÚúäöåõãú ÈöÇáÕøóÈúÑö¡ æóÇáúØõÝú áóåõãú Ýöí ÇáúãóßúÑö. Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÚóÑøöÝúåõãú ãóÇ íóÌúåóáõæäó¡ æóÚóáøöãúåõãú ãóÇ áÇó íóÚúáóãõæäó¡ æóÈóÕøöÑúåõãú ãóÇ áÇó íõÈúÕöÑõæäó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóäúÓöåöãú ÚöäúÏó áöÞóÂÆöåöãõ ÇáúÚóÏõæøó ÐößúÑó ÏõäúíóÇåõãõ ÇáúÎóÏøóÇÚóÉö ÇáúÛóÑõæÑö¡ æóÇãúÍõ Úóäú ÞõáõæÈöåöãú ÎóØóÑóÇÊö ÇáúãóÇáö ÇáúÝóÊõæäö¡ æóÇÌúÚóáö ÇáúÌóäøóÜÉó äóÕúÈó ÃóÚúíõäöåöãú æóáóæøöÍú ãöäúåóÇ áÇöÈúÕóÇÑöåöãú ãóÇ ÃóÚúÏóÏúÊó ÝöíåóÇ ãöäú ãóÓóÇßöäö ÇáúÎõáúÏö æóãóäóÇÒöáö ÇáúßóÑóÇãóÉö æóÇáúÍõæÑö ÇáúÍöÓóÇäö æóÇáÇóäúåóÇÑö ÇáúãõÜØøóÑöÏóÉö ÈöÃóäúæóÇÚö ÇáÇóÔúÑöÈóÜÉö¡ æóÇáÇóÔúÌóÇÑö ÇáúãõÊóÏóáøöíóÉö ÈöÕõäõæÝö ÇáËøóãóÑö¡ ÍóÊøóì áÇó íóåõãøó ÃóÍóÏñ ãöäúåõãú ÈöÇáÇÏúÈóÇÑö¡ æóáÇ íõÍóÏøöËó äóÝúÓóåõ Úóäú ÞöÑúäöåö ÈöÝöÑóÇÑ. Ãááøóåõãøó ÇÝúáõáú ÈöÐóáöÜßó ÚóÏõæøóåõãú¡ æóÇÞúáöãú Úóäúåõãú ÃóÙúÝóÇÑóåõãú¡ æóÝóÑøöÞú Èóíúäóåõãú æóÈóíúäó ÃóÓúáöÍóÊöåöãú¡ æóÇÎúáóÚú æóËóÇÆöÞó ÃóÝúÆöÏóÊöåöãú¡ æóÈóÇÚöÏú Èóíúäóåõãú æóÈóíúäó ÃóÒúæöÏóÊöåöãú¡ æóÍóíøöÑúåõãú Ýöí ÓõÈõáöåöãú¡ æóÖóáøöáúåõãú Úóäú æóÌúåöåöãú¡ æóÇÞúÜØóÚú Úóäúåõãõ ÇáúãóÏóÏó æóÇäúÞõÕú ãöäúåõãõ ÇáúÚóÏóÏó¡ æóÇãúáÇú ÃóÝúÆöÏóÊóåõãõ ÇáÑøõÚúÈó¡ æóÇÞúÈöÖú ÃóíúÜÏöíóåõãú Úóäö ÇáÈóÓúØö¡ æóÇÎúÜÒöãú ÃóáúÓöäóÊóåõãú Úóäö ÇáäøõØúÞö¡ æóÔóÜÑøöÏú Èåöãú ãóäú ÎóáúÝóåõãú¡ æóäóßøöÜáú Èöåöãú ãóäú æóÑóÇÁóåõãú¡ æóÇÞúÜØóÚú ÈöÎöÒúíöåöãú ÃóØúãóÜÇÚó ãóäú ÈóÚúÏóåõãú. Ãááøóåõãøó ÚóÞøöãú ÃóÑúÍóÇãó äöÓóÇÆöåöãú¡ æóíóÈøöÓú ÃóÕúáÇóÈó ÑöÌóÇáöåöãú¡ æóÇÞúØóÚúäóÓúáó ÏóæóÇÈøöåöãú æóÃóäúÚóÇãöåöãú¡ áÇó ÊóÃÐóäú áöÓóãóÇÆöåöãú Ýöí ÞóØúÑ æóáÇó áÇÑúÖöåöãú Ýöí äóÈóÇÊ. Ãááøóåõãøó æóÞóæøö ÈöÐóáößó ãöÍóÇáøó Ãóåúáö ÇáÇÓúáÇóãö¡ æóÍóÕøöäú Èöåö ÏöíóÇÑóåõãú¡ æóËóãøöÑú ÈöÜåö ÃóãúæóÇáóåõãú¡ æóÝóÑøöÛúåõãú Úóäú ãõÍóÇÑóÈóÊöåöãú áöÚöÈóÇÏóÊößó æóÚóäú ãõäóÇÈóÐóÊöåöãú ááúÎóáúæóÉö Èößó¡ ÍóÊøóì áÇ íõÚúÈóÏó Ýöí ÈöÞóÇÚö ÇáÇÑúÖö ÛóíúÑõßó æóáÇó ÊõÚóÝøóÑó áÇöóÍóÏ ãöäúåõãú ÌóÈúåóÉñ Ïõæäóßó. Ãááøóåõãøó ÇÛÒõ Èößõáøö äóÜÇÍöíóÜÉ ãöäó ÇáúãõÓúáöãöíäó Úóáóì ãóäú ÈöÜÅÒóÇÆöåöãú ãöäó ÇáúãõÔúÑößöíäó¡ æóÃóãúÏöÏúåõãú ÈöãóáÇÆößóÉ ãöäú ÚöäúÏößó ãõÑúÏöÝöíäó ÍóÊøóì íóßúÔöÝõÜæåõãú Åáóì ãõäúÞóØóÚö ÇáÊøõÜÑÇÈö ÞóÊúÜáÇð Ýöí ÃóÑúÖößó æóÃóÓúÑÇð Ãóæú íõÞöÑøõæÇ ÈöÃóäøóßó ÃóäúÊó Çááåõ ÇáøóÐöí áÇó Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó æóÍúÏóßó áÇó ÔóÑöíßó áóßó. Ãááøóåõãøó æóÇÚúãõãú ÈöÐóáößó ÃóÚúÏóÇÁóßó Ýöí ÃóÞúØóÇÑö ÇáúÈöáÇóÏö ãöäó ÇáúåöäúÏö æóÇáÑøõæãö æóÇáÊøõÜÑúßö æóÇáúÎóÒóÑö æóÇáúÍóÈóÔö æóÇáäøõÜæÈóÉö æóÇáÜÒøöäúÜÌ æÇáÓøóÞóÇáöÈóÉö æóÇáÏøóíóÇáöãóÉö æóÓóÇÆöÑö Çõãóãö ÇáÔøöÑúßö ÇáøóÐöí ÊóÎúÝóì ÃóÓúãóÇÄõåõãú æóÕöÝÇÊõåõãú¡ æóÞóÏú ÃóÍúÕóíúÊóåõãú ÈöãóÚúÑöÝóÊößó¡ æóÃóÔúÑóÝúÊó Úóáóíúåöãú ÈöÞõÏúÑóÊößó. Ãááøóåõãøó ÇÔúÛóáö ÇáúãõÔúÑößöíäó ÈöÇáãõÔúÑößöíäó Úóäú ÊóäóÇæõáöÃóØúÑóÇÝö ÇáúãõÓúáöãöíäó¡ æóÎõÐúåõãú ÈöÜÇáäøóÞúÕö Úóäú ÊóäóÞøõÕöåöãú¡ æóËóÈøöØúåõãú ÈöÜÇáúÝõÜÑúÞóÜÉö Úóäö ÇáÇÍúÊöÔóÇÏö Úóáóíúåöãú. Ãááøóåõãøó ÃóÎúáö ÞõáõæÈóåõãú ãöäó ÇáÇóãóäóÜÉö æóÃóÈúÏóÇäóåõãú ãöäó ÇáúÞõæøóÉö æóÃóÐúåöáú ÞõáõæÈóåõãú Úóäö ÇáÇÍúÊöíóÇáö æóÃóæúåöäú ÃóÑúßóÇäóåõãú Úóäú ãõäóÇÒóáóÉö ÇáÑøöÌóÇáö æóÌóÈøöäúåõãú Úóäú ãõÞóÇÑóÚóÉö ÇáÇóÈúØóÇáö¡ æóÇÈúÚóËú Úóáóíúåöãú ÌõäúÏÇð ãöäú ãóáÇóÆößóÊößó ÈöÈóÃÓ ãöäú ÈóÃúÓößó ßóÝöÚúáößó íóæúãó ÈóÏúÑ ÊóÞúØóÚõ Èöåö ÏóÇÈöÑóåõãú æóÊóÍúÕõÏõ Èöåö ÔóæúßóÊóåõãú¡ æóÊõÝóÑøöÞõ Èåö ÚóÏóÏóåõãú. Çááøóåõãøó æóÇãúÒõÌú ãöíóÇåóåõãú ÈöÇáúæóÈóÇÁö æóÃØúÚöãóÊóåõãú ÈöÇáÇóÏúæóÇÁö æóÇÑúãö ÈöáÇóÏóåõãú ÈöÜÇáúÎõÓõæÝö æóÃóáöÜÍøó ÚóáóíúåóÇ ÈöÜÇáúÞõÐõæÝö æóÇÝúÜÑóÚúåóÇ ÈöÇáúãõÍõæáö. æóÇÌúÚóáú ãöíóÑóåõãú Ýöí ÃóÍóÕøö ÃóÑúÖößó æóÃóÈúÚóÜÏöåóÇ Úóäúåõãú¡ æóÇãúäóÜÚú ÍõÕõæäóåóÇ ãöäúåõãú¡ ÃóÕöÈúåõãú ÈöÇáúÌõæÚö ÇáúãõÞöíãö æóÇáÓøõÞúãö ÇáÇáöíãö. Ãááøóåõãøó æóÃóíøõãóÇ ÛóÇÒ ÛóÒóÇåõãú ãöäú Ãóåúáö ãöáøóÊößó Ãóæú ãõÌóÇåöÏ ÌóÇåóÏóåõãú ãöäú ÃóÊúÈóÇÚö ÓõäøóÊößó áöíóßõæäó Ïöíäõßó ÇáÇÚúáóì æóÍöÒúÈõßó ÇáÇÞæóì æóÍóÙøõßó ÇáÇæúÝóì ÝóáóÞøöåö ÇáúíõÓúÑó¡ æóåóíøöÆú áóåõ ÇáÇãúÑó¡ æóÊóæóáøóåõ ÈöÇáäøõÌúÍö¡ æóÊóÎóíøóÑú áóåõ ÇáÇÕúÍóÇÈó¡ æóÇÓúÊóÞúæö áóåõÇáÙøóåúÑó¡ æóÃóÓúÈöÛú Úóáóíúåö Ýöí ÇáäøóÝóÞóÉö æóãóÊøöÚúåõ ÈöÇáäøóÔóÇØö¡ æóÃóØúÝö Úóäúåõ ÍóÑóÇÑóÉó ÇáÔøóæúÞö¡ æóÃóÌöÑúåõ ãöäú Ûóãøö ÇáúæóÍúÔóÉö¡ æóÃóäúÓöåö ÐößúÑó ÇáÇåúáö æóÇáúæóáóÏö æóÃóËõÑú áóåõ ÍõÓúäó ÇáäøöíøóÉö æóÊóæóáøóå ÈöÇáúÚóÇÝöíóÉö¡ æóÃóÕúÍöÈúåõ ÇáÓøóáÇóãóÉó¡ æóÃóÚúÝöåö ãöäó ÇáúÌõÈúäö¡ æóÃóáúåöãúåõ ÇáúÌõÑúÃóÉó æóÇÑúÒõÞúåõ ÇáÔøöÏøóÉó æóÃóíøöÏúåõ ÈöÇáäøõÕúÑóÉö¡ æóÚóáøöãúåõ ÇáÓøöíóÑó æóÇáÓøõäóäó¡ æóÓóÏøöÏúåõ Ýöí ÇáúÍõßúãö¡ æóÇÚúÒöáú Úóäúåõ ÇáÑøöíÇÁó¡ æÎóáøöÕúåõ ãöäó ÇáÓøõãúÚóÉö æóÇÌúÚóáú ÝößúÑóåõ æóÐößúÑóåõ æóÙóÚúäóåõ æóÅÞóÇãóÊóåõ Ýöíúßó æóáóßó¡ ÝóÅÐÇ ÕóÇÝøó ÚóÏõæøóßó æóÚóÏõæøóåõ ÝóÞóáøöáúåõãú Ýöí Úóíúäöåö æóÕóÛøöÑú ÔóÃäóåõãú Ýöí ÞóáúÈöåö æóÃóÏöáú áóåõ ãöäúåõÜãú æóáÇó ÊõÏöáúåõãú ãöäúåõ ÝóÅäú ÎóÊóãúÊó áóåõ ÈöÇáÓøóÚóÇÏóÉö æóÞóÖóíúÊó áóåõ ÈöÇáÔøóåóÇÏóÉö ÝóÈóÚúÏó Ãóäú íóÌúÊóÇÍó ÚóÏõæøóßó ÈöÇáúÞóÊúáö æóÈóÚúÏó Ãäú íóÌúåóÏó Èöåöãõ ÇáÇÓúÑõ æóÈóÚúÏó Ãä ÊóÃãóäó ÃØÑóÇÝõ ÇáãõÓúáöãöíäó æóÈóÚúÏó Ãóäú íõæóáøöíó ÚóÏõæøõßó ãõÏúÈöÑöíäó. Ãááøóåõãøó æóÃóíøõãóÇ ãõÓúáöã ÎóáóÝó ÛóÇÒöíÇð Ãóæú ãõÑóÇÈöØÇð Ýöí ÏóÇÑöåö Ãóæú ÊóÚóåøóÏó ÎóÇáöÝöíúåö Ýöíú ÛóíúÈóÊöåö¡ Ãóæú ÃóÚóÇäóåõ ÈöØóÇÆöÝóÉ ãöäú ãóÇáöåö¡ Ãóæú ÃóãóÏøóåõ ÈöÚöÊóÇÏ¡ Ãóæú ÔóÍóÐóåõ Úóáóì ÌöåóÇÏ¡ Ãóæú ÃóÊúÈóÚóåõ Ýöí æóÌúåöåöÏóÚúæóÉð¡ Ãóæú ÑóÚóì áóåõ ãöäú æóÑóÂÆöåö ÍõÑúãóÉð. ÝóÃóÌúÑö áóåõ ãöËúáó ÃóÌúÑöåö æóÒúäÇð ÈöæóÒúä æóãöËúáÇð ÈöãöËúá æóÚóæøöÖúåõ ãöäú ÝöÚúáöåö ÚöæóÖÇð ÍóÇÖöÑÇð íóÊóÚóÌøóáõ Èöåö äóÝúÚó ãóÇ ÞóÏøóãó¡ æóÓõÑõæÑó ãóÇ ÃóÊóì Èå¡ Åáóì Ãóäú íóäúÊóåöíó Èöåö ÇáúæóÞúÊõ Åáóì ãóÇ ÃóÌúÑóíúÊó áóÜåõ ãöäú ÝóÖúáößó¡ æóÃóÚúÏóÏúÊó áóåõ ãöäú ßóÑóÇãóÊößó. Ãááøóåõãøó æóÃóíøõãóÇ ãõÓúáöã Ãóåóãøóåõ ÃóãúÑõ ÇáÇöÓúáÇóãö æóÃóÍúÒóäóåõ ÊóÍóÒøõÈõ Ãóåúáö ÃáÔøöÑúßö Úóáóíúåöãú Ýóäóæóì ÛóÒúæÇð Ãóæú åóãøó ÈöÌåóÜÇÏ ÝóÞóÚóÏó ÈöÜåö ÖóÚúÝñ Ãóæú ÃóÈØóÃóÊú Èöåö ÝóÇÞóÉñ¡ Ãóæú ÃóÎøóÑóåõ Úóäúåõ ÍóÇÏöËñ¡ Ãóæú ÚóÑóÖó áóåõ Ïõæäó ÅÑóÇÏóÊöåö ãóÇäöÚñ¡ ÝóÇßúÊõÈö ÇÓúãóÜåõ Ýöí ÇáúÚóÇÈöÜÏöíäó æóÃæúÌÈú áóåõ ËóæóÇÈó ÇáúãõÌóÇåöÏöíäó æóÇÌúÚóáúåõ Ýöí äöÙóÇãö ÇáÔøõåóÜÏóÂÁö æóÇáÕøóÇáöÍöíäó. Ãááøóåõãøó ÕóÜáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ ÚóÈúÏößó æóÑóÓõæáößó æóÂáö ãõÍóãøóÏ ÕóáÇóÉð ÚóÇáöíóÉð Úóáóì ÇáÕøóáóæóÇÊö ãõÔúÑöÝóÉð ÝóæúÞó ÇáÊøóÍöíøóÇÊö¡ ÕóáÇóÉð áÇó íóäúÊóåöí ÃóãóÏõåóÇ æóáÇ íóäúÞóØöÚõ ÚóÏóÏõåóÜÇ ßóÃóÊóãøö ãóÜÇ ãóÖóì ãöäú ÕóáóæóÇÊößó Úóáóì ÃóÍóÏ ãöäú ÃóæúáöíÜÂÆößó¡ ÅäøóÜßó ÇáúãóäøóÇäõ ÇáúÍóãöíÏõ ÇáúãõÈúÏöÆõ ÇáúãõÚöíÏõ ÇáÝóÚøóÇáõ áöãóÇ ÊõÑöíúÏõ.

Dua ya  27

DU'A ZAKE (A.S.) KWA WATU WA MPAKANI:

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Uimarishe mstari wa mbele wa Waislamu kwa uwezo

wako. Wape nguvu walinzi wake kwa nguvu zako. Kithirisha wapewacho kwa utajiri wako

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Zidisha idadi yao. Nowa silaha zao. Ilinde nchi yao. Yalinde mapambano yao. Unganisha mkusanyiko wao. Pangilia mambo yao. Fululiza posho lao. Peke yako chukuwa jukumu la kuwatosheleza posho lao.

Waunge mkono kwa ushindi wasaidie kuwa na subira. Wape werevu kwenye vitimbi.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Watambulishe wasio yajuwa Wafundishe wasiyoyajua Waoneshe wasiyoyaona

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake. Wasahaulishe wakati wa kutanapo na aduwi. Kuikumbuka Dunia yao babaishi danganyifu. Futa toka mioyoni mwao fikra ya mali ipendezayo sana. Na ifanye Jannah iwe mbele ya macho yao. Waoneshe baadhi ya uliyowaandalia humo machoni mwao. Miongoni mwa makazi ya kudumu. Nyumba za heshima. Huri warembo. Mito ibubujikayo kwa aina aina za vinywaji. Miti iliyojiangika karibu ikiwa na sampuli tofauti za matunda. Ili yeyote miongoni mwao asiwe na wazo la kutumba mgongo, Wala asijishauri kumkimbia mpinzani wake.

O Allah! Kwa hayo mshinde aduwi yao. Mkate makucha yake kutoka kwao, waweke mbali na silaha zao. Ondoa uthabiti wa mioyoyao. Waweke mbali na akiba yao. Watundu waze katika njia zao. Wapotoshe toka kwenye mwelekeo wao. Wakatie msaada. Wapunguze idadi. Wajaze woga mioyoni mwao. Igandishe mikono yao isiweze kukunjuka, zifunge ndimi zao zisiongee, watawanye walio nyuma yao. Wape funzo walio nyuma yao. Zikate tamaa za watakaokuja baada yao. Kwa kuwa dhalilisha.

O Allah! Yafanye tasa matumbo ya wanawake wao. Vikaushe viuno vya wanaume wao Kikate kizazi cha  wanyama wao Usiiruhusu mbigu yao kunyesha Wala mmea katika ardhi yao Kwa kufanya hayo uupe nguvu ujasiri wa Uislamu. Boresha kwa hayo ngome za nyumba zao. Kwa hayo wazidishiye mali zao.

Waweke mbali na kupambana nao kwa ajili ya ibada yako na mbali na kulumbana nao ili wapate muda wa kujitenga wakiwa na wewe.

Ili asiabudiwe ardhini asiyekuwa wewe wala paji lau uso la yeyote miongoni mwao lisisuguliwe kwenye mchanga kwa ajili ya yeyote mbali na wewe.

O Allah!

Wapeleke washambulizi kutoka kila upande wa Waislamu kwa washirikina waliomuka bala wao. Na uwaongezee msaada wa malaika kutoka kwako kwa daraja. 111 wawatimuwe mpaka mwisho wa nchi kwa kuwa uwa katika ardhi yako na kuwateka au wakubali kuwa wewe ndiye Allah ambaye hapana miungu isipokuwa wewe tu, peke yako huna mshirika.

O Allah !

Waingize kwa hilo maadui zako katika maeneo ya nchi za India, Urumi, Uturuki, Khazars, Abyssinia, Uhabeshi, Noubah Zanji na Daylamite. Na umma zingine za washirikina ambao majina yao na sifa zao zafichika lakini ni ambao umejua hesabu yao kwa maarifa yako. Na umewaona kwa uwezo wako.

O Allah !

Washughulishe washirikina wao kwa wao ili wasiifikie mipaka ya

Waislamu wazuiye kwa kuwa punguza kutoka upungufu wao.

Wazuie kwa mgawanyiko utakaowafanya washindwe kujikusanya dhidi yao.

O Allah !

Ondoa usalama mioyoni mwao na ondoa nguvu milini mwao, iziwie mioyo yao isiweze kuwa na mbinu, dhoofisha viungo vyao wasiweze kupambana na wanaume.

Wafanye wawe waoga kiasi cha kuwa hawawezi kupambana na mashujaa, watumie askari kutoka miongoni mwa malaika wako kwa ukali kutoka ukali wako.

Kama ulivyofanya siku ya badri uikate mizizi yao kwa hilo, kwa hilo uiondoe miba yao na uitawanye idadi yao.

O Allah ! changanya maji yao maradhi yakuambukiza na vyakula vyao na maradhi, iangamize miji yao kwa kuifuta kabisa. Na wahangaishe kwa kutupiwa, wazuiye kwa ukame.

Na ijaalie rizki yao kwenye ardhi yenye ukuba mno miongoni mwa ardhi zako, ardhi iliyo mbali sana nao, wazuie wao kwenye ngome zake (ardhi) wape njaa ya mara kwa mara na ugonjwa uumizao.

O Allah! Na mshambuliaji yeyote akiwashambulia kutoka watu wa mila yako, au mpambanaji akipambana kutoka wafuasi wa sunnah yako, ili dini yako iwe juu.

Na kundi lako liwe ndilo kundi lenye nguvu mno. Na hadhi yako iwe kamili. Mpe nafuu, mpangie mambo, mpe mafanikio, mchagulie wenzi, umpe nguvu mgongo wake, mzidishiye nafaka, umstareheshe kwa uzima na nguvu.

Umzimishie joto la shauku, mpe kimbilio kutokana na huzuni ya upeka. Msahaulishe kuwakumbuka mke na watoto, mpitishie kuchagua nia njema mpe afya.

Mwambatanishie usalama mwepushe na woga, mpe ushujaa, mpe nguvu, msaidie kwa kumpa ushindi. Mfundishe sera njema na sunnah, mweke sawa katika kuhukumu.

Mwondolee riyaa, mwepushe na kupenda kusifiwa, na ifanye fikra yake, kumbukumbu yake, safari yake, na kaa yake iwe katika wewe na kwa ajili yako. Asimamapo safu kwa adui yake na adui yako waonyeshe mbele ya macho yake kuwa ni wadogo.

Udogeshe umuhimu wao moyoni mwake zamu ya ushindi dhidi yao iwe yake, wala usiifanye zamu ya ushindi kuwa yao, lakini endapo utamuhitimishia na heri na kumwamulia kupata shahadat.

Acha iwe baada ya kumng'owa adui yako kwa kumuuwa na baada ya kutekwa kumewachujusha.

Na baada ya kuwa mipaka ya Waislamu iko salama. Na baada ya kuwa adui yako amekwisha tumba mgongo akimbia.

O Allah !

Muislamu yeyote akimwacha mpiganaji au askari mlinzi katika nyumba yake akatunza alivyoviacha nyuma yake. au akamsaidia kwa sehemu ya mali yake au kumsaidia kwa vyombo au kumnowa kwa ajili ya vita au kumwagizia mbele ya uso wake DU'A au kumhifadhia heshima nyuma yake.

Mpe malipo mfano wa malipo yake uzito kwa uzito. Na mfano kwa mfano, mpe malipo ya kitendo chake malipo ya haraka ambayo ataharakia kunufaika na alichokitanguliza na kufurahia alichokileta mpaka wakati uishiye kwenye yale uliyompa miongoni mwa fadhila zako. Na uliyomwandalia kutokana na ukarimu wako.

O Allah !

Muislamu yeyote atilia manani suala la Uislamu na kumuhuzunisha ushirikiano wa washirikina dhidi yao. Kwa hiyo akawa na nia ya kwenda vitani au akusudia jihadi. "Lakini udhaifu ukamzuia au umasikini umemchelewesha au tukio la bahati mbaya likamzuia au amezukiwa na jambo kinyume na utashi wake.

Basi andika jina lake miongoni mwa wachamungu wajibisha kwake thawabu za wapiganaji jihadi. Na mweke katika daraja ya mashahidi na watu wema.

O Allah !

Mrehemu Muhammad mja wako na Mjumbe wako na Ali wake

Muhammad Rehma ya hali ya juu. Juu ya rehma na maamkizi

Rehma haina mwisho wala idadi yake haikatiki kama Rehma zako zilizokamili mno miongoni mwa zilizopita kwa yeyote miongoni mwa mawalii wako. Hakika wewe mwema mwenye kuhimidiwa, mwanzilishi na mwenye kurudisha mtekelezaji wa utakalo.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇãä æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ãõÊÝóÑøöÛÇð Åáì Çááåö ÚÒøæÌáø]

Çááóåõãøó Åäøöí ÃóÎúáóÕúÊõ ÈöÇäúÞöØóÇÚöí Åáóíúßó¡ æóÃóÞúÈóáúÊõ Èößõáøöí ÚóáóíúÜßó¡ æóÕóÜÑóÝúÊõ æóÌúåöí Úóãøóäú íóÍúÊóÜÇÌõ Åáóì ÑöÝúÏößó¡ æóÞóáóÈúÊõ ãóÓúÃóáóÊöí Úóãøóäú áóãú íóÓúÊóÛúäö Úóäú ÝóÖúáößó¡ æóÑóÃóíúÊõ Ãóäøó ØóáóÈó ÇáúãõÍúÊóÇÌö Åáóì ÇáúãõÍúÊóÇÌö ÓóÝóåñ ãöäú ÑóÃíöåö æóÖóáøóÉñ ãöäú ÚóÞúáöåö¡ Ýóßóãú ÞóÏú ÑóÃóíúÊõ íóÜÇ Åáåöíú ãöäú ÇõäÇÓ ØóáóÈõæÇ ÇáúÚöÒøó ÈöÛóíúÑößó ÝóÐóáøõæÇ¡ æóÑóÇãõæÇ ÇáËøóÑúæóÉó ãöäú ÓöæóÇßó ÝóÇÝúÊóÞóÑõæÇ¡ æóÍóÇæóáõæÇ ÇáÇÑúÊöÝóÇÚó ÝóÇÊøóÖóÚõæÇ¡ ÝóÕÍøó ÈöãõÚóÇíóäóÉö ÃóãúËóÇáöåöãú ÍóÇÒöãñ æóÝøóÞóåõ ÇÚúÊöÈóÇÑõåõ æóÃóÑúÔóÏóåõ Åáóì ØóÑöíÞö ÕóæóÇÈöåö ÈöÇÎúÊöÈóÇÑöåö ÝóÃóäúÊó íóÇ ãóæúáÇíó Ïõæäó ßõáøö ãóÓúÄõæá ãóæúÖöÚõ ãóÓúÃóáóÊöí æóÏõæäó ßõáøö ãóØúáõæÈ Åáóíúåö æóáöíøõ ÍóÇÌóÊöí. ÃóäúÊó ÇáúãóÎúÕõæÕõ ÞóÈúáó ßõáøö ãóÏúÚõæøò ÈöÏóÚúæóÊöí áÇó íóÔúÑóßõßó ÃóÍóÏñ Ýöí ÑóÌóÇÆöí¡ æóáÇó íóÊøóÝöÞõ ÃóÍóÏñ ãóÚóßó Ýöí ÏõÚóÇÆöí¡ æóáÇó íóäúÙöãõåõ æóÅíøóÇßó äöÏóÇÆöí áóßó íóÇ Åáåöí æóÍúÏóÇäöíøóÉõ ÇáúÚóÏóÏö¡ æóãóáóßóÉõ ÇáúÞõÏúÑóÉö ÇáÕøóãóÏö¡ æóÝóÖöíáóÉõ ÇáúÍóæúáö æóÇáúÞõæøóÉö¡ æóÏóÑóÌóÉõ ÇáúÚõáõæøö æóÇáÑøöÝúÚóÉö æóãóäú ÓöæóÇßó ãóÑúÍõæãñ Ýöí ÚõãúÑöåö¡ ãóÛúáõæÈñ Úóáóì ÃóãúÑöåö¡ ãóÞúåõæÑñ Úóáóì ÔóÃäöåö¡ ãõÎúÊóáöÝõ ÇáúÍóÇáÇóÊö¡ ãõÊóäóÞøöáñ Ýöí ÇáÕøöÝóÇÊö. ÝóÊóÚóÇáóíúÊó Úóäö ÇáÇÔúÈóÇåö æóÇáÇÖúÜÏóÇÏö¡ æóÊóßóÈøóÜÑúÊó Úóäö ÇáÇãúËóÜÇáö æóÇáÇäúÏóÇÏö¡ ÝóÓõÈúÍóÇäóßó áÇó Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó.

Dua ya 28

DU'A ZAKE   ANAPOKIMBILIA KWA ALLAH.

O Allah !

Nimekuwa mnyofu kwa kukata mawasiliano na kingine chochote

isipokuwa kwako, mzima na kwa yote nimeelekea juu yako.

Nimeugeuza uso wangu toka kwa ambaye yu ahitajia au ni yako. Nimeacha maombi kwa asiyejiweza bila ya fadhila zako.

Nimeona kuwa muhitaji kumwomba muhitaji kama yeye ni upuuzi wa maoni yake. Na ni upotovu wa akili yake, ni wangapi nimewaona ewe Mola wangu miongoni mwa watu.!

Wameomba utukufu kwa asiyekuwa wewe wakadhalilika, walitaka mali kwa mwingine ambaye si wewe wamekuwa masikini, walijaribu kupanda wakaanguka. Kwa kuona mifano yao humsahihisha mwerevu. Uangalifu wake umemfanikisha, uchaguzi wake umemwongoza kwenye njia ya sawa. Hivyo basi wewe ewe bwana wangu mbali na mwombaji yeyote ndio mahali pa maombi yangu.

Ndio mfadhili wa haja yangu mbali na mwingine yeyote ambaye maombi hufanywa kwake.

Wewe tu wahusika pekee kwa wito wangu kabla ya mwombaji mwingine yeyote.

Hakuna ashirikishwaye na wewe katika matumaini yangu. Wala yeyote hawafikiani na wewe katika DU'A zangu. Wala hapana yeyote ajiungaye na wewe katika hili. Kwako wewe tu ndiyo maombi yangu.

Wako ewe Mola wangu, ni umoja wa idadi, na miliki ya uwezo wa milele, na ubora wa uwezo na nguvu, na daraja ya utukufu wa juu kabisa, na yeyote ambaye si wewe ni wakuhurumiwa maishani mwake, mwenye kuhemewa katika mambo yake.

Mwenye kushindishwa na hali yake mambo yake tofauti, zabadilika sifa zake, hivyo basi uko juu mbali na kufanana na vitu au kitu kuwa dhidi yako. Umetukuka huwi mfano wa chochote na dhidi yeyote kwako. Utakatifu ni wako hapana miungu isipokuwa ni wewe.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÊÇÓÚ æÇáÚÔÑæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ ÞÊÑ Úáíå ÇáÑøöÒÞ]

Ãóááøóåõãøó Åäøóßó ÇÈúÊóáóíúÊóäóÇ Ýöí ÃóÑúÒóÇÞöäóÇ ÈöÓõæÁö ÇáÙøóäøö æóÝöí ÂÌóÇáöäóÇ ÈöØõæáö ÇáÇãóáö ÍóÊøóì ÇáúÊóãóÓúäóÇ ÃóÑúÒóÇÞóßó ãöäú ÚöäúÏö ÇáúãóÑúÒõæÞöíäó¡ æóØóãöÚúäóÇ ÈöÂãóÇáöäóÇ Ýöí ÃóÚúãóÇÑö ÇáúãõÚóãøóÑöíäó. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóåóÈú áóäóÇ íóÞöíäÇð ÕóÇÏöÞÇð ÊóßúÝöíäÇ Èöåö ãöäú ãóÄæäóÉö ÇáØøóáóÈö¡ æóÃóáúåöãúäóÇ ËöÞóÉð ÎóÇáöÕóÉð ÊõÚúÝöíäóÇ ÈöåóÇ ãöäú ÔöÏøóÉö ÇáäøóÕóÈö¡ æóÇÌúÚóáú ãóÇ ÕóÑøóÍÊó Èöåö ãöäú ÚöÏóÊößó Ýöí æóÍúíößó¡ æóÃóÊúÈóÚúÊóåõ ãöäú ÞöÓóãößó Ýöí ßöÊóÇÈößó ÞóÇØöÚÇð áÇåúÊöãóÇãöäóÇ ÈöÜÇáÑøöÒúÞö ÇáøóÜÐöíú ÊóßóÝøóáúÊó Èöåö æóÍóÓúãóÇð áöáÇÔúÊöÛóÇáö ÈöãóÇ ÖóãöäúÊó ÇáúßöÝóÇíóÉó áóåõ¡ ÝóÞõáúÊó æóÞóæúáõßó ÇáúÍóÞøõ ÇáÇÕúÜÏóÞõ æóÃóÞúÓóãúÊó æóÞóÓóãõßó ÇáÇóÈóÑøõ ÇáÇóæúÝì: (æóÝöí ÂáÓøóãóÇÁö ÑöÒúÞõßõãú æóãóÇ ÊõæÚóÏõæäó) Ëõãøó ÞõáúÊó: (ÝóæóÑóÈøö ÇáÓøóãóÇÁö æóÇáÇóÑúÖö Åäøóåõ áóÍóÞøñ ãöËúáó ãóÇ Ãóäøóßõãú ÊóäúØöÞõæúäó).

Dua ya 29

DU'A ZAKE (A.S.) IKIWA RIZIKI YAKE IMEBANA.

O Allah !

kwa hakika umetupa mtihani katika riziki zetu kwa sababu ya dhana mbaya. Na katika maisha yetu kwa matumaini ya kuwa tutaishi maisha marefu mpaka tumefikia kuomba rizki zetu toka kwa waruzukiwa, tumetamani kwa matumaini matupu maisha marefu ya wenye kuwezeshwa kuishi. Mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Tupe yakini ya ukweli itakayo tutosheleza mzigo wa kutafuta kwa njia ya il-hamu tupe ithibati ya kweli itakayo tutosheleza na ukali wa shida.

Na jaalia ulichoahidi wazi wazi katika wahyi wako ambacho ulikifuatilia kitabuni mwako na kiapo kuwa ndiyo njia pekee ya kuzingatia rizki ambayo umeidhamini, na ndiyo itakayo kujishughulisha na uliyochukuwa dhamana kuitosheleza.

Ulisema na usemi wako ndio wa haki mkweli mno, uliapa na kiapo chako ni chenye kuhifadhiwa na kutekelezwa. (Mbinguni kuna rizki zenu na kila mnachoahidiwa - Qur'an) (Na ninaapa) kwa Mungu wa mbingu na ardhini kweli kama mnavyotamka) Qur'an.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ÇáãÚæäóÉö Úáì ÞÖÇÁö ÇáÏøóíúäö]

Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóåóÈú áöíó ÇáúÚóÇÝöíóÉó ãöäú Ïóíúä ÊõÎúáöÞõ Èöåö æóÌúåöí¡ æóíóÍóÇÑõ Ýöíåö Ðöåúäöí¡ æóíóÊóÔóÚøóÈõ áóåõ ÝößúÑöí¡ æóíóØõæáõ ÈöãõãóÇÑóÓóÊöåö ÔõÛúáöí¡ æóÃóÚõæÐõ Èößó íóÇ ÑóÈøö ãöäú åóãøö ÇáÏøóíúäö æóÝößúÑöåö¡ æóÔõÛúáö ÇáÏøóíúäö æóÓóåóÑöåö. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóÚöÐúäöí ãöäúåõ. æóÃóÓúÊóÌíÑõ Èößó íóÇ ÑóÈøö ãöäú ÐöáøóÊöåö Ýöí ÇáúÍóíóÇÉö æóãöäú ÊóÈöÚóÊöåö ÈóÚúÏó ÇáúæóÝóÇÉö. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóÌöÑúäöí ãöäúåõ ÈöæõÓúÚ ÝÇÖöá Ãóæú ßóÝóÇÝ æóÇÕöá. Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöÜåö æóÇÍúÌõÈúäöí Úóäö ÇáÓøóÑóÝö æóÇáÇÒúÏöíóÇÏö¡ æóÞóæøöãúäöí ÈöÇáúÈóÐúáö æóÇáÇÞúÊöÕóÜÇÏö¡ æóÚóáøöãúäöí ÍõÓúäó ÇáÊøóÞúÏöíÑö¡ æóÇÞúÈöÖúäöí ÈöáõØúÝößó Úóäö ÇáÊøóÈúÐöíÑö æóÃóÌúÑö ãöäú ÃóÓúÈóÇÈö ÇáúÍóáÇóáö ÃóÑúÒóÇÞöí¡ æóæóÌøöåú Ýöí ÃóÈúæóÇÈö ÇáúÈöÑøö ÅäúÝóÇÞöí¡ æóÇÒúæö Úóäøöí ãöäó ÇáúãóÇáö ãóÇ íõÍúÏöËõ áöí ãóÎúíóáóÉð Ãóæú ÊóÃóÏøöíÇð Åáóì ÈóÛúí¡ Ãóæú ãóÇ ÃóÊóÚóÞøóÈõ ãöäúåõ ØõÛúíóÜÇäÇð. Ãááøóåõãøó ÍóÈøöÈú Åáóíøó ÕõÍúÈóÜÉó ÇáúÝõÞóÑóÂÁö¡ æóÃóÚöäøöí Úóáóì ÕõÍúÈóÊöåöãú ÈöÍõÓúäö ÇáúÕøóÈúÑö¡ æóãóÜÇ ÒóæóíúÊó Úóäøöí ãöäú ãóÊóÇÚö ÇáÏøõäúíóÇ ÇáÝóÇäöíóÉö ÝóÇÐúÎóÑúåõ áöíú Ýöí ÎóÒóÇÆöäößó ÇáÈóÇÞöíóÉö¡ æóÇÌúÚóáú ãóÇ ÎóæøóáúÊóäöí ãöäú ÍõØóÇãöåóÇ¡ æóÚóÌøóáúÊó áöí ãöäú ãóÊóÇÚöåóÇ ÈõáúÛóÉð Åáóì ÌöæóÇÑößó¡ æóæõÕúáóÉð Åáóì ÞõÑúÈößó¡ æóÐóÑöíÚóÉð Åáóì ÌóäøóÊößó Åäøóßó Ðæ ÇáúÝóÖúáö ÇáúÚóÙöíãö¡ æóÃóäúÊó ÇáúÌóæóÇÏõ ÇáúßóÑöíúãõ.

Dua ya 30

DU'A ZAKE (A.S.) KWA AJILI YA KUOMBA MSAADA WA KULIPA DENI.

O Allah ! Mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Nikombowe kutokana na deni ambalo lachakaza uso wangu laichanganya akili yangu, latawanya fikra yangu ili kulipa shughuli yangu inakuwa ndefu, na ninajikinga kwako Ewe bwana wangu kutokana na woge wa deni na fikra zake. Mshughuliko wa deni na mkesho wake msalie Muhammad na Aliy zake, nilinde nayo.

Naomba hifadhi kwako ewe, Mola wangu ili niepukane na dhila yake maishani na kufuatiliwa kwake baada ya kufa. Mrehemu Muhammad na Aliy zake.

Na unipe hifadhi niepukane nalo kwa kunipanulia fadhila au kwa kufululiziwa utoshelezi wako.

O Allah ! Mrehemu Muhammad na Aliy zake, nizuwie kufanya israfu na kutumia zaidi ya haja. Niweke sawa katika kutoa kwa ukarimu na wastani.

Nifundishe uzuri wa kukadiria, nikamate kwa upole wako nisifuje, ipitishe rizki yangu kwa njia ya halali, uelekeze utowaji wangu kwenye milango ya wema.

Niepushe na mali itakayonisababishia majivuno au kunifanya niwe jeuri au itakayonifikisha kwenye kukiuka mipaka.

O Allah !

nipendezeshe kusuhubiana na mafakiri nisaidie katika kusuhubiana nao kuwa na saburi njema. Uniondoleapo mafao ya dunia ya mpito nihifadhiye nayo katika hazina zako za kudumu.Jaalia uliyonitunukia miongoni mwa mabomoko yake na vifaa vyake ulivyo harakisha kunipa, viwe ni njia ya kuufikia ujirani wako na kiungo cha ukaribu wako' na ni sababu ya kuifikia janna yako kwa hakika wewe ni mwenye fadhila kubwa na wewe ni mpaji mkarimu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÍÇÏí æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ÐßÑ ÇáÊæÈÉ æØáÈåÇ]

Ãóááøóåõãøó íóÇ ãóäú áÇ íóÕöÝõåõ äóÚúÊõ ÇáúæóÇÕöÝöíäó¡ æóíóÇ ãóäú áÇó íõÌóÇæöÒõåõ ÑóÌóÇÁõ ÇáÑøóÇÌöíäó¡ æóíóÇ ãóäú áÇó íóÖöíÚõ áóÏóíúåö ÃóÌúÑõ ÇáúãõÍúÓöäöíäó¡ æóíóÇ ãóäú åõæó ãõäúÊóåóì ÎóæúÝö ÇáúÚóÇÈöÏöíúäó¡ æóíóÇ ãóäú åõæó ÛóÇíóÉõ ÎóÔúíóÉö ÇáúãõÊøóÞöíäó. åóÐÇ ãóÞóÇãõ ãóäú ÊóÏóÇæóáóÊúåõ ÃóíúÏöí ÇáÐøõäõæÈö¡ æóÞóÇÏóÊúåõ ÃóÒöãøóÉõ ÇáúÎóØóÇíóÇ¡ æóÇÓúÊóÍúæóÐó Úóáóíúåö ÇáÔøóíúØóÇäõ¡ ÝóÞóÕøóÑó ÚóãøóÇ ÃóãóÑúÊó Èöåö ÊóÝúÑöíØóÇð¡ æóÊóÚóÇØì ãóÇ äóåóíúÊó Úóäúåõ ÊóÚúÒöíÑÇð¡ ßóÇáúÌÇåöáö ÈöÞõÏúÑóÊößó Úóáóíúåö¡ Ãóæú ßóÇáúãõäúßöÑö ÝóÖúáó ÅÍúÓóÇäößó Åáóíúåö¡ ÍóÊøóì ÅÐóÇ ÇäúÝóÊóÍó áóåõ ÈóÕóÑõ ÇáúåõÏóì¡ æóÊóÞóÔøóÚóÊú Úóäúåõ ÓóÍóÇÆöÈõ ÇáúÚóãóì ÃóÍúÕóì ãóÇ Ùóáóãó Èöåö äóÝúÓóåõ¡ æóÝóßøóÑó ÝöíãóÇÎóÇáóÝó Èöåö ÑóÈøóåõ¡ ÝóÑóÃì ßóÈöíúÑó ÚöÕúíóÇäöåö ßóÈöíúÑÇð¡ æóÌóáöíá ãõÎÇáÝóÊöåö ÌóáöíúáÇð¡ ÝóÃóÞúÈóáó äóÍúæóßó ãõÄóãøöáÇð áóßó¡ ãõÓúÊóÍúíöíóÇð ãöäúßó¡ æóæóÌøóåó ÑóÛúÈóÊóåõ Åáóíúßó ËöÞóÉð Èößó¡ ÝóÃóãøóßó ÈöØóãóÚöåö íóÞöíäÇð¡ æóÞóÕóÏóßó ÈöÎóæúÝöåö ÅÎúáÇóÕóÇð¡ ÞóÏú ÎóáÇó ØóãóÚõåõ ãöäú ßõáøö ãóØúãõæÚ Ýöíåö ÛóíúÑößó¡ æóÃóÝúÑóÎó ÑóæúÚõåõ ãöäú ßõáøö ãóÍúÐõæÑ ãöäúåõ ÓöæóÇßó¡ ÝóãóËøóáó Èóíúäó íóÏóíúÜßó ãõÊóÖóÑøöÚÜÇð¡ æóÛóãøóÖó ÈóÕóÑóåõ Åáóì ÇáÇÑúÖö ãõÊóÎóÔøöÚóÇð¡ æóØóÃØóÃó ÑóÃÓóåõ áöÚöÒøóÊößó ãõÊóÐóáøöáÇð¡ æóÃóÈóËøóßó ãöäú ÓöÑøöåö ãóÇ ÃóäúÊó ÃóÚúáóãõ Èöåö ãöäúåõ ÎóÖõæÚÇð¡ æóÚóÏøóÏó ãöäú ÐõäõæÈöåö ãóÇ ÃóäúÊó ÃóÍúÕóì áóåóÇ ÎõÔõæÚÇð æóÇÓúÊóÛóÇËó Èößó ãöäú ÚóÙöíãö ãóÇæóÞóÚó Èöåö Ýöí Úöáúãößó æóÞóÈöíÍö ãóÇ ÝóÖóÍóåõ Ýöí Íõßúãößó ãöäú ÐõäõæÈ ÃÏúÈóÑóÊú áóÐøóÇÊõåóÇ ÝóÐóåóÈóÊú¡ æóÃóÞóÇãóÊú ÊóÈöÚóÇÊõåóÇ ÝóáóÒöãóÊú¡ áÇ íõäúßöÑõ íóÇ Åáåöí ÚóÏúáóßó Åäú ÚóÇÞóÈúÊóåõ¡ æóáÇ íóÓúÊóÚúÙöãõ ÚóÝúæóßó Åäú ÚóÝóæúÊó Úóäúåõ æóÑóÍöãúÊóåõ; áÇöäøóßó ÇáÑøóÈøõ ÇáúßóÑöíãõ ÇáøóÐöí áÇ íóÊóÚóÇÙóãõåõ ÛõÝúÑóÇäõ ÇáÐøóäúÈö ÇáúÚóÙöíã. Ãóááøóåõãøó ÝóåóÇ ÃóäóÇ ÐóÇ ÞóÏú ÌÆúÊõßó ãõØöíÚÇð áÇöãúÑößó ÝöíãóÇ ÃóãóÑúÊó Èöåö ãöäó ÇáÏøõÚóÇÁö¡ ãóÊóäóÌøöÒÇð  æóÚúÏóßó ÝöíãóÇ æóÚóÏúÊó Èöåö ãöäó ÇáÇÌóÇÈóÉö ÅÐú ÊóÞõæáõ (ÇõÏúÚõæäöí ÃóÓúÊóÌöÈú áóßõãú).

Ãááøóåõãøó ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇáúÞóäöí ÈöãóÛúÝöÜÑóÊößó ßóãóÇ áóÞöíÊõßó ÈöÜÅÞúÑóÇÑöí æóÇÑúÝóÚúäöí Úóäú ãóÕóÇÑÚö ÇáÐøõäõæÈö ßóãóÇ æóÖóÚúÊõ áóßó äóÝúÓöí æóÇÓúÊõÑúäöí ÈöÓöÊúÑößó ßóãóÇ ÊóÃóäøóíúÊóäöí Úóäö ÇáÇäúÊöÞóÇãö ãöäøöí. Ãááøóåõãøó æóËóÈøöÊú Ýöí ØóÇÚóÊößó äöíøóÊöíú¡ æóÃóÍúßöãú Ýöí ÚöÈóÇÏóÊößó ÈóÕöíÜÑóÊöí¡ æóæóÝøöÞúäöí ãöäó ÇáÇóÚúãóÇáö áöãóÇ ÊóÛúÓöáõ Èöåö ÏóäóÓó ÇáÎóØóÇíóÇ Úóäøöí¡ æóÊóæóÝøóäöí Úóáóì ãöáøóÊößó æóãöáøóÉö äóÈöíøößó ãõÍóãøóÏ Úóáóíúåö ÇáÓøóÜáÇãõ ÅÐóÇ ÊóæóÝøóíúÊóäöí. Ãááøóåõãøó Åäøöí ÃóÊõÜæÈõ ÅáóíúÜßó Ýöí ãóÞóÇãöí åóÐóÇ ãöäú ßóÈóÇÆöÑö ÐõäõæÈöí æóÕóÛóÇÆöÑöåóÇ æóÈóæóÇØöäö ÓóíøöÆÂÊöí æóÙóæóÇåöÑöåóÇ¡ æóÓóæÇáöÝö ÒóáÇøóÊöí æóÍóæóÇÏöËöåóÇ¡ ÊóæúÈóÉó ãóäú áÇ íõÍóÏøöËõ äóÝúÓóåõ ÈöãóÚúÕöíóÉ¡ æóáÇó íõÖúãöÑõ Ãóäú íóÚõæÏó Ýöí ÎóØöíÆóÉ¡ æóÞóÏú ÞõáúÊó íóÇ Åáåöí Ýöí ãõÍúßóãö ßöÊÇÈößó Åäøóßó ÊóÞúÈóáõ ÇáÊøóæúÈóÉó Úóäú ÚöÈóÇÏößó¡ æóÊóÚúÝõæ Úóäö ÇáÓøóíøöÆÂÊö¡ æóÊõÍöÈøõ ÇáÊøóæøóÇÈöíäó¡ ÝóÇÞúÈóáú ÊóæúÈóÊöí ßóãóÇ æóÚóÏúÊó æóÃÚúÝõ Úóäú ÓóíøöÆÂÊöí ßóãóÇ ÖóãöäúÊó¡ æóÃóæúÌöÈú áöí ãóÍóÈøóÊóßó ßóãóÇ ÔóÜÑóØúÊó¡ æóáóÜßó íóÜÇ ÑóÈøö ÔóÜÑúØöí ÃóáÇø ÃóÚõæÏó Ýöí ãóßúÑõæåößó¡ æóÖóãóÇäöí ÃóáÇø ÃóÑúÌöÚó Ýöí ãóÐúãõæãößó¡ æóÚóåúÏöí Ãóäú ÃóåúÌõÑó ÌóãöíÚó ãóÚóÇÕöíßó. Ãááøóåõãøó Åäøóßó ÃóÚúáóãõ ÈöãóÇ ÚóãöáúÊõ ÝóÇÛúÝöÑú áöí ãóÇ ÚóáöãúÊó¡ æóÇÕúÑöÝúäöí ÈöÞõÏúÑóÊößó Åáóì ãóÇ ÃóÍúÈóÈúÊó. Ãááøóåõãøó æóÚóáóíøó ÊóÈöÚóÇÊñ ÞóÏú ÍóÝöÙúÊõåõäøó¡ æóÊóÈöÚóÇÊñ ÞóÏú äóÓíÊõåõäøó¡ æóßõáøõåõäøó ÈöÚóíúäößó ÇáøóÊöí áÇó ÊóäóÜÇãõ¡ æóÚöáúãößó ÇáøóÐöí áÇ íóäúÓóì ÝóÚóæøöÖú ãöäúåóÇ ÃóåúáóåóÇ æóÇÍúØõØú Úóäøí æöÒúÑóåóÇ¡ æóÎóÝøöÝú Úóäøöí ËöÞúáóåóÇ¡ æóÇÚúÕöãúäöí ãöäú Ãóäú ÇõÞóÇÑöÝó ãöËúáóåóÇ. Ãááøóåõãøó æóÅäøóåõ áÇó æóÝóÇÁó áöí ÈöÇáÊøóæúÈóÉö ÅáÇøó ÈöÚöÕúãóÊößó¡ æóáÇ ÇÓúÊöãúÓóÇßó Èöí Úóäö ÇáúÎóØóÇíóÇ ÅáÇøó Úóäú ÞõæøóÊößó¡ ÝóÞóæøöäöí ÈöÞõæøóÉ ßóÇÝöíóÉ¡ æóÊóæóáøóäöí ÈöÚöÕúãóÉ ãóÇäöÚóÉ. Ãááøóåõãøó ÃóíøõãÇ ÚóÈúÏ ÊóÇÈó Åáóíúßó æóåõæó Ýöí Úöáúãö ÇáúÛóíúÈö ÚöäúÏóßó ÝóÇÓöÎñ áöÊóæúÈóÊöåö æóÚóÇÆöÏñ Ýöí ÐóäúÈöåö æóÎóØöíÆóÊöåö ÝóÅäøöí ÃóÚõæÐõ Èößó Ãäú Ãóßõæúäó ßóÐáößó¡ ÝóÇÌúÚóáú ÊóæúÈóÊöí åóÐöåö ÊóæúÈóÉð áÇ ÃóÍúÊóÇÌõ ÈóÚúÏóåóÇ Åáóì ÊóæúÈóÉ¡ ÊóæúÈóÉð ãõæÌöÈóÉð áöãóÍúæö ãóÇ ÓóáóÝó¡æóÇáÓøóáÇóãóÉö ÝöíãóÜÇ ÈóÞöíó. Ãááøóåõãøó Åäøöí ÃóÚúÊóÜÐöÑõ ÅáóíúÜßó ãöäú Ìóåúáöí¡ æóÃóÓúÊóÜæúåöÈõÜßó ÓõæúÁó ÝöÚúáöí¡ ÝóÜÇÖúãõãúäöí Åáóì ßóäóÝö ÑóÍúãóÊößó ÊóØóæøõáÇð¡ æóÇÓúÊõÑúäöí ÈöÓöÊúÑö ÚóÇÝöíóÊößó ÊóÝóÖøõáÇð. Ãááøóåõãøó æóÅäøöí ÃóÊõæÈõ Åáóíúßó ãöäú ßõáøö ãóÇ ÎóÇáóÝó ÅÑóÇÏóÊóßó Ãóæú ÒóÇáó Úóäú ãóÍóÈøóÊöÜßó ãöäú ÎóÜØóÑóÇÊö ÞóáúÈöí æóáóÍóÜÙóÇÊö Úóíúäöí æóÍößóÇíóÇÊö áöÓóÇäöí¡ ÊóæúÈóÉð ÊóÓúáóãõ ÈöåóÇ ßõáøõ ÌóÇÑöÍóÉ Úóáóì ÍöíóÇáöåóÇ ãöäú ÊóÈöÚóÇÊößó¡ æóÊóÃúãóäõ ãöãøóÇ íóÎóÇÝõ ÇáúãõÚúÊóÏõæäó ãöäú Ãóáöíúãö ÓóØóæóÇÊößó. Ãóááøóåõãøó ÝóÇÑúÍóãú æóÍúÏóÊöí Èóíúäó íóÏóíúßó¡ æóæóÌöíÈó ÞóáúÈöí ãöäú ÎóÔúíóÊößó¡ æóÇÖúØöÑóÇÈó ÃóÑúßóÇäöí ãöäú åóíúÈóÊößó¡ ÝóÞóÏú ÃóÞóÇãóÊúäöí íóÇ ÑóÈøö ÐõäõæÈöí ãóÞóÇãó ÇáúÎöÒúíö ÈöÝöäóÇÆößó¡ ÝóÅäú ÓóßóÊøõ áóãú íóäúØöÞú Úóäøöí ÃóÍóÏñ¡ æóÅäú ÔóÝóÚúÊõ ÝóáóÓúÊõ ÈöÃóåúáö ÇáÔøóÝóÇÚóÉö. Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÔóÝøöÚú Ýöí ÎóØóÇíóÜÇíó ßóÑóãóßó¡ æóÚõÏú Úóáóì ÓóíøöÆÇÊöí ÈöÚóÝúæößó¡ æóáÇó ÊóÌúÒöäöí ÌóÒóÂÆöí ãöäú ÚõÞõæÈóÊößó æóÇÈúÓõØú Úóáóíøó Øóæúáóßó æóÌóáøöáúäöí ÈöÓöÊúÑößó¡ æóÇÝúÚóáú Èöí ÝöÚúáó ÚóÒöíÒ ÊóÖóÑøóÚ Åáóíúåö ÚóÈúÏñÐóáöíáñ ÝóÑóÍöãóåõ¡ Ãóæú Ûóäöíøò ÊóÚóÑøóÖó áóåõ ÚóÈúÏñ ÝóÞöíÑñ ÝóäóÚóÔóåõ. Ãááøóåõãøó áÇó ÎóÝöíÑó áöí ãöäúßó ÝóáúíóÎúÝõÑúäöíú ÚöÒøõßó¡ æóáÇ ÔóÝöíÚó áöíú Åáóíúßó ÝóáúíóÔúÝóÚú áöí ÝóÖúáõßó¡ æóÞóÏú ÃóæúÌóáóÊúäöí ÎóØóÇíóÇíó ÝóáúíõÄúãöäøöí ÚóÝúæõßó¡ ÝóãóÇ ßõáøõ ãóÇ äóØóÞúÊõ Èöåö Úóäú Ìóåúá ãöäøöí ÈöÓõæúÁö ÃóËóÑöí¡ æóáÇó äöÓíóÇä áöãóÇ ÓóÈóÞó ãöäú Ðóãöíãö ÝöÚúáöí¡ æóáßöäú áöÊóÓúãóÚó ÓóãóÇÄõßó æóãóäú ÝöíúåóÜÇ¡ æóÃóÑúÖõßó æóãóäú ÚóáóíúåóÇ ãóÇ ÃóÙúåóÑúÊõ áóßó ãöäó ÇáäøóÏóãö¡ æóáóÌóÜÃÊõ Åáóíúßó ÝöíÜåö ãöäó ÇáÊøóæúÈóÜÉö¡ ÝóáóÚóÜáøó ÈóÚúÖóåõãú ÈöÑóÍúãóÊößó íóÑúÍóãõäöí áöÓõæÁö ãóæúÞöÝöí¡ Ãóæú ÊõÏúÑößõåõ ÇáÑøöÞøóÉõ Úóáóìøó áöÓõæÁö ÍóÇáöí ÝóíóäóÇáóäöí ãöäúåõ ÈöÏóÚúæóÉ ÃóÓúãóÚõ áóÏóíúßó ãöäú ÏõÚóÇÆöí¡ Ãóæú ÔóÝóÇÚóÜÉ ÃóæúßóÏõ ÚöäúÜÏóßó ãöäú ÔóÝóÇÚóÊöí Êóßõæäõ ÈöåóÇ äóÌóÇÊöí ãöäú ÛóÖóÈößó æóÝóæúÒóÊöí ÈöÑÖóÇßó. Ãááøóåõãøó Åäú íóßõäö ÇáäøóÏóãõ ÊóæúÈóÉð Åáóíúßó ÝóÃóäóÇ ÃóäúÏóãõ ÇúáäøóÇÏöãöíäó¡ æóÅäú íóßõäö ÇáÊøóÑúßõ áöãóÚúÕöíóÊößó ÅäóÇÈóÉð ÝóÃóäóÇ Ãóæøóáõ ÇáúãõäöíÈíäó¡ æóÅäú íóßõäö ÇáÇÓúÊöÛúÝóÇÑõ ÍöØøóÉð áöáÐøõäõæÈö ÝóÅäóí áóßó ãöäó ÇáúãõÓúÊóÛúÝöÑöíäó. Çááøóåõãøó ÝóßóãóÇ ÃóãóÑúÊó ÈöÇáÊøóæúÈóÉö æóÖóãöäúÊó ÇáúÞóÈõæáó æóÍóËóËúÊó Úóáóì ÇáÏøõÚóÜÂÁöæóæóÚóÏúÊó ÇáÇÌóÇÈóÉó¡ ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏö æóÂáöåö æóÇÞúÈóáú ÊóæúÈóÊöí æóáÇó ÊóÑúÌöÚúäí ãóÑÌóÚó ÇáÛóíÈóÉö ãäú ÑóÍúãóÊöß Åäøóßó ÃóäúÊó ÇáÊøóæøóÇÈõ Úóáóì ÇáúãõÐúäöÈöíäó¡ æóÇáÑøóÍöíãõ áöáúÎóÇØöÆöíäó ÇáúãõäöíÈöíäó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ßóãóÇ åóÏóíúÊóäóÇ Èöåö æóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ßóãóÇ ÇÓúÊóäúÞóÐúÊóäóÇ Èöåö¡ æóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ÕóáÇóÉð ÊóÔúÝóÚõ áóäóÇ íóæúãó ÇáúÞöíóÇãóÉö æóíóæúãó ÇáúÝóÇÞóÉö Åáóíúßó¡ Åäøóßó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíÑñ æóåõæó Úóáóíúßó íóÓöíÑñ.

Dua ya 31

DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUIELEZEA TOBA NA KUIOMBA

O Allah !

Oh yule ambaye hazi sifa za wenye kumsifu kumsifia. Oh we ambaye hayamvuki matarajio ya watarajiao. O we ambaye kwake hayapotei malipo ya watenda mema. O we ambaye yeye ndiye mwisho wa hofu ya wachapa ibada.

O we ambaye ni upeo wa woga wa wachamungu.

Hiki ni kituo cha aliyepitiwa na madhambi mkono kwa mkono. Hatamu za makosa zimemwongoza na shetani amemtawala.

Amezembea kutekeleza uliyomwamrisha kwa kupuuza. Na akajipa uliyomkataza ajiepushe nayo katika hali ya kudanganyika akiwa kama asiyejua uwezo wako juu yake, au akiwa kama mfano wa akanushaye ubora wa ihisani yako kwake!

Mpaka jicho la uongofu litakapo mfungukia. Viwingu vya upofu vitakapomtanduka atahesabu vile ambavyo ameidhulumu nafsi yake. Na atatafakari katika yale amemkhalifu bwana wake. Hivyo ataona ukubwa wa maasi yake kuwa ni mkubwa na uzito wa kumkhalifu kwake kuwa ni mzito.

Kwa hiyo ataelekea upande wako akikutumainia, akikuonea haya. ataelekeza maombi yake kwa kukuamini atakuwa amejitengeneza upya kwako kwa tamaa zake akiwa na yakini.

Amekukusudia moja kwa moja kwa hofu na unyofu, tamaa zake zimeepukana na yote ya kufanyiwa tamaa bali ni wewe tu.

Kwa hiyo amesimama mbele yako akijitetea ameyaelekeza macho yake chini mnyenyekevu, ameinamisha kichwa chake kwa ajili ya utukufu wako mwenye kujidhalilisha. Akudhihirishia siri zake ambazo wewe wazijua vizuri mno kuliko yeye hali ya unyenyekevu.

Atakuwa amezihesabu dhambi zake kwa unyenyekevu hali wewe wazijua vizuri mno idadi yake. Atakuomba sana msaada kwa lakutisha ambalo ameangukia humo katika elimu yako Na kwa ajili ya baya lililomfedhehesha katika hukumu yako miongoni mwa dhambi ambazo starehe zake zimetumba mgongo na kutokomea ambazo matokeo ya ubaya wake yamethibiti na kulazimu.

Hato kanusha O! Mola wangu uadilifu wako endapo utamwadhibu wala hatouzingatia msamaha wako kuwa ni jambo kubwa endapo utamsamehe na kumuhurumia kwa sababu wewe ni bwana mkarimu ambaye hadogeshwi na msamaha wa dhambi kubwa.

O Allah ! mimi ni huyoo!

Nimekujia hali nikiwa mtii wa amri yako kwa kuwa umeamuru kuomba DU'A kwa hiyo nakuomba kutekeleza ahadi yako kwa uliyoahidi kujibu kwa vile wasema: (niombeni nitakujibuni).

O Allah ! mrehemu Muhammad na Aliy zake, kutana na mimi kwa msamaha wako kama nilivyokutana na wewe kwa kukiri kwangu. Niinuwe kutokana na mweleka wa dhambi kama nilivyojitupa chini kwako, nisitiri kwa sitara yako kama vile ulivyoacha kunifanyia haraka malipizi.

O Allah !

Iimarishe nia yangu katika utii wako upe nguvu ufahamu wangu katika ibada yako, nipe tawfiki katika matendo mema ambayo yataniosha uchafu wa makosa.

Nifishe nikiwa katika mila yako na mila ya Nabiy wako Muhammad amani imfikie

O Allah!,

Hakika mimi natubu kwako katika kikao  changu hiki kuwa

nitaacha madhambi yangu makubwa na madogo.

Maovu yangu ya ndani na nje kupotoka kwangu kulikotangulia na kwa hivi sasa toba ya mtu asiyeweza fanya maasi wala hana dhamira ya kurejea kwenye makosa.

Na kwa hakika umekwisha sema ewee Mola wangu katika kitabu chako thabiti kuwa hakika wewe waikubali toba ya waja wako na wasamehe maovu.

Na unawapenda wanaotubu basi ikubali toba yangu kama ulivyoahidi na nisamehe maovu yangu kama ulivyochukua dhamana.

Na niwajibishie mapenzi yako kama ulivyoweka sharti, sharti yangu kwako O bwana wangu sitorudi kwenye machukio yako na dhamana yangu nitoayo ni kuwa sitorudi kwenye yalaumiwayo na wewe.

Na ahadi yangu ni kwamba nitayahama maasi yako yote. O Allah ! hakika wewe wajua zaidi niliyoyatenda. Basi nighofirie uliyoyajua niepushe kwa uwezo wako na nielekeze kwenye ambayo wayapenda.

O Allah ! na dhidi yangu kuna haki daiwa nimezihifadhi, na haki daiwa nimezisahau zote hizo zi jichoni mwako ambalo halilali.

Na elimu yako ambayo haisahau wafidie wenye haki na nipunguzie mzigo wake, nifanyie wepesi uzito wake, nilinde nisiikurubie iliyo mfano wake.

O Allah ! kwa hakika sina uwezo wa kutekeleza toba yangu isipokuwa kwa kulindwa na wewe wala kujiziwiya na makosa isipokuwa kwa uwezo wako nipe uwezo wa kutosha.

Nipe ulinzi wako wenye kuzuiya. O Allah ! mja yeyote ametubu kwako naye katika elimu yako ya ghaibu ataitanguwa toba yake, na atarejea katika dhambi zake na makosa yake.

Kwa hakika mimi najilinda kwako nisiwe kama vile, ifanye toba yangu hii toba sihitajii baada yake toba yeyote. Iwe toba iwajibishayo kufuta yaliyotangulia, na ya salama kwa yaliyobaki.

Ewe Mola!

Hakika mimi nakuomba msamaha kwa sababu ya ujinga wangu. Nakuomba usitilie manani vitendo vyangu viovu, niunganishe kwenye kivuli cha rehma yako kwa ihsani, nisitiri kwa sitara ya afya yako kwa fadhila zako.

O Allahl

kwa hakika mimi ninatubu kwako kutokana na kila kilichokwenda.

Kinyume na utashi wako au kimekuwa mbali na mapenzi yako kutoka mawazo ya moyoni mwangu, mtizamo wa macho yangu na hekaya za ulimi wangu.Toba ambayo kila kiungo cha mwili wangu kitabaki salama bila malipizi yako na kitakuwa na amani bila ya woga wa yale wayaogopayo wakiukaji miongoni mwa machungu ya adhabu zako.

O Allah!

Uhurumie upweke wangu mbele yako, na kupondekana kwa moyo wangu kutokana na kukuogopa wewe. Nakutetemea kwa viungo vya mwili wangu kwa ajili ya haiba yako.

Ewe Bwana wangu! Dhambi zangu zimeniweka weko la kudharauliwa uwanjani pako. Nikinyamaza hakuna atakayenisemea na nikiomba Shafaa sikuwa miongoni mwa wenye haki ya kupata Shafaa.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali Zake Ufanye ukarimu wako kwa mwombezi wa makosa yangu. Yarejelee maouvu yangu kwa msamaha wako. Usinilipe malipo ninayostahiki katika adhabu zako.

Ni kunjuliye juu yangu ihisani zako ni viringishe sitara yako. Nitendee kitendo cha mtu mwenye enzi wakati mtumwa dhalili amnyenyekeapo na akamuhurumia. Au tendo la mtu tajiri fakiri anapomnyenyekea naye akamtajirisha.

O Allah!

Sina wakunilinda dhidi yako hivyo basi naomba Enzi yako inilinde. Sina mwombezi kwako hivyo basi fadhila zako ziwe ndiyo mwombezi wangu. Makosa yangu yamenitia hofu wacha msamaha wako unipe amani.

Siyo yote niliyotamka kwa ujinga wangu kwa sababu ya ufuatiliaji wangu mbaya wala sikusahau yaliyopita miongoni mwa matendo yangu yastahiliyo kulaumiwa.

Lakini ili mbingu zako zisikie na waliomo humo na ardhi yako na waliomo juu yake niliyokudhihirishia miongoni mwa majuto.

Na nimekimbilia kwako kutubu. Huwenda baadhi yao kwa Rehema Zako watanirehemu kwa sababu ya ubaya wa kikao changu. Au mtu ashikwe na huruma juu yangu kwa sababu ya ubaya wa hali yangu.

Huenda nikapata kutoka kwake DU'A ambayo sikilizwa mno kwako kuliko Duwa yangu. Au ombezi lenye nguvu mno kwako kuliko ombezi langu. Humo utakuwa uwokovu wangu epukana na ghadhabu zako.

Na kufuzu kwangu kwa ridhaa zako

O Allah!

Ikiwa kujuta ni toba ya kukubaliwa kwako, basi mimi ni mjutaji mno wa wajutaji wote. Na ikiwa kuacha kukuasi ndio kurejea kwako, basi mimi ni mrejea wa kwanza kwako kuliko warejeao wote. Na ikiwa kuomba ghofira ni sababu ya kupunguziwa dhambi, basi mimi ni miongoni mwa wakuombao ghofira.

O Allah!

Kama ulivyoamrisha toba na ukachukuwa dhamana msalie Muhammad na Aali zake ikubali toba yangu. Wala usinirudishe Rudisho la kutofanikiwa Rehma zako. Hakika wewe ni mwingi wa kupokea toba ya watenda dhambi. Na mwenye Rehma sana kwa wakosaji wanaorejea kwako.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali Zake. Na kama vile umetuongoza kwa sababu yake mrehemu Muhammad na Aali zake. Kama ulivyotuokowa kwa sababu yake mrehemu Muhammad na Aali Zake Rehema itakayotuombea siku ya Kiyama na siku ya kukuhitajia.

Hakika wewe ni muweza wa kila kutu na ni rahisi kwako.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇäí æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÈÚÏ ÇáÝÑÇÛ ãä ÕáÇÉ Çááøíá áäÝÓå Ýí ÇáÇÚÊÑÇÝ ÈÇáÐäÈ]

Ãóááøóåõãøó íóÇ ÐóÇ Çáúãõáúßö ÇáúãõÊÃÈøöÏö ÈöÇáúÎõáõæÏö æóÇáúÓõáúØóÇäö ÇáúãõãúÊóäöÚö ÈöÛóíúÑö ÌõäõæÏ æóáÇó ÃóÚúæóÇä¡ æóÇáúÚöÒøö ÇáúÈóÇÞöí Úóáóì ãóÑøö ÇáÏøõåõæÑö¡ æóÎóæóÇáöí ÇáÇóÚúæóÇãö¡ æóãóæóÇÖöí ÇáÇóÒúãóÇäö æóÇáÇíøóÇãö¡ ÚóÒøó ÓõáúØóÇäõßó ÚöÒøÇð áÇ ÍóÏøó áóåõ ÈöÃóæøóáöíøóÉ æóáÇó ãõäúÊóåóì áóåõ ÈöÂÎöÑöíøóÉ¡ æóÇÓúÊóÚúáóì ãõáúßõßó ÚõáõæøÇð ÓóÞóØóÊö ÇáÇÔúíóÇÁõ Ïõæäó ÈõáõæÛö ÃóãóÏöåö æóáÇó íóÈúáõÛõ ÃóÏúäóì ãóÇ ÇÓúÊóÃËóÑúÊó ÈöÜåö ãöäú Ðóáößó ÃóÞúÕóì äóÚúÊö ÇáäøóÜÇÚöÊöíäó. ÖóáøóÊú ÝöíúÜßó ÇáÕøöÝóÇÊõ æóÊóÝóÓúÎóÊú Ïõæäóßó ÇáäøõÚõæÊõ æóÍóÇÑóÊú Ýöí ßöÈúÑöíöÇÆößó áóØóÇÆöÝõ ÇáÇæúåóÇãö¡ ßóÐáößó ÃóäúÊó Çááåõ ÇáÇóæøóáõ Ýöí ÃóæøóáöíøóÊößó¡ æóÚóáóì Ðóáößó ÃóäúÊó ÏóÇÆöãñ áÇ ÊóÒõæáõ¡ æóÃóäóÇ ÇáúÚóÈúÏõ ÇáÖøóÚöíúÝõ ÚóãóáÇð ÇáÌóÓöíúãõ ÃóãóáÇð¡ ÎóÑóÌóÊú ãöäú íóÏöí ÃóÓúÈóÇÈõ ÇáúæõÕõáÇóÊ ÅáÇø ãóÇ æóÕóáóåõ ÑóÍúãóÊõßó¡ æóÊóÞóØøóÚóÊú Úóäøöí ÚöÕóãõ ÇáÇãóÇáö ÅáÇø ãóÇ ÃóäóÇ ãõÚúÊóÕöãñ Èöåö ãöäú ÚóÝúæößó¡ Þóáøó ÚöäúÏöí ãóÇ ÃóÚúÊóÏøõ Èöåö ãöäú ØóÇÚóÊößó æóßóËõÑó Úóáóíøó ãóÇ ÃóÈõæÁõ Èöåö ãöäú ãóÚúÕöíóÊößó¡ æóáóäú íóÖöíúÞó Úóáóíúßó ÚóÝúæñ Úóäú ÚóÈúÏößó æóÅäú ÃóÓóÇÁó ÝóÇÚúÝõ Úóäøöí. Ãááøóåðãøó æóÞóÏú ÃóÔúÑóÝó Úóáóì ÎóÝóÇíóÇ ÇáÇóÚúãóÇáö Úöáúãõßó æóÇäúßóÔóÝó ßõáøõ ãóÓúÊõæÑ Ïõæäó ÎõÈúÑößó æóáÇó ÊóäúØóæöí Úóäúßó ÏóÞóÇÆöÞõ ÇáÇõãõæÑö æóáÇó ÊóÚúÒõÈõ Úóäúßó ÛóíøöÈóÇÊõ ÇáÓøóÑóÇÆöÑö¡ æóÞóÏö ÇÓúÊóÍúæóÐó Úóáóíøó ÚóÏõæøõßó ÇáøóÐöí ÇÓúÊóäúÙóÑóßó áöÛöæóÇíÊöí ÝóÃóäúÙóÑúÊóåõ¡ æóÇÓúÊóãúåóáóßó Åáóì íóæúãö ÇáÏøöíúäö áÇöÖúáÇóáöí ÝóÃóãúåóáúÊóåõ¡ ÝóÃæúÞóÚóäöíú æóÞóÏú åóÑóÈúÊõ Åáóíúßó ãöäú ÕóÛóÇÆöÑö ÐõäõæÈ ãõæÈöÞóÉ æóßóÈóÇÆöÑö ÃóÚúãóÜÇá ãõÑúÏöíóÜÉ ÍóÊøóì ÅÐóÇ ÞóÜÇÑóÝúÊõ ãóÚúÕöíóÊóÜßó æóÇÓúÊóæúÌóÈúÊõ ÈöÓõæÁö ÓóÚúíöí ÓóÎúØóÊóßó ÝóÊóáó Úóäøöí ÚöÐóÇÑó ÛóÏúÑöåö¡ æóÊóáóÞøóÇäöí ÈßóáöãóÉö ßõÝúÑåö¡ æóÊóæóáøóì ÇáúÈóÑÇÁóÉó ãöäøöíæóÃóÏúÈóÑó ãõæóáøöíóÇð Úóäøöí¡ ÝóÃóÕúÍóÑäöí áöÛóÖóÈößó ÝóÑöíÏÇð¡ æóÃóÎúÑóÌóäí Åáì ÝöäóÇÁö äóÞöãóÊößó ØóÑöíÏÇð áÇó ÔóÝöíÚñ íóÔúÝóÚõ áöíú ÅáóíúÜßó¡ æóáÇó ÎóÝöíÜÑñ íõÄúãöäõäöí ÚóáóíúÜßó æóáÇó ÍöÕúäñ íóÍúÌõÈõäöí Úóäúßó æóáÇó ãóáÇóÐñ ÃóáúÌóÃõ Åáóíúåö ãöäúßó. ÝóåóÐóÇ ãóÞóÇãõ ÇáúÚóÇÆöÐö Èößó¡ æóãóÍóáøõ ÇáúãõÚúÊóÑöÝö áóßó¡ ÝóáÇó íóÖöíÞóäøó Úóäøöí ÝóÖúáõßó¡ æóáÇ íóÞúÕõÜÑóäøó Ïæäöí ÚóÝúæõßó¡ æóáÇ Ãßõäú ÃóÎúíóÈó ÚöÈóÇÏößó ÇáÊøóÇÆöÈöíäó¡ æóáÇó ÃóÞúäóØó æÝõæÏößó ÇáÇãöáöíäó æóÇÛúÝöÑú áöí Åäøóßó ÎóíúÑõ ÇáúÛóÇÝöÑöíäó. Ãááøóåõãøó Åäøóßó ÃóãóÑúÊóäöí ÝóÊóÑóßúÊõ¡ æóäóåóíúÊóäöí ÝóÑóßöÈúÊõ¡ æóÓóæøóáó áöíó ÇáúÎóØóÃó ÎóÇØöÑõ ÇáÓøõæÁö ÝóÝóÑøóØúÊõ¡ æóáÇ ÃóÓúÊóÔúåöÏõ Úóáóì ÕöíóÇãöí äóåóÜÇÑÇð¡ æóáÇó ÃóÓúÊóÌöíÑõ ÈöÊóåóÌøõÏöí áóíúáÇð¡ æóáÇó ÊõËúäöí Úóáóíøó ÈöÅÍúíóÇÆöåóÇ ÓõäøóÉñ ÍóÜÇÔóÇ ÝõÑõæÖöÜßó ÇáøóÊöí ãóäú ÖóíøóÚóåÇ åóáóßó¡ æóáóÓúÊõ ÃóÊóæóÓøóáõ Åáóíúßó ÈöÝóÖúáö äóÇÝöáóÉ ãóÚó ßóËöíÑö ãóÇ ÃóÛúÝóáúÊõ ãöäú æóÙóÇÆöÝö ÝõÑõæÖößó¡ æóÊóÚóÏøóíúÊõ Úóäú ãóÞóÇãóÇÊö ÍõÏõæÏößó Åáóì ÍõÑõãóÇÊ ÇäúÊóåóßúÊõåóÇ¡ æóßóÈóÇÆöÑö ÐõäõæÈ ÇÌúÊóÑóÍúÊõåóÇ ßóÇäóÊú ÚóÇÝöíóÊõßó áöí ãöäú ÝóÖóÇÆöÍöåóÇ ÓöÊúÑÇð. æóåóÐóÇ ãóÞóÇãõ ãóäö ÇÓúÊóÍúíóìáöäóÝúÓöåö ãöäúßó¡ æóÓóÎöØó ÚóáóíúåóÇ¡ æóÑóÖöíó Úóäúßó ÝóÊóáóÞøóÇßó ÈöäóÝúÓ ÎóÇÔöÚóÉ¡ æóÑóÞóÈóÉ ÎóÇÖöÚóÉ¡ æóÙóåúÑ ãõËúÞóá ãöäó ÇáúÎóØóÇíóÇ æóÇÞöÝÇð Èóíúäó ÇáÑøóÛúÈóÉö Åáóíúßó æóÇáÑøóåúÈóÉö ãöäúßó¡ æóÃóäúÊó Ãóæúáóì ãóäú ÑóÌóÜÇåõ¡ æóÃóÍóÞøõ ãóäú ÎóÔöíóÜåõ æóÇÊøÞÜÇåõ¡ ÝóÇÚúØöäöí íóÇ ÑóÈøö ãóÇ ÑóÌóæúÊõ¡ æóÃãöäøöí ãóÇ ÍóÐöÑúÊõ¡ æóÚõÏú Úóáóíøó ÈöÚóÇÆöÏóÉö ÑóÍúãóÊößó Åäøóßó ÃßúÑóãõ ÇáúãóÓúÄõæáöíäó. Ãááøóåõãøó æóÅÐú ÓóÊóÜÑúÊóäöí ÈöÚóÝúæößó æóÊóÛóãøóÜÏúÊóäöí ÈöÝóÖúáößó Ýöí ÏóÇÑö ÇáúÝóäóÇÁö ÈöÍóÖÑóÉö ÇáÇßúÝóÇÁö ÝóÃóÌöÑúäöí ãöäú ÝóÖöíÍóÇÊö ÏóÇÑö ÇáúÈóÞóÇÁö ÚöäúÏó ãóæóÇÞöÝö ÇáÇÔúåóÇÏö ãöäó ÇáãóáÇÆößóÉö ÇáúãõÞóÑøóÈöíäó æóÇáÑøõÓõáö ÇáúãõßóÑøóãöíäó æóÇáÔøõåóÏóÇÁö æóÇáÕøóÇáöÍöíäó¡ ãöäú ÌóÇÑ ßõäúÊõ ÇõßóÇÊöãõåõ ÓóíøöÆÂÊöí æóãöäú Ðöí ÑóÍöã ßõäúÊõ ÃóÍúÊóÔöãõ ãöäúåõ Ýöí ÓóÑöíÑóÇÊöí¡ áóãú ÃóËöÞú Èöåöãú ÑóÈøö Ýöí ÇáÓøöÊúÑö Úóáóíøó¡ æóæóËöÞúÊõ Èößó ÑóÈøö Ýöí ÇáúãóÛÝöÑóÉö áöíú¡ æóÃóäúÊó Ãæúáóì ãóäú æõËöÞó Èöåö æóÃóÚúØóÝ ãóäú ÑõÛöÈó Åáóíúåö æóÃóÑúÃóÝõ ãóäö ÇÓúÊõÑúÍöãó ÝóÇÑúÍóãúäöí. Ãááåõãøó æóÃäÊó ÍóÏóÑúÊóäöí ãóÇÁð ãóåöíäÇð ãöäú ÕõáÈ¡ ãõÊóÖóÇÆöÞö ÇáúÚöÙóÇãö ÍóÑöÌö ÇáúãóÓóÇáößö Åáóì ÑóÍöã ÖóíøöÞóÉ ÓóÊóÑúÊóåóÇÈöÇáúÍõÌõÈö ÊõÕóÑøöÝõäöí ÍóÇáÇóð Úóäú ÍóÇá ÍóÊøóì ÇäúÊóåóíúÊó Èöíú Åáóì ÊóãóÇãö ÇáÕøõæÑóÉö æóÃóËúÈóÊøó Ýöíøó ÇáúÌóæóÇÑÍó ßóãóÇ äóÚóÊøó Ýöí ßöÊóÇÈößó äõØúÝóÉð Ëõãøó ÚóáóÞóÉð Ëõãøó ãõÖúÛóÉð Ëõãøó ÚöÙóÇãÇð Ëõãøó ßóÓóæúÊó ÇáúÚöÙóÇãó áóÍúãÇð Ëõãøó ÃóäúÔóÃÊóäöí ÎóáúÞóÇð ÂÎóÑó ßóãóÇ ÔöÆúÊó¡ ÍóÊøóì ÅÐóÇ ÇÍúÊóÌúÊõ Åáóì ÑöÒúÞößó¡ æóáóãú ÃóÓúÊóÛúäö Úóäú ÛöíóÜÇËö ÝóÖúáößó ÌóÚóáúÊó áöí ÞõÜæÊÜÇð ãöäú ÝóÖúáö ØóÚóÇã æóÔóÑóÇÈ ÃóÌúÑóíúÊóåõ áÇöãóÊößó ÇáøóÊöíú ÃóÓúßóäúÊóäöí ÌóæúÝóåóÇ æóÃóæúÏóÚúÊóäöí ÞóÑóÇÑó ÑóÍöãöåóÇ¡ æóáóæú Êóßöáõäöí íóÇ ÑóÈøö Ýöí Êöáúßó ÇáúÍóÜÇáÇÊö Åáóì Íóæúáöí¡ Ãóæú ÊóÖúØóÑøõäöí Åáóì ÞõæøÊí áóßóÇäó ÇáúÍóæúáõ Úóäøöí ãõÚúÊóÒöáÇð¡ æóáóßóÇäóÊö ÇáúÞõæøóÉõ ãöäøöí ÈóÚöíÏóÉð¡ ÝóÛóÐóæúÊóäöí ÈöÝóÖúáößó ÛöÐóÇÁó ÇáÈóÑøö ÇááøóØöíÝö¡ ÊóÝúÚóáõ Ðóáößó Èöí ÊóØóæøõáÇð Úóáóíøó Åáóì ÛóÇíóÊöí åóÐöåö¡ áÇó ÃóÚúÏóãõ ÈöÑøóßó æóáÇó íõÈúØöÆõ Èöí ÍõÓúäõ ÕóäöíÚößó¡ æóáÇó ÊóÊóÃßøóÏõ ãóÚó Ðóáößó ËöÞóÊöí¡ ÝóÃóÊóÝóÑøóÛó áöãóÇ åõæó ÃóÍúÙóì áöíú ÚöäúÏóßó¡ ÞóÏú ãóáóßó ÇáÔøóíúØóÇäõ ÚöäóÇäöí Ýöí ÓõæÁö ÇáÙøóäøö æóÖóÚúÝö ÇáúíóÞöíäö¡ ÝóÃóäóÇ ÃóÔúßõÜæ ÓõæúÁó ãõÌóÜÇæóÑóÊöåö áöí æóØóÜÇÚóÉó äóÝúÓöí áóÜåõ¡æóÃóÓúÊóÚúÕöãõÜßó ãöäú ãóáóßóÊöåö¡ æóÃóÊóÖóÜÑøóÚõ Åáóíúßó Ýöí Ãóäú ÊõÓóåøöáó Åáóì ÑöÒúÞöí ÓóÈöíáÇð¡ Ýóáóßó ÇáúÍóãúÏõ Úóáóì ÇÈúÊöÏóÂÆößó ÈöÇáäøöÚóãö ÇáúÌöÓóÇãö¡ æóÅáúåóÇãößó ÇáÔøõßúÑó Úóáóì ÇáÇÍúÓóÇäö æóÇáÇöäúÚóÇãö¡ ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÓóåøöáú Úóáóíøó ÑöÒúÞöí æóÃóäú ÊõÞóäøöÚóäöí ÈöÊóÞúÏöíÑößó áöíú¡ æóÃóäú ÊõÑúÖöíóäöí ÈöÍöÕøóÊöíú ÝöíãóÇ ÞóÓóãúÊó áöíú¡ æóÃóäú ÊóÌúÚóÜáó ãóÜÇ ÐóåóÈó ãöäú ÌöÓúãöíú æóÚõãõÑöíú Ýöí ÓóÈöíúáö ØóÇÚóÊößó Åäøóßó ÎóíúÑõ ÇáÑøóÇÒöÞöíäó. Ãááóåõãøó Åäøöí ÃóÚõæÐõ Èößó ãóäú äóÇÑ ÊóÛóáøóÙúÊó ÈöåóÇ Úóáóì ãóäú ÚóÕóÇßó¡ æóÊóæóÚøóÏúÊó ÈöåóÇ ãóäú ÕóÏóÝó Úóäú ÑöÖóÇßó¡ æóãöäú äóÇÑ äæÑõåóÇ ÙõáúãóÉ æóåóíøöäõåóÇ Ãóáöíãñ¡ æóÈóÚöíÏõåóÇ ÞóÑöíÈñ¡ æóãöäú äóÇÑ íóÃúßõáõ ÈóÚúÖóåóÇ ÈóÚúÖñ¡ æóíóÕõæáõ ÈóÚúÖõåóÇ Úóáóì ÈóÚúÖ¡ æóãöäú äóÇÑ ÊóÐóÑõ ÇáúÚöÙóÇãó ÑóãöíãÇð¡ æóÊóÓúÞöí ÃóåúáóåóÇ ÍóãöíãÇð¡ æóãöäú äóÇÑ áÇó ÊõÈúÞöí Úóáóì ãóäú ÊóÖóÑøóÚó ÅáóíúåóÇ¡ æóáÇó ÊóÑúÍóãõ ãóäö ÇÓúÊóÚúØóÝóåóÇ¡ æóáÇó ÊóÞúÏöÑõ Úóáóì ÇáÊøóÎúÝöíÝö Úóãøóäú ÎóÔóÚó áóåóÇ æóÇÓúÊóÓúáóãó ÅáóíúåóÇ¡ ÊóáúÞóì ÓõßøóÇäóåóÇ ÈöÃóÍóÑøö ãóÇ áóÏóíúåóÇ ãöäú Ãóáöíúãö ÇáäøóßóÇáö æóÔóÏöíÏö ÇáúæóÈóÇáö¡ æóÃóÚõæÐõ ÈÜßó ãöäú ÚóÞóÇÑöÈöåóÇÇáúÝóÇÛöÑóÉö ÃóÝúæóÇåóåóÇ¡ æóÍóíøÇÊöåóÇ ÇáÕøóÇáöÞóÉö ÈöÃóäúíóÇÈöåóÇ¡ æóÔóÑóÇÈöåóÇ ÇáøóÐöí íõÞóØøöÚõ ÃóãúÚóÇÁó æóÃóÝúÆöÏóÉó ÓõßøóÇäöåóÇ¡ æóíóäúÒöÚõ ÞõáõæÈóåõãú¡ æóÃóÓúÊóåúÏöíúßó áöãóÇ ÈÇÚóÏó ãöäúåóÇ æóÃóÎøóÑó ÚóäúåóÇ. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöÜåö æóÃóÌöÑúäöí ãöäúåóÇ ÈöÝóÖúá ÑóÍúãóÊößó¡ æóÃóÞöáúäöí ÚóËóÑóÇÊöí ÈöÍõÓúäö ÅÞóÇáóÊößó¡ æóáÇó ÊóÎúÐõáúäöí íóÇ ÎóíúÑó ÇáúãõÌíÑöíäó¡ Åäøóßó ÊóÞöí ÇáúßóÑöíåóÉó¡ æóÊõÚúØöí ÇáúÍóÓóäóÉó¡ æóÊóÝúÚóáõ ãóÇ ÊõÑöíÜÏõ æóÃóäúÊó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíÑñ. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ ÅÐóÇ ÐõßöÑó ÇáÇÈúÑóÇÑõ¡ æóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ãóÇ ÇÎúÊóáóÝó Çááøóíúáõ æóÇáäøóåóÇÑõ ÕóáÇóÉð áÇó íóäúÞóØöÚõ ãóÏóÏõåóÇ¡ æóáÇó íõÍúÕóì ÚóÏóÏõåóÇ ÕóáÇóÉð ÊóÔúÍóäõ ÇáúåóæóÂÁó¡ æóÊóãúáÇõ ÇáÇÑúÖó æóÇáÓøóãÇÁó. Õóáøóì Çááøóåõ Úóáóíúåö ÍóÊøóì íóÑúÖóì¡ æóÕóáøóì Çááåõ Úóáóíúåö æóÂáöåö ÈóÚúÏó ÇáÑøöÖóÇ ÕóáÇóÉð áÇ ÍóÏøó áóåÇ æóáÇó ãõäúÊóåóì íóÇ ÃóÑúÍóãó ÇáÑøóÇÍöãöíúäó.

Dua ya 32

DU'A ZAKE BAADA YA KUMALIZA SALA ZA USIKU.

O Allah !

mmiliki wa ufalme wa kudumu wa melele. Utawala usioshindika bila ya askari wala wasaidizi. Na enzi ya kubaki miaka nenda miaka rudi zama nenda zama rudi siku nenda siku rudi. Yana Enzi mamlaka yako Enzi isiyo na mpaka wa mwanzo wala mwisho.

Ufalme wako umekuwa wa juu zaidi vimeporomoka vitu bila ya kuufikia muhula wake. Sifa zenye uwezo wambali za wenye kusifu hazitoweza kukufikia kile kidogo mno ulichojitengea kwa ajili yako.

Kwako sifa zimepotoka. Zimeshindwa kukufikia sifa. Mawazo yame DU'A mbele ya utukufu wako.

Kwa ajili hiyo wewe ni wa Daima hutoweki. Nami ni Mja dhaifu wa matendo mwenye matumaini makubwa kabisa.

Sababu za kuwasiliana zimeponyoka toka mikononi mwangu isipokuwa zilizo wasilishwa na Rehma zako.

Hamana za matumaini zimenikatika isipokuwa ni ishikiliayo katika msamaha wako. Kimekuwa kidogo mno niwezacho kukihesabu katika utii wangu kwako. Yamekithiri dhidi yangu maasi yangu kwako haitokuwia dhiki kumsamehe mja wako japo afanye maovu basi nisamehe .

O Allah !

Elimu yako ya chunga kazi zilizojificha kila kilicho sitirika kimefichuka mbele ya utambuzi wako.

Hayafichiki kwako mambo madogo sana na viroja vya siri kabisa havifichiki kwako. Adui yako amenishinda nguvu adui ambaye alikuomba umbakishe ili anipotoshe na ulimbakisha. Alikuomba umpe muhla wa kubakia mpaka siku ya hukumu ili anipoteze ulimpa muhula.

Hivyo basi amenitupa chini ingawaje nimekimbilia kwako kutokana na madhambi madogo madogo angamizi na amali kubwa ziuwazo mpaka nilipotenda maasi yako na kwa ubaya wa juhudi yangu nimewajibika chuki yako.

Amegeuza toka kwangu ugwe ya udanganyifu wake. Akakutana na mimi kwa neno lake la kufuru. Akajitenga na mimi. Akatumba mgongo anikimbia. Kwa hiyo akanitupa kwenye jangwa la ghadhabu zako peke yangu. Amenitoa nje na kuniweka kwenye uwanja wa malipizi ya kisasi chako nikiwa mwenye kufukuzwa.

Hakuna mwombezi atakayeniombea kwako wala mlinzi atakayenifanya niwe na amani kwako. Wala hakuna ngome itakayonificha wewe usinione. Wala hapana kimbilio niwezalo kukimbilia kukukimbia wewe.

Hivyo hiki ni kikao cha ajilindae na wewe nani mahali pa mtu akutambuaye. Basi fadhila zako zisinijie finyu, wala usikose kunifika msamaha wako wala nisiwe miongoni mwa waja wako wasio fanikiwa mno katika waja wako waliotubu.

Wala nisiwe miongoni mwa wakata tamaa miongoni mwa wajao kwako wakiwa na matumaini. Nisamehe hakika wewe mghofiri bora miongoni mwa wenye kughofiri. O Allah! Hakika umeniamrisha nikaacha. Umenikataza nikafanya. Mawazo mabaya yamenifanyia majaribu kufanya mabaya nikazembea. Wala siwezi kutolea ushahidi funga yangu mchana.

Wala siwezi kuomba kimbilio kwa ajili ya sala yangu ya Tahajudi usiku wala Sunnah hainipi sifa kwa kuihuisha.

Isipokuwa faradhi zako ambazo atakayezembea atahiliki siwezi kutaka wasila kwako kwa fadhila za sala za naafila hali yakuwa mengi nimeghafilika kuyatenda miongoni mwa nyadhifa za faradhi zako na nimevuka mipaka yako.

Na kukiuka sehemu takatifu. Madhambi makubwa nimeyatenda ingawa afya yako ilikuwa kwangu ndio sitara kwa kuepukana na fedheha yake. Haya ni makazi ya mwenye kujionea haya binafsi mbele yako, na ameikasirikia nafsi yake, na ameridhika na wewe. Kwa hiyo akutana na wewe kwa moyo mnyenyekevu.

Shingo iliyoinama chini. Mgongo mzito kwa makosa. Amesimama akibabaika kati ya kukupenda na kukuogopa. Na wewe ni bora wa aliowatumainia. Na umwenye haki mno kati ya alio waogopa na kuwa hofu. Basi nipe ewe Bwana wangu niliokutumainia. Nipe Nipe amani kwa niliyojihadhari nayo nihurumie kwa huruma za Rehema yako hakika wewe u mkarimu mno miongoni mwa wenye kuombwa.    O Allah! kwa vile umenisitiri kwa afya yako.

Na umenikinga kwa fadhila zako katika makazi yenye mwisho mbele ya marika nipe kimbilio la kujiepusha na fedheha za makazi ya kubaki milele waliko simama mashahidi.

Miongoni mwa malaika walioletwa karibu na mitume waheshimiwa na watu waliokufa mashahidi na watu wema. Miongoni mwa jirani nilikuwa na mficha maovu yangu.

Na ndugu watumbo moja nilikuwa namwonea haya siri zangu. Sikuwa na waamini kunisitiri O Rabi! Nimekuamini wewe O! Mola wangu, katika kunighofiria.

Na wewe ni bora mno wa kuaminiwa. Na u mtowaji mno kuliko wote waombwao u mwema mno kuliko wote wanaoombwa Rehema, hivyo ni Rehemu.

Ewe Mola wewe ndiwe uliye nifanya nitoke kwenye asili ya maji duni. Kutoka kiuno chenye mifupa miembamba na mapito ya shida.

Mpaka kwenye tumbo jembamba uliloli sitiri kwa mifuniko. Wani hamisha toka hali moja kwenda hali nyingine. Mpaka ulinimalizia kwenye umbo lililo kamilika. Ukaniweka viungo vya mwili, kama ulivyoaridhia katika kitabu chako (tone la Manii) kisha pande la Damu, kisha nyama, kisha mifupa, kisha uliivisha mifupa na nyama, kisha ulinifanya umbo jingine) kama ulivyopenda mpaka nilipohitaji riziki yako siku jitosha bila ya msaada wa fadhila zako. Ulinifanyia chakula chenye lishe kutoka fadhila ya chakula na kinywaji ulichomtunukia kijakazi wako ambaye tumbo lake ulifanya kuwa makazi yangu.

Uliniweka chini ya tumbo lake la uzazi. Ewe Mola wangu! Lau ungeniwakilisha katika hali zile kwenye uwezo wangu au ungenifanya ni lazimike kutumia nguvu zangu.

Uwezo ungekuwa haupo kwangu. Na nguvu zingekuwa mbali na mimi. Ulinipa lishe kwa fadhila zako lishe ya mtu mwema mwenye huruma. Wanitendea hayo kwa wema tu juu yangu mpaka kwenye mwisho wangu huu. Siyakosi mema yako.

Mema yako haya niachi ningojee, pamoja na yote hayo 'ithibati' yangu haijaimarika.

Kiasi cha kuwa niwe nina nafasi kwa ajili ya lile ambalo lina hadhi sana kwangu mbele yako.

Shetani ameshika barabara hatamu yangu kupitia dhana yangu mbaya. Na udhaifu wa yakini. Kwa hiyo mimi na nung'unika ubaya wa ujirani wake na mimi, na nafsi yangu kumtii yeye !

Nakuomba hifadhi niepukane na utawala wake. Ninanyenyekea kwako ili niondolewe vitimbi  vyake dhidi yangu.

Sifa njema ni zako kwa sababu ya kuanza kwako Neema kubwa na kwa sababu ya Il-Hamu yako iwezeshayo kutambuwa ihsani na neema.

Msaliye Muhammad na Aali Zake na unirahisishiye riziki yangu na unifanye niwe natosheka na makadirio yako kwangu.

Unifanye ni ridhike na hisa yangu katika ulichonigawiya.

Na ujaaliye kilicho toweka toka mwili wangu na umri wangu kiwe ni kwa ajili ya njia ya utii wako.

Hakika wewe ni mbora wa watowao riziki.

O Allah !

Hakika mimi najilinda nawe ili kuepukana na moto ulioutia makali

dhidi ya watakaokuasi.

Moto ambao umemuonya mwenye kugeuka mbali na ridhaa zako na moto ambao mwanga wake ni giza. Ambao nafuu yake ni machungu na umbali wake ni karibu.

Kutokana na moto ambao baadhi yake yaila baadhi nyingine. Moto ambao waiacha mifupa imekwisha teketeza.

Unawanywesha watu wake maji yachemkayo.

Moto ambao haumwachii mwenye kukiri kwake. Hautomhurumia mwenye kuomba Rehema. Hauwezi kujipunguza makali kwa mwenye kuunyenyekea na kusalimu amri kwake. wapambana na wakazi wake kwa joto ililo nalo kwa mateso yaumizayo na ghadhabu kali mno.

Najilinda kwako na nge wake walio midomo wazi. Na nyoka wake wenye meno yagege DU'A yo. Na kinywaji chake kinacho kata utumbo na nyoyo za wakazi wake na kuutowa ubongo wao.

Nakuomba mwongozo kutoka kwako wa kile ambacho kitaweka mbali na huwo moto na kuufanya urudi nyuma.

O Allah !

Mrehemu Muhammad na Aali Zake nipe kimbilio ili niepukane nao kwa fadhila za Rehema Zako. Nisamehe kujikwaa kwangu kwa uzuri wa msamaha wako. Wala usinitupe Ewe Mbora wa kutowa kimbilio.

O Allah! Hakika wewe wahifadhi lichukizalo, Na watowa lililo zuri. Watenda upendalo, na U-muweza juu ya kila kitu.

O Allah! mrehemu Muhammad na Aali Zake watajwapo watu wema.

Na mrehemu   Mhammad na Aali Zake kwa kadiri ya usiku na mchana unavyopishana kwa heri. Rehema ambazo  ongezo lake halikatiki idadi yake haihesabiki. Rehema itakayojaza anga, na itajaaza ardhi na mbingu.

O Allah!

Mrehemu yeye mpaka aridhike

O Allah!

Mrehemu yeye na Aali Zake baada ya kuridhika.

Rehema zisizo  na mpaka wala mwisho   OWEE Mwingi wa Kurehemu miongoni mwa wanaorehemu.

 [ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇáË æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ÇáÇÓÊÎÇÑÉ]

Ãóááøóåõãøó Åäøöí ÃóÓúÊóÎöíÑõßó ÈöÚöáúãößó ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÞúÖö áöíú ÈöÇáúÎöíúÑóÉö æóÃóáúåöãúäóÇ ãóÚúÑöÝóÉó ÇáÇÎúÊöíóÇÑö¡ æóÇÌúÚóáú Ðóáößó ÐóÑöíÚóÉð Åáóì ÇáÑøöÖóÇ ÈöãóÇ ÞóÖóíúÊó áóäóÇ æóÇáÊøóÓúáöíúãö áöãóÇ ÍóßóãúÊó. ÝóÃÒöÍú ÚóäøóÇ ÑóíúÈó ÇáÇÑúÊöíóÇÈö¡ æóÃóíøöÏúäóÇ ÈöíóÞöíäö ÇáúãõÎúáöÕöíäó¡ æóáÇó ÊóÓõãúäóÇ ÚóÌúÒó ÇáúãóÚúÑöÝóÉö ÚóãøóÇ ÊóÎóíøóÑúÊó¡ ÝóäóÛúãöØó ÞóÏúÑóßó¡ æóäóßúÑóåó ãóæúÖöÚó ÑöÖóÇßó¡ æóäóÌúäóÍó Åáóì ÇáøóÊöí åöíó ÃóÈúÚóÏõ ãöäú ÍõÓúäö ÇáúÚóÇÞöÈóÉö æóÃóÞúÑóÈõ Åáóì ÖöÏøö ÇáúÚóÇÝöíóÉö. ÍóÈøöÈú ÅáóíúäóÇ ãóÇ äóßúÑóåõ ãöäú ÞóÖóÇÆößó æóÓóåøöáú ÚóáóíúäóÇ ãóÇ äóÓúÊóÕúÚöÈõ ãöäú Íõßúãößó¡ æóÃóáúåöãúäóÜÇ ÇáÇäúÞöíóÜÇÏó áöãóÇ ÃóæúÑóÏúÊó ÚóáóíúäóÜÇ ãöäú ãóÔöíøóÊößó ÍóÊøóì áÇóäõÍöÈøó ÊóÃÎöíúÑó ãóÇ ÚóÌøóáúÊó¡ æóáÇó ÊóÚúÌíúáó ãóÇ ÃóÎøóÑúÊó¡ æóáÇ äóßúÑóåó ãóÇ ÃóÍúÈóÈúÊó¡ æóáÇ äóÊóÎóíøóÑó ãóÇ ßóÑöåúÊó¡ æóÇÎúÊöãú áóäóÇ ÈöÇáøóÊöí åöíó ÃóÍúãóÏõ ÚóÇÞöÈÉð æóÃßúÑóãõ ãóÕöíÑÇð Åäøóßó ÊõÝöíÏõ ÇáúßóÑöíãóÉó æóÊõÚúØöí ÇáúÌóÓöíãóÉó¡ æóÊóÝúÚóáõ ãóÇ ÊõÑöíÏõ æóÃóäúÊó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíÑñ.

Dua ya 33

MIONGONI MWA DUWA ZAKE KATIKA ISTIKHARA

O Allah!

Hakika mimi nakuomba ambalo ni zuri zaidi katika ujuzi wako.

Msaliye Muhammad na Aali Zake na tuamuliye lililo zuri zaidi. Na tupe Il-Hamu ya maarifa ya kuchagua.

Na ifanye iwe ni sababu ya kuridhiya uliyo yapitisha kwa ajili yetu na kusalimu amri kwa uliyotuhukumia tuondolee mashaka ya kusita sita tu imarishe kwa yakini ya watu wanyofu.

Usitupatilize kwa kushindwa kutambua uliyo yachagua tusije tukadharau kadirio lako.

Na tusije chukia mahali pa ridhaa zako na kuelemea kwenye ambalo li mbali na mwisho mwema na li karibu sana na kinyume cha afya njema.Tupendezeshe tukichukiacho katika Agizo lako.

Na tusahilishiye tuonacho kuwa kigumu katika hukumu yako. Tufunulie kuwa wasikivu kwa uliletalo kwetu katika utashi wako mpaka iwe hatupendi kuchelewesha uliloliharakisha wala kuharakisha uliyolichelewesha.

Wala tusichukie ulichopenda wala kuchaguwa ulichokichukia na tuhitimishiye kile chenye mwisho wenye sifa njema mno na matokeo yenye heshima zaidi hakika wewe unafisha chenye heshima na watowa kingi, watenda utakalo nawe u muweza wa kila kitu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÑÇÈÚ æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ ÇÈÊáì Ãæ ÑÃì ãÈÊáì ÈÝÖíÍÉ ÈÐäÈ]

Ãóááøóåõãøó áóßó ÇáúÍóãúÏõ Úóáóì ÓöÊúÑößó ÈóÚúÏó Úöáúãößó¡ æóãõÚóÇÝóÇÊößó ÈóÚúÏó ÎõÈúÑößó¡ ÝóßõáøõäóÇ ÞóÏö ÇÞúÊóÑóÝó ÇáúÚóÇÆöÈóÉó Ýóáóãú ÊóÔúåóÑúåõ¡ æóÇÑúÊóßóÈó ÇáúÝóÇÍöÔóÉó Ýóáóã ÊóÝúÖóÍúåõ æóÊóÓóÊøóÜÑó ÈöÇáúãóÓóÇæöí Ýóáóãú ÊóÏúáõáú Úóáóíúåö¡ ßóãú äåúí áóßó ÞóÏú ÃóÊóíúäóÇåõ¡ æóÃóãúÑ ÞóÏú æóÞóÝúÊóäóÇ Úóáóíúåö ÝóÊóÚóÏøóíúäóÇåõ¡ æóÓóíøöÆóÉ ÇßúÊóÓóÈúäóÇåóÇ¡ æóÎóØöíÆóÉ ÇÑúÊóßóÈúäóÜÇåóÇ¡ ßõäúÊó ÇáúãõØøóáöÚó ÚóáóíúåóÇ Ïõæäó ÇáäøóÇÙöÑöíäó¡ æóÇáúÞóÇÏöÑó Úóáóì ÅÚúáÇóäöåóÇ ÝóæúÞó ÇáúÞóÇÏöÑöíäó¡ ßóÇäóÊú ÚóÇÝöíóÊõßó áóäóÇ ÍöÌóÇÈÇð Ïõæäó ÃóÈúÕóÇÑöåöãú¡ æóÑóÏúãÇð Ïõæäó ÃóÓúãóÇÚöåöãú¡ ÝóÇÌúÚóáú ãóÇ ÓÊóÑúÊó ãöäó ÇáúÚóæúÑóÉö¡ æóÃóÎúÝóíúÊó ãöäó ÇáÏøóÎöíáóÉö æóÇÚöÙÇð áóäóÇ¡ æóÒóÇÌöÑÇð Úóäú ÓõæúÁö ÇáúÎõáúÞö æóÇÞúÊöÑóÇÝö ÇáÎóØöíÆóÜÉö¡ æóÓóÚúíÇð Åáóì ÇáÊøóæúÈóÉö ÇáúãóÇÍöíóÉö æóÇáØøóÑöíúÞö ÇáúãóÍúãõæÏóÉö¡ æÞóÑøöÈö ÇáúæóÞúÊó Ýöíåö¡ æóáÇó ÊóÓõãúäóÇ ÇáúÛóÝúáóÉó Úóäúßó ÅäøóÇ Åáóíúßó ÑóÇÛöÈõæäó¡ æóãöäó ÇáÐøõäõæÈö ÊóÇÆöÈõæäó. æóÕóáøö Úóáóì ÎöíóÑóÊößó Çááøóåõãøó ãöäú ÎóáúÞößó ãõÍóãøóÏ æóÚöÊúÜÑóÊöåö ÇáÕøöÝúÜæóÉö ãöäú ÈóÑöíøóÊöÜßó ÇáØøóÇåöÑöíäó¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ áóåõãú ÓóÇãöÚöíäó æóãõØöíÚöíäó ßóãóÇ ÃóãóÑúÊó.

Dua ya 34

DU'A ZAKE AKIPATWA NA BALAA AU AMWONAPO MWENYE KUPATWA NA FEDHEHA,

KWA AJILI YA DHAMBI

O Allah!

Himidi ni yako kwa sababu ya kusitiri kwako baada ya kujuwa kwako. Na msamaha wako baada ya kuelewa kwako.

Kila mmoja kati yetu amefanya aibu lakini hukumtangaza na amefanya tendo la utovu wa adabu na wala haukumfedhehesha.

Na Alijisitiri kwa maovu wala haukumuonesha. Ni makatazo yako mangapi tumeyatenda!

Amri yako umetuagiza na tumeikiuka; matendo maovu tumeyatenda. Makosa tumeyatenda. Ulikuwa ukiyaona na watazamaji wengine hawaoni.

Na muweza wa kuyatangaza kuliko wawezao wote. Uislama uliotupa ni pazia mbali na macho yao. Na kiziwizi dhidi ya masikio yao. Ifanye aibu uliyotufichiya na mambo ya ndani uliyoyaficha yawe onyo kwetu. Na kemeo dhidi ya matendo mabaya na kutenda makosa.

Na viwe kichocheo cha juhudi ya kufanya toba ifuatayo na njia yenye kuhimidiwa na usogeze wakati wa toba. Usitupatilize kwa kukusahau kwa hakika sisi twakuomba. Na twatubu kwa kuacha dhambii.

O Allah !

Na mrehemu mteule wako katika viumbe wako Muhammad na kizazi chake, wateule miongoni mwa viumbe wako wa Taharifu. Na tujaaliye sisi kuwa wasikivu na watii kwao kama ulivyoamrisha.

 [ÇáÏÚÇÁ ÇáÎÇãÓ æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ÇáÑøöÖÇ ÅÐÇ äÙÑ Åáì ÃÕÍÇÈö ÇáÏøõäíÇ]

ÇáúÍóãúÏõ ááåö ÑöÖìð ÈöÍõßúãö Çááåö¡ ÔóåöÏúÊõ Ãóäøó Çááåó ÞóÓóãó ãóÚóÇíöÔó ÚöÈóÇÏöåö ÈöÇáúÚóÏúáö¡ æóÃóÎóÐó Úóáóì ÌóãöíúÚö ÎóáúÞöåö ÈöÇáúÝóÖúáö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóáÇó ÊóÝúÊöäøöí ÈöãóÇ ÃóÚúØóíúÊóåõãú æóáÇ ÊóÝúÊöäúåõãú ÈöãóÇ ãóäóÚúÊóäöí ÝóÃÍúÓõÏó ÎóáúÞóßó¡ æóÃóÛúãöØó Íõßúãóßó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ¡ æóÂáöÜåö æóØóíøöÈú ÈöÞóÖóÇÆöÜßó äóÝúÓöí æóæóÓøöÚú ÈöãóÜæÇÞöÚö Íõßúãößó ÕóÏúÑöí æóåóÈú áöí ÇáËøöÞóÉó áÇöõÞöÑøó ãóÚóåóÇ ÈöÃóäøó ÞóÖóÇÁóßó áóãú íóÌúÑö ÅáÇøó ÈöÇáúÎöíóÑóÉö æóÇÌúÚóáú ÔõßúÑöí áóßó Úóáóì ãóÇ ÒóæóíúÊó Úóäøí ÃóæúÝóÑó ãöäú ÔõßúÑöí ÅíøóÇßó Úóáóì ãóÇ ÎóæøóáúÊóäöí æóÇÚúÕöãúäöí ãöä Ãäú ÃÙõäøó ÈöÐöí ÚóÏúã ÎóÓóÇÓóÉð¡ Ãóæú ÃóÙõäøó ÈöÕóÇÍöÈö ËóÑúæóÉ ÝóÖúáÇð¡ ÝóÅäøó ÇáÔøóÑöíÝó ãóäú ÔóÑøóÝóÊúåõ ØóÇÚóÊõßó¡ æóÇáúÚóÒöíÒó ãóäú ÃóÚóÒøóÊúåõ ÚöÈóÇÏóÊõßó. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóãóÊøöÚúäóÇ ÈöËóÑúæóÉ áÇó ÊóäúÝóÏõ¡ æóÃóíøöÏúäóÇ ÈöÚöÒøò áÇó íõÝúÞóÏõ æóÃóÓúÑöÍúäóÇ Ýöíú ãõáúßö ÇáÇóÈóÏö Åäøóßó ÇáúæóÇÍöÏõ ÇáÇóÍóÏõ ÇáÕøóãóÏõ ÇáøóÐöí áóãú ÊóáöÏú æóáóãú ÊõæáóÏú æóáóãú íóßõäú áóßó ßõÝõæÇð ÃóÍóÏñ.

Dua ya 35

MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA RIDHAA AWAANGALIAPO WANA WA

DUNIA HII.

Sifa njema ni za Allah kwa kuridhika na hukumu ya Allah Nimeshuhudia kuwa Mungu amegawa maisha ya waja wake kwa uadilifu. Amechukuwa jukumu la fadhili viumbe wake wote. Ewe Allah! Mrehem Muhammad na Aali zake.

Usinifanyie kishawishi kwa uliyowapa viumbe wako. Wala usiwafanyiye kishawishi kwa uliyoninyima, ili nisije mwonea husuda kiumbe wako na kuyadharau maamuzi yako.

O Allah!

Mrehemu Muhammad na Aali Zake. Ipendezeshe nafsi yangu maamuzi yako. Kipanuwe kifuwa changu katika maeneo ya maamuzi yako. Nipe imani ili nikirikwa imani hiyo ya kuwa maamuzi yako hayafanyiki ila kwa kheri.

Na ifanye shukurani yangu kwako juu ya ulichokiondoa kwangu iwe kubwa zaidi kuliko shukrani yangu kwako juu ya ulichonipa.

Unilinde nisije dhaniya kuwa kutokuwa na kitu kwa mtu ni kudunishwa au ni mdhaniye mwenye utajiri kuwa mwenye ubora (kwa Mungu). Kwa kuwa mbora ni yule aliye boreshwa na utii wako.   Na mwenye enzi ni yule aliye enziwa na Ibada zako.

Mswalie   Muhammad   na   Aliy   zake   tupe   starehe   kwa   mali isiyokwisha.

Tupe nguvu kwa Enzi isiyotoweka. Tupe nafasi katika ufalme wa milele. Hakika wewe ni Mmoja peke yako kimbilio la milele.

Haukuzaa wala haukuzaliwa, wala hakuna anayelingana na wewe.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÓÇÏÓ æÇáËáÇËæä]

[æóßóÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ äÙÑ Åáì ÇáÓÍÇÈ æÇáÈÑÞ¡ æÓãÚ ÕæÊ ÇáÑøÚÏ]

Ãóááøóåõãøó Åäøó åÐóíúä ÂíóÊóÇäö ãöäú ÂíÇÊößó¡ æóåÐóíä ÚóæúäóÇäö ãöäú ÃóÚúæóÇäößó íóÈúÊóÏöÑóÇäö ØóÇÚóÊóßó ÈöÑóÍúãóÉ äóÇÝöÚóÉ Ãóæú äóÞöãóÉ ÖóÇÑøóÉ¡ ÝóáÇó ÊõãúØöÑúäóÇ ÈöåöãóÇ ãóØóÑó ÇáÓøóæúÁö¡ æóáÇ ÊõáúÈöÓúäóÜÇ ÈöåöãóÇ áöÈóÇÓó ÇáúÈóáÇóÁö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóäúÒöáú ÚóáóíúäóÇ äóÝúÚó åóÐöåö ÇáÓøóÍóÇÆöÈö æóÈóÑóßóÊóåóÇ¡ æóÇÕúÑöÝú ÚóäøóÇ ÃóÐóÇåóÇ æóãóÖóÑøóÊóåóÇ¡ æóáÇ ÊõÕöÈúäóÇ ÝöíúåóÇ ÈÂÝóÉ¡ æóáÇ ÊõÑúÓöáú Úóáóì ãóÚóÇíöÔöäóÇ ÚóÇåóÉð. Ãááøóåõãøó æóÅäú ßõäúÊó ÈóÚóËúÊóåóÇ äóÞöãóÉð æóÃóÑúÓóáúÊóåóÇ ÓóÎúØóÉð ÝóÅäøóÇ äóÓúÊóÌöíúÑõßó ãöäú ÛóÖóÈößó¡ æóäóÈúÊóåöáõ Åáóíúßó Ýöí ÓõÄóÇáö ÚóÝúæößó¡ Ýóãöáú ÈöÇáúÛóÖóÈö Åáóì ÇáúãõÔúÜÑßöíäó¡ æóÃóÏöÑú ÑóÍóì äóÞöãóÊöÜßó Úóáóì ÇáúãõáúÍöÜÏíäó. Ãááøóåõãøó ÃóÐúåöÈú ãóÍúáó ÈöáÇóÏöäóÇ ÈöÓõÞúíóÇßó¡ æóÃóÎúÑöÌú æóÍóÑó ÕõÏõæÑöäóÇ ÈöÑöÒúÞößó¡ æóáÇó ÊóÔúÛóáúäóÇ Úóäúßó ÈöÛóíúÑößó¡ æóáÇó ÊóÞúØóÚú Úóäú ßóÇÝøóÊöäóÇ ãóÇÏøóÉó ÈöÑøößó¡ ÝóÅäøó ÇáÛóäöíøó ãóäú ÃóÛúäóíúÊó¡ æóÅäøó ÇáÓøóÇáöãó ãóäú æóÞóíúÊó¡ ãóÇ ÚöäúÏó ÃóÍóÏ Ïõæäóßó ÏöÝóÜÇÚñ¡ æóáÇó ÈöÃóÍóÏ Úóäú ÓóØúæóÊößó ÇãúÊöäóÇÚñ¡ ÊóÍúßõãõ ÈöãóÇ ÔöÆúÊó Úóáóì ãóäú ÔöÆúÊó¡ æóÊóÞúÖöí ÈöãóÜÇ ÃóÑóÏúÊó Ýöíãóäú ÃóÑóÏúÊó. Ýóáóßó ÇáúÍóãúÏõ Úóáóì ãóÇ æóÞóíúÊóäóÇ ãöäó ÇáúÈóáÇÁö¡ æóáóßó ÇáÔøõßúÑõ Úóáóì ãóÇ ÎóæøóáúÊóäóÇ ãöäó ÇáäøÚúãóÇÁö ÍóãúÏÇð íõÎóáøöÝõ ÍóãúÏó ÇáúÍóÇãöÏöíäó æóÑóÇÁóåõ¡ ÍóãúÏÇð íóãúáÇõ ÃóÑúÖóåõ æóÓóãóÇÁóåõ ÅäøóÜßó ÇáúãóäøóÇäõ ÈöÌóÓöíãö Çáúãöäóäö¡ ÇáúæóåøóÇÈõ áöÚóÙöíãö ÇáäøöÚóãö¡ ÇáÞóÇÈöáõ íóÓöíúÑó ÇáúÍóãúÏö¡ ÇáÔøóÇßöÑõ Þóáöíúáó ÇáÔøõßúÑö¡ ÇáúãõÍúÓöäõ ÇáúãõÌúãöáõ Ðõæ ÇáØøóæúáö áÇ Åáåó ÅáÇø ÃóäúÊó Åáóíúßó ÇáúãóÕöíÑõ.

Dua ya 36

DU'A   ZAKE   AANGALIAPO   MAWINGU   NA UMULIKAJI   NA   ASIKIAPO   SAUTI   YA RADU

O Allah ! hakika hizi ni alama zako mbili na hawa ni wasaidizi wako wawili wa harakiao utii wako imma kwa Rehema yenye manufaa au kisasi kiumizacho.

Usituteremshie kutoka kwa wawili hao mvua mbaya. Usituvishe toka kwa wawili hao vazi la balaa.

O Allah!

Mrehemu Muhammad na Aali zake. Na ututeremshie manufaa ya

mawingu haya na baraka zake.

Na utuondolee adha yake na madhara yake.

Usitufikishie maafa kutokana nao usitutumie uharibifu wowote katika maisha yetu.

O Allah!

Ikiwa umewapeleka hao kwa kisasi na umewatuma kwa makasiriko

basi twakuomba kimbilio ili kuepukana na ghadhabu zako.

Tunakusihi utupe msamaha wako elemea kwa washirikina kwa ghadhabu. Tupa jiwe la ghadhabu zako kwa makafiri.

O Allah! Ondoa ukame wa nchi yetu kwa maji yako. Ondoa ukorofi wa vifua vyetu kwa riziki yako. Usituzuie kwako kwa kutushughulisha na kingine mbali na wewe.

Usitukatie sote sisi vitu vya wema wako, kwa kuwa tajiri ni yule uliyemtajirisha aliyesalimika ni yule uliyemlinda. Hakuna yeyote mwenye ulinzi bila ya wewe. Hapana yeyote awezaye kuzuia adhabu yako.

Waamua utakalo kwa umtakaye. Wapitisha utakalo kwa umtakaye. Sifa njema ni zako kutulinda na balaa. shukrani ni zako kwa kutupa neema. Sifa njema zitakazo ziwacha nyuma sifa njema za wenye kusifu kwa sifa njema.

Sifa njema zitakazojaa ardhi yake na mbingu yake. Hakika wewe mwenye huruma nyingi mpaji wa neema nyingi.

Mpokeaji wa sifa kidogo mwenye kushukuru ihisani ndogo matenda mema mtenda mzuri mfadhili. Hapana muabudiwa ila wewe. Na kwako ndio Marejeo.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÓÇÈÚ æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ ÇÚÊÑÝ ÈÇáÊÞÕíÑ Úä ÊÃÏíÉ ÇáÔßÑ]

Ãááøóåõãøó Åäøó ÃóÍóÏÇð áÇó íóÈúáõÛõ ãöäú ÔõßúÑößó ÛóÇíóÉð ÅáÇø ÍóÕóáó Úóáóíúåö ãöäú ÅÍúÓóÇäößó ãóÇ íõáúÒöãõåõ ÔõßúÑóÇð¡ æóáÇ íóÈúáõÛõ ãóÈúáóÛÇð ãöäú ØóÇÚóÊößó æóÅä ÇÌúÊóåóÏó ÅáÇøó ßóÇäó ãõÞóÕøöÑÇð Ïõæäó ÇÓúÊöÍúÞóÇÞößó ÈöÝóÖúáößó¡ ÝóÃóÔúßóÑõ ÚöÈóÇÏößó ÚóÇÌöÒñ Úóäú ÔõßúÑößó æóÃóÚúÈóÏõåõãú ãõÞóÕøöÑñ Úóäú ØóÇÚóÊößó¡ áÇ íóÌÈõ áÇöÍóÏ Ãóäú ÊóÛúÝöÑó áóåõ ÈöÇÓúÊöÍúÞóÇÞöåö¡ æóáÇ Ãóäú ÊóÑúÖóì Úóäúåõ ÈöÇÓúÊöíÌóÇÈöåö¡ Ýóãóäú ÛóÝóÑúÊó áóåõ ÝóÈöØóæáößó¡ æóãóäú ÑóÖöíúÊó Úóäúåõ ÝóÈöÝóÖúáößó ÊóÔúßõÑõ íóÓöíÑó ãóÇ ÔõßöÑúÊóåõ æóÊõËöíÈõ Úóáóì Þóáöíáö ãóÇÊõØóÇÚõ Ýöíåö ÍóÊøóì ßóÃóäøó ÔõßúÜÑó ÚöÈóÇÏößó ÇáøóÐöíú ÃóæúÌóÈúÊó Úóáóíúåö ËóæóÇÈóåõãú æóÃóÚúÙóãúÊó Úóäúåõ ÌóÒóÇÁóåõãú ÃóãúÑñ ãóáóßõæÇ ÇÓúÊöØóÇÚóÉó ÇáÇãúÊöäóÇÚö ãöäúåõ Ïõæäóßó¡ ÝóßóÇÝóíúÊóåõãú Ãóæú áóãú íóßõäú ÓóÈóÈõåõ ÈöíóÏößó ÝóÌóÇÒóíúÊóåõãú¡ ÈóÜáú ãóáóßúÊó íóÇ Åáåöí ÃóãúÑóåõãú ÞóÈúáó Ãóäú íóãúáößõæÇ ÚöÈóÇÏóÊóßó¡ æóÃóÚúÏóÏúÊó ËóæóÇÈóåõãú ÞóÈúáó Ãóäú íõÝöíÖõæÇ Ýöí ØóÇÚóÊößó¡ æóÐóáößó Ãóäøó ÓõäøóÊóßó ÇáÇöÝúÖóÇáõ¡ æóÚóÇÏóÊóßó ÇáÇÍúÓóÇäõ¡ æóÓóÈöíáóßó ÇáúÚóÝúæõ¡ Ýóßõáøõ ÇáúÈóÑöíøöÉö ãðÚúÊóÑöÝóÉñ ÈöÃóäøóßó ÛóíúÑõ ÙóÇáöã áöãóäú ÚóÇÞóÈúÊó¡ æóÔóÇåöÏóÉñ ÈöÃóäøóßó ãõÊóÝóÖøöáñ Úóáóì ãóäú ÚóÇÝóíúÊó¡ æóßõáøñ ãõÞöÑøñ Úóáóì äóÝúÓöåö ÈöÇáÊøóÞúÕöíúÑö ÚóãøóÇ ÇÓúÊóæúÌóÈúÊó¡ ÝóáóæúáÇ Ãóäøó ÇáÔøóíúØóÇäó íóÎúÊóÏöÚõåõãú Úóäú ØóÇÚóÊößó ãóÇ ÚóÕóÇßó ÚóÇÕ¡ æóáóæúáÇ Ãóäøóåõ ÕóæøóÑó áóåõãõ ÇáÈóÇØöáó Ýöí ãöËóÇáö ÇáúÍóÞøö ãóÇ Öóáøó Úóäú ØóÑöíúÞößó ÖóÇáøñ. ÝóÓõÈúÍóÇäóßó ãóÇ ÃóÈúíóäó ßóÑóãóßó Ýöí ãõÚóÇãóáóÉö ãóäú ÃóØóÇÚóßó Ãóæú ÚóÕóÇßó¡ ÊóÔúßõÑõ ááúãõØöíúÚö ãóÇ ÃóäúÊó ÊóæóáøóíúÊóåõ áóåõ¡ æóÊõãúáöí áöáúÚóÇÕöí ÝöíúãóÇ Êóãúáößõ ãõÚóÇÌóáóÊóåõ Ýöíúåö¡ ÃóÚúØóíúÊó ßõáÇøð ãöäúåõãóÇ ãóÇ áóãú íóÌöÈú áóåõ¡ æóÊóÝóÖøóáúÊó Úóáóì ßõáøò ãöäúåõãóÇ ÈöãóÇ íóÞúÕõÑõ Úóãóáõåõ Úóäúåõ æóáóæú ßóÇÝóÃúÊó ÇáúãõØöíÚó Úóáóì ãóÇÃóäúÊó ÊóæóáøóíúÊóåõ áÇæúÔóßó Ãóäú íóÝúÞöÏó ËóæóÇÈóßó¡ æóÃóäú ÊóÒõæáó Úóäúåõ äöÚúãóÊõßó æóáßöäøóßó ÈößóÑóãößó ÌóÇÒóíúÊóåõ Úóáóì ÇáúãõÏøóÉö ÇáúÞóÕöíÑóÉö ÇáÝóÇäöíóÉö ÈöÇáúãõÏøóÉö ÇáØøóæöíáóÉö ÇáúÎóÇáöÏóÉö¡ æóÚóáóì ÇáúÛóÇíóÉö ÇáúÞóÑöíÈóÉö ÇáÒøóÇÆöáóÉö ÈöÇáúÛÇíóÉö ÇáúãóÏöíÏóÉö ÇáúÈóÇÞöíóÉö¡ Ëõãøó áóãú ÊóÓõãúåõ ÇáúÞöÕóÇÕó ÝöíãóÇ Ãóßóáó ãöäú ÑöÒúÞößó ÇáøóÐöí íóÞúæóì Èöåö Úóáóì ØóÇÚóÊößó¡ æóáóãú ÊóÍúãöáúåõ Úóáóì ÇáúãõäóÇÞóÔóÇÊö Ýöí ÇáÇáÇÊö ÇáøóÊöí ÊóÓóÈøóÈó ÈöÇÓúÊöÚúãóÇáöåóÇ Åáóì ãóÛúÝöÑóÊößó¡ æóáóæú ÝóÚóáúÊó Ðáößó Èöåö áóÐóåóÈó ÈöÌóãöíúÚö ãóÇ ßóÏóÍó áóåõ æóÌõãúáóÉö ãóÇ ÓóÚóì Ýöíåö¡ ÌóÒóÂÁð áöáÕøõÛúÑì ãöäú ÃóíÇÏöíúßó æóãöäóäößó¡ æóáóÈÞöíó ÑóåíäÇð Èóíúäó íóÏóíúßó ÈöÓóÇÆöÑö äöÚóãößó ÝóãóÊóì ßóÇäó íóÓúÊóÍöÞøõ ÔóíúÆÇð ãöäú ËóæóÇÈößó¡ áÇ¡ ãóÊóì¿. åóÐóÇ íÇ Åáåöí ÍóÇáõ ãóäú ÃóØóÇÚóßó æóÓóÈöíáõ ãóäú ÊóÚóÈøóÏó áóßó¡ ÝóÃóãøóÇ ÇáúÚóÇÕöíú ÃóãúÑóßó æóÇáúãõæóÇÞöÜÚõ äóåúíóßó Ýóáóãú ÊõÚóÇÌöáúåõ ÈöäóÞöãóÊößó áößóíú íóÓúÊóÈúÏöáó ÈöÍóÇáöåö Ýöí ãóÚúÕöíóÊößó ÍóÇáó ÇáÇöäóÇÈóÜÉö Åáóì ØóÜÇÚóÊöÜßó¡ æóáóÞóÜÏú ßóÜÇäó íóÓúÊóÍöÞøõ Ýöí Ãóæøóáö ãóÜÇ åóãøó ÈöÚöÕúíóÇäößó ßõáøó ãóÇ ÃóÚúÏóÏúÊó áöÌóãöíÚö ÎóáúÞößó ãöäú ÚõÞõæÈóÊößó¡ÝóÌóãöíÚõ ãóÇ ÃóÎøóÑúÊó Úóäúåõ ãöäú æóÞúÊö ÇáúÚóÐóÇÈö¡ æóÃóÈúØóÃÊó Èöåö Úóáóíúåö ãöäú ÓóØóæóÇÊö ÇáäøóÞöãóÉö æóÇáúÚöÞóÇÈö ÊóÑúßñ ãöäú ÍóÞøößó¡ æóÑöÖìð ÈöÏõæäö æóÇÌöÈößó¡ Ýóãóäú ÃßúÑóãõ ãöäúßó íóÇ Åáåöí¡ æóãóäú ÃóÔúÞóì ãöãøóäú åóáóßó ÚóáóíúÜßó¡ áÇ¡ ãóäú¿ ÝóÊóÈóÇÑóßúÊó Ãóäú ÊõæÕóÝó ÅáÇø ÈöÇáÇÍúÓóÇäö¡ æóßóÜÑõãúÊó Ãóäú íõÎóÇÝó ãöäúßó ÅáÇø ÇáúÚóÏúáõ¡ áÇ íõÎúÔóì ÌóæúÑõßó Úóáóì ãóäú ÚóÕóÇßó¡ æóáÇó íõÎóÇÝõ ÅÛúÝóÇáõßó ËóæóÇÈó ãóäú ÃóÑúÖóÇßó. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóåóÈú áöìú Ãóãóáöí¡ æóÒöÏúäöí ãöäú åõÏóÇßó ãóÇ ÃóÕöáõ Èöåö Åáóì ÇáÊøóæúÝöíÞö Ýöí Úóãóáöí¡ Åäøóßó ãóäøóÇäñ ßóÑöíãñ.

Dua ya 37

DU'A ZAKE (A.S.) ANAPOTAMBUWA KUSHINDWA KUTEKELEZA SHUKRANI IPASAVYO

O Allah!

Hakika hakuna awezaye kufikia upeo wa kukushukuru isipokuwa

atakuwa amepata hisani yako ambayo pia itamlazimu akushukuru.

Wala hafikii kiwango cha kutosha katika kukutii japo afanye juhudi atakuwa chini ya haki yako kwa sababu ya uwingi wa fadhila zako.

Kwa hiyo, mwenye shukrani zaidi miongoni mwa waja wako ashindwa kukushukuru ipasavyo. Na mcha mungu mno miongoni mwao yuko chini ya kiwango cha kukutii. Si wajibu kwa yeyote umsamehe kwa kuwa yu astahiki kusamehewa. Wala hana haki ya kuwa umridhiye kwa kustahiki umghofiriyae ni kwa sababu ya huruma zako.

Na umridhiaye ni kwa sababu ya ukarimu wako. Waridhika na shukrani ndogo ulioshukuriwa. Walipa kiasi kikubwa kwa kadiri ndogo uliyotiiwa. Hata yaonekana kana kwamba.

Shukurani ya waja wako ambayo umewajibisha malipo yao kwa ajili yake. Na umekithirisha malipo yao kwa sababu yake ni jambo wanamiliki uwezo wa kujizuia bila ya wewe na utawalipa na wala haikuwa sababu yake mkononi mwako ndio ukawalipa!

Ukweli ni kuwa umemiliki Ewe Mola wangu! Mambo yao kabla ya waja wako hawajamiliki ibada yako. Uliandaa malipo mema kwa ajili yao kabla hawajaanza kukutii wewe. Hiyo ni kwa sababu sunnah yako ni kufadhili. Na tabia yako ni kufanya ihsani na njia yako ni kusamehe.

Kwani kila kiumbe cha tambuwa kuwa wewe si dhalimu kwa uliyemwadhibu. Na chashuhudia kuwa unafanya ukarimu kwa uliyemsamehe, kila mmoja anakiri nafsini mwake kuwa hafanyi uliyowajibisha juu yake ipasavyo.

Lau si kama shetani kuwahadaa na kuwaweka mbali na utii wako asingekuasi mwenye kukuasi lau asingewaonesha batili katika mfano wa haki asingepotea njia yako mpoteaji.

Hivyo basi utukufu ni wako ubainifu ulioje wa ukarimu wako katika kumtendea anayekutii au anayekuasi. Wamridhia mtii hali yakuwa wewe ndiye uliyesimama kwa ajili yake. Ulimpa muda mfanya maasi hali yakuwa ulikuwa na uwezo wa kumuharakishia adhabu yake.

Kila mmoja wao umempa asilopaswa kupewa. Umempa fadhila kila mmoja wao isio lingana na kazi yake. Lau ungemlipa mtii kulingana na kiwango cha utii wake. Angekaribia kukosa malipo yao mema.

Na imtoke neema yako. Lakini kwa ukarimu wako umemlipa muda mfupi uishao kwa muda mrefu wakudumu. Na badali ya upeo wa karibu wakutoweka.

Kwa upeo mrefu wakubaki milele kisha hukumfanyia kisasi kwa ajili ya aliyokula miongoni mwa riziki yako inayompa nguvu ya kukutii. Wala haukumdadisi kuhusu viungo vya mwili ambavyo matumizi yake imekuwa ndio sababu ya kuufikia msamaha wako.

Ungemfanyia hivyo yangekwenda yote aliyotaabikia na yote aliyoyafanyia juhuudi. Ikiwa ni malipo ya kidogo mno miongoni mwa nufaisho lako na huruma yako.

Na angebakia rehani mkononi mwako kuhusiana na neema zako zingine. Basi vipi atakuwa anastahiki kupata chochote katika thawabu zako hakika ni vipi?

Hii ewe Mola wangu ndio hali ya aliyekutii na aliyefanya ibada kwa ajili yako. Vipi hali ya mwenye kuasi amri yako na kutenda katazo lako!

Wala haukumuharakishia adhabu yako ili aibadilishe hali yake katika kukuasi wewe na hali ya kurejea kwenye utii wako. Alikuwa anastahiki O Mola wangu! Pale mwanzo alipokuasi kila ulilowaandalia viumbe wako wote miongoni mwa adhabu zako. Kwa hiyo yote uliyoyachelewesha miongoni mwa adhabu na umemcheleweshea kumtia adabu.

Ni kuiacha haki yako na kuridhia bila ya wajibu wako. Basi E Mola wangu! Ni nani mkarimu zaidi kuliko wewe?

Nani mwenye hali mbaya zaidi kuliko aliyeangamia kwa kutokukujali wewe! Hapana ni Nani?

U mwenye baraka mno haiwezekani usifike isipokuwa kwa ihsani, u mkarimu mno haiwezekani uogopwe isipokuwa uadilifu.

Huogopwi kuwa utamdhulumu aliye kuasi. Wala haiogopwi kuwa utaghafilika kumpa malipo aliyekuridhisha msaliye Muhammad na Aali Zake na unipe matumaini yangu. Nizidishiye mwongozo wako utakaonifikisha kufanikisha amali yangu. Hakika wewe mwenye huruma mkarimu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇãä æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ÇáÇÚÊÐÇÑ ãä ÊÈÚÇÊö ÇáÚÈÇÏ æãä ÇáÊÞÕíÑö Ýí ÍÞæÞåã æÝßÇß ÑÞÈÊå ãä ÇáäøÇÑ]

Ãóááøóåõãøó Åäøöí ÃóÚúÊóÜÐöÑõ ÅáóíúÜßó ãöäú ãóÜÙúáõæã Ùõáöãó ÈöÍóÖúÑóÊöí Ýóáóãú ÃóäúÕõÑúåõ¡ æóãöäú ãóÚúÑõæÝ ÇõÓúÏöíó Åáóíøó Ýóáóãú ÃóÔúßõÑúåõ¡ æóãöäú ãõÓöíÁ ÃÚúÊóÐóÑó Åáóíøó Ýóáóãú ÃóÚúÐöÑúåõ¡ æóãöäú Ðöíú ÝóÇÞóÉ ÓóÃóáóäöí Ýóáóãú ÇõæËöÑúåõ¡ æóãöäú ÍóÞøö Ðí ÍóÞøò áóÒöãóäöí áöãõÄúãöä Ýóáóãú ÃæóÝøöÜÑúåõ¡ æóãöäú ÚóíúÈö ãõÄúãöä ÙóåóÑ áöí Ýóáóãú ÃóÓúÊõÑúåõ¡ æóãöäú ßõáøö ÅËúã ÚóÑóÖó áöíú Ýóáóãú ÃóåúÌõÑúåõ. ÃóÚúÊóÐöÑõ Åáóíúßó íóÇ Åáåöí ãöäúåõäøó æóãöäú äóÙóÇÆöÑöåöäøó ÇÚúÊöÐóÇÑó äóÏóÇãóÉ íóßõæäõ æóÇÚöÙÇð áöãóÇ Èóíúäó íóÏóíøó ãöäú ÃóÔúÈóÇåöåöäøó. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÌúÚóáú äóÏóÇãóÊöí Úóáóì ãóÇ æóÞóÚúÊõ Ýöíåö ãöäó ÇáÜÒøóáÇøÊö æóÚóÒúãöí Úóáóì ÊóÜÑúßö ãóÇ íóÚúÜÑöÖõ áöíú ãöäó¡ ÇáÓøóíøöÆÜÇÊö ÊóæÈóÉð ÊõæÌöÈõ áöíú ãóÍóÈøóÊóÜßó íÇ ãõÍöÈøó ÇáÊøóæøóÇÈöíúäó.

Dua ya 38

DUWA ZAKE (A.S.) KATIKA KUOMBA RADHI KWA KUWATENDEA VIBAYA WAJA WA MWENYEZI MUNGU KWA KUTOWAJIBIKA IPASAVYO KUHUSU HAKI   ZAO NA KUIKOMBOA SHINGO YAKE IEPUKANE NA MOTO.

O Allah!

Mimi nakuomba msamaha kutokana na mdhulumiwa alidhulumiwa mahali mimi nipo na   sikumsaidia. Na kutokana na wema nimetendewa sikuwa mwenye shukurani. Na mtenda maovu aliniomba msamaha sikumsamehe. Mwenye shida aliniomba sikumpa kipaombele kuliko nafsi yangu. Na haki ya mwenye haki iliyo nilazimu ya muumini

sikuitekeleza. Na aibu ya muumini ilinidhihirikia na sikumsitiri. Na   kila   aina   ya   dhambi   ilijitokeza   mbele   yangusikuihama.

Nakuomba msamaha Ewe Mola wangu kwa yote haya na kwa yafananayo na haya. Msamaha wa kujuta ambao utakuwa onyo kwa yaliyo mfano wake hapo baadaye.

Msaliye Muhammad  na Aali zake  na  jaaliya kujuta kwangu juu ya yale niliyojiingiza katika mitelezo iwe azma ya kujiepusha na yanayojitokeza mbele yangu miongoni mwa maovu. Iwe toba itakayo niwajibishia mapenzi yako.

Ewe mpenzi wa wafanyao toba.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÊÇÓÚ æÇáËáÇËæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ØáÈ ÇáÚÝæ æÇáÑÍãÉ]

Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇßúÓöÑú ÔóåúæóÊöí Úóäú ßõÜáøö ãóÍúÑóã¡ æóÇÒúæö ÍöÜÑúÕöí Úóäú ßõáøö ãóÜÃËóã¡ æóÇãúäóÚúäöí Úóäú ÃóÐóì ßõÜáøö ãõÄúãöä æóãõÄúãöäóÜÉ æóãõÓúáöã æóãõÓúáöãóÉ¡ Ãááøóåõãøó æóÃóíøõãóÇ ÚóÈúÏ äÇáó ãöäøöí ãóÇ ÍóÙóÑúÊó Úóáóíúåö¡ æóÇäúÊóåóßó ãöäøöí ãóÇ ÍóÌóÑúÊó Úóáóíúåö¡ ÝóãóÖóì ÈöÙõáÇóãóÊöí ãóíøöÊÇð¡ Ãóæú ÍóÕóáúÊó áöíú ÞöÈóáóåõ ÍóíøÇð¡ ÝóÇÛúÝöÑú áóåõ ãóÇ Ãóáóãøó Èöåö ãöäøöí¡ æóÇÚúÝõ áóåõ ÚóãøóÇ ÃóÏúÈóÑó Èöåö Úóäøöí¡ æóáÇó ÊóÞöÝúÜåõ Úóáóì ãóÇ ÇÑúÊóßóÈó Ýöíøó¡ æóáÇó ÊóßúÔöÝúåõ ÚóãøóÇ ÇßúÊóÓóÈó Èöíú¡ æóÇÌúÚóáú ãóÇ ÓóãóÍúÊõ ÈöÜåö ãöäó ÇáúÚóÝúÜæö Úóäúåõãú æóÊóÈóÜÑøóÚúÊõ ÈöÜåö ãöäó ÇáÕøóÏóÞóÉö Úóáóíúåöãú ÃóÒúßóì ÕóÏóÞóÇÊö ÇáúãõÊóÕóÏøöÞöíäó æóÃóÚúáóì ÕöáÇóÊö ÇáúãõÊóÞóÑøöÈöíäó¡ æóÚóæøöÖúäöí ãöäú ÚóÝúæöí Úóäúåõãú ÚóÝúæóßó æóãöäú ÏõÚóÇÆöí áóåõãú ÑóÍúãóÊóßó ÍóÊøóì íóÓúÚóÏó ßõáøõ æóÇÍöÏ ãöäøóÇ ÈöÝóÖúáößó æóíóäúÌõæóßõáøñ ãöäøóÇ Èöãóäøößó. Ãááøóåõãøó æóÃóíøõãÇ ÚóÈúÏ ãöäú ÚóÈöíúÏößó ÃóÏúÑóßóåõ ãöäøöí ÏóÑóßñ Ãóæú ãóÓøóåõ ãöäú äóÇÍöíóÊöí ÃóÐóìð¡ Ãóæú áóÍöÞóÜåõ Èöí Ãóæú ÈöÓóÈóÈí Ùõáúãñ ÝóÝõÊøõåõ ÈöÍóÞøöÜåö¡ ÃóæúÓóÈóÞúÊõÜåõ ÈöãóÙúáóãóÊöåö¡ ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóÑúÖöåö Úóäøöí ãöäú æõÌúÏößó¡ æóÃóæúÝöåö ÍóÞøóåõ ãöäú ÚöäúÏößó¡ Ëõãøó Þöäíú ãóÇ íõæÌöÈõ áóåõ Íõßúãõßó¡ æóÎóáøöÕúäöí ãöãøóÇ íóÍúßõãõ Èöåö ÚóÏúáõßó¡ ÝóÅäøó ÞõæøóÊöí áÇ ÊóÓúÊóÞöáøõ ÈöäóÞöãóÊößó¡ æóÅäøó ØóÇÞÊöí áÇ ÊóäúåóÖõ ÈöÓõÎúØößó¡ ÝóÅäøóßó Åäú ÊõßóÜÇÝöäöí ÈöÇáúÍóÞøö Êõåúáößúäöí¡ æóÅáÇø ÊóÛóãøóÜÏúäöí ÈöÑóÍúãóÊößó ÊõæÈöÞúäöí. Ãááøóåõãøó Åäøöí ÃóÓúÊóæúåöÈõßó íóÇ Åáåöí ãóÇ áÇ íóäúÞõÕõßó ÈóÐúáõåõ¡ æóÃóÓúÊóÍúãöáõßó ãóÇ áÇ íóÈúåóÙõßó Íóãúáõåõ¡ ÃóÓúÊóæúåöÈõßó íóÇ Åáåöí äóÝúÓöíó ÇáøóÊöíú áóãú ÊóÎúáõÞúåóÇ áöÊóãúÊóäöÚó ÈöåóÇ ãöäú ÓõæÁ¡ Ãóæú áöÊóØóÑøóÞó ÈöåóÇ Åáì äóÝúÚ¡ æóáßöäú ÃóäúÔóÃÊóåóÇ ÅËúÈóÇÊÇð áöÞõÏúÑóÊößó Úóáóì ãöËúáöåóÇ¡ æóÇÍúÊöÌóÇÌÇð ÈöåóÇ Úóáóì ÔóßúáöåóÇ¡ æóÃóÓúÊóÍúãöáõßó ãöäúÐõäõæÈöí ãóÇ ÞóÏú ÈóåóÙóäöí Íóãúáõåõ¡ æóÃóÓúÊóÚöíäõ Èößó Úóáóì ãóÇ ÞóÏú ÝóÏóÍóäöí ËöÞúáõåõ. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóåóÈú áöäóÝúÓöí Úóáóì ÙõáúãöåóÇ äóÝúÓöíú¡ æóæóßøöáú ÑóÍúãóÊóßó ÈöÇÍúÊöãóÇáö ÅÕúÑöí¡ Ýóßóãú ÞóÏú áóÍöÞóÊú ÑóÍúãóÊõßó ÈöÇáúãõÓöíÆöíäó¡ æóßóãú ÞóÏú Ôóãöáó ÚóÝúæõßó ÇáÙøóÇáöãöíäó. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÇÌúÚóáúäöí ÃõÓúæóÉó ãóäú ÞóÏú ÃóäúåóÖúÊóåõ ÈöÊóÌóÇæõÒößó Úóäú ãóÕóÇÑöÚö ÇáúÎóÇØöÆöíäó¡ æóÎóáøóÕúÊóåõ ÈöÊóæúÝöíÞößó ãöäú æóÑóØóÇÊö ÇáúãõÌúÑöãöíäó¡ ÝóÃóÕúÈóÍó ØóáöíÞó ÚóÝúæößó ãöäú ÅÓóÇÑö ÓõÎúØößó¡ æóÚóÊöíÞó ÕõäúÚößó ãöäú æóËóÇÞö ÚóÏúáößó¡ Åäøóßó Åäú ÊóÝúÚóáú Ðóáößó íóÇ Åáåöí ÊóÝúÚóáúåõ Èöãóäú áÇó íóÌúÍóÏõ ÇÓúÊöÍúÞóÇÞó ÚõÞõæÈóÊößó¡ æóáÇó íõÈóÑøöÆõ äóÝúÓóåõ ãöäö ÇÓúÊöíÌóÇÈö äóÞöãóÊößó¡ ÊóÝúÚóáõ Ðáößó íóÇ Åáåöí Èöãóäú ÎóæúÝõåõ ãöäúßó ÃóßúËóÑõ ãöäú ØóãóÚöåö Ýöíßó¡ æóÈöãóäú íóÃúÓõåõ ãöäó ÇáäøóÌóÇÉö ÃóæúßóÏõ ãöäú ÑóÌóÂÆöåö áöáúÎóáÇóÕö¡ áÇó Ãóäú íóßõæäó íóÃúÓõåõ ÞõäõæØóÇð Ãóæú Ãóäú íóßõæäó ØóãóÚõåõ ÇÛúÊöÑóÇÑÇð Èóáú áöÞöáøóÉö ÍóÓóäóÇÊöåö Èóíúäó ÓóíøöÆÇÊöåö¡ æóÖóÚúÝö ÍõÌóÌöåö Ýöí ÌóãöíÚö ÊóÈöÚóÇÊöåö¡ ÝóÃóãøóÇ ÃóäúÊó íóÇ Åáåöí ÝóÃóåúáñ Ãóäú áÇóíóÛúÊóÑøó Èößó ÇáÕøöÏøöíÞõæäó¡ æóáÇó íóíúÃóÓó ãöäúßó ÇáúãõÌúÑöãõæäó¡ áÇöóäøóßó ÃáÑøóÈøõ ÇáúÚóÙöíãõ ÇáøóÐöíú áÇó íóãúäóÚõ ÃóÍóÜÏÇð ÝóÖúáóåõ æóáÇó íóÓúÊóÞúÕöí ãöäú ÃóÍóÏ ÍóÞøóÜåõ. ÊóÚóÇáì ÐößúÑõßó Úóäö ÇáúãóÐúßõæÑöíäó¡ æóÊóÞóÏøóÓÊ ÃóÓúãóÜÂÄõßó Úóäö ÇáúãóäúÓõæÈöíäó¡ æóÝóÔóÊú äöÚúãóÊõßó Ýöíú ÌóãöíúÚö ÇáúãóÎúáõæÞöíäó¡ Ýóáóßó ÇáúÍóãúÏõ Úóáóì Ðóáößó íóÇ ÑóÈøó ÇáúÚóÇáóãöíäó.

Dua ya 39

DUWA ZAKE (A.S.) KATIKA KUOMBA MSAMAHA NA REHEMA.

O Allah !

msaliye Muhammad na Aali zake.Yavunje matamanio yangu ya kila haramu.

Uondowe uchu wangu wa kila tendo la dhambi. Niziwiye kumuudhi muumini yeyote Muislamu mwanaume na mwanamke.

O Allah !

mja yeyote amenitendea baya ulilo hadharisha kwake na amekiuka kwa kunitendea ulilo mgombeza na amekufa na aliyo nidhulurnu au nimemlalamikia akiwa hai. Msamehe aliyonitendea na umuwiye radhi kwa yale aliyenitumbiya mgongo.

Msimsimamishe kumtaka aliyonitendea. Usimuumbue kwa aliyoyachuma kwangu.

Na jaaliya niliyosamehe kwa kuwawia radhi na niliyojitolea miongoni mwa sadaka kwao iwe sadaka safi mno miongoni mwa sadaka za watoao sadaka.

Na zawadi ya hali ya juu mno miongoni mwa zawadi za watafutao ukaribu na wewe.

Nifidiye msamaha wangu kwao kwa msamaha wako. Na DU'A yangu kwao nipate rehema zako ili kila mmoja wetu apate hali njema kwa fadhila zako. Na ili aokoke kila mmoja wetu kwa huruma zako.

O Allah !

mja yeyote katika waja wako amepata kutoka kwangu ovu au aliguswa na madhara kutoka kwangu au lisilofaa limemfika kupitia kwangu au kwa sababu yangu amedhulumiwa.

Nimeshindwa kuwa mwangalifu wa haki yake au nimekwenda (kufa) na haki yake iliyo dhulumiwa.

Mswalie Muhammad na Aali zake mridhishe kwa ajili yangu kutaka utajiri wako. Mpe haki yake kamili kutoka kwako kisha nilinde na liwajibishalo hukumu yako kwa ajilii yake. Na niepushe na lihukumiwalo na uadilifu wako.

Kwa sababu nguvu zangu haziwezi kuhimili adhabu yako. Na kwa sababu uwezo wangu hauwezi kusimama mbele ya makasiriko yako.

Kwa hakika ikiwa utanilipa kulingana na haki utanihilikisha. Na kama hautonikinga na rehema zako utaniangamiza.

O Allah !

hakika mimi nakuomba Ewe Mola wangu ambacho kukitowa kwake hakukupunguzii (chochote).

Nakuomba kubeba ambalo uzito wake haukutopei. Nakuomba uipe nafsi yangu Ewe Mola wangu! Ambayo haukuiumba ili ujikinge na uovu au iwe ndio njia ya manufaa, bali umeiumba ili kuthibitisha uwezo wako kwa nyingine iliyo mfano wake na kwa sababu iwe ni hoja dhidi ya iliyo mfano wake.

Nakuomba ubebe mizigo yangu ya dhambi ambayo uzito wake umenishinda nguvu kubeba.

Naomba msaada kwako kwa ajili ya ambalo uzito wake umenielemea. Msaliye Muhammad na Aali zake uipe nafsi yangu ingawa imetenda maovu.

Iwakilishe Rehma yako kubeba mzigo wangu (dhambi). Wangapi miongoni mwa watenda mabaya imewafika Rehma zako! Wadhalimu wangapi msamaha wako umewajumuisha.

Mswaliye Muhammad na Aali Zake. Na nifanye mimi mfano wa ulio wainuwa kwa kuwastahmilia kutoka kwenye mweleka wa wakosefu.

Na umemwokowa kwa tawfeeki yako kutoka kwenye hali mbaya ya waovu. Na akawa aliyeachwa huru na msamaha wako kutoka pingu za makasiriko yako.

Na aliyeachwa huru na wema wako toka kamba za uadilifu wako. Hakika wewe ufanyapo hayo Ewe Mola wangu! wamfanyia ambaye hakanushi kustahiki kwake adhabu yako wala haji takasi nafsi yake kutoka wajibikiwa na malipizi yako.

Wamfanyia hivyo Ewe Mola Wangu! Ambaye hofu yake kwako ni nyingi kuliko tamaa yake kwako. Na yule ambaye kukata tamaa kuwa hatofanikiwa ni saana kuliko matumaini yake ya kuokoka.

Sio kutokuwa na matumaini kwake ni kukata tamaa au matumaini yake yawe ni kughurika (kudanganyika). Bali ni kwa sababu ya uchache wa mema yake kati ya maovu yake na udhaifu wa hoja zake katika matendo yake yote.

Na wewe Ewe Mola wangu, ni mstahiki wa kuwa asi danganyike mbele yako mkweli. Wala asikatishwe tamaa na wewe muovu kwa sababu wewe ni bwana mtukufu ambaye fadhila zake hamziwii yeyote. Wala hamfuatilii yeyote haki yake. Jina lako litukuzwe zaidi ya watukuzwao, yametakasika majina yako zaidi kuliko wote watajwao.

Neema zako kwa viumbe wote zimewaenea; zako ni sifa njema kwa yote hayo Ewe Bwana wa Ulimwengu wote.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆöåö(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ äõÚöíó Åáíåö ãíøöÊñ Ãæ ÐóßóÑó ÇáãæÊ]

Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÇßúÝöäóÇ ØõÜæáó ÇáÇãóÜáö¡ æóÞóÕøöÑúåõ ÚóäøóÇ ÈöÕöÏúÞö ÇáúÚóãóáö ÍóÊøóì áÇ äõÃóãøöáó ÇÓúÊöÊúãóÇãó ÓóÇÚóÉ ÈóÚúÏó ÓóÇÚóÉ æóáÇó ÇÓúÊöíÝóÇÁó íóæúã ÈóÚúÏó íóæúã¡ æóáÇó ÇÊøöÕóÇáó äóÝóÓ ÈöäóÝóÓ¡ æóáÇ áõÍõÜæÞó ÞóÏóã ÈöÞóÜÏóã. æóÓóáøöãúäóÇ ãöäú ÛõÑõæÑöåö¡ æóÂãöäøóÜÇ ãöäú ÔõÜÑõæúÑöåö¡ æóÇäúÕöÈö ÇáãóæúÊó Èóíúäó ÃóíúÏöíäóÇ äóÕúÈÇð¡ æóáÇó ÊóÌúÚóáú ÐößúÑóäóÇ áóåõ ÛöÈøÇð¡ æóÇÌúÚóáú áóäóÇ ãöäú ÕóÇáöÍö ÇáÇÚúãóÇáö ÚóãóáÇð äóÓúÊóÈúØöÆõ ãóÚóåõ ÇáúãóÕöíÑó Åáóíúßó¡ æóäÍúÜÑöÕõ áóåõ Úóáóì æóÔúßö ÇááøöÍóÇÞö Èößó ÍóÊøóì íóßõæäó ÇáúãóæúÊõ ãóÃäóÓóäóÇ ÇáøóÐöí äóÃäóÓõ Èöåö¡ æóãóÃáóÝóäóÇ ÇáøóÐöí äóÔúÊóÇÞõ Åáóíúåö¡ æóÍóÇãøóÊóäóÇ ÇáøóÊöí äõÍöÈøõ ÇáÏøõäõæøó ãöäúåóÇ ÝóÅÐóÇ ÃóæúÑóÏúÊóåõ ÚóáóíúäóÇ¡ æóÃóäúÒóáúÊóåõ ÈöäóÇ ÝóÃÓúÚöÏúäóÇ Èöåö ÒóÇÆöÑÇð¡ æóÂäöÓúäóÇ Èöåö ÞóÇÏöãÇð¡ æóáÇó ÊõÔúÞöäóÇ ÈöÖöíÇÝóÊöåö¡ æóáÇ ÊõÎúÒöäóÇ ÈöÒöíÇÑóÊöåö¡ æóÇÌúÚóáúåõ ÈóÇÈÇð ãöäú ÃóÈúæóÇÈö ãóÛúÝöÑóÊößó¡ æóãöÝúÊóÇÍÇð ãöäú ãóÝóÇÊöíÍö ÑóÍúãóÊößó. ÃóãöÊúäóÇ ãõåúÊóÏöíäó ÛóíúÑó ÖóÇáøöíäó ØÇÆöÚöíäó ÛóíúÑó ãõÓúÊóßúÑöåöíäó ÊóÇÆöÈíäó ÛóíúÑó ÚÇÕöíäó æóáÇ ãõÕöÑøöíäó íóÇ ÖóÇãöäó ÌóÒóÇÁö ÇáúãõÍúÓöäöíäó¡ æóãõÓúÊóÕúáöÍó Úóãóáö ÇáúãõÝúÓöÏöíäó.

Dua ya 40

MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) AKITANGAZIWA KIFO CHA MTU AU AKUMBUKAPO UMAUTI.

O Allah!

Msaliye Muhammad na Aali Zake.

Tutosheleze na matumaini marefu tupunguzie nayo kwa kazi ya ukweli ili tusitumainiye kuikamilisha saa baada ya saa. Wala kuikamilisha siku baada ya siku wala kukutana pumzi na pumzi nyingine.

Wala kukutana hatuwa na hatua nyingine, Tusalimishe na udanganyifu wake tupe amani na shari yake. Uweke umauti mbele yetu dhahiri usijaaliye kumbukumbu yake kwetu kuwa ni ya mara moja na kupotea utujaaliye kuwa miongoni mwa watenda mema.

Ili tuone kwa ajili yake kuja kwako kuna chelewa mpaka ifikiye tuuone umauti ni jambo tunalopendezwa nalo. Na tuone umauti ni mahali tulipopazowea tuna shauku napo na mlinzi wetu tumpendaye kuwa karibu naye.

Ukiuleta kwetu na kututeremshia tufanye tuwe na furaha nao kama mgeni aliyekuja kututembelea. Tuweke katika raha naye ajapo usitufanye tuwe katika mashaka ya kumpokea kwake. Usitudhalilishe katika kumpokea kwake. Wala usitutweze kwa ziara yake.

Mfanye kuwa mlango miongoni mwa milango ya ghofirani zako awe ufunguo miongoni mwa funguo za Rehma zako. Tufishe katika hali ya uongofu si katika hali ya upotovu tuwe watii si wenye kukirihishwa. Wenye kutubu si katika hali ya uasi wala wenye kung'ang'ania maasi.

Ewe   mwenye   kudhamini   malipo   ya   watendao   mema.   Na mrekebishaji wa matendo ya waharibifu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÍÇÏí æÇáÇÑÈÚæä]

[æóßóÇä ãöäú ÏÚÇÆöåö(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí ØóáóÈ ÇáÓøöÊúÑö æÇáæöÞÇíóÉö]

Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóÝúÑöÔúäöí ãöåóÇÏó ßóÜÑóÇãóÊöÜßó¡ æóÃóæúÑöÏúäöí ãóÔóÇÑöÚó ÑóÍúãóÊöÜßó¡ æóÃóÍúáöáúäöí ÈõÍúÈõæÍóÉó ÌóäøóÊößó¡ æóáÇó ÊóÓõãúäöí ÈöÇáÑøóÏøö Úóäúßó¡ æóáÇ ÊóÍúÑöãúäöí ÈöÜÇáúÎóíúÈóÉö ãöäúÜßó¡ æóáÇó ÊõÞóÇÕøóäöí ÈöãóÜÇ ÇÌúÊóÑóÍúÊõ¡ æóáÇó ÊõäóÇÞöÔúäöí ÈöãóÇ ÇßúÊóÓóÈúÊõ¡ æóáÇ ÊõÜÈúÑöÒú ãóßúÊõæúãöí¡ æóáÇó ÊóßúÔöÝú ãóÓúÊõæÑöí¡ æóáÇó ÊóÍúãöáú Úóáóì ãöíÒÇäö ÇáÇäúÕóÇÝö Úóãóáöí¡ æóáÇó ÊõÚúáöäú Úóáóì Úõíõæäö ÇáúãóáÇó ÎóÈóÜÑöí. ÃóÎúÝö Úóäúåõãú ãóÇ íóßõæäõ äóÔúÑõåõ Úóáóíøó ÚóÇÑÇð¡ æóÇØúæö Úóäúåõãú ãóÇ íõáúÍöÞõäöí ÚöäúÏóßó ÔóäóÇÑÇð¡ ÔóÑøöÝú ÏóÑóÌóÊöí ÈöÑöÖúæóÇäößó¡ æóÃßúãöáú ßóÑóÇãóÊöí ÈöÛõÝúÑóÇäößó¡ æóÇäúÙöãúäöí Ýöí ÃóÕúÍóÇÈö Çáúíóãöíäö¡ æóæóÌøöåúäöí Ýöí ãóÓóÇáößö ÇáÇãöäöíäó¡ æóÇÌúÚóáúäöí Ýöí ÝóæúÌö ÇáúÝóÇÆöÒöíäó¡ æóÇÚúãõÑú Èöí ãóÌóÇáöÓó ÇáÕøóÇáöÍöíäó¡ Âãöíäó ÑóÈøó ÇáúÚóÇáóãöíäó.

Dua ya 41

DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA KUOMBA SITARA NA ULINZI.

O Allah! Msaliye Muhammad na Aali Zake.

Nitandikiye kitanda cha heshima yako nipeleke kwenye manyweo ya maji ya rehema zako.

Nikalishe kati kati ya bustani yako usinipe mtihani wa kukataliwa na wewe.

Usininyime kwa kutokukutumainia. Usinifuatilie niliyoyatenda. Wala usinifuatilie nilioyafanya.

Usiyadhihirishe yaliyofichika na kwangu wala usiyafichuwe yaliyositirika kwangu.

Usiyaweke matendo yangu katika mizani ya uadilifu. Usizitangaze habari zangu mbele ya macho ya kundi la watu. Wafiche lile ambalo kulitangaza ni aibu kwangu. Likunje mbali nao litakaloniaibisha mbele yako.

Ipe heshima daraja yangu kwa ridhaa zako. Nikamilishiye heshima yangu kwa ghofirani zako.

Nipange katika watu wa mkono wa kulia, niongoze katika mapito ya walio katika amani. Nifanye niwe katika kundi la waliofaulu. Visitawishe vikao vya watu wema kwa kunitumikisha. Aameen.

Ewe Bwana wa ulimwengu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇäí æÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇäó ãä ÏõÚÇÆöåö(Úáíå ÇáÓáÇã) ÚäÏ ÎÊãö ÇáÞÑÂäö]

Ãóááøóåõãøó Åäøóßó ÃóÚóäúÊóäöí Úóáóì ÎóÊúãö ßöÊóÇÈößó ÇáøóÐöí ÃóäúÒóáúÊóåõ äõæÑÇð æóÌóÚóáúÊóåõ ãõåóíúãöäÇð Úóáóì ßõáøö ßöÊóÇÈ ÃóäúÒóáúÊóåõ¡ æóÝóÖøóáúÊóåõ Úóáóì ßõáøö ÍóÏöíË ÞóÕóÕúÊóåõ¡ æóÝõÑúÞÇäÇð ÝóÑóÞúÊó Èöåö Èóíúäó ÍóáÇáößó æóÍóÑóÇãößó¡ æóÞõÑúÂäÇð ÃóÚúÑóÈúÊó Èöåö Úóäú ÔóÑóÇÆöÚö ÃóÍúßóÇãößó¡ æóßöÊóÇÈÇð ÝóÕøóáúÊóåõ áöÚöÈóÇÏößó ÊóÝúÕöíáÇð¡ æóæóÍúíÇð ÃóäúÒóáúÊóåõ Úóáóì äóÈöíøößó ãõÍóãøóÏ ÕóáóæóÇÊõßó Úóáóíúåö æóÂáöåö ÊóäúÒöíáÇð¡ æóÌóÚóáúÊóåõ äõæÑÇð äóåúÊóÏöí ãöäú Ùõáóãö ÇáÖøóáÇóáóÉö æóÇáúÌóåóÜÇáóÉö ÈöÜÇÊøöÈóÇÚöÜåö¡ æóÔöÝóÜÂÁð áöãóäú ÃóäúÕóÊó ÈöÝóåúã ÇáÊøóÕúÏöíÞö Åáóì ÇÓúÊöãóÇÚöåö¡ æóãöíÒóÇäó ÞöÓúØ áÇó íóÍöíúÝõ Úóäö ÇáúÍóÞøö áöÓóÇäõåõ¡ æóäõæÑó åõÏìð áÇó íõØúÝóÃõ Úóäö ÇáÔøóÇåöÏöíäó ÈõÑúåóÇäõåõ¡ æóÚóáóãó äóÌóÇÉ áÇó íóÖöáøõ ãóäú Ãóãøó ÞóÕúÏó ÓõäøóÊöåö æóáÇó ÊóäóÇáõ ÃóíúÏöí ÇáúåóáóßóÇÊö ãóäú ÊóÚóáøóÞó ÈöÚõÑúæóÉö ÚöÕúãóÊöåö¡ Ãóááøóåõãøó ÝóÅÐú ÃóÝóÏúÊóäóÇ ÇáúãÚõæäóÉó Úóáóì ÊöáÇóæóÊöåö¡ æóÓóåøóáúÊó ÌóæóÇÓöíó ÃóáúÓöäóÊöäóÇ ÈöÍõÓúäö ÚöÈóÇÑóÊöåö¡ ÝóÇÌúÚóáúäóÇ ãöãøóäú íóÑúÚóÇåõ ÍóÞøó ÑöÚóÇíóÊöåö¡ æóíóÏöíäõ áóßó ÈöÇÚúÊöÞóÇÏö ÇáÊøóÓúáöíúãö áöãõÍúßóãö ÂíÇÊöåö¡ æóíóÝúÒóÚõ Åáì ÇáÇöÞúÑóÇÑö ÈöãõÊóÔóÇÈöåöåö æóãõæÖóÍóÇÊö ÈóíøöäÇÊöåö. Ãááøóåõãøó Åäøóßó ÃóäúÒóáúÊóåõ Úóáóì äóÈöíøößó ãõÍóãøóÏ Õóáøóì Çááåõ Úóáóíúåö æóÂáöåö ãõÌúãóáÇð¡ æóÃóáúåóãúÊóåõ Úöáúãó ÚóÌóÇÆöÈöåö ãõßóãøóáÇð¡ æóæóÑøóËúÊóäóÇ Úöáúãóåõ ãõÝóÓøóÑÇð¡ æóÝóÖøóáúÊóäóÇ Úóáóì ãóäú Ìóåöáó Úöáúãóåõ¡ æóÞóæøóíúÊóäóÇ Úóáóíúåö áöÊóÑúÝóÚóäóÇ ÝóæúÞó ãóäú áóãú íõØöÞú Íóãúáóåõ. Ãááøóåõãøó ÝóßóãóÇ ÌóÚóáúÊó ÞõáõæÈóäóÇ áóåõ ÍóãóáóÉð¡ æóÚóÑøóÝúÊóäóÇ ÈöÑóÍúãóÊößó ÔóÑóÝóåõ æóÝóÖúáóåõ¡ ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ ÇáúÎóØöíúÈö Èöåö¡ æóÚóáóì Âáöåö ÇáúÎõÒøÇäö áóåõ¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ ãöãøóäú íóÚúÊóÑöÝõ ÈöÃóäÜøóåõ ãöäú ÚöäúÏößó ÍóÊøóì áÇó íõÚóÇÑöÖóäóÇ ÇáÔøóßøõ Ýöí ÊóÕúÏöíÞöåö æóáÇó íóÎúÊóáöÌóäóÇ ÇáÒøóíúÛõ Úóäú ÞóÕúÏö ØóÑöíÞöåö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöÜåö¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ ãöãøóäú íóÚúÊóÕöãõ ÈöÍóÈúáöåö¡ æóíóÜÃúæöí ãöäóÇáúãõÊóÔóÜÇÈöåóÇÊö Åáóì ÍöÜÑúÒö ãóÚúÞöáöåö¡ æóíóÓúßõäõ Ýöí ÙöÜáøö ÌóäóÇÍöåö¡ æóíóåúÊóÏöí ÈöÖóæúÁö ÕóÇÍöÈöåö¡ æóíóÞúÊóÏöí ÈöÊóÈóáøõÌ ÅÓúÝóÇÑöåö¡ æóíóÓúÊóÕúÈÍõ ÈöãöÕúÈÇÍöåö¡ æóáÇ íóáúÊóãöÓõ ÃáúåõÏóì Ýöí ÛóíúÑöåö. Ãááøóåõãøó æóßóãóÇ äóÕóÈúÊó Èöåö ãõÍóãøóÏÇð ÚóáóãÇð áöáÏøóáÇáóÉö Úóáóíúßó¡ æóÃóäúåóÌúÊó ÈöÂáöåö ÓõÈõáó ÇáÑøöÖóÇ Åáóíúßó. ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÌúÚóáö ÇáÞõÑúÂäó æóÓöíáóÉð áóäóÇ Åáóì ÃóÔúÑóÝö ãóäóÇÒöáö ÇáúßóÑóÇãóÉö¡ æóÓõáøóãÇð äóÚúÑõÌõ Ýöíåö Åáóì ãóÍóáøö ÇáÓøóáÇãóÉö¡ æóÓóÈóÈÇð äõÌúÒóì Èöåö ÇáäøóÌÇÉó Ýöí ÚóÑúÕóÉö ÇáúÞöíóÇãóÉö¡ æóÐóÑöíÚóÉð äõÞúÏöãõ ÈöåóÇ Úóáóì äóÚöíúãö ÏóÇÑö ÇáúãõÞóÇãóÉö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÍúØõØú ÈÇáúÞõÑúÂäö ÚóäøóÇ ËöÞúáó ÇáÇæúÒóÇÑö¡ æóåóÈú áóäóÇ ÍõÓúäó ÔóãóÇÆöáö ÇáÇóÈúÑóÇÑö æóÇÞúÝõ ÈöäóÇ ÂËóÇÑó ÇáøóÐöíäó ÞóÇãõæÇ áóßó Èöåö ÂäóÇÁó Çááøóíúáö æóÃóØúÑóÇÝó ÇáäøóåóÇÑö ÍóÊøóì ÊõØóåøöÑóäóÇ ãöäú ßõáøö ÏóäóÓ ÈöÊóØúåöíÑöåö¡ æóÊóÞúÝõæó ÈöäóÇ ÂËóÇÑó ÇáøóÐöíäó ÇÓúÊóÖóÜÂÁõæúÇ ÈöäõæÑöåö¡ æóáóãú íõáúåöåöãõ ÇáÇóãóÜáõ Úóäö ÇáúÚóãóÜá ÝóíóÞúØóÚóåõãú ÈöÎõÏóÚö ÛõÑõæÑöåö. Ãóááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æÇÌúÚóáö ÇáÞõÑúÂäó áäÇ Ýöí Ùõáóãö ÇááøóíÇáöíãõæäöÓÇð æóãöäú äóÒóÛóÇÊö ÇáÔøóíúØóÇäö æóÎóØóÑóÇÊö ÇáúæóÓóÇæöÓö ÍóÇÑöÓÇð¡ æóáÇÞúÏóÇãöäóÇ Úóäú äóÞúáöåóÇ Åáóì ÇáúãóÚóÇÕöíú ÍóÇÈöÓÇð¡ æóáÇöáúÓöäóÊöäóÇ Úóäö ÇáúÎóæúÖö Ýöí ÇáÈÇØöáö ãöäú ÛóíúÑö ãóÇ ÂÝóÉ ãõÎúÑöÓÇð¡ æóáöÌóæóÇÑöÍöäóÇ Úóäö ÇÞúÊöÑóÇÝö ÇáÇËÇãö ÒóÇÌöÑÇð¡ æóáöãóÇ ØóæóÊö ÇáÛóÝúáóÉõ ÚóäøóÇ ãöäú ÊóÕóÝøõÍö ÇáÇÚúÊöÈóÇÑö äóÇÔöÑÇð ÍóÊøóì ÊõæÕöáó Åáóì ÞõáõæÈöäóÇ Ýóåúãó ÚóÌóÇÆöÈöåö æóÒóæóÇÌöÑó ÃóãúËóÜÇáöåö ÇáøóÊöí ÖóÚõÝóÊö ÇáúÌöÈóÇáõ ÇáÑøóæóÇÓöí Úóáóì ÕóáÇóÈóÊöåóÇ Úóäö ÇÍúÊöãóÇáöåö. Çááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÃóÏöãú ÈöÇáúÞõÑúÇäö ÕóáÇóÍó ÙÇåöÑöäÇ¡ æóÇÍúÌõÈú Èöåö ÎóØóÑÇÊö ÇáúæóÓóÇæöÓö Úóäú ÕöÍøóÉö ÖóãóÇÆöÑöäóÇ¡ æóÇÛúÓöáú Èöåö ÏóÑóäó ÞõáõæÈöäóÇ æóÚóáÇóÆöÞó ÃóæúÒóÇÑöäóÇ¡ æóÇÌúãóÚú Èöåö ãõäúÊóÔóÑó ÃõãõæÑöäóÇ¡ æóÃóÑúæö Èöåö Ýöí ãóÜæúÞöÝö ÇáúÚóÑúÖö Úóáóíúßó Ùóãóà åóæóÇÌöÑöäóÇ¡ æóÇßúÓõäóÇ Èöåö Íõáóáó ÇáÇóãóÇäö íóæúãó ÇáúÝóÒóÚö ÇáÇßúÈóÑö Ýöí äÔõæÑöäóÇ. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÌúÈõÑú ÈöÇáúÞõÑúÂäö ÎóáøóÊóäóÇ ãöäú ÚóÏóãö ÇáÇãúáÇóÞö¡ æóÓõÞú ÅáóíúäóÇ Èöåö ÑóÛóÏó ÇáúÚóíúÔö æóÎöÕúÈó ÓóÚóÉö ÇáÇÑúÒóÇÞö¡ æóÌóäøöÈúäóÇ Èöåö ÇáÖøóÑóÇÆöÈó ÇáúãóÐúãõæãóÉó æóãóÏóÇäöíóÇáÇÎúáÇóÞö¡ æóÇÚúÕöãúäóÇ Èöåö ãöäú åõæøóÉö ÇáßõÝúÑö æóÏóæóÇÚöÜí ÇáäøöÝóÇÞö ÍóÊøóì íóßõæúäó áóäóÇ Ýöí ÇáúÞöíóÇãóÉö Åáóì ÑöÖúæóÇäößó æóÌöäóÇäößó ÞóÇÆöÏÇð æóáóäóÇ Ýöí ÇáÏøõäúíÇ Úóäú ÓóÎóØößó æóÊóÚóÏøöí ÍõÏõæÏößó ÐóÇÆöÏÇð¡ æóáöãóÇ ÚöäúÏóßó ÈöÊóÍúáöíáö ÍóáÇóáöåö æóÊóÍúÑöíã ÍóÑóÇãöåö ÔóÇåöÏÇð. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóåóæøöäú ÈöÇáúÞõÑúÂäö ÚöäúÏó ÇáúãóæúÊö Úóáóì ÃóäúÝõÓöäóÇ ßóÑúÈó ÇáÓøöíóÇÞö¡ æóÌóåúÏó ÇáÇäöíäö¡ æóÊóÑÇÏõÝó ÇáúÍóÔóÇÑöÌö ÅÐóÇ ÈóáóÛóÊö ÃáäøõÝõæÓõ ÇáÊøóÑÇÞöíó æóÞöíáó ãóäú ÑóÇÞ æóÊóÌóáøóì ãóáóßõ ÇáúãóæúÊö áöÞóÈúÖöåóÇ ãöäú ÍõÌõÈö ÇáúÛõíõæÈö¡ æóÑóãóÇåóÇ Úóäú ÞóæúÓö ÇáúãóäóÇíóÇ ÈöÃóÓúåõãö æóÍúÔóÉö ÇáúÝöÑóÇÞö¡ æóÏóÇÝó áóåóÇ ãöäú ÐõÚóÇÝö ÇáúãóæúÊö ßóÃúÓÇð ãóÓúãõæãóÉó ÇáúãóÐóÇÞö¡ æóÏóäÇ ãöäøóÇ Åáóì ÇáÇÎöÑóÉö ÑóÍöíáñ æóÇäúØöáÇóÞñ¡ æóÕóÇÑóÊö ÇáÇÚúãóÇáõ ÞóáÇóÆöÜÏó Ýöí ÇáÇóÚúäóÇÞö¡ æóßóÇäóÊö ÇáúÞõÈõæÑõ åöíó ÇáúãóÃæóì Åáóì ãöíÞóÇÊö íóæúãö ÇáÊøóáÇóÞö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÈóÇÑößú áóäóÇ Ýöí Íõáõæáö ÏóÇÑö ÇáÈöáóì æóØõæáö ÇáúãõÞóÇãóÜÉö Èóíúäó ÃóØúÈóÜÇÞö ÇáËøóÜÑì¡ æóÇÌúÚóáö ÇáÞÈõæÑó ÈóÚúÏó ÝöÑóÇÞö ÇáÏøõäúíóÇ ÎóíúÑó ãóäóÇÒöáöäóÇ¡ æóÇÝúÓóÍú áóäóÇÈöÑóÍúãóÊößó Ýöí ÖöíÞö ãóáÇóÍöÏöäóÇ¡ æóáÇ ÊóÝúÖóÍúäóÇ Ýöí ÍóÇÖöÑöí ÇáúÞöíóÇãóÉö ÈöãõæÈöÞóÇÊö ÂËÇãöäóÇ¡ æóÇÑúÍóãú ÈöÇáúÞõÑúÇäö Ýöíú ãóæúÞöÝö ÇáúÚóÑúÖö Úóáóíúßó Ðõáøó ãóÞóÇãöäóÇ¡ æóËóÈøöÊú Èöåö ÚöäúÏó ÇÖúØöÑóÇÈö ÌöÓúÑö Ìóåóäøóãó íóæúãó ÇáúãóÌóÇÒö ÚóáóíúåóÜÇ Òóáóáó ÃóÞúÏóÇãöäóÇ¡ æóäóæøöÑú Èöåö ÞóÈúáó ÇáúÈóÚúËö ÓõÏóÝó ÞõÈõæÑäÇ¡ æóäóÌøöäóÇ Èöåö ãöäú ßõáøö ßóÑúÈ íóæúãó ÇáúÞöíóÇãóÉö æóÔóÏóÇÆöÏö ÃóåúæóÇáö íóæúãö ÇáØøóÇãøóÉö¡ æóÈóíøöÖú æõÌõæåóäóÇ íóæúãó ÊóÓúæóÏøõ æõÌõæåõ ÇáÙøóáóãóÉö Ýöí íóæúãö ÇáúÍóÓúÑóÉö æóÇáäøóÏóÇãóÉö¡ æóÇÌúÚóáú áóäóÇ Ýöí ÕõÏõæÑö ÇáúãõÄúãöäöíäó æõÏøÇð¡ æóáÇó ÊóÌúÚóáö ÇáúÍóíóÇÉó ÚóáóíúäóÇ äóßóÏÇð. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ ÚóÈúÏößó æóÑóÓõæáößó ßóãóÇ ÈóáøóÛó ÑöÓóÇáóÊóßó¡ æóÕóÏóÚó ÈöÃóãúÑößó¡ æóäóÕóÍó áöÚöÈóÇÏößó. Ãááøóåõãøó ÇÌúÚóáú äóÈöíøóäÇ ÕóáóæÇÊõßó Úóáóíúåö æóÚóáóì Âáöåö íóæúãó ÇáúÞöíóÇãóÉö ÃóÞúÑóÈó ÇáäøöÈöíøöíäó ãöäúßó ãóÌúáöÓÇð¡ æóÃóãúßóäóåõãú ãöäúßó ÔóÝóÇÚóÉð¡ æóÃóÌóáøóåõãú ÚöäúÏóßó ÞóÏúÑÇð¡ æóÃóæúÌóåóåõãú ÚöäúÏóßó ÌóÇåóÇð. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáö ãõÍóãøóÏ æóÔóÑøöÝú ÈõäúíóÇäóåõ¡ æóÚóÙøöãú ÈõÑúåóÇäóåõ¡ æóËóÞøöáú ãöíÒóÇäóåõ¡ æóÊóÞóÈøóáú ÔóÝóÇÚóÊóåõ æóÞóÑøöÈú æóÓöíáóÊóåõ¡ æóÈóíøöÖú æóÌúåóåõ¡ æóÃóÊöãøóäõæÑóåõ¡ æóÇÑúÝóÚú ÏóÑóÌóÊóåõ¡ æóÃóÍúíöäóÇ Úóáóì ÓõäøóÊöåö¡ æóÊóæóÝøóäóÇ Úóáóì ãöáøóÊöåö¡ æóÎõÐú ÈöäóÜÇ ãöäúåóÇÌóÜåõ¡ æóÇÓúáõßú ÈöäóÇ ÓóÈöíáóåõ¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ ãöäú Ãóåúáö ØóÇÚóÊöåö¡ æóÇÍúÔõÑúäóÇ Ýöí ÒõãúÑóÊöåö¡ æóÃóæúÑöÏúäóÇ ÍóæúÖóåõ¡ æóÇÓúÞöäóÇ ÈößóÃÓöåö. Ãááøóåõãøó æóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ÕóáÇÉð ÊõÈóáøöÛõåõ ÈöåóÇ ÃóÝúÖóáó ãóÇ íóÃúãõáõ ãöäú ÎóíúÑößó æóÝóÖúáößó æóßóÑóÇãóÊößó Åäøóßó Ðõæú ÑóÍúãóÉ æóÇÓöÚóÉ æóÝóÖúá ßóÑöíã. Ãááøóåõãøó ÇÌúÒöåö ÈöãóÇ ÈóáøóÛó ãöäú ÑöÓóÇáÇÊößó æóÃóÏøóì ãöäú ÂíóÇÊößó æóäóÕóÍó áöÚöÈóÇÏößó æóÌóÇåóÏó Ýöí ÓóÈöíáößó ÃóÝúÖóáó ãóÇ ÌóÒóíúÊó ÃóÍóÏÇð ãöäú ãóáÇÆößóÊößó ÇáúãõÞóÑøóÈöíäó æóÃóäúÈöíóÇÆößó ÇáúãõÑúÓóáöíäó ÇáúãõÕúØóÝóíúäó. æóÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúåö æóÚóáóì Âáöåö ÇáØøóíøöÈöíäó ÇáØøóÇåöÑöíäó æóÑóÍúãóÉõ Çááå æóÈóÑóßóÇÊõåõ.

Dua ya 42

DU'A YAKE (A.S.) WAKATI WA KUHITIMISHA QUR'AN

O Allah!

Hakika wewe umenisaidia kuihitimisha Qur'ani kitabu chako ambacho umekiteremsha kikiwa nuru   na umekifanya mlinzi wa kila kitabu ulichokiteremsha. Na umekiboresha juu ya kila hadithi uliyoisimulia.

Na ni kitenganishi kwacho umetenganisha kati ya halali yako na haramu yako. Qur'an ambayo kwayo umeiweka wazi sheria ya hukumu yako. Kitabu umekipambanuwa kwa waja wako upambanuzi wa wazi.

Ni Wahyi ulio uteremsha uteremsho kwa Nabii wako Muhammad Rehma Zako zimfikie na ziwafikiye Aali zake.

Umeifanya kuwa nuru ituongoze katika giza ya upotevu na ujinga kwa kuifuata. Kiponyesho kwa mwenye kuisikiliza kwa kuifahamu na kuisadiki. Ni mizani ya kiadilifu isiyopotoka ulimi wake na kuwa mbali na haki. Nuru ya uongofu ambayo Burhani yake haiwazimikii watizamaji wake. Na alama ya uokovu ambayo hapotei

mwenye kufuata mafunzo yake.

Wala haitomfikia mikono ya maangamizi mwenye kujiambatanisha na kishiko chake cha ulinzi.

O Allah!

Kwa vile umetusaidia kuisoma. Na umeturahisishia ugumu wa ndimi zetu kwa uzuri wa ibara yake hivyo basi tufanye tuwe miongoni mwa wanaoichunga haki ya kuichunga na wakutumikia kwa itikadi ya kusalimu amri ya aya zake zilizothabiti waombao kimbilio kwa kuzikubali zile aya mutashabih na zile ufafanuzi wake uko bayana.

O Allah!

Hakika wewe umeiteremsha kwa Nabii wako Muhammad Rehema za mungu zimfikiye yeye na Aali zake kwa ujumla.

Na umeturithisha sisi Elimu yake tukiwa wafasiri. Na umetuboresha juu ya wasioijuwa elimu yake. Umetupa nguvu juu yake ili utunyanyuwe juu ya wasio weza Ibada.

O Allah!

kama vile umezifanya nyoyo zetu kuwa zenye kuibeba. Na kwa rehema zako umetutambulisha utukufu na ubora wake.

Basi msaliye Muhammad, muhubiri wake na Aali zake wahifadhi wa Qur'ani.

Utujaalie kuwa miongoni mwa wanaotambuwa kuwa yatoka kwako. Ili isituzukiye shaka katika kuisadiki. Wala upotovu usitutikise na kututowa nje ya njia yake nyofu.

Ewe Allah, mswaliye Muhammad na Aali Zake. Na tujaaliye sisi kuwa miongoni mwa wanaoshikamana na kamba yako, na wakimbiliao kutoka kwenye aya mutashabihati kwenda kwenye ngome yake madhubuti na kuketi kwenye kivuli cha bawa lake, na aongokaye na mwanga wake wa asubuhi. Aongokaye na kuchomoza kwa mng'aro wake.

Anamulika kwa taa yake. Wala hatafuti uongofu katika kitu kingine.

Ewe Mola! Kwa hiyo Qur'an umemweka Muhammad kuwa alama ya kukujuwa wewe. Na kupitia Ahlul-Bayt wake umeweka wazi njia za ridhaa zako.

Msaliye Muhammad na Aali Zake na ifanye Qur'ani kwetu kuwa njia za kwenye daraja la utukufu. Na iwe ngazi tuipandayo kwenda mahali pa salama. Na iwe sababu tutakayolipwa uokovu kwenye uwanja wa kiyama. Na njia ambayo kwayo tutazifikia neema za nyumba ya kudumu.

Ewe Allah! Msaliye Muhammad na Aali Zake. Kwa Qur'ani tupunguziye uzito wa dhana utupe sifa njema za watu wema na tufanye tufate athari za waliosimama kwa ajili yako nyakati za usiku na mwisho wa mchana.

Ili ututakase na kila uchafu kwa utakaso wake. Utufanye tufate athari ya walioangaza kwa nuru yake. Wala matumaini hayakuwa zuiya kutenda kazi iliyowatenge mbali kwa vitimbi vya udanganyifu wake.

Ewe Allah! Mrehemu Muhammad na Ali Zake. Rekebisha kwa Qur'an upungufu wetu tusiwe mafakiri. Kwa Qur'ani tusukumiye maisha ya raha na wasaa wa riziki. Tuepushe kwayo na tabia mbaya na mwenendo duni.

Tuhifadhi kwa Qur'ani tusiingiye ndani ya shimo la maangamizi kufuru na mwendo wa kinafiki.

Ili iwe mwongozo uelekezao kwenye maridhawa yako na bustani   zako siku ya kiyama. Na iwe kwetu mlinzi hapa duniani dhidi ya makasiriko yako na kukiuka mipaka yako. Na iwe kwa yale uliyonayo kwa kuhalalisha halali yake na

kuharamisha haramu yake shahidi. Ewe Allah! Mrehemu Muhammad na Aali Zake na kwa Qur'ani urahisishe umauti nafsini mwetu wakati wa kufa.

Na usumbufu wa kukokotwa (Roho) Uuguaji. Na taabu ya mauguzi, na mfuatano wa kutatarika. (Ifikapo roho kooni na itasemwa: Mganga ni nani?)

Atajitokeza Malaika wa umauti ili aichukue toka nyuma ya pazia ya mambo yasiyojulikana. Na kuitupa toka upinde wa umauti kwa mshale wa kuachwa peka na kuwa changanyiya sumu iuwayo kwenye kikombe chenye mwonjo wa sumu wakati msafara wa kuelekea akhera ukitusogelea.

Kazi zitakuwa ukosi wa shingo makaburi yatakuwa ndio kimbilio mpaka wakati wa siku ya kukutana. Ewe Allah! Mrehemu Muhammad na Aali zake.

Na utubariki wakati wa kuingia nyumba ya kuoza na makazi ya muda mrefu kati ya tabaka za udongo. Yajaaliye makaburi baada ya kuiaga dunia yawe mafikio yetu mema tupanulie mbano wa mwana ndani zetu kwa rehema zako

Usitufedheheshe mbele ya walio hudhudhiria siku ya Kiyama kwa sababu ya madhambi yetu ya angamizayo.

Kwa Qur'ani irehemu hali yetu duni katika kikao cha kuletwa mbele yako

Kwa Qur'ani zithibitishe nyayo zetu zisiteleze wakati daraja la Jehannam litakapoyumba yumba.

Kwayo ing'arishe giza ya makaburi yetu kabla ya kufufuka. Utuokowe kwa Qur'ani na kila taabu ya siku ya Kiyama na shida za kutisha siku ya maafa.

Zing'arishe nyuso zetu siku ambayo nyuso za wadhalimu zitakuwa nyeusi siku ya kuhasirika na majuto. Utujaaliye upendo ndani ya nyoyo za waumini.

Usiyafanye maisha kwetu kuwa ya shida. Ewe Allah! mrehemu Muhammad mja wako na mjumbe wako kwa vile ameifikisha risala yako na alitekeleza amri yako.

Aliwanasihi waja wako Ewe Allah! Mjaaliye Nabii wetu Rehema Zako ziwe juu yake, na juu ya Aali zake - Awe karibu mno na wewe siku ya kiyama miongoni mwa Manabii watakaokuwa karibu ya kikao.

Na mwenye uwezo mkubwa sana kwako wakuombea. Mwenye Enzi kubwa miongoni mwao kwako. Mwenye cheo kikubwa mno mbele yako.

O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali wa Muhammad.

Itukuze nyumba yake, Bur'hani yake itukuze, Mizani yake ipe uzito, ya kubali maombezi yake usogeze karibu wasila wake, ufanye uwe mweupe uso wake, ikamilishe nuru yake iinue daraja yake. Tufanye sisi tuishi na sunna yake, tufishe tukiwa katika mila yake, tupeleke tufikishe kwenye njia yake. Tupitishe njia yake.

Tujaaliye tuwe miongoni mwa watu watii wake.

Tufufuwe katika kikundi chake tuelekeze kwenye dimbwi lake, tunyweshe kwa bilauri yake.

Rehemu Muhammad na Aali zake. Rehema ambayo utamfikisha nayo kwenye ubora asio uwazia miongoni mwa kheri na fadhila zako, na heshima zako. Hakika wewe ni mwenye Rehma kubwa na fadhila tukufu.

Oh! Allah mlipe kwa aliyoyafikisha katika jumbe zako. Na amefikisha aya zako, amepigana jihadi katika njia yako malipo yaliyo bora umepata kumlipa yeyote miongoni mwa Malaika wako wa karibu na Manabii wako walio Mursali wateule. Amani imfikie yeye na iwafikiye watoto wake watakatifu wema, na rehema za Mungu na baraka zake.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáËÇáË æÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇäó ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ äÙÑ Åáì ÇáåáÇá]

ÃíøõåóÇ ÇáúÎóáúÞõ ÇáúãõØöíÚõ ÇáÏøóÇÆöÈõ ÇáÓøóÑöíÚõ ÇáúãõÊóÑóÏøöÏõ Ýöí ãóäóÇÒöáö ÇáÊøóÞúÏöíúÑö¡ ÇáúãõÊóÕóÑøöÝõ Ýöí Ýóáóßö ÇáÊøóÏúÈöíÑö¡ ÂãóäúÊõ Èöãóäú äóæøóÑó Èößó ÇáÙøõáóãó¡ æóÃóæúÖóÍó ÈöÜßó ÇáúÈõåóãó¡ æóÌóÚóáóßó ÂíóÉð ãöäú ÂíÇÊö ãõáúßöåö¡ æóÚóáÇóãóÉð ãöäú ÚóáÇóãóÇÊö ÓõáúØóÇäöåö¡ æóÇãúÊóåóäóßó ÈöÇáÒøöíÇÏóÉö æóÇáäøõÞúÕóÇäö¡ æóÇáØøõáõæÚö æóÇáÇõÝõæáö¡ æóÇáÇöäÇÑóÉö æóÇáúßõÓõæÝö¡ Ýöí ßõáøö Ðáößó ÃóäúÊó áóåõ ãõØöíÚñ æóÅáì ÅÑóÇÏóÊöåö ÓóÑöíÚñ¡ ÓõÈúÍóÇäóåõ ãóÇ ÃóÚúÌóÈó ãóÇ ÏóÈøóÑó Ýöíú ÃóãúÑößó¡ æóÃóáúØóÝó ãóÇ ÕóäÚó Ýöí ÔóÃúäößó¡ ÌóÚóáóßó ãöÝúÊóÇÍó ÔóåúÑ ÍóÇÏöË áÇöãúÑ ÍÇÏöË¡ ÝóÃóÓúÃóáõ Çááåó ÑóÈøöí æóÑóÈøóßó æóÎóÇáöÞöí æóÎóÇáöÞóßó æóãõÞóÏøöÑöí æóãõÞóÏøöÑóßó æóãõÕóæøöÑöí æóãõÕóæøöÑóßó Ãóäú íõÕóáøöí Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóäú íóÌúÚóáóßó åöáÇóáó ÈóÑóßóÉ áÇó ÊóãúÍóÞõåóÇ ÇáÇíøóÇãõ¡ æóØóåóÇÑóÉ áÇó ÊõÏóäøöÓõåóÇ ÇáÇËÇãõ¡ åöáÇóáó Ãóãúä ãöäó ÇáÇÝÇÊö¡ æóÓóáÇóãóÉ ãöäó ÇáÓøóíøöÆÇÊö¡ åöáÇóáó ÓóÚúÏ áÇó äóÍúÓó Ýöíúåö¡ æóíõãúä áÇó äóßóÏó ãóÚóåõ¡ æóíõÓúÑ áÇó íõãóÇÒöÌõåõ ÚõÓúÑñ¡ æóÎóíúÑ áÇó íóÔõæÈõåõ ÔóÑøñ¡ åöáÇóáó Ãóãúä æóÅíãóÇä æóäöÚúãóÉ æóÅÍúÓóÇä æóÓóáÇóãóÉ æóÅÓúáÇóã. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÌúÚóáúäóÇ ãöäú ÃóÑúÖóì ãóäú ØóáóÚó Úóáóíúåö¡ æóÃóÒúßóì ãóäú äóÙóÑó Åáíúåö¡ æóÃóÓúÚóÏó ãóäú ÊóÚóÈøóÏó áóßó Ýöíåö¡ æóæóÝøöÞúäóÇ Ýöíåö áöáÊøóæúÈóÉö¡ æóÃÚúÕöãúäóÜÇ Ýöíúåö ãöäó ÇáúÍóÜæúÈóÉö¡ æóÇÍúÝóÙúäóÇ Ýöíåö ãöäú ãõÈóÇÔóÑóÉö ãóÚúÕöíóÊößó¡ æóÃóæúÒöÚúäóÇ Ýöíåö ÔõßúÑó äöÚúãóÊößó¡ æóÃóáúÈöÓúäóÇ Ýöíåö Ìõäóäó ÇáúÚóÇÝöíóÉö¡ æóÃóÊúãöãú ÚóáóíúäóÇ ÈöÇÓúÊößúãóÇáö ØóÇÚóÊößó Ýöíåö ÇáúãöäøóÉó¡ Åäøóßó ÇáúãóäøóÇäõ ÇáúÍóãöíÏõ¡ æóÕóáøóì Çááåõ Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ÇáØøóíøöÈöíäó ÇáØøóÇåöÑöíäó.

Dua ya 43

MIONGONI MWA DU'A ZAKE AUONAPO MWEZI MWANDAMO.

Ewe Kiumbe mtii. Mwenye mwendo wa haraka usiochoka. Wenye kurudia rudia katika mafikio yalio kadiriwa. Wenye kupita katika mviringo uliopangwa.

Na mwamini ambaye kwa kukutumia wewe ameangaza nuru kwenye giza na ameangaza kupitia wewe weusi na amekufanya alama katika alama za ufalme wake. Na alama miongoni mwa alama za mamlaka yake.

Na amekufanya mnyenyekevu kwa kuzidi na kupunguwa. Kuchomoza na kuzama, kung'ara na kupatwa uko mtii kwake kwa yote hayo.

Na kwenye utashi wake uko haraka ajabu ilioje mpango wake katika mambo yako. Werevu ulioje aliofanya katika kazi yako. Amekufanya kuwa ndio mwanzo wa mwezi mpya na hali mpya. Na mwomba Mungu Bwana wangu na Bwana wako, Muumba wangu na Muumba wako. Muweka vikomo wangu na muweka vikomo wako. Mfanya taswira wangu na mfanya tasweira wako.

Amrehemu Muhammad na watoto wake. Na akufanye wewe uwe mwezi mwandamo wenye baraka isiyo futwa na kupitiwa na usiku. Na usafi usiochafuliwa na dhambi. Mwandamo wenye amani bila ya maafa na salama bila maovu. Mwandamo wenye heri bila ya ndege mbaya na ufanisi bila ya shida. Mwandamo wenye urahisi usiochanganyika na ugumu.

Na wenye heri isio changanyika na shari. Mwanadamo wa amani na imani neema na hisani. Salama na Uislamu. Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aali zake. Na tujaalie sisi kuwa wenye kuridhika mno miongoni mwa waliochomozea nao. Na wasafi mno miongoni mwa waliouangalia. Na waliobahatika mno katika wale waliokuabudu katika huwo.

Utukubalie humo toba utulinde utulinde humo na matendo yasiyofaa utuhifadhi humo tuwe hatujihusishi na kukuasi wewe.

Utugawiye humo kushukuru neema zako. Na utuvalishe humo kwa sitara ya afya njema. Tukamilishiye neema zako kwa ukamilifu wa utii wako. Kwa hakika wewe mwenye huruma msifika wa sifa njema. Na Rehema za Allah zimfikiye Muhammad na Aali zake wema waliotahirika.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÑÇÈÚ æÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆåö(Úáíå ÇáÓáÇã) ÅÐÇ ÏÎá ÔåÑ ÑãÖÇä]

ÇáúÍóãúÏõ ááåö ÇáøóÐöí åóÏóÇäóÇ áöÍóãúÏöåö¡ æóÌóÚóáóäóÇ ãöäú Ãóåúáöåö¡ áöäóßõæäó áÇÍúÓóÇäöåö ãöäó ÇáÔøóÇßöÑöíäó¡ æóáöíóÌúÒöíóäóÇ Úóáóì Ðáößó ÌóÒóÂÁó ÇáúãõÍúÓöäöíäó. æóÇáúÍóãúÏõ ááåö ÇáøóÐöí ÍóÈóÇäóÇ ÈöÏöíäöåö¡ æóÇÎúÊóÕøóäóÇ ÈöãöáøóÊöåö¡ æóÓóÈøóáóäóÇ Ýöí ÓõÈõáö ÅÍúÓóÇäöåö¡ áöäóÓúáõßóåóÇ Èöãóäøöåö Åáóì ÑöÖúæóÇäöåö¡ ÍóãúÏóÇð íóÊóÞóÈøóáõåõ ãöäøóÇ¡ æóíóÑúÖóì Èöåö ÚóäøóÇ. æóÇáúÍóãúÏõ áöáøå ÇáøóÐöí ÌóÚóáó ãöäú Êöáúßó ÇáÓøõÈõáö ÔóåúÑóåõ ÔóåúÑó ÑóãóÖóÇäó¡ ÔóåúÑó ÇáÕøöíóÇãö¡ æóÔóåúÑó ÇáÇöÓúáÇóã¡ æóÔóåúÑó ÇáØøóåõæÑö¡ æóÔóåúÑó ÇáÊøóãúÍöíúÕö¡ æóÔóåúÑó ÇáúÞöíóÇãö¡ ÇáøóÐöí ÃõäúÒöáó Ýöíúåö ÇáúÞõÑúÂäõ åõÏìð áöáäøóÇÓö¡ æóÈóíøöäóÇÊ ãöäó ÇáúåõÏì æóÇáúÝõÑúÞóÇäö¡ ÝóÃóÈóÇäó ÝóÖöíúáóÊóåõ Úóáóì ÓóÇÆöÑö ÇáÔøõåõæÑö ÈöãóÇ ÌóÚóáó áóåõ ãöäó ÇáúÍõÑõãóÇÊö ÇáúãóæúÝõæÑóÉö æóÇáúÝóÖóÇÆöáö ÇáúãóÔúåõæÑóÉö¡ ÝóÍóÑøóãó Ýöíúåö ãÇ ÃóÍóáøó Ýöí ÛóíúÑöåö ÅÚúÙóÇãÇð¡ æóÍóÌóÑó Ýöíúåö ÇáúãóØóÇÚöãó æóÇáúãóÔóÇÑöÈó ÅßúÑóÇãÇð¡ æóÌóÚóáó áóåõ æóÞúÊÇð ÈóíøöäÇð áÇó íõÌöíÒõ Ìóáøó æóÚóÒøó Ãóäú íõÞóÏøóãó ÞóÈúáóåõ¡ æóáÇ íóÞúÈóÜáõ Ãóäú íõÄóÎøóÑó Úóäúåõ¡ Ëõãøó ÝóÖøóáó áóíúáóÉð æóÇÍöÏóÉð ãöäú áóíóÇáöíåö Úóáóì áóíóÇáöí ÃóáúÝö ÔóåúÑ¡ æóÓóãøóÇåóÇ áóíúáóÉó ÇáúÞóÏúÑö¡ ÊóäóÒøóáõ ÇáúãóáÇÆößóÉõ æóÇáÑøõæÍõ ÝöíåóÇ ÈöÅÐúäö ÑóÈøöåöãú ãöäú ßõáøö ÃóãúÑ¡ ÓóáÇóãñ ÏóÇÆöãõ ÇáúÈóÑóßóÉö Åáóì ØõáõæÚö ÇáúÝóÌúÑö¡ Úóáóì ãóäú íóÔóÇÁõ ãöäú ÚöÈóÇÏöåö ÈöãóÇ ÃóÍúßóãó ãöäú ÞóÖóÇÆöåö. Çááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóáúåöãúäóÇ ãóÚúÑöÝóÉó ÝóÖúáöåö æóÅöÌúáÇóáó ÍõÑúãóÊöåö æóÇáÊøóÍóÝøõÙó ãöãøóÇ ÍóÙóÑúÊó Ýöíåö æóÃóÚöäøóÜÇ Úóáóì ÕöíóÜÇãöÜåö ÈößóÝøö ÇáúÌóÜæóÇÑöÍö Úóäú ãóÚóÇÕöíúßó¡ æóÇÓúÊöÚúãóÇáöåóÇ Ýöíåö ÈöãóÇ íõÑúÖöíúßó ÍóÊøóì áÇó äõÕúÛöí ÈöÃóÓúãóÇÚöäóÇ Åáóì áóÛúæ¡ æóáÇ äõÓúÑöÚõ ÈöÃóÈúÕóÇÑöäóÇ Åáóì áóåúæ¡ æóÍóÊøóì áÇó äóÈúÓõØó ÃóíúÏöíóäóÇ Åáóì ãóÍúÙõæÑ¡ æóáÇó äóÎúØõæó ÈöÃóÞúÏóÇãöäóÇ Åáóì ãóÍúÌõæÑ¡ æóÍóÊøóì áÇó ÊóÚöíó ÈõØõæäõäóÇ ÅáÇøó ãóÇ ÃóÍúáóáúÊó¡ æóáÇ ÊóäúØöÞó ÃóáúÓöäóÊõäóÇ ÅáÇøó ÈöãóÇ ãóËøóáúÊó æóáÇäóÊóßóáøóÝó ÅáÇøó ãÇ íõÏúäöí ãöäú ËóæóÇÈößó¡ æóáÇó äóÊóÚóÇØóì ÅáÇø ÇáøóÐöí íóÞöíú ãöäú ÚöÞóÇÈößó¡ Ëõãøó ÎóáøöÕú Ðóáößó ßõáøóåõ ãöäú ÑöÆÂÁö ÇáúãõÑóÇÆöíäó æóÓõãúÚóÉö ÇáúãõÓúãöÚöíäó¡ áÇó äóÔúÑößõ Ýöíåö ÃóÍóÏÇð Ïõæäóßó¡ æóáÇ äóÈúÊóÛöíú Ýöíåö ãõÑóÇÏÇð ÓöæóÇßó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÞöÝúäóÜÇ ÝöíúÜåö Úóáóì ãóÜæóÇÞöíúÊö ÇáÕøóáóæóÇÊö ÇáúÎóãúÓ ÈöÍõÏõæÏöåóÇ ÇáøóÊöí ÍóÏøóÏúÊó¡ æóÝõÑõæÖöåóÇ ÇáøóÊöí ÝóÑóÖúÊó æóæóÙóÇÆöÝöåóÇ ÇáøóÊöí æóÙøóÝúÊó¡ æóÃóæúÞóÇÊöåóÇ ÇáøóÊöí æóÞøóÊøó¡ æóÃóäúÒöáúäóÇ ÝöíåóÇ ãóäúÒöáóÉó ÇáúãõÕöíúÈíäó áöãóäóÇÒöáöåóÇ ÇáúÍóÇÝöÙöíäó áÇöÑúßóÇäöåóÇ ÇáúãõÄóÏøöíäó áóåóÜÇ Ýöí ÃóæúÞóÇÊöåóÜÇ Úóáóì ãóÇ ÓóäøóÜåõ ÚóÈúÏõßó æóÑóÓõÜæáõßó ÕóáóæóÇÊõÜßó Úóáóíúåö æóÂáöÜåö Ýöí ÑõßõæÚöåóÇ æóÓõÌõæÏöåóÇ æóÌóãöíúÚö ÝóæóÇÖöáöåóÇ Úóáóì ÃóÊóãøö ÇáØøóåõæÑö¡ æóÃóÓúÈóÛöåö æóÃóÈúíóäö ÇáúÎõÔõæÚö æóÃóÈúáóÛöåö¡ æóæóÝøöÞúäóÇ Ýöíåö áÇöäú äóÕöáó ÃóÑúÍóÇãóäóÇ ÈöÇáÈöÑøö æóÇáÕøöáóÉö æóÃóäú äóÊóÚóÇåóÏó ÌöíÑóÇäóäóÇ ÈöÇáÇöÝúÖóÇáö æóÇáúÚóØöíøóÉö æóÃóäú äõÎóáøöÕó ÃóãúæóÇáóäóÇ ãöäó ÇáÊøóÈöÚóÇÊö¡ æóÃóäú äõØóåøöÑóåóÇ ÈöÅÎúÑóÇÌö ÇáÒøóßóæóÇÊö¡ æóÃóäú äõÑóÇÌöÚó ãóäú åóÇÌóÑóäóÜÇ æóÃóäú äõäúÕöÝó ãóäú ÙóáóãóäóÇ æóÃóäú äõÓóÜÇáöãó ãóäú ÚóÇÏóÇäóÇÍóÇÔóÇ ãóäú ÚõæÏöíó Ýöíúßó æóáóßó¡ ÝóÅäøóåõ ÇáúÚóÏõæøõ ÇáøóÐöí áÇó äõæÇáöíåö¡ æóÇáÍöÒúÈõ ÇáøóÐöí áÇó äõÕóÇÝöíåö. æóÃóäú äóÊóÞóÑøóÈó Åáóíúßó Ýöíúåö ãöäó ÇáÇóÚúãóÇáö ÇáÒøóÇßöíóÉö ÈöãóÇ ÊõØóåøöÑõäÇ Èöåö ãöäó ÇáÐøõäõæÈö¡ æóÊóÚúÕöãõäóÇ Ýöíåö ãöãøóÇ äóÓúÊóÃäöÝõ ãöäó ÇáúÚõíõæÈö¡ ÍóÊøóì áÇ íõæÑöÏó Úóáóíúßó ÃóÍóÏñ ãöäú ãóáÇóÆößóÊößó ÅáÇø Ïõæäó ãóÇ äõæÑöÏõ ãöäú ÃóÈúæÇÈö ÇáØøóÇÚóÉö áóßó¡ æóÃóäúæóÇÚö ÇáÞõÑúÈóÉö Åáóíúßó. Ãááøóåõãøó Åäøöí ÃóÓúÃóáõßó ÈöÍóÞøö åóÐóÇ ÇáÔøóåúÑö¡ æóÈöÍóÞøö ãóäú ÊóÚóÈøóÏó áóßó Ýöíåö ãöäö ÇÈúÊöÏóÇÆöåö Åáóì æóÞúÊö ÝóäóÇÆöåö ãöäú ãóáóß ÞóÑøóÈúÊóåõ Ãóæú äóÈöíøò ÃóÑúÓóáúÊóåõ Ãóæú ÚóÈúÏ ÕóÇáöÍ ÇÎúÊóÕóÕúÊóåõ Ãóäú ÊõÕóáøöíó Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÃóåøöáúäóÇ Ýöíåö áöãóÇ æóÚóÏúÊó ÃóæúáöíÇÁóßó ãöäú ßóÑóÇãóÊößó¡ æóÃóæúÌöÈú áóäóÇ Ýöíåö ãóÇ ÃóæúÌóÈúÊó áÇöåúáö ÇáúãõÈóÇáóÛóÉö Ýöí ØóÇÚóÊößó¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ Ýöí äóÙúãö ãóäö ÇÓúÊóÍóÞøó ÇáÑøóÝöíúÚó ÇáÇÚúáóì ÈöÑóÍúãóÊößó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÌóäøöÈúäóÇ ÇáÇáúÍóÇÏó Ýöí ÊóæúÍöíÏößó æóÇáÊøóÞúÕöíÑó Ýöí ÊóãúÌöíÏößó æóÇáÔøóßøó Ýöí ÏöíäöÜßó æóÇáúÚóãóì Úóäú ÓóÈöíúáößó æóÇáÇÛúÝóÇáó áöÍõÑúãóÊößó¡ æóÇáÇäúÎöÏóÇÚó áöÚóÏõæøößó ÇáÔøóíúØóÇäö ÇáÑøóÌöíãö. Ãááøóåõãøó Õóáøö ÚóáóìãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÅÐóÇ ßóÇäó áóßó Ýöíú ßõáøö áóíúáóÉ ãöäú áóíóÇáöíú ÔóåúÑöäóÇ åóÐóÇ ÑöÞóÇÈñ íõÚúÊöÞõåóÇ ÚóÝúæõßó Ãóæú íóåóÈõåóÇ ÕóÝúÍõßó ÝóÇÌúÚóáú ÑöÞóÇÈóäóÇ ãöäú Êöáúßó ÇáÑøöÞóÇÈö æóÇÌúÚóáúäóÇ áöÔóåúÑöäóÇ ãöäú ÎóíúÑö Ãóåúá æóÃóÕúÍóÇÈ. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇãúÍóÞú ÐõäõæÈóäóÇ ãóÚó ÇãøöÍÇÞö åöáÇóáöåö æóÇÓúáóÎú ÚóäøóÇ ÊóÈöÚóÇÊöäóÇ ãóÚó ÇäúÓöáÇóÎö ÃóíøóÇãöåö ÍóÊøóì íóäúÞóÖöí ÚóäøóÇ æóÞóÏú ÕóÝøóíúÊóäóÇ Ýöíåö ãöäó ÇáúÎóØöíÆÇÊö¡ æóÃóÎúáóÕúÊóäóÇ Ýöíåö ãöäó ÇáÓøóíøöÆÇÊö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ æóÅäú ãöáúäóÇ Ýöíåö ÝóÚóÏøöáúäÇ¡ æóÅäú ÒöÛúäóÇ Ýöíåö ÝóÞóæøöãúäóÇ¡ æóÅäö ÇÔúÊóãóáó ÚóáóíúäóÇ ÚóÏõæøõßó ÇáÔøóíúØóÇäõ ÝóÇÓúÊóäúÞöÐúäóÇ ãöäúåõ. Ãááóåõãøó ÇÔúÍóäúåõ ÈöÚöÈóÇÏóÊöäóÇ ÅíøóÇßó¡ æóÒóíøöäú ÃóæúÞóÇÊóåõ ÈöØóÇÚóÊöäóÇ áóßó¡ æóÃóÚöäøóÇ Ýöí äóåóÜÇÑöåö Úóáóì ÕöíóÜÇãöÜåö¡ æóÝöí áóíúáöåö Úóáóì ÇáÕøóÜáÇóÉö æóÇáÊøóÖóÑøõÚö Åáóíúßó æóÇáÎõÔõæÚö áóßó¡ æóÇáÐøöáøóÉö Èóíúäó íóÏóíúßó ÍóÊøóì áÇ íóÔúåóÏó äóåóÇÑõåõ ÚóáóíúäóÇ ÈöÛóÝúáóÉ¡ æóáÇ áóíúáõåõ ÈöÊóÝúÑöíØ. Ãááøóåõãøó æóÇÌúÚóáúäóÇ Ýöí ÓóÇÆöÑö ÇáÔøõåõæÑö æóÇáÇóíøóÇãö ßóÐóáößó ãóÇ ÚóãøóÑúÊóäóÇ¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ ãöäú ÚöÈóÇÏößó ÇáÕøóÇáöÍöíäó ÇáøóÐöíäó íóÑöËõæäó ÇáúÝöÑúÏóæúÓó¡åõãú ÝöíåóÇ ÎóÇáöÏõæäó¡ æóÇáøóÐöíäó íõÄúÊõæäó ãóÇ ÂÊóæúÇ æóÞõáõæÈõåõãú æóÌöáóÉñ Ãóäøóåõãú Åáóì ÑóÈøöåöãú ÑóÇÌöÚõÜæäó¡ æóãöäó ÇáøóÐöíäó íõÓóÇÑöÚõæäó Ýöí ÇáúÎóíúÑóÇÊö æóåõãú áóåóÇ ÓóÇÈöÞõæäó. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ Ýöí ßõáøö æóÞúÊ æóßõáøö ÃóæóÇä æóÚóáóì ßõÜáøö ÍóÇá ÚóÜÏóÏó ãóÇ ÕóáøóíúÊó Úóáóì ãóäú ÕóáøóíúÊó Úóáóíúåö¡ æóÃóÖúÚóÇÝó Ðóáößó ßõáøöåö ÈöÇáÇÖúÚÇÝö ÇáøóÊöí áÇ íõÍúÕöíåóÇ ÛóíúÑõßó¡ Åäøóßó ÝóÚøóÇáñ áöãóÇ ÊõÑöíÏõ.

Dua ya 44

MIONGONI MWA DU'A ZAKE UINGIAPO MWEZI WA RAMADHANI

Utukubalie humo toba utulinde litulinde humo na matendo yasiyofaa utuhifadhi humo tuwe hatujihusishi na kukuasi wewe.

Utugawiye humo kushukuru Neema zako. Na utuvalishe humo kwa sitara ya afya njema. Tukamilishiye Neemza zako kwa ukamilifu wa utii wako.

Kwa hakika wewe mwenye huruma msifika wa sifa njema. Na Rehema za Allah zimfikie Muhammad na Aali zake wema waliotahirika.

Sifa njema ni za Allah ambaye ametuongoza kwenye sifa zake na kutujaalia sisi kuwa wastahiki wake. Ili tuwe wenye kushukuru ihsani zake. Ili atulipe kwa hilo malipo ya watu wema. Sifa njema ni za Allah ambaye ametupendelea kwa dini yake.

Na ametuhusisha na mila yake na ametuelekeza katika njia za hissani zake. Ili tuzipate kwa upaji wake tuzifikie radhi zake. Himidi ambayo ataikubali kutoka kwetu, na ataridhika nayo.

Sifa njema ni za Mungu ambaye amejaalia miongoni mwa njia hizo mwezi wake.

Mwezi wa Ramadhani mwezi waswiyam mwezi wa Uislamu. Mwezi wa usafi na ni mwezi wa mchekecho. Mwezi wa kusimama kwa ajili ya Sala.

Mwezi ambao Qur'ani iliteremshwa humo ili iwe mwongozo kwa watu na ni ubainifu katika mwongozo na kitenganishi. Amebainisha ubora wake kwa kulinganisha na miezi mingine.

Kwa kuwa ameujaalia matakatifu mengi na mengi yaliyo bora na mashuhuri. Hivyo basi ameharamisha humo ambayo aliyoyahalalisha katika miezi mingine ili kuuadhimisha.

Ameziwia humo malaji na vinywaji ili kuupa heshima. Ameujaalia wakati bainifu, haruhusu Mtukufu Mwenye Enzi utangulizwe kabla ya wakati wake. Wala hakubali ucheleweshwe. Kisha ameuboresha usiku mmoja miongoni mwa usiku wake kwa daraja ya sawa na miezi elfu moja. Na ameuita Laylatul-qadri (Malaika na Arruhu huteremka usiku huo kwa idhini ya bwana wao na kila amri).

Amani yenye baraka ya kudumu mpaka kuchomoza kwa alfajiri kwa amtakaye katika waja wake kwa aliyohukumu kulingana na maamuzi yake.

Ewe Allah mrehemu Muhammad na Aali zake. Tupe Ilhamu ya kutambuwa ubora wao, na kutukuza heshima yake. Na kuchunga uliyoyazuiya.

Tusaidie kutekeleza funga yake kwa kuvizuia viungo vya mwili visikuasi na kuvitumia humo (mwezini) kwa yakuridhishayo.

Kwa kiasi kwamba hatusikilizi kwa masikio yetu maongezi ya ovyo. Na tusiharakie kwa macho yetu kwenye upuuzi; na kwa kiasi kwamba hatunyoshi mikono yetu kwenye ambayo yamehadharishwa. Wala tusipige hatua kwa miguu yetu kuyaelekea yaliyokatazwa.

Hata tusishibishe tumbo zetu isipokuwa iliyohalalishia, ndimi zetu zisitamke isipokuwa yale yaliyo mfano. Wala tusijibebeshe isipokuwa yanayosogeza karibu na thawabu zako wala tusijishughulishe isipokuwa na yale tu yanayozuia adhabu yako.

Kisha yote hayo yaepushe na riya ya wapendao kusifiwa na yaepushe na kusikika kwa wapendao umashuhuri. Tusimshirikishe (kwenye matendo hayo yote) yeyote asiyekuwa wewe.

Tusitaraji kwayo mradi usiokuwa wewe. Ewe Allah! mrehemu Muhammad na Aali zake na tujaalie humo kuhudhuria nyakati za Sala tano. Kwa mipaka yake uliyoiweka na wajibu uliowajibishia na nyadhifa zake ulizoziweka na nyakati zake ulizoweka.

Na katika sala tuweke weko la waliofanya sawa mahali mwake, wenye kuhifadhi nguzo zake, watekelezao kwa wakati wake.

Kama alivyofanya mja wako na mjumbe wako. Rehma zako zimfikie yeye na Aali zake.

Katika rukuu na katika Sijida na fadhaili zake zote kwa ukamilifu wa Twahara na wa sawa kabisa.

Na unyenyekevu uliobayana na wa uhakika. Na tupe taufiki ndani yake ili tuunganishe udugu kwa mema na kujitolea. Na kuwa pamoja na majirani wetu kwa kuwafadhili.

Tuziepushe mali zetu na madai na zitakase kwa kutoa zaka.

Tumwendeee aliye tuwekea upasi na tumtendee uadilifu aliye tudhulumu.

Tumsalimishe mwenye kutufanyia uadui isipokuwa yule afanyiwaye uadui kwa ajili yako kwa kuwa yeye ndiye adui ambaye hatutamfanya rafiki na ni kundi ambalo hatutalitakasa na tujikurubishe kwako humo kwa amali safi ambayo kwayo utatutakasa nayo na kutuweka mbali na dhambi.

Utuhifadhi humo na kuzirudia aibu ili asikuletee malaika yeyote isipokuwa machache tuyaletayo katika milango ya utii wako na aina za ukaribu kwako.

Ewe Allah hakika mimi nakuomba kwa haki ya mwezi huu. Na kwa haki ya walio abudu kwa ajili yako humo toka mwanzo wake mpaka wakati wa kwisha kwake, miongoni mwa Malaika uliyemsogeza karibu au Nabii uliyemtuma au mja mwema umemchagua makhsusi.

Umrehemu Muhammad na Aali zake na utuandamishiye kwa yale uliyo waahidi wapenzi wako miongoni mwa karama zako.

Twajibishiye humo uliowa wajibishia watu waliokwenda mbali sana katika kukutii.

Tuweke katika daraja la walio stahiki ngazi ya juu kwa rehema zako.

Ewe Allah mrehemu Muhammad na Aali zake tuepushe na kupotoka katika kukupwekesha. Na kutofanya ipasavyo katika kukutukuza. Na kuwa na shaka katika Dini yako na kutoiona njia yako na mghafala wa heshima yako.

Tuepushe na kudanganywa na adui yako shetani aliyewekwa kando na rehema zako.

Ewe Allah, mrehemu Muhammad na aali zake, tuelemeapo upande

katika huu mwezi tuweke sawa.

Tukienda kombo humo tuweke sawa. endapo adui wako shetani

atatudhibiti tuokoe.

Ewe Mola ujaze kwa Ibada zetu kwako zipambe nyakati zake kwa

utii wetu kwako.

Tusaidie katika nyakati zake za mchana kuufunga na usiku wake.

Utusaidie kutekeleza sala na kukuomba wewe na kukunyenyekea kujidhalilisha mbele yako. Ili mchana wake usiwe shahidi dhidi yetu kwa mghafala wala usiku wake kwa kuzembea.

Ewe Allah tujaaliye katika miezi mingine na mchana hivyo hivyo kwa kadiri utupavyo uzima.

Tufanye tuwe miongoni mwa waja wako wema (ambao watarithi Janna ya Firdausi humo watabaki milele). ( Na wale ambao wanatoa wakitoacho hali ya kuwa nyoyo zao zaogopa kuwa watarejea kwa Mola wao) na miongoni mwa ambao (wanaharakia katika mambo ya kheri nao kwayo ni wenye kushinda).

Ewe Allah! Mrehemu Muhammad na Aali Zake katika kila wakati na muda wote na hali zote kwa idadi uliomrehemu. Na zaidi ya yote hayo kwa ziyada ambayo hawezi kuihesabu asiyekuwa wewe! Hakika wawe ni mtendaji wa utakalo.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÎÇãÓ æÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇäó ãä ÏõÚÇÆöåö(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí æÏÇÚ ÔåÑ ÑãÖÇä]

Ãááøóåõãøó íóÇ ãóäú áÇ íóÑúÛóÈõ Ýöí ÇáúÌóÒóÇÁö¡ æóáÇó íóäúÏóãõ Úóáóì ÇáúÚóØóÂÁö¡ æóíóÇ ãóäú áÇó íõßóÇÝöÆõ ÚóÈúÏóåõ Úóáóì ÇáÓøóæÂÁö¡ ãöäøóÊõßó ÇÈúÊöÏóÇÁñ¡ æóÚóÝúæõßó ÊóÝóÖøõáñ¡ æóÚõÞõæÈóÊõßó ÚóÜÏúáñ¡ æóÞóÖóÇÄõßó ÎöíóÑóÉñ¡ Åäú ÃóÚúØóíúÊó áóãú ÊóÔõÈú ÚóØóÂÁóßó Èöãóäøò¡ æóÅäú ãóäóÚúÊó áóãú íóßõäú ãóäúÚõßó ÊóÚóÏøöíÇ ÊóÔúßõÑõ ãóäú ÔóßóÑóßó æóÃóäúÊó ÃóáúåóãúÊóåõ ÔõßúÑóßó¡ æóÊõßóÇÝöÆõ ãóäú ÍóãöÏóßó æóÃóäúÊó ÚóáøóãúÊóåõ ÍóãúÏóßó¡ ÊóÓúÊõÑõ Úóáóì ãóäú áóæú ÔöÆúÊó ÝóÖóÍúÊóÜåõ æóÊóÌõæÏõ Úóáóì ãóäú áóæú ÔöÆúÊó ãóäóÚúÊóåõ¡ æóßöáÇóåõãóÇ Ãóåúáñ ãöäúßó áöáúÝóÖöíÍóÉö æóÇáúãóäúÚö¡ ÛóíúÑó Ãóäøóßó ÈóäóíúÊó ÃóÝúÚóÇáóßó Úóáóì ÇáÊøóÝóÖøõáö¡ æóÃóÌúÑóíúÊó ÞõÏúÑóÊóßó Úóáóì ÇáÊøóÌóÇæõÒö¡ æóÊóáóÞøóíúÊó ãóäú ÚóÕóÇßó ÈöÇáÍöáúãö¡ æóÃãúåóáúÊó ãóäú ÞóÕóÏó áöäóÝúÓöåö ÈöÇáÙøõáúãö¡ ÊóÓúÊóäúÙöÑõåõãú ÈöÃäÇÊößó Åáì ÇáÇäóÇÈóÉö æóÊóÊúÑõßõ ãõÚóÇÌóáóÊóåõãú Åáóì ÇáÊøóæúÈóÉö áößóíúáÇó íóåúáößó Úóáóíúßó åóÇáößõåõãú¡ æóáÇ íóÔúÞóì ÈöäöÚúãóÊößó ÔóÞöíøõåõãú ÅáÇøó Úóäú Øõæáö ÇáÇöÚúÐóÇÑö Åáóíúåö¡ æóÈóÚúÏó ÊóÑóÇÏõÝö ÇáúÍõÌøóÉö Úóáóíúåö ßóÑóãÇð ãöäú ÚóÝúæößó íóÇ ßóÑöíúãõ¡ æóÚóÇÆöÏóÉð ãöäú ÚóØúÝößó íóÇ Íóáöíãõ. ÃóäúÊó ÇáøóÐöíú ÝóÊóÍúÊó áöÚöÈóÇÏößó ÈóÇÈÇð Åáóì ÚóÝúæößó æóÓóãøóíúÊóåõ ÇáÊøóæúÈóÜÉó¡ æóÌóÚóáúÊó Úóáóì Ðáößó ÇáÈóÇÈö ÏóáöíáÇð ãöäú æóÍúíößó áöÆóáÇøó íóÖöáøõæÇ Úóäúåõ ÝóÞõáúÊó ÊóÈóÇÑóßó ÇÓúãõßó: (ÊõæÈõæÇ Åáóì Çááå ÊóæúÈóÉð äóÕõæÍÜÇð ÚóÓóì ÑóÈøõßõãú Ãóäú íõßóÝøöÜÑó Úóäúßõãú ÓóíøöÆÇÊößõãú æóíõÏúÎöáóßõãú ÌóäøóÇÊ ÊóÌúÑöí ãöäú ÊóÍúÊöåóÇ ÇáÇäúåóÇÑõ íóæúãó áÇó íõÎúÒöí Çááåõ ÇáäøóÈöíøó æóÇáøóÐöíäó ÂãóäõæÇ ãóÚóåõ äõæÑõåõãú íóÓúÚóì Èóíúäó ÃóíúÏöíåöãú æóÈöÃóíúãóÇäöåöãú íóÞõæáõæäó ÑóÈøóäóÇ ÃóÊúãöãú áóäÇ äõæÑóäóÇ æóÇÛúÝöÑú áóäóÇ Åäøóßó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíÑñ) ÝóãóÇ ÚõÐúÑõ ãóäú ÃóÛúÝóáó ÏõÎõæáó Ðáößó ÇáúãóäúÒöáö ÈóÚúÏó ÝóÊúÍö ÇáúÈóÇÈö æóÅÞóÇãóÉö ÇáÏøóáöíúáö¡ æóÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÒöÏúÊó Ýöí ÇáÓøóæúãö Úóáóì äóÝúÓößóáöÚöÈóÇÏößó ÊõÑöíÏõ ÑöÈúÍóåõãú Ýöí ãõÊóÇÌóÑóÊöåöãú áóßó¡ æóÝóæúÒóåõãú ÈöÇáúæöÝóÇÏóÉö Úóáóíúßó æóÇáÒøöíÇÏóÉö ãöäúßó ÝóÞõáúÊó ÊóÈóÇÑóßó ÇÓúãõßó æóÊóÚóÇáóíúÊó: (ãóäú ÌóÇÁó ÈöÇáúÍóÓóäóÉö Ýóáóåõ ÚóÔúÑõ ÃóãúËóÇáöåóÇ æóãóäú ÌóÇÁó ÈöÇáÓøóíøöÆóÉö ÝóáÇó íõÌúÒì ÅáÇø ãöËúáóåóÇ)æóÞõáúÊó: (ãóËóáõ ÇáøóÐöíäó íõäúÝöÞõæäó ÃóãúæóÇáóåõãú Ýöí ÓóÈöíáö Çááå ßóãóËóáö ÍóÈøóÉ ÃóäúÈóÊóÊú ÓóÈúÚó ÓóäóÇÈöáó Ýöí ßõáøö ÓõäúÈõáóÉ ãóÇÆóÉõ ÍóÈøóÉ æóÇááå íõÖóÇÚöÝõ áöãóäú íóÔóÇÁõ) æóÞõáúÊó: (ãóäú ÐóÇ ÇáøóÐöíú íõÞúÑöÖõ Çááå ÞóÑúÖÇð ÍóÓóäóÇð ÝóíõÖóÇÚöÝóåõ áóåõ ÃÖúÚóÇÝÇð ßóËöíÑóÉð) æóãóÇ ÃóäúÒóáúÊó ãöäú äóÙóÇÆöÑöåöäøó Ýöí ÇáúÞõÑúÂäö ãöäú ÊóÖóÇÚöíÝö ÇáúÍóÓóäóÇÊö¡ æóÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÏóáóáúÊóåõãú ÈöÞóæúáößó ãöäú ÛóíúÈößó æóÊóÑúÛöíúÈößó ÇáøóÐöí Ýöíåö ÍóÙøõåõãú Úóáóì ãóÇ áóæú ÓóÊóÑúÊóåõ Úóäúåõãú áóãú ÊõÏúÑößúåõ ÃóÈúÕóÇÑõåõãú æóáóãú ÊóÚöÜåö ÃóÓúãóÇÚõåõãú æóáóãú ÊóáúÍóÞúÜåõ ÃóæúåóÇãõåõãú ÝóÞõáúÊó: (ÇÐúßõÑõæäöí ÃóÐúßõÑúßõãú æóÇÔúßõÑõæÇ áöíú æóáÇ ÊóßúÝõÑõæäö)æóÞõáúÊó: (áóÆöäú ÔóßóÜÑúÊõãú áÇÒöíÏóäøóßãú æóáóÆöäú ßóÝóÜÑúÊõãú Åäøó ÚóÐÇÈöíú áóÔóÏöíÏñ)æóÞõáúÊó: (ÇÏúÚõæäöíú ÃóÓúÊóÌöÈú áóßõãú Åäøó ÇáøóÐöíäó íóÓúÊóßúÈöÑõæäó Úóäú ÚöÈóÇÏóÊöí ÓóíóÏúÎõáõæäó ÌóåóäøóãóÏóÇÎöÑöíäó) ÝóÓóãøóíúÊó ÏõÚóÇÁóßó ÚöÈóÇÏóÉð¡ æóÊóÑúßóåõ ÇÓúÊößúÈóÇÑÇð¡ æóÊóæóÚøóÏúÊó Úóáóì ÊóÑúßöåö ÏõÎõæáó Ìóåóäøóãó ÏóÇÎöÑöíäó¡ ÝóÐóßóÑõæßó Èöãóäøößó æóÔóßóÑõæßó ÈöÝóÖúáößó¡ æóÏóÚóæúßó ÈöÃóãúÑößó¡ æóÊóÕóÏøóÞõæÇ áóßó ØóáóÈÇð áöãóÒöíÏößó¡ æóÝöíåóÇ ßóÇäóÊú äóÌóÇÊõåõãú ãöäú ÛóÖóÈößó¡ æóÝóæúÒõåõãú ÈöÑöÖóÇßó¡ æóáóæú Ïóáøó ãóÎúáõæÞñ ãóÎúáõæÞÇð ãöäú äóÝúÓöåö Úóáóì ãöËúáö ÇáøóÐöíú ÏóáóáúÊó Úóáóíúåö ÚöÈóÇÏóßó ãöäúßó ßóÇäó ãóæúÕõæúÝóÇð ÈÇáÇÍúÓóÇä æóãóäúÚõæÊÇð ÈöÇáÇãúÊöËóÇá æãÍãõæÏÇð Èßáøö áöÓóÇä¡ Ýóáóßó ÇáúÍóãúÏõ ãóÇ æõÌöÏó Ýöí ÍóãúÏößó ãóÐúåóÈñ¡ æóãóÇ ÈóÞöíó áöáúÍóãúÏö áóÝúÙ ÊõÍúãóÏõ Èöåö æóãóÚúäìð íóäúÕóÑÝõ Åáóíúåö íóÜÇ ãóäú ÊóÍóãøóÏó Åáóì ÚöÈóÜÇÏöåö ÈöÇáÇöÍúÓóÜÇäö æóÇáúÝóÖúá¡ æóÛóãóÑóåõãú ÈöÇáúãóäøö æóÇáØøóæúáö¡ ãóÇ ÃóÝúÔóì ÝöíúäóÇ äöÚúãóÊóßó æóÃóÓúÈóÛó ÚóáóíúäóÇ ãöäøóÊóßó¡ æóÃóÎóÕøóäóÇ ÈöÈöÑøößó! åóÏúíóÊóäóÇ áöÏöíúäößó ÇáøóÜÐöí ÇÕúØóÝóíúÊó¡ æóãöáøóÊöÜßó ÇáøóÊöí ÇÑúÊóÖóíúÊó¡ æóÓóÈöíáößó ÇáøóÐöí ÓóåøóáúÊó¡ æóÈóÕøóÑúÊóäóÇ ÇáÒøõáúÝóÉó áóÏóíúßó æóÇáæõÕõæáó Åáóì ßóÜÑóÇãóÊößó. Ãááøóåõãøó æóÃóäúÊó ÌóÚóáúÊó ãöäú ÕóÝóÜÇíóÜÇ Êöáúßó ÇáúæóÙóÇÆöÝö æóÎóÕóÇÆöÕö Êöáúßó ÇáúÝõÑõæÖö ÔóåúÑóÑóãóÖóÇäó ÇáøóÐöí ÇÎúÊóÕóÕúÊóåõ ãöäú ÓóÇÆöÑö ÇáÔøõåõæÑö¡ æóÊóÎóíøóÑúÊóåõ ãöä ÌóãöíÚö ÇáÇÒúãöäóÉö æóÇáÏøõåõæÑö¡ æóÂËóÑúÊóåõ Úóáóì ßõáøö ÃóæúÞóÇÊö ÇáÓøóäóÉö ÈöãóÇ ÃóäúÒóáúÊó Ýöíåö ãöäó ÇáúÞõÑúÂäö æóÇáäøõæÑö¡ æóÖóÇÚóÝúÊó Ýöíåö ãöäó ÇáÇíúãóÇäö¡ æóÝóÑóÖúÊó Ýöíúåö ãöäó ÇáÕøöíóÇãö¡ æóÑóÛøóÈúÊó Ýöíåö ãöäó ÇáÞöíóÇãö¡ æóÃóÌúáóáúÊó Ýöíåö ãöäú áóíúáóÉö ÇáúÞóÏúÑö ÇáøóÊöí åöíó ÎóíúÑñ ãöäú ÃóáúÝö ÔóåúÑ¡ Ëõãøó ÂËóÑúÊóäóÇ Èöåö Úóáóì ÓóÇÆöÑö ÇáÇõãóãö æóÇÕúØóÝóíúÊóäóÇ ÈöÝóÖúáöåö Ïõæúäó Ãóåúáö Çáúãöáóáö¡ ÝóÕõãúäóÇ ÈöÃóãúÑößó äóåóÇÑóåõ¡ æóÞõãúäóÇ ÈöÚóæúäößó áóíúáóåõ ãõÊóÚóÑøöÖöíäó ÈöÕöíóÇãöåö æóÞöíóÇãöåö áöãóÇ ÚóÑøóÖúÊóäóÇ áóåõ ãöäú ÑóÍúãóÊöÜßó¡ æóÊóÓóÈøóÈúäóÇ ÅáóíúÜåö ãöäú ãóËõæÈóÊößó¡ æóÃóäúÊó ÇáúãóáíÁõ ÈöãóÇ ÑõÛöÈó Ýöíåö Åáóíúßó¡ ÇáúÌóæóÇÏõ ÈöãÜÇ ÓõÆöáúÊó ãöäú ÝóÖúáößó¡ ÇáúÞóÜÑöíÈõ Åáóì ãóäú ÍóÜÇæóáó ÞõÑúÈóßó¡ æóÞóÏú ÃóÞóÇãó ÝöíäóÇ åóÐóÇ ÇáÔøóåúÑõ ãóÞóÇãó ÍóãúÏ æóÕóÍöÈóäóÇ ÕõÍúÈóÉó ãóÈúÑõæÑ¡ æóÃóÑúÈóÍóäóÇ ÃóÝúÖóáó ÃóÑúÈóÇÍö ÇáúÚóÇáóãöíäó¡ Ëõãøó ÞóÏú ÝóÇÑóÞóäóÇ ÚöäúÏó ÊóãóÇãö æóÞúÊöåö æóÇäúÞöØóÇÚö ãõÏøóÊöåö æóæóÝóÇÁö ÚóÏóÏöåö¡ ÝóäóÍúäõ ãõæóÏøöÚõæåõ æöÏóÇÚó ãóäú ÚóÒøó ÝöÑóÇÞõåõ ÚóáóíúäóÇ æóÛóãøóäóÇ æóÃóæúÍóÔóäóÇ ÇäúÕöÑóÇÝõåõ ÚóäøóÇ æóáóÒöãóäóÇ áóåõÇáÐøöãóÇãõ ÇáúãóÍúÝõæÙõ¡ æóÇáúÍõÑúãóÉõ ÇáúãóÑúÚöíøóÉõ¡ æóÇáúÍóÞøõ ÇáúãóÞúÖöíøõ¡ ÝóäóÍúäõ ÞóÇÆöáõæäó: ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó íóÇ ÔóåúÑó Çááåö ÇáÇßúÈóÑó¡ æóíóÇ ÚöíúÏó ÃóæúáöíóÇÆöåö. ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó íóÜÇ ÃßúÑóãó ãóÕúÍõÜæÈ ãöäó ÇáÇæúÞóÇÊö¡ æóíóÇ ÎóíúÑó ÔóåúÑ Ýöí ÇáÇíøóÇãö æóÇáÓøóÇÚóÇÊö. ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ÔóåúÑ ÞóÑõÈóÊú Ýöíåö ÇáÇãÇáõ æóäõÔöÑóÊú Ýöíåö ÇáÇóÚúãóÇáõ. ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ÞóÑöíä Ìóáøó ÞóÏúÑõåõ ãóæúÌõæÏÇð¡ æóÃóÝúÌóÚó ÝóÞúÏõåõ ãóÝúÞõæÏÇð¡ æóãóÑúÌõæøò Âáóãó ÝöÑóÇÞõåõ. ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ÃóáöíÝ ÂäóÓó ãõÞúÈöáÇð ÝóÓóÑøó¡ æóÃóæúÍóÔó ãõäúÞóÖöíÇð ÝóãóÖøó. ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ãõÌóÇæöÑ ÑóÞøóÊú Ýöíåö ÇáúÞõáõæÈõ¡ æóÞóáøóÊú Ýöíåö ÇáÐøõäõæÈõ. ÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú äóÇÕöÑ ÃóÚóÇäó Úóáóì ÇáÔøóíúØóÇäö æóÕóÇÍöÈ Óóåøóáó ÓõÈõáó ÇáÇÍúÓóÇäö. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãóÇ ÃßúËóÑó ÚõÊóÞóÇÁó Çááåö Ýöíßó æóãóÇ ÃóÓúÚóÏó ãóäú ÑóÚóì ÍõÑúãóÊóßó Èßó!. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãóÇ ßóÇäó ÃóãúÍóÇßó áöáÐøõäõæÈö¡ æóÃóÓúÊóÑóßó áÇöóäúæóÇÚö ÇáúÚõíõæÈö! ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãóÇ ßóÇäó ÃóØúæóáóßó Úóáóì ÇáúãõÌúÑöãöíäó¡ æóÃóåúíóÈóßó Ýöí ÕõÏõæÑö ÇáúãõÄúãöäöíäó! ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ÔóåúÑ áÇ ÊõäóÇÝöÓõåõÇáÇíøóÇãõ. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ÔóåúÑ åõæó ãöäú ßõáøö ÃóãúÑ ÓóáÇóãñ. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ÛóíúÑó ßóÑöíåö ÇáúãõÕóÇÍóÈóÉö æóáÇó Ðóãöíãö ÇáúãõáÇóÈóÓóÉö. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ßóãóÇ æóÝóÏúÊó ÚóáóíúäóÇ ÈöÇáúÈóÑóßóÇÊö¡ æóÛóÓóáúÊó ÚóäøóÇ ÏóäóÓó ÇáúÎóØöíÆÇÊö. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ÛóíúÑó ãõæóÏøóÚ ÈóÑóãÇð æóáÇó ãóÊúÑõæß ÕöíóÇãõåõ ÓóÃóãÇð. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãöäú ãóØúáõæÈö ÞóÈúáó æóÞúÊöåö æóãóÍúÒõæä Úóáóíúåö ÞóÈúáó ÝóæúÊöåö. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ßóãú ãöäú ÓõæÁ ÕõÑöÝó Èößó ÚóäøóÇ æóßóãú ãöäú ÎóíúÑ ÇõÝöíÖó Èößó ÚóáóíúäóÇ. ÃóáÓøóáÇóãõ ÚóáóíúÜßó æóÚóáóì áóíúáóÉö ÇáúÞóÏúÑö ÇáøóÊöí åöíó ÎóíúÑñ ãöäú ÃóáúÝö ÔóåúÑ. ÃóáÓøóáÇóãõ Úóáóíúßó ãÇ ßóÇäó ÃóÍúÑóÕóäóÇ ÈöÇáÇãúÓö Úóáóíúßó æóÃóÔóÏøó ÔóæúÞóäóÇ ÛóÏóÇð Åáóíúßó. ÃóáÓóáÇóãõ Úóáóíúßó æóÚóáóì ÝóÖúáößó ÇáøóÐöí ÍõÑöãúäóÇåõ¡ æóÚóáóì ãóÇÖ ãöäú ÈóÑóßóÇÊößó ÓõáöÈúäóÇåõ. Ãóááøóåõãøó ÅäøóÇ Ãóåúáõ åóÐóÇ ÇáÔøóåúÑö ÇáøöÐöí ÔóÑøóÝúÊóäóÇ Èöåö æóæóÝøÞÊóäóÇ Èöãóäøößó áóåõ Íöíäó Ìóåöáó ÇáÇóÔúÞöíóÇÁõ æóÞúÊóåõ æóÍõÑöãõæÇ áöÔóÞóÇÆöåöã ÝóÖúáóåõ¡ ÃóäúÊó æóáöíøõ ãóÇ ÇËóÑúÊóäóÇ Èöåö ãöäú ãóÚúÑöÝóÊöåö¡ æóåóÏóíúÊóäóÇ ãöäú ÓõäøóÊöåö¡ æóÞóÏú ÊóæóáøóíúäóÇ ÈöÊóæúÝöíÞößó ÕöíóÇãóåõ æóÞöíóÇãóåõ Úóáì ÊóÞúÕöíÑ¡ æóÃóÏøóíúäóÇ ÝöíåöÞóáöíáÇð ãöäú ßóËöíÜÑ. Çááøóåõãøó Ýóáóßó ÇáúÍãÏõ ÅÞúÜÑóÇÑÇð ÈöÜÇáÇÓóÇÁóÉó æóÇÚúÊöÑóÇÝÇð ÈöÇáÇÖóÇÚóÉö¡ æóáóß ãöäú ÞõáõæÈöäóÇ ÚóÞúÏõ ÇáäøóÏóãö¡ æóãöäú ÃóáúÓöäóÊöäóÇ ÕöÏúÞõ ÇáÇÚúÊöÐóÇÑö¡ ÝóÃóÌöÑúäóÇ Úóáóì ãóÇ ÃóÕóÇÈóäóÇ Ýöíåö ãöäó ÇáÊøóÝúÑöíØö ÃóÌúÑóÇð äóÓúÊóÏúÑßõ Èöåö ÇáúÝóÖúáó ÇáúãóÑúÛõæÈó Ýöíåö¡ æóäóÚúÊóÇÖõ Èöåö ãöäú ÃóäúæóÇÚö ÇáÐøõÎúÑö ÇáúãóÍúÑõæÕö Úóáóíúåö¡ æóÃóæúÌöÈú áóäóÇ ÚõÐúÑóßó Úóáóì ãóÇ ÞóÕøóÑúäóÇ Ýöíåö ãöäú ÍóÞøößó¡ æóÇÈúáõÛú ÈöÃóÚúãóÇÑöäóÇ ãóÇ Èóíúäó ÃóíúÏíúäóÇ ãöäú ÔóåúÑö ÑóãóÖóÇäó ÇáúãõÞúÈöáö¡ ÝóÅÐóÇ ÈóáøóÛúÊóäóÇåõ ÝóÃóÚöäøóÇ Úóáóì ÊóäóÇæõáö ãóÇ ÃóäúÊó Ãóåúáõåõ ãöäó ÇáúÚöÈóÇÏóÉö æóÃóÏøöäóÇ Åáóì ÇáúÞöíóÇãö ÈöãóÇ íóÓúÊóÍöÞøõåõ ãöäó ÇáØøóÇÚóÉö æóÃÌúÑö áäÇ ãöäú ÕóÇáöÍö ÇáÚóãóáö ãóÇ íóßæä ÏóÑóßÇð áöÍóÞøößó Ýöí ÇáÔøóåúÑóíúäö ãöäú ÔõåõæÑö ÇáÏøóåúÑö. Ãááøóåõãøó æóãóÇ ÃóáúãóãúäóÇ Èöåö Ýöí ÔóåúÑöäóÇ åóÐóÇ ãöäú áóãóã Ãóæú ÅËúã¡ Ãóæú æóÇÞóÚúäóÇ Ýöíåö ãöäú ÐóäúÈö æóÇßúÊóÓóÈúäóÇ Ýöíåö ãöäú ÎóØöíÆóÉ Úóáóì ÊóÚóãøõÏ ãöäøóÇ Ãóæö ÇäúÊóåóßúäóÇ Èöåö ÍõÑúãóÉð ãöäú ÛóíúÑöäóÇ ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÓúÊõÑúäóÇ ÈöÓöÊúÑößó¡ æóÇÚúÝõ ÚóäøóÇ ÈöÚóÝúæößó¡ æóáÇó ÊóäúÕöÈúäóÇ Ýöíåö áÇöÚúíõäö ÇáÔøóÇãöÊöíäó¡ æóáÇó ÊóÈúÓõØú ÚóáóíúäóÇ Ýöíåö ÃóáúÓõäó ÇáØøóÇÛöíäó¡æóÇÓúÊóÚúãöáúäóÇ ÈöãóÇ íóßõæäõ ÍöØøóÉð æóßóÝøóÇÑóÉð áöãóÇ ÃóäúßóÑúÊó ãöäøóÇ Ýöíåö ÈöÑóÃúÝóÊößó ÇáøóÊöí áÇó ÊóäúÝóÏõ¡ æóÝóÖúáößó ÇáøóÐöí áÇ íóäúÞõÕõ. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö æóÇÌúÈõÑú ãõÕöíÈóÊäóÇ ÈöÔóåúÑöäóÇ æóÈóÇÑößú Ýöí íóæúãö ÚöíúÏöäóÇ æóÝöØúÑöäóÇ æóÇÌúÚóáúåõ ãöäú ÎóíúÑö íóæúã ãóÑøó ÚóáóíúäóÇ ÃóÌúáóÈöåö áöÚóÝúæ¡ æóÃóãúÍóÇåõ áöÐóäúÈö¡ æóÇÛúÝöÑú áóäÇ ãÇ ÎóÝöíó ãöäú ÐõäõæÈöäóÇ æóãóÇ Úóáóäó. Ãááøóåõãøó ÇÓáóÎúäóÇ ÈöÇäúÓöáÇóÎö åóÐóÇ ÇáÔøóåúÑö ãöäú ÎóØóÇíóÇäóÇ æóÃóÎúÑöÌúäóÇ ÈõÎõÑõæÌöåö ãöäú ÓóíøöÆÇÊöäóÇ æóÇÌúÚóáúäóÇ ãöäú ÃóÓúÚóÏö Ãóåúáöåö Èöåö æóÃóÌúÒóáöåöãú ÞöÓóãóÇð ÝöíÜåö æóÃóæúÝóÜÑöåöãú ÍóÙøÇð ãöäúÜåõ. Ãááøåõãøó æóãóäú ÑóÚóì ÍóÞø åóÐóÇ ÇáÔøóåúÑö ÍóÞøó ÑöÚóÇíóÊöåö æóÍóÝöÙó ÍõÑúãóÊóåõ ÍóÞøó ÍöÝúÙöåóÇ æóÞóÇãó ÈöÍõÏõæÏöåö ÍóÞøó ÞöíóÇãöåóÇ¡ æóÃÊøóÞóì ÐõäõæÈóåõ ÍóÞøó ÊõÞóÇÊöåóÇ Ãóæú ÊóÞóÑøóÈó Åáóíúßó ÈöÞõÑúÈóÉ ÃóæúÌóÈóÊú ÑöÖóÇßó áóåõ æóÚóØóÝóÊú ÑóÍúãóÊóßó Úóáóíúåö¡ ÝóåóÈú áóäóÇ ãöËúáóåõ ãöäú æõÌúÏößó æóÃóÚúØöäóÇ ÃóÖúÚóÇÝóåõ ãöäú ÝóÖúáößó ÝóÅäøó ÝóÖúáóßó¡ áÇ íóÛöíúÖõ æóÅäøó ÎóÜÒóÇÆöäóßó áÇ ÊóäúÞõÕõ¡ ÈóÜáú ÊóÝöíÖõ æóÅäøó ãóÚóÜÇÏöäó ÅÍúÓóÇäößó áÇ ÊóÝúäóì¡ æóÅäøó ÚóØóÇÁóßó áóáúÚóØóÂÁõ ÇáúãõåóäøóÇ¡ Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåöæóÇßúÊõÈú áóäóÇ ãöËúáó ÃÌõæÑö ãóäú ÕóÇãóåõ Ãóæú ÊóÚóÈøóÏó áóßó Ýöíúåö Åáóì íóæúãö ÇáúÞöíóÇãóÉö. Ãááøóåõãøó ÅäøóÇ äóÊõæÈõ Åáóíúßó Ýöí íóæúãö ÝöØúÑöäóÇ ÇáøÐöí ÌóÚóáúÊóåõ áöáúãõÄúãöäöíäó ÚöíÏÇð æóÓõÜÑõæÑÇð. æóáÇöåúáö ãöáøóÊößó ãóÌúãóÚÇð æóãõÍúÊÔÏÇð ãöäú ßõáøö ÐóäúÈ ÃóÐúäóÈúäóÇåõ¡ Ãóæú ÓõæúÁ ÃóÓúáóÝúäóÇåõ¡ Ãóæú ÎóÇØöÑö ÔóÑøò ÃóÖúãóÑúäóÇåõ¡ ÊóæúÈóÉó ãóäú áÇó íóäúØóæöíú Úóáóì ÑõÌõæÚ Åáóì ÐóäúÈ æóáÇ íóÚõæÏõ ÈóÚúÏóåóÇ Ýöí ÎóØöíÆóÉ¡ ÊóæúÈóÉð äóÕæÍÇð ÎóáóÕóÊú ãöäó ÇáÔøóßøö æóÇáÇÑúÊöíóÇÈö¡ ÝóÊóÞóÈøóáúåóÇ ãöäøóÇ æóÇÑúÖó ÚóäøóÇ æóËóÈøöÊäóÇ ÚóáóíúåóÇ. Ãááøóåõãøó ÇÑúÒõÞúäóÇ ÎóæúÝó ÚöÞóÇÈö ÇáúæóÚöíÏö¡ æóÔóæúÞó ËóæóÇÈö ÇáúãóæúÚõæÏö ÍóÊøì äóÌöÏó áóÐøóÉó ãóÇ äóÏúÚõæßó Èöåö¡ æßóÃúÈóÉó ãóÇ äóÓúÊóÌöíúÑõßó ãöäúåõ¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ ÚöäúÏóßó ãöäó ÇáÊøóæøóÇÈöíúäó ÇáøóÐöíäó ÃóæúÌóÈúÊó áóåõãú ãóÍóÈøóÊóßó¡ æóÞóÈöáúÊó ãöäúåõãú ãõÑóÇÌóÚóÉó ØóÇÚóÊößó¡ íóÇ ÃóÚúÏóáó ÇáúÚóÇÏöáöíäó. Ãááøóåõãøó ÊóÌóÇæóÒú Úóäú ÂÈÂÆöäóÇ æóÃõãøóåóÇÊöäóÇ æóÃóåúáö ÏöíúäöäóÇ ÌóãöíÚÇð ãóäú ÓóáóÝó ãöäúåõãú æóãóäú ÛóÈóÑó Åáóì íóæúãö ÇáúÞöíóÇãóÉö. Ãááøóåõãøó Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ äóÈöíøöäóÇ æóÂáöåö¡ ßóãóÇ ÕóáøóíúÊó Úóáóì ãóáÇÆößóÊößó ÇáúãõÞóÑøóÈöíäó. æóÕóáøö Úóáóíúåö æóÂáöåö¡ ßóãóÇ ÕóáøóíúÊó ÚóáóìÃóäúÈöíóÇÆößó ÇáúãõÑúÓóáöíäó¡ æóÕóáøö Úóáóíúåö æóÂáöåö¡ ßóãóÇ ÕóáøóíúÊó Úóáóì ÚöÈóÇÏößó ÇáÕøóÇáöÍöíäó¡ æóÃóÝúÖóáó ãöäú Ðóáößó íóÇ ÑóÈøó ÇáúÚóÇáóãöíäó¡ ÕóáÇóÉð ÊóÈúáõÛõäóÇ ÈóÑóßóÊõåóÇ¡ æóíóäóÇáõäóÇ äóÝúÚõåóÇ¡ æóíõÓúÊóÌóÇÈõ áóäóÇ ÏõÚóÇÄõäóÇ¡ Åäøóßó ÃßúÑóãõ ãóäú ÑõÛöÈó Åáóíúåö æóÃßúÝóì ãóäú Êõæõßøöáó Úóáóíúåö æóÃóÚúØóì ãóäú ÓõÆöáó ãöäú ÝóÖúáöåö¡ æóÃóäúÊó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíÑñ.

Dua ya 45

ILIKUWA MIONGONI MWA DU'A ZAKE (A.S.) KUUAGA MWEZI WA RAMADHANI.

O Allah!

Ewe ambaye hapendi alipwe, Ewe ambaye hajutii kwa sababu ya kutoa. Ewe ambaye hamlipi mja wake sawa kwa sawa. Huruma zako ndio mwanzo, Msamaha wako ni ufadhili, Adhabu yako ni uadilifu, Hukumu yako ni uchaguzi mwema.

Ukitoa huutii doa utowaji wako kwa masimbulizi. Ukiziwiya (kutoa) hauwi uziwiyaji wako uchokozi. Wamshukuru anayekushukuru na wewe ndiye uliyempa ilhamu ya kushukuru wamlipa mwenye kukuhimidi na wewe ndiye uliyemfundisha    kukuhimidi    wamsitiri    ambaye    lau ungependa ungemfedhehesha. Wamfanyia hisani ambae lau ungependa ungemnyima. Wote hao wawili wastahiki kutoka kwako fedheha na kunyimwa, isipokuwa wewe umefanya msingi wa matendo yako kufadhili. Umepitisha uwezo wako katika msamaha.

Umemlaki aliye kuasi kwa huruma umempa muhula mwenye kukusudia kujidhulumu nafsi yake.

Unawangoja kurejea kwa saburi yako.

Unaacha kuwa harakia kwenye toba ili mwangamiaji asije angamia kwa sababu yako mwenye kuangamia miongoni mwao. Na asije kuwa na hali mbaya kwa neema zako mwenye hali mbaya wao isipokuwa kwa ajili ya udhuru wako mrefu kwake, na baada ya mfululizo wa hoja dhidi yake.

Ikiwa ni ukarimu wa msamaha wako Ewe Mkarimu!

Na ni tendo la huruma Ewe mpole. Wewe ndie uliyefungua mlango wa msamaha wako kwa waja wako, na umeuita "TOBA" na umeweka juu ya mlango huo dalili kwa ufunuo wako ili wasiupotee ndipo ulisema - jina lako limebarikiwa-: (Tubuni kwa Mungu toba isiyo ya kurudi nyuma huwenda Mola wenu akakuondoleeni maovu yenu na akakuingizeni katika Jannah ambazo chini yake mito yatiririka. Siku ambayo Mungu hatomwaibisha huyu Nabii na walioamini pamoja naye nuru yao yakimbia (pita) mbele yao na kuliani kwao wakisema Mola wetu tutimiziye nuru yetu na tughofirie kwa hakika wewe umuweza juu ya kila kitu).

Basi ni udhuru gani atakuwa nao mwenye kughafilika kuingia nyumba ile baada ya mlango kufunguliwa na kuwepo dalili?

Na wewe ndiye ambaye ulijizidishia bei dhidi yako mwenyewe kwa faida ya waja wako ukiwatakia faida yao kwa biashara yao na wewe.

Na kufuzu kwao kwa kukufika wewe na ziada kutoka kwako. Ukasema jina lako limebarikiwa na uko ngazi ya juu (mwenye kuleta tendo jema atapata malipo yaliyo sawa na mema kumi, na mwenye kuleta tendo ovu moja hatolipwa ila sawa na malipo ya ovu hilo moja) na umesema: (mfano wa ambao watoao mali zao katika njia ya Mungu ni mfano wa punje moja imetoa masuke saba katika kila suke kuna punje mia moja Mungu humzidishia amtakaye).

Na ulisema: (nani ambaye atamkopesha Mungu mkopo mzuri? Naye atamzidishia zidisho jingi.

Na ulizoteremsha fano wao katika Qur'ani miongoni mwa aya zielezazo miongoni mwa ongezeko la malipo ya matendo mema.

Na wewe ndiye uliyewajulisha kwa kauli yako toka ghaibu yako na himizo lako ambalo lina hadhi yao ndani yake, lau ungelificha kwao macho yao yasingelidiriki. Masikio yao yasingelisikia. Akili zao zisingelifikia. hivyo basi ulisema: (Nikumbukeni nitawakumbuka nishukuruni wala musinikufuru) na ulisema: (mukiwa wenye kushukuru nitawazidishieni lakini mkikufuru (kuacha shukrani) hakika adhabu yangu ni kali).

 Na ulisema: (Niombeni nitakujibuni hakika wanaofanya kibri kuniabudu mimi wataingia Jehannam wakiwa duni) umeiita DU'A yako Ibada, na kuacha kukuomba ni kibri, na umekamia mwenye kuacha kukuomba ataingia jehannam akiwa duni.

Hivyo basi wamekutaja kwa ukarimu wako. Na wamekushukuru kwa fadhila zako na wamekuomba kwa amri yako. Na wametoa sadaka wakitaka ziada yako. Na katika yote hayo umekuwa uokozi wao kwa kuepukana na ghadhabu zako na kufuzu kwao kupata ridhaa zako.

Lau kiumbe mwenyewe angemwongoza kiumbe mwingine mfano wa yale uliyowaongoza waja wako angekuwa asifike kuwa ni muhisani na angesifika kuwa ni mwema na angehimidiwa na kila ulimi.

Sifa njema ni zako.

Kipatikanacho katika mwenendo wa sifa zako hapana tamko libakialo kwa sifa usifiwazo na maana ya sifa ya kuelekea wewe.

O yule ambaye amesifika kwa waja wake kwa hisani na ufadhili. Na amewaeneza ukarim na umbuji wingi ulioje wa neema zako zilizotuenea? Ukarimu wako mwingi mno kwetu umetufanya makhsusi kwa wema wako. Umetuongoza kwenye dini yako ambayo umeichagua. Na mila yako uliyoiridhia, na njia yako uliyoirahisisha. Na umetuoneysha ukaribu kwako, nafika kwenye ukarimu wako.

O Allah!

Miongoni mwa teule mno katika nyadhifa hizo na zilizo makhsusi sana miongoni mwa faradhi hizo ni mwezi wa Ramadhani ambao umeufanya kuwa makhsusi kwa kuulinganisha na miezi mingine.

Umeuchagua toka zama zote na nyakati zote. Umeupenda kuliko nyakati zote za mwaka kwa sababu umeteremsha humo Qur'an na nuru. Humo umezidisha imani na umewajibisha humo (mwezi wa Rama...) Funga, na umependezewa humo kisimamo cha sala Na umeutukuza kwa Laylatul-qadir ambayo ni bora kuliko usiku elfu moja.

Kisha umetupendelea sisi kwayo kuliko umma zingine. Kwa ubora wake umetuchagua mbali na watu wa mila.

Tumefunga kwa amri yako mchana wake tumesimama tukisal usiku wake tukijishughulisha kuufunga na kusali humo. Kwa vile umetuonesha kwa ajili yake rehema zako. Kwa ajili yake tumekuwa na sababu kuelekea thawabu zako. Na wewe uko daraja la juu zaidi kuliko kile kwa ajili yake watakiwa.

Umkarimu uombwacho kwa fadhila zako.

Ukaribu kwa mwenye kujaribu kuupata ukaribu wako.

Mwezi huu umetusimamishia msimamo wa sifa njema, umesuhubiana na sisi usuhuba wa mtu mwema. Umetufidisha faida bora ya viumbe wa ulimwengu.

Kisha umetuacha ulipotimia wakati wake na kukatika kwa muda wake na kutimiza idadi yake.

Nasi tu wenye kuuaga uwagaji wa ambaye kujitenga nae kwake kwa umiza juu yetu.

Kumetusononesha na kutuacha peka, kutoweka kwake, mbali na sisi, kwa ajili yake umetulazimu ulinzi ulihifadhika. na heshima yenye kuangaliwa, na haki tekelezwa.

Hivyo twasema:

Assalaamu Alayka Ewe mwezi wa Mungu mkubwa kabisa Ewe Iddi ya wapenzi wake (Mungu). Assalaamu Alayka, Ewe wakati ulio bora kuwa nao miongoni mwa nyakati. Ewe mbora wa miezi katika siku na saa

Assalaamu Alayka mwezi matumaini yamekurubia. Kazi njema humo zimetawanywa.

Assalaamu Alayka Ewe rafiki ambaye thamani yake iliyopo imetukuka.

Kutoweka kwake kwa tia simanzi. Machungu ya kutengana naye kwake yatazamiwa.

Assalaamu Alayka msuhuba ambaye ujaji wake huleta raha hufurahisha ambaye aondokapo huleta kitwea.

Assalaamu Alayka jirani ambaye nyoyo hulainika kwa ajili yake.

Dhambi mwake zimepungua.

Assalaamu Alayka msaidizi asaidiae dhidi ya shetani. Mwezi arahisishaye njia za ihsani.

Assalaamu Alayka wengi walioje wakombolewa wa Mungu ndani yako.

Furaha iliyoje kwa wenye kuchunga heshima yako kwa msaada wako.

Assalaamu  Alayka  umekuwa   mfutaji  mno  wa  dhambi. Umesitiri sana wa aina mbali mbali za aibu.

Assalaamu Alayka umekuwa na uvumilivu kwa watenda dhambi wa tisha mno mioyoni mwa waumini.

Assalaamu Alayka mwezi ambao siku hazishindani nao. Assalaamu Alayka mwezi ambao amani katika kila jambo.

Assalaamu Alayka mwezi ambao kuwa pamoja nao kwake hakuchukizi, wala kuchanganyika pamoja nao kwake hakulaumiki.

Assalaamu Alayka kama ulivyoingia kwetu kwa baraka nyingi na umetoa uchafu wa makosa.

Assalaamu Alayka si muagwa achukizaye wala hakichoshi kilichoachwa na saumu yake.

Assalaamu Alayka mtafutwa kabla ya wakati wake. Na muhuzunikiwa kabla ya kwisha kwake.

Assalaamu Alayka maovu mangapi yamezuiliwa yasitufike kwa wewe.

Mema mangapi tumebubujishiwa kwa sababu yako.

Assalamu Alayka wa Alaa Laylatil Qadr ambayo ni bora kuliko miezi elfu moja.

Assalamu Alayka tulipupia sana jana tutakuwa na shaka sana na wewe kesho.

Assalaamu Alayka na juu ya fadhila zako zilizo haramishwa kwetu na juu ya baraka zako zilizopita ambazo hivi sasa tumepokonywa.

O Allah!

Sisi ni wana, mwezi huu ambao umetuboresha kwako (kwa huo

mwezi). Na kwa huruma yako umetupa taufiki. walipokosa kuujua

wakati wake. Na wamenyimwa fadhila zake kwa ajili ya uovu wao.

Na wewe ndiye mfadhili wa elimu zake ambazo umetupendelea maarifa yake.

Umetuongoza kwenye utekelezaji wa sunna zake. Kwa tawfiki yako tumebeba jukumu la kuufunga na kusali kwa kiwango kidogo sana.  

Tumetekeleza humo kidogo sana miongoni mwa kingi. Oh Allah! sifa njema zote ni zako.

Twakiri maovu.

Twatambua kuzembea. Katika nyoyo zetu kuna fundo la majuto kwako. Ulimini mwetu kuna ukweli wa kukuomba udhuru.

Tupe thawabu kwa yaliyotupata ingawaje tumezembea. Huenda tutaifikia kwayo fadhila itakiwayo na kwayo tufanikiwe aina mbali mbali za vifaa vilivyohifadhiwa.

Wajibisha kwa ajili yetu udhuru wako kwa tuliyoshindwa kutekeleza ipasavyo miongoni mwa haki zako.

Umri wetu tulio nao ufikishe mwezi wa Ramadhani ujao tukiufikia tusaidiye kufanya ibada unayostahiki. Tufanye tuwe twatekeleza yapasayo (ndani ya) mwezi huu yastahikiyo katika utii.

Tutunukiye Amali njema itayotekeleza haki yako katika miezi miwili miongoni mwa miezi ya Dahar.

O Allah!

Tuliyoyatenda katika mwezi wetu huu miongoni mwa dhambi ndogo au kubwa.

Au dhambi tumeangukia Emo na kosa tulilotenda makusudi au kwa kusahau. Tumejidhulumu nafsi zetu. Au tumemvunjia heshima mtu mwingine. Mswaliye Muhammad na Aali zake. Na utusitiri kwa sitira yako. Tusamehe kwa msamaha wako wala usituweke mbele ya macho ya wasimbuliaji. Wala usitukunjulie ndimi za wa umbuwaji.

Tutumikishe kwa yatakayokuwa ndiyo punguzo na kafara ya usilolikubali kutoka kwetu. Kwa huruma yako isiyokwisha na fadhila yako isiyopanguliwa.

O Allah!

Mrehemu Muhammad na Aali Zake uuponye msiba wetu kwa

mwezi wetu. Utubariki siku ya Iddi yetu na siku yetu ya kwanza kufunguliwa.

Ijaaliye kuwa miongoni mwa siku ya kheri mno imetupitia yenye kuleta msamaha sana na yenye kufuta mno dhambi. Tughofiriye zilizojificha katika dhambi zetu na zilizotangazika.

O Allah!

tutowe kwa kutoweka mwezi huu makosa yetu tuvuwe kwa kutoweka kwake maovu yetu.

Tufanye miongoni mwa watu wenye heri mno kwa huwo (mwezi). Na wenye hisa kubwa mno humo na wenye hadhi mno humo.

O Allah!

mwenye kuchunga haki ya mwezi huu kwa haki, na kuhifadhi heshima yake kwa haki, na kutekeleza mipaka yake kwa haki. Na kuchelea dhambi zake kwa haki yake. Au akajikurubisha kwako kwa ujikurubishaji uwajibishao ridhaa yako kwake na huruma yako ikamwelekea juu yake.

Tupe sisi mfano wake kutoka kwenye ukwasi wako. Tupe na sisi zaidi yake kwa fadhila zako. Hakika fadhila zako hazipunguwi kwa hakika hazina zako hazipunguwi bali huzidi.

Ni kweli kabisa kuwa chimbuko la hisani zako hazishi. Upaji wako ni upaji wapendeza sana. O Allah! Mrehemu Muhammad na Aali Zake, tuandikie ujira mfano wa ujira wa mwenye kuufunga au amekuabudu ndani   yake mpaka siku ya Kiyama.

O Allah!

Hakika twatubu kwako siku ya kwanza ya kufuturu kwetu ambayo umeifanya kwa waumini kuwa ni Idi na furaha. Na kwa watu wa mila yako wakati wa mkusanyiko na mjumuiko kutokana na kila dhambi tumeitenda au ovu tumelitanguliza, au fikra ya shari tumeificha iwe toba ya asiyeficha dhamira ya kurudi kwenye dhambi wala harejei baada yake kwenye makosa.

Toba ya nasuha iliyeepukana na shaka na wasiwasi. Ikubali kutoka kwetu tu iridhiye tuimarishe juu yake. O Allah! Turuzuku kuogopa adhabu za kamio na shauku ya thawabu iliyo ahidiwa ili tuipate ladha ya kile tukuombacho kwa ajili yake na huzuni ya tukuombeacho kimbilio kwa ajili yake.

Tujaaliye tuwe miongoni mwa walio tubu kwako. Ambao umewajibisha mapenzi yako.

OH!

Umwadilifu mno wa waadilufu,

O Allah! Wavumilie baba zetu na mama zetu na watu wote wa Dini yetu waliotangulia kati yao na watakaopita mpaka siku ya Kiyama.

O Allah! Mrehemu Muhammad Nabii wetu na Aali Zake kama ulivyowarehemu malaika wako waliokurubishwa. Na umswali yeye na Aali zake.

Kama ulivyowasalia Manabii wako wajumbe. Mswaliye yeye na Aali zake kama ulivyowasalia waja wako wema na bora zaidi kuliko hivyo Ewe Bwana wa Ulimwengu Swala Baraka zake zitufikie. Nafu yake ihifike, kwayo DU'A zetu zijibiwe.

Hakika wewe u umkarimu mno wa waombwao. Na umtoshelezaji mno wa wanaotegemewa. Na umpaji mno wa waombwao fadhila yake. Na u muweza juu ya kila kitu.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÓÇÏÓ æÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) Ýí íæã ÇáÝöØÑ ÅÐÇ ÇäÕÑÝ ãä ÕáÇÊå ÞÇã ÞÇÆãÇð Ëãø ÇÓÊÞÈá ÇáÞöÈúáóÉó æÝí íæã ÇáÌãÚÉ ÝÞÇá:]

íóÇ ãóäú íóÑúÍóãõ ãóäú áÇ íóÑúÍóãõåõ ÇáúÚöÈóÇÏõ. æóíóÇ ãóäú íóÞúÈóáõ ãóäú áÇ ÊóÞúÈóáõåõ ÇáúÈöáÇóÏõ. æóíóÇ ãóä áÇó íóÍúÊóÞöÑõ Ãóåúáó ÇáúÍóÇÌóÉö Åáóíúåö. æóíóÇ ãóäú áÇ íõÎóíøöÈõ ÇáãáöÍøöíúäó ÚóáóíúÜåö¡ æóíóÇ ãóäú áÇó íóÌúÈóåõ ÈöÇáÑøóÏøö Ãóåúáó ÇáÏøóÇáøóÉö Úóáíåö¡ æóíóÇ ãóäú íóÌúÊóÈöí ÕóÛöíÑó ãóÇíõÊúÍóÝõ Èöåö¡ æóíóÔúßõÑõ íóÓöíÑó ãóÇ íõÚúãóáõ áóåõ. æóíóÇãóäú íóÔúßõÑõ Úóáóì ÇáúÞóáöíúáö¡ æóíõÌóÇÒíú ÈöÇáúÌóáöíáö¡ æóíóÇ ãóäú íóÏúäõæ Åáóì ãóäú ÏóäÇ ãöäúåõ æóíóÇ ãóäú íóÏÚõæ Åáóì äóÝúÓöåö ãóäú ÃóÏúÈóÑó Úóäúåõ¡ æóíóÇ ãóäú áÇ íõÛóíøöÑõ ÇáäøöÚúãóÉó¡ æóáÇ íõÈóÇÏöÑõ ÈöÇáäøóÞöãóÉö¡ æóíóÇ ãóäú íõËúãöÑõ ÇáúÍóÓóäóÉó ÍóÊøóì íõäúãöíóåóÇ¡ æóíóÊóÌóÇæóÒõ Úóäö ÇáÓøóíøöÆóÉö ÍóÊøóì íõÚóÝøöíóåóÇ. ÇäúÕóÑóÝóÊö ÇáÇãóÇáõ Ïõæäó ãóÏì ßóÑóãößó ÈöÇáÍóÇÌóÇÊö æóÇãúÊóáÇóÊú ÈöÝóíúÖö ÌõæÏößó ÃóæúÚöíóÉõ ÇáØøóáöÈÇÊ¡ æóÊóÝóÓøóÎóÊú Ïõæäó ÈõáõæÛö äóÚúÊöÜßó ÇáÕøöÝóÇÊõ¡ Ýóáóßó ÇáúÚõáõæøõ ÇáÇÚúáóì ÝóæúÞó ßõáøö ÚóÇá¡ æóÇáúÌóáÇóáõ ÇáÇãúÌóÏõ ÝóæúÞó ßõáøö ÌóáÇóá¡ ßõáøõ Ìóáöíúá ÚöäúÏóßó ÕóÛöíÑñ¡ æóßõáøõ ÔóÑöíÝ Ýöí ÌóäúÈö ÔóÑóÝößó ÍóÞöíÑñ¡ ÎóÇÈó ÇáúæóÇÝöÏõæäó Úóáóì ÛóíúÑößó¡ æóÎóÓöÑó ÇáúãõÊóÚóÑøöÖõæäó ÅáÇøó áóßó¡ æóÖóÇÚó Çáúãõáöãøõæäó ÅáÇø Èößó¡ æóÃóÌúÏóÈó ÇáúãõäúÊóÌöÚõÜæäó ÅáÇøó ãóäö ÇäúÊóÌóÚó ÝóÖúáóßó¡ ÈóÇÈõßó ãóÝúÊõæÍñ áöáÑøóÇÛöÈöíäó¡ æóÌõæÏõßó ãõÈóÜÇÍñ áöáÓøóÇÆöáöíäó¡ æóÅÛÇËóÊõßó ÞóÑöíÈóÉñ ãöäó ÇáúãõÓúÊóÛöíúËöíäó¡ áÇó íóÎöíÈõ ãöäúÜßó ÇáÇãöáõæäó¡ æóáÇó íóíúÃóÓõ ãöäú ÚóØóÇÆößó ÇáúãõÊóÚóÑøöÖõæäó¡ æóáÇ íóÔúÞóì ÈöäóÞúãóÊößó ÇáúãõÓúÊóÛúÝöÑõæäó. ÑöÒúÞõßó ãóÈúÓõæØñ áöãóäú ÚóÕóÇßó¡ æóÍöáúãõßó ãõÚúÊóÜÑöÖñ áöãóäú äóÇæóÇßó¡ ÚóÜÇÏóÊõßó ÇáÇÍúÓóÜÇäõ Åáóì ÇáúãõÓöíÆíäó¡ æóÓõäøóÊõÜßó ÇáÇÈúÞóÜÇÁõ Úóáóì ÇáúãõÚúÊóÏöíäó ÍóÊøóì áóÞóÏú ÛóÑøóÊúåõãú ÃóäóÇÊõßó Úóäö ÇáÑøõÌõæÚö¡ æóÕóÏøóåõãú ÅãúåóÇáõßó Úóä ÇáäøõÒõæÚö. æóÅäøóãóÇ ÊóÃóäøóíúÊó ÈåãúáöíóÝöíÆõæÇ Åáóì ÃóãúÑößó¡ æóÃóãúåóáúÊóåõãú ËöÞóÉð ÈöÏóæóÇãö ãõáúßößó¡ Ýóãóäú ßóÇäó ãöäú Ãóåúáö ÇáÓøóÚóÇÏóÉö ÎóÊóãúÊó áóåõ ÈöåóÇ¡ æóãóäú ßóÇäó ãöäú Ãóåúáö ÇáÔøóÞóÇæóÉö ÎóÐóáúÊóåõ áóåóÇ¡ ßõáøõåõãú ÕóÇÆöÑõæäó Åáóì Íõßúãößó æóÃõãõæÑõåõãú ÂÆöáóÉ Åáóì ÃóãúÜÑößó¡ áóãú íóåöäú Úóáóì ØõÜæáö ãõÜÏøóÊöåöãú ÓõáúØóÇäõÜßó æóáóãú íóÜÏúÍóÖú áöÊóÜÑúßö ãõÚóÇÌóáóÊöåöãú ÈõÑúåóÇäõßó. ÍõÌøóÊõßó ÞóÇÆöãóÉñ áÇó ÊõÏúÍóÖõ¡ æóÓõáúØóÇäõßó ËóÇÈöÊñ áÇ íóÒõæáõ¡ ÝóÇáúæóíúáõ ÇáÏøóÇÆöãõ áöãóäú ÌóäóÍó Úóäúßó¡ æóÇáúÎóíúÈóÉõ ÇáúÎóÇÐöáóÉõ áöãóäú ÎóÇÈó ãöäúßó¡ æóÇáÔøóÞÇÁõ ÇáÇÔúÞóì áöãóäö ÇÛúÊóÑøó Èößó. ãóÇ ÃßúËóÑó ÊóÕóÑøõÝóåõ Ýöí ÚóÐóÇÈößó¡ æóãóÇ ÃóØúæóáó ÊóÑóÏøõÏóåõ Ýöíú ÚöÞóÇÈößó¡ æóãóÇ ÃóÈúÚóÏó ÛóÇíóÊóåõ ãöäó ÇáúÝóÑóÌö¡ æóãóÇ ÃóÞúäóØóåõ ãöäú ÓõåõæáóÉö ÇáúãóÎúÑóÌö ÚóÏúáÇð ãöäú ÞóÖóÇÆößó áÇó ÊóÌõæÑõ Ýöíåö¡ æóÅäúÕóÇÝÇð ãöäú Íõßúãößó áÇó ÊóÍöíÝõ Úóáóíúåö¡ ÝóÞóÏú ÙóÇåóÑúÊó ÇáúÍõÌóÌó¡ æóÃóÈúáóíúÊó ÇáÇÚúÐóÇÑó¡ æóÞóÜÏú ÊóÞóÏøóãúÊó ÈöÜÇáúæóÚöíúÜÏö æóÊóáóØøóÝúÊó Ýöí ÇáÊøóÑúÛöíúÈö¡ æóÖóÑóÈúÊó ÇáÇãúËóÇáó¡ æóÃóØóáúÊó ÇáÇöãúåóÇáó¡ æóÃóÎøóÑúÊó æóÃóäúÊó ãõÓúÊóØöíÚñ áöáúãõÚóÇÌóáóÉö¡ æóÊóÃóäøóíúÊó æóÃóäúÊó ãóáíÁñ ÈöÇáúãõÈóÇÏóÑóÉö¡ áóãúÊóßõäú ÃóäóÇÊõßó ÚóÌúÒÇð¡ æóáÇ ÅãúåóÇáõßó æóåúäÇð¡ æóáÇó ÅãúÓóÇßõßó ÛóÝúáóÉð¡ æóáÇó ÇäúÊöÙóÇÑõßó ãõÏóÇÑóÇÉð¡ Èóáú áöÊóßõæäó ÍõÌøóÊõßó ÃóÈúáóÛó¡ æóßóÑóãõßó Ãßãóáó¡ æóÅÍúÓóÇäõßó ÃóæúÝóì æóäöÚúãóÊõßó ÃóÊóãøó¡ ßõÜáøõ Ðáößó ßóÇäó æóáóãú ÊóÒóáú¡ æóåõæó ßÇÆöäñ æóáÇó ÊóÒóÇáõ¡ ÍõÌøóÊõßó ÃóÌóáøõ ãöäú Ãóäú ÊæÕóÝó ÈößõáøöåóÇ¡ æóãóÌúÏõßó ÃóÑúÝóÜÚõ ãöäú Ãóäú ÊõÍóÏøó Èößõäúåöåö¡ æóäöÚúãóÊõßó ÃßúËóÑõ ãöäú Ãóäú ÊõÍúÕóì ÈöÃóÓúÑöåóÇ¡ æóÅÍúÓóÇäõßó ÃßúËóÑõ ãöäú Ãóäú ÊõÔúßóÑó Úóáóì ÃóÞóáøöåö¡ æóÞóÏú ÞóÕøóÑó Èöíó ÇáÓøõßõæÊõ Úóäú ÊóÍúãöíÏößó¡ æóÝóåøóåóäöí ÇáÇãúÓóÇßõ Úóäú ÊóãúÌíÏößó¡ æóÞõÕóÇÑóÇíó ÇáÇÞúÑóÇÑõ ÈöÇáúÍõÓõæÑö áÇó ÑóÛúÈóÉð Ü íÇ Åáåöí Ü Èóáú ÚóÌúÒÇð¡ ÝóåóÇ ÃóäóÇ ÐóÇ ÃóÄõãøõßó ÈöÇáúæöÝóÇÏóÉö¡ æóÃóÓÃóáõßó ÍõÓúäó ÇáÑøöÝóÇÏóÉö¡ ÝóÕóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöÜåö æóÇÓúãóÚú äóÌúæóÇíó¡ æóÇÓúÊóÌöÈú ÏõÚóÇÆöí æóáÇó ÊóÎúÊöãú íóæúãöíó ÈöÎóíúÈóÊöí¡ æóáÇó ÊóÌúÈóåúäöí ÈöÇáÑøóÏøö Ýöí ãóÓúÃóáóÊöí¡ æóÃßúÑöãú ãöäú ÚöäúÏößó ãõäúÕóÑóÝöí æóÅáóíúßó ãõäúÞóáóÈöí¡ Åäøóßó ÛóíúÑõ ÖóÇÆöÞ ÈöãóÇ ÊõÑöíúÏõ æóáÇó ÚóÇÌöÒ ÚóãøóÇ ÊõÓúÃóáõ¡ æóÃóäúÊó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÞóÏöíúÑñ¡ æóáÇ Íóæúáó æóáÇ ÞõæøóÉó ÅáÇøó ÈöÇááåö ÇáúÚóáöíøö ÇáúÚóÙöíãö.

Dua ya 46

DU'A ZAKE (A.S.) KATIKA SIKU YA IYDI AL-FITRI

Akimaliza kusali husimama kuelekea Qibla na siku ya Ijumaa husema:

Ewe! Unayemrehemu asiyerehemewa na waja. Ewe ambaye humkubali asiyekubaliwa na nchi. Ewe ambaye hawadharau wenye haja kwake.

Ewe ambaye hamtowi matumaini mwenye kumsihi sana. Ewe ambaye hawakabili kwa kutowakubalia wenye msimamo mgumu kwake.

Ewe ambaye akusanyae kidogo apewacho na ashukurue kidogo atendewacho. Ewe ashukuruye kidogo na hulipa kikubwa. Ewe ambaye humsogelea kwa   amwendaye karibu yake.

Ewe ambaye humwita kwake mwenye kumtumbia mgongo! O we! ambaye haibadilishi neema wala aharakii kulipizi.

O We! ambaye huzalisha jema ili likuwe na hufumbia macho ovu ili asamehe hurudi tumaini kutoka kwake na haja yake bila kufikia uelewa na kiwango cha ukaribu wako.

Vyombo vya haja vimejaa upaji wako sifa zimeshindwa kufikia sifa zako katika kukusifu. Ujuu wa juu kabisa ni wako uko juu kabisa kuliko kila aliyejuu.

Utukufu mkubwa kabisa juu ya utukufu wote. Kila mtukufu kwako ni mdogo kila kitukufu kwenye utukufu wako ni kinyonge. Wameshindwa kupata waya tarajiayo wa mwenoeaye asiyekuwa wewe. Wamehasirika wajipelekao mbele isipokuwa kwako.

Wamepotea wakaao ispokuwa na wewe wamekuwa wa kiwa wenye kukimbilia isipokuwa waliokimbilia fadhila zako. Mlango wako uko wazi kwa waronga - Rongao.

Upaji wako kwa ajili ya waombao msaada wako ukaribu na waombao msaada. Wenye matumaini hawa katishwi tamaa wajiletao kwako hawatokwi na matumaini na upaji wako.

Hawapatwi na hali mbaya kwa ajili ya lipizi lako wenye kuomba ghofirani.

Riziki yako imekunjuka mpaka kwa wanaokuasi. Huruma yako ya mwendea akupingaye, tabia yako ni kuwatendea hisani waovu desturi yako kuwabakisha wachokozi, mpaka kuwangojea kwako kumewadanganya wasirejee.

Kuwapa kwako muhla kunawazuia kukoma. Hakika hukuwafanyia haraka ili warudi kwa amri yako.

Mwenye kuwa miongoni mwa wema mulihitimishia. Na mwenye kuwa miongoni mwa anayestahiki hali mbaya wa mwacha bila msaada wako wote hao watakuwa kwenye hukumu yako, na mambo yao yazuilika na amri yako.

Mamlaka yao hayadhoofiki kwa muda wao mrefu wote. Dalili yako haikuvunjwa kwa kuacha kuwaharakia! Hoja yako ipo haivunjwi, na ufalme wako uko thabiti haitoweki.

Ole wake yule atakayeelemea mbali na wewe.

Kuachwa kusiko kuwa na msaada ni kwa yule mwenye kuachwa na wewe shakawa iliyo mbaya sana ni ya aliye danganyika nawe.

Atafanyaje ndani ya adhabu yako? Mahangaiko yake marefu yaliyoje ndani ya adhabu yako?

Upeo wake wa faraja umbali ulioje? Kukatishwa tamaa kwake kulioje na urahisi wa kutoka?

Ni uadilifu kutokana na uamuzi wako hudhulumu katika maamuzi.

Ni usawa wa hukumu yako huwezi muonea. Umesaidia hoja na kuzijaribu nyudhuru. Ulianza na tishio. Umekuwa mpole katika kuhimiza na umefanya mifano. Na umerefusha kutoa muhla. Umechelewesha ukiwa muweza wa kufanya haraka. Umefanya bila haraka hali ukiwa umejaa haraka. Kutoharakia kwako hakukuwa kwa sababu ya kushindwa, wala kutoa muhla kwako ni unyonge wala kujiziwia kwako si mghafala. Wala kungoja kwako si upendeleo, bali ili hoja yako iwe yenye nguvu zaidi na ukarimu wako uwe kamili na ihsani yako iwe ya kutosha. Neema zako ziwe timilifu.

Yote hayo yamekuwa na yangali yataendelea kuwa haitokoma. Hoja yako ni kubwa mno kuliko vile vya weza kuelezwa yote. Utukufu wako uko juu zaidi hauwezi kufanyiwa mipaka kwa kiini chake. Neema zako nyingi haziwezi kuhesabiwa zote.

Hisani zako nyingi kuliko vile zishukuruwe hata kwa kiasi chake kidogo. Ukimya umenifanya nishindwe kukuhimidi.

Kujizuiya kumenifanya nishindwe kukutukuza. Niwezalo kulifanya ni kukiri kushindwa kwangu. Si kwa kupenda Ewe Mola wangu! Bali ni kutoweza, Mimi ni huyu hapa naja tena mbele yako.

Nakuomba usaidizi mwema. Mrehemu Muhammad na Aali zake. sikiliza mnong'ono wangu. Kubali duwa yangu, wala usiihitimishe siku yangu kwa kukatishwa matumaini.

Wala usinikabili kwa kurudisha ombi langu bila jibu. Uheshimu utokaji wangu kwako. Marejeo yangu ni kwako. Hakika wewe hudhikiki na ulipendalo.

Na si mshindwi wa uombwalo We u muweza juu ya kila kitu. Hapana hila wala nguvu isipokuwa kuwezeshwa na Allah Mtukufu mkubwa.

[ÇáÏÚÇÁ ÇáÓÇÈÚ æÇáÇÑÈÚæä]

[æßÇä ãä ÏÚÇÆå(Úáíå ÇáÓáÇã) íæã ÚÑÝÉ]

ÇáúÍóãúÏõ ááåö ÑóÈøö ÇáúÚóÇáóãöíäó. Ãááøóåõãøó áóÜßó ÇáúÍóãúÏõ ÈóÏöíúÚó ÇáÓøóãæóÇÊö æóÇáÇóÑúÖö¡ ÐóÇ ÇáúÌóáÇóáö æóÇáÇßúÑóÇãö¡ ÑóÈøó ÇáÇóÑúÈóÇÈö æóÅáåó ßõáøö ãóÃáõæå¡ æóÎóÇáöÞó ßõáøö ãóÎúáõæÞ¡ æóæóÇÑöËó ßõáøö ÔóíúÁ¡ áóíúÓó ßóãöËúáöåö ÔóÜíúÁñ¡ æóáÇ íóÚúÒõÈõ Úóäúåõ Úöáúãõ ÔóíúÁ¡ æóåõæó Èößõáøö ÔóíúÁ ãõÍöíØñ¡ æóåõæó Úóáóì ßõáøö ÔóíúÁ ÑóÞöíÈñ¡ ÃóäúÊó Çááå áÇó Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó ÇáÇóÍóÜÏõ ÇáúãõÊóæóÍøöÏõ ÇáúÝóÑúÏõ ÇáúãõÊóÝóÑøöÏõ¡ æóÃóäúÊó Çááåõ áÇó Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó ÇáúßóÑöíãõ ÇáúãõÊóßóÑøöãõ¡ ÇáúÚóÙöíãõ ÇáúãõÊóÚóÙøöãõ¡ ÇáúßóÈöíÑõ ÇáúãõÊóßóÈøöÑõ. æóÃóäúÊó Çááåõ áÇó Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó ÇáÚóáöíøõ ÇáúãõÊóÚóÇáö¡ ÇáúÔóÏöíúÏõ ÇáúãöÍóÜÇáö. æóÃóäúÊó Çááåõ áÇ Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó ÇáÜÑøóÍúãäõ ÇáÑøóÍöíãõ ÇáúÍóßöíãõ. æóÃóäúÊó Çááåõ áÇ Åáåó ÅáÇø ÃóäúÊó ÇáÓøóãöíÚõ ÇáúÈóÕöíÑõ ÇáúÞóÏöíãõ ÇáúÎóÈöíÑõ¡ æóÃóäúÊó Çááåõ áÇó Åáåó ÅáÇø ÃóäúÊó ÇáúßóÑöíãõ ÇáÇóßúÑóãõ ÇáÏøóÇÆöãõ ÇáÇÏúæóãõ¡ æóÃóäúÊó Çááåõ áÇ Åáåó ÅáÇø ÃóäúÊó ÇáÇæøóáõ ÞóÈúáó ßõáøö ÃóÍóÏ æóÇáÇÎöÑõ ÈóÚúÏó ßõáøö ÚóÏóÏ¡ æóÃóäúÊó Çááåõ áÇ Åáåó ÅáÇø ÃóäúÊó ÇáÏøóÇäöí Ýöí Úõáõæøöåö¡ æóÇáúÚóÇáöí Ýöí Ïõäõæøöåö¡ æóÃóäúÊó Çááåõ áÇó Åáåó ÅáÇøó ÃóäúÊó Ðõæ ÇáúÈóåóÇÁö æóÇáúãóÌúÏö æóÇáúßöÈúÑöíóÇÁö æóÇáúÍóãúÏö. æóÃóäúÊó Çááåõ áÇó Åáåó ÅáÇø ÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÃóäúÔóÃúÊó ÇáÇÔúíóÇÁó ãöäú ÛóíúÑö ÓöäúΡ æóÕóæøóÑúÊó ãóÇ ÕóæøóÑúÊó ãöäú ÛóíúÑö ãöËÇá¡ æóÇÈúÊóÏóÚúÊó ÇáúãõÈúÊóÏóÚóÇÊö ÈöáÇó ÇÍúÊöÐóÂÁ. ÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÞóÏøóÑúÊó ßõáøó ÔóíúÁ ÊóÞúÏöíÑÇð æóíóÓøóÑúÊó ßõáøó ÔóíúÁ ÊóíúÓöíÑÇð¡ æóÏóÈøóÑúÊó ãóÇ Ïõæäóßó ÊóÏúÈöíúÑÇð. æóÃóäúÊó ÇáøóÐöí áóãú íõÚöäúßó Úóáóì ÎóáúÞößó ÔóÑöíßñ æóáóãú íõÄÇÒöÑúßó Ýöí ÃóãúÑößó æóÒöíÑñ¡ æóáóãú íóßõäú áóßó ãõÔóÇåöÏñ æóáÇ äóÙöíÑñ. ÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÃóÑóÏúÊó ÝóßóÇäó ÍóÊúãÇð ãóÇ ÃóÑóÏúÊó¡ æóÞóÖóíúÊó ÝóßóÇäó ÚóÏúáÇð ãóÇ ÞóÖóíúÊó¡ æóÍóßóãúÊó ÝóßóÇäó äöÕúÝÇð ãóÇ ÍóßóãúÊó¡ ÃóäúÊó ÇáøóÜÐöí áÇ íóÍúæöíúÜßó ãóßóÇäñ æóáóãú íóÞõãú áöÓõáúØóÇäößó ÓõáúØóÇäñ¡æóáóãú íõÚúíößó ÈõÑúåóÇäñ æóáÇ ÈóíóÇäñ. ÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÃóÍúÕóíúÊó ßõáøó ÔóíúÁ ÚóÏóÏóÇð¡ æóÌóÚóáúÊó áößõáøö ÔóíúÁ ÃóãóÏÇð¡ æóÞóÏøóÑúÊó ßõáøó ÔóíúÁ ÊóÞúÏöíúÑÇð. ÃóäúÊó ÇáøóÐöí ÞóÕõÑóÊö ÇáÇæúåóÇãõ Úóäú ÐóÇÊöíøóÊößó¡ æóÚóÌóÒóÊö ÇáÇÝúåóÇãõ Úóäú ßóíúÝöíøóÊößó¡ æóáóãú ÊõÏúÑößö ÇáÇÈúÕóÇÑõ ãóæúÖöÚó ÃóíúäöíøóÊößó. ÃóäúÊó ÇáøóÐöí áÇ ÊõÍóÏøõ ÝóÊóßõæäó ãóÍúÏõæÏÇð¡ æóáóãú ÊõãóËøóáú ÝóÊóßõæäó ãóæúÌõæÏÇð¡ æóáóãú ÊóáöÏú ÝóÊóßõæäó ãóæúáõæÏÇð. ÃóäúÊó ÇáøóÐöí áÇ ÖöÏøó ãóÚóßó ÝóíõÚóÇäöÏóßó¡ æóáÇ ÚöÏúáó ÝóíõßóÇËöÑóßó¡ æóáÇó äöÏøó áóßó ÝóíõÚóÇÑöÖóßó. ÃóäúÊó ÇáøóÜÐöí ÇÈúÊóÏóà æóÇÎúÊóÜÑóÚó æóÇÓúÊóÍúÏóËó æóÇÈúÊóÜÏóÚó æóÃóÍúÓóäó ÕõäúÚó ãóÇ ÕóäóÚó¡ ÓõÈúÍÇäóßó! ãóÇ ÃóÌóáøó ÔóÃäóßó¡ æóÃóÓúäóì Ýöí ÇáÇãóÇßöäö ãóßóÇäóßó¡ æóÃóÕúÏóÚó ÈöÇáúÍóÞøö ÝõÑÞóÇäóßó. ÓõÈúÍóÇäóßó ãöäú áóØöíÝ ãóÇ ÃóáúØóÝóßó¡ æóÑóÄõæÝ ãóÇ ÃóÑúÃóÝóßó¡ æóÍóßöíã ãóÇ ÃóÚúÑóÝóßó! ÓõÈúÍóÇäóßó ãöäú ãóáöíúß ãóÇ ÃóãúäóÚóßó¡ æóÌóæóÇÏ ãóÇ ÃóæúÓóÚóßó¡ æóÑóÝöíÚö ãóÇ ÃóÑúÝóÚóßó¡ Ðõæ ÇáúÈóåÇÁö æóÇáúãóÌúÏö æóÇáúßöÈúÑöíóÇÁö æóÇáúÍóãúÏö. ÓõÈúÍóÇäóßó ÈóÓóØúÊó ÈöÇáúÎóíúÑóÇÊö íóÏóßó ãÇ æóÚõÑöÝóÊö ÇáúåöÏóÇíóÉõ ãöäú ÚöäúÏößó¡ ÝóãóäöÇáúÊóãóÓóßó áöÏöíä Ãóæú ÏõäúíÇ æóÌóÏóßó. ÓõÈúÍóÇäóßó ÎóÖóÚó áóßó ãóäú ÌóÑì Ýöí Úöáúãößó¡ æóÎóÔóÚó áöÚóÙóãóÊößó ãóÇ Ïõæäó ÚóÑúÔößó¡ æóÇäúÞóÇÏó áöáÊøóÓúáöíúãö áóßó ßõáøõ ÎóáúÞößó. ÓõÈúÍóÇäóßó áÇó ÊõÌóÓøõ¡ æóáÇó ÊõÍóÓøõ¡ æóáÇó ÊõãóÓøõ¡ æóáÇó ÊõßóÇÏõ¡ æóáÇó ÊõãóÇØõ¡ æóáÇó ÊõäóÇÒóÚõ¡ æóáÇó ÊõÌóÇÑì¡ æóáÇó ÊõãÇÑì¡ æóáÇó ÊõÎóÇÏóÚõ¡ æóáÇó ÊõãóÇßóÑõ. ÓõÈúÍóÇäóßó ÓóÈöíáõßó ÌóÏóÏñ¡ æóÃóãúÑõßó ÑóÔóÏñ¡ æóÃóäúÊó Íóíøñ ÕóãóÏñ. ÓõÈúÍóÇäóßó Þóæúáõßó Íõßúãñ¡ æóÞóÖóÂÄõßó ÍóÊúãñ¡ æóÅÑóÇÏóÊõßó ÚóÒúãñ. ÓõÈúÍóÇäóßó áÇó ÑóÇÏøó áöãóÔöíøóÊößó¡ æóáÇó ãõÈóÏøöáó áößóáöãóÇÊößó. ÓõÈúÍóÇäóßó ÞÇåöÑó ÇáÇóÑúÈóÇÈö¡ ÈóÇåöÑó ÇáÇíÂÊö¡ ÝóÇØöÑó ÇáÓøóãóæóÇÊö ÈóÇÑöÆ¡ ÇáäøóÓóãÇÊö. áóßó ÇáúÍóãúÏõ ÍóãúÏóÇð íóÏõæãõ ÈöÏóæÇãößó¡ æóáóßó ÇáúÍóãúÏõ ÍóãúÏÇð ÎóÇáöÏÇð ÈöäöÚúãóÊößó¡ æóáóßó ÇáúÍóãúÏõ ÍóãúÏÇð íõæóÇÒöí ÕõäúÚóßó¡ æóáóßó ÇáúÍóãúÏõ ÍóãúÏÇð íóÒöíÏõ Úóáóì ÑöÖóÇßó¡ æóáóßó ÇáúÍóãúÏõ ÍóãúÏÇð ãóÚó ÍóãúÏö ßõáøö ÍóÇãöÏ¡ æóÔõßúÑÇð íóÞúÕõÑõ Úóäúåõ ÔõßúÑõ ßõáøö ÔóÇßöÑ¡ ÍóãúÏÇð áÇó íóäúÈóÛöí ÅáÇøó áóßó¡ æóáÇó íõÊóÞóÑøóÈõ Èöåö ÅáÇøó Åáóíúßó¡ ÍóãúÏÇð íõÓúÊóÏóÇãõ Èöåö ÇáÇóæøóáõ¡ æóíõÓúÊóÏúÚóì Èöåö ÏóæóÇãõÇáÇÎöÑö¡ ÍóãúÏÇð íóÊóÖóÇÚóÝõ Úóáóì ßõÑõæÑö ÇáÇóÒúãöäóÉö¡ æóíóÊóÒóÇíóÏõ ÃóÖúÚóÇÝóÇð ãõÊóÑóÇÏöÝóÉð¡ ÍóãúÏÇð íóÚúÌöÒõ Úóäú ÅÍúÕóÂÆöåö ÇáúÍóÝóÙóÉõ¡ æóíóÒöíÏõ Úóáóì ãóÇ ÃóÍúÕóÊúåõ Ýöí ßöÊÇÈößó ÇáúßóÊóÈóÉõ¡ ÍóãúÏÇð íõæÇÒöäõ ÚóÑúÔóßó ÇáãóÌöíúÏó¡ æóíõÚóÇÏöáõ ßõÑúÓöíøóßó ÇáÑøóÝöíÚó¡ ÍóãúÏÇð íóßúãõáõ áóÏóíúßó ËóæóÇÈõåõ¡ æóíóÓúÊóÛúÑöÞõ ßõáøó ÌóÒóÂÁ ÌóÒóÂÄõåõ¡ ÍóãúÏÇð ÙóÇåöÑõåõ æóÝúÞñ áöÈóÇØöäöåö¡ æóÈóÇØöäõåõ æóÝúÞñ áöÕöÏúÞö ÇáäøöíøóÉö Ýöíåö¡ ÍóãúÏÇð áóãú íóÍúãóÏúßó ÎóáúÞñ ãöËúáóåõ¡ æóáÇó íóÚúÑöÝõ ÃóÍóÏñ ÓöæóÇßó ÝóÖúáóåõ¡ ÍóãúÏÇð íõÚóÇäõ ãóäö ÇÌúÊóåóÏó Ýöí ÊóÚúÏöíúÏöåö¡ æóíõÄóíøóÏõ ãóäú ÃóÛúÑóÞó äóÒúÚóÇð Ýöí ÊóæúÝöíóÊöåö¡ ÍóãúÏÇð íóÌúãóÚõ ãóÇ ÎóáóÞúÊó ãöäó ÇáúÍóãúÏö¡ æóíóäúÊóÙöãõ ãóÇ ÃóäúÊó ÎóÇáöÞõåõ ãöäú ÈóÚúÏõ¡ ÍóãúÏÇð áÇó ÍóãúÏó ÃóÞúÑóÈõ Åáóì Þóæúáößó ãöäúåõ¡ æóáÇó ÃóÍúãóÏó ãöãøóäú íóÍúãóÏõßó Èöåö¡ ÍóãúÏÇð íõæÌöÈõ ÈößóÑóãößó ÇáúãóÒöíÏó ÈöæõÝõæÑöåö¡ æóÊóÕöáõåõ ÈöãóÒöíúÏ ÈóÚúÏó ãóÒöíúÏ ØóæúáÇð ãöäúßó¡ ÍóãúÏÇð íóÌöÈõ áößóÑóãö æóÌúåößó¡ æóíõÞóÇÈöáõ ÚöÒøó ÌóáÇóáößó. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáö ãõÍóãøóÏ ÇáúãõäúÊóÌóÈö¡ ÇáúãõÕúØóÝóì¡ ÇáúãõßóÑøóãö¡ ÇáúãõÞóÑøóÈö¡ ÃóÝúÖóáó ÕóáóæóÇÊößó¡ æóÈÇÑößú Úóáóíúåö ÃóÊóãøóÈóÑóßÇÊößó¡ æóÊóÑóÍøóãú Úóáóíúåö ÃóãúÊóÚó ÑóÍóãóÇÊößó. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ ÕóáÇóÉð ÒóÇßöíóÉð¡ áÇó Êóßõæäõ ÕóáÇóÉñ ÃóÒúßóì ãöäúåóÇ¡ æóÕóáøö Úóáóíúåö ÕóáÇóÉð äóÇãöíóÉð¡ áÇó Êóßõæäõ ÕóáÇÉñ Ãóäúãóì ãöäúåóÇ¡ æóÕóáøö Úóáóíúåö ÕóáÇÉð ÑóÇÖöíóÉð¡ áÇó Êóßõæäõ ÕóáÇÉñ ÝóæúÞóåóÇ. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ ÕóáÇóÉð ÊõÑúÖöíåö æóÊóÒöíÏõ Úóáóì ÑöÖóÇåõ¡ æóÕóáøö Úóáóíúåö ÕóáÇóÉð ÊõÑúÖöíßó æóÊóÒöíÏõ Úóáóì ÑöÖóÇßó áóåõ¡ æóÕóáøö Úóáóíúåö ÕóáÇóÉð áÇó ÊóÑúÖóì áóåõ ÅáÇøó ÈöåóÇ¡ æóáÇó ÊóÑì ÛóíúÑóåõ áóåóÇ ÃóåúáÇð. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö¡ ÕóáÇóÉð ÊõÌóÇæöÒõ ÑöÖúæóÇäóßó¡ æóíóÊøóÕöáõ ÇÊøöÕóÇáõåóÇ ÈöÈóÞóÂÆößó¡ æóáÇó íóäúÝóÏõ ßóãóÇ áÇó ÊóäúÝóÏõ ßóáöãÇÊõßó. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ÕóáÇóÉð ÊóäúÊóÙöãõ ÕóáóæóÇÊö ãóáÇÆößóÊößó æóÃóäúÈöíÂÆößó æóÑõÓõáößó æóÃóåúáö ØóÇÚóÊößó. æóÊóÔúÊóãöáõ Úóáóì ÕóáóæóÇÊö ÚöÈóÇÏößó ãöäú Ìöäøßó æóÅäúÓößó æóÃóåúáö ÅÌóÇÈóÊößó¡ æóÊóÌúÊóãöÚõ Úóáóì ÕóáÇóÉö ßõáøö ãóäú ÐóÑóÃúÊó æóÈóÑóÃúÊó ãöäú ÃóÕúäóÇÝö ÎóáúÞößó. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóíúåö æóÂáöåö ÕóáÇóÉð ÊõÍöíØõ Èößõáøö ÕóáÇóÉ ÓóÇáöÝóÉ æóãõÓúÊóÃúäóÝóÉ¡ æóÕóáøö Úóáóíúåö æóÚóáóì Âáöåö ÕóáÇóÉðãóÑúÖöíøóÉð áóßó æóáöãóäú Ïõæäóßó¡ æóÊõäúÔöÆõ ãóÚó Ðóáößó ÕóáóæóÇÊ ÊõÖóÇÚöÝõ ãóÚóåóÇ Êöáúßó ÇáÕøóáóæóÇÊö ÚöäúÏóåóÇ¡ æóÊóÒöíÏõåóÇ Úóáóì ßõÑõæÑö ÇáÇóíøóÇãö ÒöíóÇÏóÉð Ýöí ÊóÖóÇÚöíÝó áÇó íóÚõÏøõåóÇ ÛóíúÑõßó. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ÃóØóÇÆöÈö Ãóåúáö ÈóíúÊöåö ÇáøóÐöíäó ÇÎúÊóÑúÊóåõãú áÇöóãúÑößó¡ æóÌóÚóáúÊóåõãú ÎóÒóäóÉó Úöáúãößó¡ æóÍóÝóÙóÉó Ïöíúäößó¡ æóÎõáóÝóÂÁóßó Ýöí ÃóÑúÖößó¡ æóÍõÌóÌóßó Úóáóì ÚöÈóÇÏößó¡ æóØóåøóÑúÊóåõãú ãöäó ÇáÑøöÌúÓö æóÇáÏøóäóÓö ÊóØúåöíÑÇð ÈöÅÑóÇÏóÊößó¡ æóÌóÚóáúÊóåõãú ÇáúæóÓöíúáóÉó Åáóíúßó æóÇáúãóÓúáóßó Åáóì ÌóäøóÊößó¡ ÑóÈøö Õóáøö Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ÕóáÇÉð ÊõÌúÒöáõ áóåõãú ÈöåóÇ ãöäú ÊõÍóÝößó æóßóÑóÇãóÊößó¡ æóÊõßúãöáõ áóåõãõ ÇáÇóÔúíóÂÁó ãöäú ÚóØóÇíÇßó æóäóæóÇÝöáößó¡ æóÊõæóÝøöÑõ Úóáóíúåöãõ ÇáúÍóÙøó ãöäú ÚóæóÇÆöÏößó æóÝóæÇÆöÏößó. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóíúåö æóÚóáóíúåöãú ÕóáÇóÉð áÇó ÃóãóÏó Ýöí ÃóæøóáöåóÇ¡ æóáÇó ÛóÇíóÉó áÇöóãóÏöåóÇ¡ æóáÇó äöåóÇíóÉó áÇöÎöÑöåóÇ. ÑóÈøö Õóáøö Úóáóíúåöãú ÒöäóÉó ÚóÑúÔößó æóãóÇ Ïõæäóåõ¡ æóãöáÁó ÓóãæóÇÊößó æóãóÇ ÝóæúÞóåõäøó¡ æóÚóÏóÏó ÃóÑóÖöíúßó¡ æóãóÇ ÊóÍúÊóåõäøó¡ æóãóÇ Èóíúäóåõäøó¡ ÕóáÇóÉð ÊõÞóÑøöÈõåõãú ãöäúßó ÒõáúÝì æóÊóßõæäõ áóßó æóáóåõãú ÑöÖóìð¡ æóãõÊøóÕöáóÉñÈöäóÙóÇÆöÑöåöäøó ÃóÈóÏÇð. Ãááøóåõãøó Åäøóßó ÃóíøóÏúÊó Ïöíäóßó Ýöí ßõáøö ÃóæóÇä ÈöÅãóÇã ÃóÞóãúÊóåõ ÚóáóãÇð áöÚöÈóÇÏößó æøóãóäÇÑóÇð Ýöí ÈöáÇóÏößó¡ ÈóÚúÏó Ãóäú æóÕóáúÊó ÍóÈúáóåõ ÈöÍóÈúáößó¡ æóÌóÚóáúÊóåõ ÇáÐøóÑöíÚóÉó Åáóì ÑöÖúæóÇäößó¡ æóÇÝúÊóÑóÖúÊó ØóÇÚóÊóåõ¡ æóÍóÐøóÑúÊó ãóÚúÕöíóÊóåõ¡ æóÃóãóÑúÊó ÈöÇãúÊöËóÇáö ÃóãúÑöåö (ÃæóÇöãöÑöå Îá) æóÇáÇäúÊöåóÂÁö ÚöäúÏó äóåúíöåö¡ æóÃóáÇøó íóÊóÞóÏøóãóåõ ãõÊóÞóÏøöãñ¡ æóáÇó íóÊóÃóÎøóÑó Úóäúåõ ãõÊóÃóÎøöÑñ¡ Ýóåõæó ÚöÕúãóÉõ ÇááÇøóÆöÐöíäó¡ æóßóåúÝõ ÇáúãõÄúãöäöíäó¡ æóÚõÑúæóÉõ ÇáúãõÊóãóÓøößöíäó¡ æóÈóåóÂÁõ ÇáúÚóÇáóãöíäó. Ãááøóåõãøó ÝóÃóæúÒöÚú áöæóáöíøößó ÔõßúÑó ãóÇ ÃóäúÚóãúÊó Èöåö Úóáóíúåö¡ æóÃóæúÒöÚúäóÇ ãöËúáóåõ Ýöíåö¡ æóÂÊöåö ãöäú áóÏõäúßó ÓõáúØóÇäÇð äóÕöíÑÇð¡ æóÇÝúÊóÍú áóåõ ÝóÊúÍÇð íóÓöíÑÇð¡ æóÃóÚöäúåõ ÈöÑõßúäößó ÇáÇÚóÒøö¡ æóÇÔúÏõÏú ÃóÒúÑóåõ¡ æóÞóæøö ÚóÖõÏóåõ¡ æóÑóÇÚöåö ÈöÚóíúäößó¡ æóÇÍúãöåö ÈöÍöÝúÙößó¡ æóÇäúÕõÑúåõ ÈöãóáÇÆößóÊößó¡ æóÇãúÏõÏúåõ ÈöÌõäúÏößó ÇáÇóÛúáóÈö æóÃóÞöãú Èöåö ßöÊóÇÈóßó æóÍõÏõæÏóßó¡ æóÔóÑóÇÆöÚóßó æóÓõäóäó ÑóÓõæáößó ÕóáóæóÇÊõßó Çááøóåõãøó Úóáóíúåö æóÂáöåö¡ æóÃóÍúíö Èöåö ãóÇ ÃóãóÇÊóåõ ÇáÙøóÇáöãõæäó ãöäú ãóÚóÇáöãö Ïöíäößó¡ æóÇÌúáõ Èöåö ÕóÏóÃó ÇáúÌóæúÑö Úóäú ØóÑöíÞóÊößó¡ æóÃóÈöäú Èöåö ÇáÖøóÑøóÂÁó ãöäú ÓóÈöíáößó¡æóÃóÒöáú Èöåö ÇáäøóÇßöÈöíäó Úóäú ÕöÑóÇØößó¡ æóÇãúÍóÞú Èöåö ÈõÛóÇÉó ÞóÕúÏößó ÚöæóÌÇð¡ æóÃóáöäú ÌóÇäöÈóåõ áÇöóæúáöíóÂÆößó¡ æóÇÈúÓõØú íóÏóåõ Úóáóì ÃóÚúÏóÇÆößó¡ æóåóÈú áóäÇ ÑóÃúÝóÊóåõ æóÑóÍúãóÊóåõ æóÊóÚóØøõÝóåõ æóÊóÍóäøõäóåõ¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ áóåõ ÓóÇãöÚöíäó ãõØöíÚöíäó¡ æóÝöí ÑöÖóÇåõ ÓóÇÚöíäó¡ æóÅáóì äõÕúÑóÊöåö æóÇáúãõÏóÇÝóÚóÉö Úóäúåõ ãõßúäöÝöíäó¡ æóÅáóíúßó æóÅáóì ÑóÓõæáößó ÕóáóæÇÊõßó Çááøóåõãøó Úóáóíúåö æóÂáöåö ÈöÐóáößó ãõÊóÞóÑøöÈöíäó. Ãááøóåõãøó æóÕóáøö Úóáóì ÃóæúáöíÂÆöåöãõ ÇáúãõÚúÊóÑöÝöíäó ÈöãóÞóÇãöåöãú¡ ÇáúãõÊøóÈöÚöíäó ãóäúåóÌóåõãú¡ ÇáúãõÞúÊóÝöíúäó ÂËóÇÑóåõãú¡ ÇáúãõÓúÊóãúÓößöíäó ÈöÚõÑúæóÊöåöãú¡ ÇáúãõÊóãóÓøößöíäó ÈöæóáÇóíóÊöåöãú¡ ÇáúãõÄúÊóãøöíäó ÈöÅãóÇãóÊöåöãú¡ ÇáúãõÓóáøöãöíäó áÇöóãúÑöåöãú ÇáúãõÌúÊóåöÏöíúäó Ýöí ØÇÚóÊöåöãú¡ ÇáúãõäúÊóÙöÑöíúäó ÃóíøóÇãóåõãú¡ ÇáúãóÇÏøöíäó Åáóíúåöãú ÃóÚúíõäóåõãú¡ ÇáÕøóáóæóÇÊö ÇáúãõÈóÇÑóßóÇÊö ÇáÒøóÇßöíóÇÊö ÇáäøóÇãöíóÇÊö ÇáÛóÇÏöíóÇÊö¡ ÇáÑøóÇÆöãÇÊö. æóÓóáøöãú Úóáóíúåöãú æóÚóáóì ÃóÑúæóÇÍöåöãú¡ æóÇÌúãóÚú Úóáóì ÇáÊøóÞúæóì ÃóãúÑóåõãú¡ æóÃóÕúáöÍú áóåõãú ÔõÄõæäóåõãú¡ æóÊõÈú Úóáóíúåöãú Åäøóßó ÃóäúÊó ÇáÊøóæøóÇÈõ ÇáÑøóÍöíãõ æóÎóíúÑõ ÇáúÛóÇÝöÑöíäó¡ æóÇÌúÚóáúäóÇ ãóÚóåõãú Ýöí ÏóÇÑö ÇáÓøóáÇóãö ÈöÑóÍúãóÊößó íóÇ ÃóÑúÍóãóÇáÑøóÇÍöãöíäó. Ãááøóåõãøó åóÐóÇ íóæúãõ ÚóÑóÝóÉó¡ íóæúãñ ÔóÑøóÝúÊóåõ æóßóÑøóãúÊóåõ æóÚóÙøóãúÊóåõ¡ äóÔóÑúÊó Ýöíåö ÑóÍúãóÊóßó¡ æóãóäóäúÊó Ýöíåö ÈöÚóÝúæößó æóÃóÌúÒóáúÊó Ýöíåö ÚóØöíøóÊóßó¡ æóÊóÝóÖøóáúÊó Èöåö Úóáóì ÚöÈóÇÏößó. Ãááøóåõãøó æóÃóäóÇ ÚóÈúÏõßó ÇáøóÐöí ÃóäúÚóãúÊó Úóáóíúåö ÞóÈúáó ÎóáúÞößó áóåõ¡ æóÈóÚúÏó ÎóáúÞößó ÅíøóÇåõ¡ ÝóÌóÚóáúÊóåõ ãöãøóäú åóÏóíúÊóåõ áöÏöíäößó¡ æóæóÝøóÞúÊóåõ áöÍóÞøößó¡ æóÚóÕóãúÊóåõ ÈöÍóÈúáößó¡ æóÃóÏúÎóáúÊóåõ Ýöíú ÍöÒúÈößó¡ æóÃóÑúÔóÏúÊóåõ áöãõæóÇáÇóÉö ÃóæúáíÂÆößó¡ æóãõÚóÇÏóÇÉö ÃóÚúÏóÇÆößó¡ Ëõãøó ÃóãóÑúÊóåõ Ýóáóãú íóÃúÊóãöÑú¡ æóÒóÌóÑúÊóåõ Ýóáóãú íóäúÒóÌöÑú¡ æóäóåóíúÊóåõ Úóäú ãóÚúÕöíóÊößó ÝóÎóÇáóÝó ÃóãúÑóßó Åáóì äóåúíößó¡ áÇó ãõÚóÇäóÏóÉð áóßó æóáÇó ÇÓúÊößúÈóÇÑÇð Úóáóíúßó¡ Èóáú ÏóÚóÇåõ åóæóÇåõ Åáóì ãóÇ ÒóíøóáúÊóåõ¡ æóÅáóì ãóÇ ÍóÐøóÑúÊóåõ¡ æóÃóÚóÇäóåõ Úóáóì ÐÇáößó ÚóÏõæøõßó æóÚóÏõæøõåõ¡ ÝóÃóÞúÏóãó Úóáóíúåö ÚóÇÑöÝÇð ÈöæóÚöíúÏößó¡ ÑóÇÌöíÇð áöÚóÝúæößó¡ æóÇËöÞÇð ÈöÊóÌóÇæõÒößó¡ æóßóÇäó ÃóÍóÞøó ÚöÈóÇÏößó Ü ãóÚó ãóÇ ãóäóäúÊó Úóáóíúåö Ü ÃóáÇøó íóÝúÚóáó¡ æóåóÇ ÃóäóÇ ÐóÇ Èóíúäó íóÏóíúßó ÕóÇÛöÑÇð¡ ÐóáöíáÇð¡ ÎóÇÖöÚóÇð¡ ÎóÇÔöÚÇð¡ ÎóÇÆöÝóÇð¡ ãõÚúÊóÑöÝÇð ÈöÚóÙöíã ãöäó ÇáÐøõäõæÈö ÊóÍóãøóáúÊõåõ¡ æóÌóáöíúá ãöäó ÇáúÎóØóÇíóÇÇÌúÊóÑóãúÊõåõ¡ ãõÓúÊóÌöíÑÇð ÈöÕóÝúÍößó¡ áÇÆöÐÇð ÈöÑóÍúãóÊößó¡ ãõæÞöäÇð Ãóäøóåõ áÇó íõÌöíÑõäöí ãöäúßó ãõÌöíÑñ¡ æóáÇó íóãúäóÚõäöí ãöäúßó ãóÇäöÚñ. ÝóÚõÏú Úóáóíøó ÈöãóÇ ÊóÚõæÏõ Èöåö Úóáóì ãóäö ÇÞúÊóÑóÝó ãöäú ÊóÛóãøõÏößó¡ æóÌõÏú Úóáóíøó ÈöãóÇ ÊóÌõæÏõ Èöåö Úóáóì ãóäú ÃóáúÞóì ÈöíóÏöåö Åáóíúßó ãöäú ÚóÝúæößó¡ æóÇãúäõäú Úóáóíøó ÈöãóÇ áÇó íóÊóÚóÇÙóãõßó Ãóäú Êóãõäøó Èöåö Úóáóì ãóäú Ãóãøóáóßó ãöäú ÛõÝúÑóÇäößó¡ æóÇÌúÚóáú áöí Ýöí åóÐóÇ Çáúíóæúãö äóÕöíÈÇð ÃóäóÇáõ Èöåö ÍóÙøÇð ãöäú ÑöÖúæóÇäößó¡ æóáÇó ÊóÑõÏøóäöí ÕöÝúÑÇð ãöãøóÇ íóäúÞóáöÈõ Èöåö ÇáúãõÊóÚóÈøöÏõæäó áóßó ãöäú ÚöÈóÇÏößó¡ æóÅäøöí æóÅäú áóãú ÃõÞóÏøöãú ãóÇ ÞóÏøóãõæåõ ãöäó ÇáÕøóÇáöÍóÇÊö¡ ÝóÞóÏ ÞóÏøóãúÊõ ÊóæúÍöíÏóßó¡ æóäóÝúíó ÇáÇóÖúÏóÇÏö æóÇáÇóäúÏóÇÏö æóÇáÇÔúÈóÇåö Úóäúßó¡ æóÃóÊóíúÊõßó ãöäó ÇáÇóÈúæóÇÈö ÇáøóÊöí ÃóãóÑúÊó Ãóäú ÊõÄúÊì ãöäúåÇ¡ æóÊóÞóÑøóÈúÊõ Åáóíúßó ÈöãóÇ áÇó íóÞúÑõÈõ Èöåö¡ ÃóÍóÏñ ãöäúßó ÅáÇøó ÈöÇáÊøóÞóÑøõÈö Èöåö Ëõãøó ÃóÊúÈóÚúÊõ Ðáößó ÈöÇáÇöäÇÈóÉö Åáóíúßó¡ æóÇáÊøóÐóáøõáö æóÇáÇÓúÊößóÇäóÉö áóßó¡ æóÍõÓúäö ÇáÙøóäøö Èößó¡ æóÇáËøöÞóÉö ÈöãóÇ ÚöäúÏóßó¡ æóÔóÝóÚúÊõåõ ÈöÑóÌÂÆößó ÇáøóÐöí Þóáøó ãóÇ íóÎöíÈõ Úóáóíúåö ÑóÇÌöíúßó¡ æóÓóÃóáúÊõßó ãóÓúÃóáóÉó ÇáúÍóÞöíÑö ÇáÐøáöíáö ÇáúÈóÇÆöÓö ÇáúÝóÞöíúÑöÇáúÎóÇÆöÝö ÇáúãõÓúÊóÌöíÑö¡ æóãóÚó Ðóáößó ÎöíÝóÉð æóÊóÖóÑøõÚÇð æóÊóÚóæøõÐÇð æóÊóáóæøõÐÇð¡ áÇó ãõÓúÊóØöíáÇð ÈöÊóßÈøõÑö ÇáúãõÊóßóÈøöÑöíäó¡ æóáÇó ãõÊóÚóÇáöíÇð ÈöÏÇáøóÉö ÇáúãõØöíÚöíäó¡ æóáÇó ãõÓúÊóØöíáÇð ÈöÔóÝóÇÚóÉö ÇáÔøóÇÝöÚöíäó¡ æóÃóäóÇ ÈóÚúÏõ ÃóÞóáøõ ÇáÇóÞóáøöíúäó¡ æóÃóÐóáøõ ÇáÇóÐóáøöíäó¡ æóãöËúáõ ÇáÐøóÑøóÉö Ãóæú ÏõæäóåóÇ. ÝóíóÇ ãóäú áóãú íóÚóÇÌöáö ÇáúãõÓöíÆöíäó¡ æóáÇó íóäúÏóåõ ÇáúãõÊúÑóÝöíäó¡ æóíóÇ ãóäú íóãõäøõ ÈöÅÞóÇáóÉö ÇáúÚóÇËöÑöíäó¡ æóíóÊóÝóÖøóáõ ÈÅäúÙóÇÑö ÇáúÎóÇØöÆöíäó¡ ÃóäóÇ ÇáúãõÓöíÁõ ÇáúãõÚúÊóÑöÝõ ÇáúÎóÇØöÆõ ÇáúÚóÇËöÑõ¡ ÃóäóÇ ÇáøóÐöíú ÃóÞúÏóãó Úóáóíúßó ãõÌúÊóÑöÆÇð¡ ÃóäóÇ ÇáøóÐöí ÚóÕóÇßó ãõÊóÚóãøöÏÇð¡ ÃóäóÇ ÇáøóÐöí ÇÓúÊóÎúÝì ãöäú ÚöÈóÇÏößó æóÈóÇÑóÒóßó¡ ÃóäóÇ ÇáøóÐöí åóÇÈó ÚöÈóÇÏóßó æóÃóãöäóßó ÃóäóÇ ÇáøóÐöí áóãú íóÑúåóÈú ÓóØúæóÊóßó æóáóãú íóÎóÝú ÈóÃúÓóßó ÃóäóÇ ÇáúÌóÇäöí Úóáóì äóÝúÓöåö¡ ÃóäóÇ ÇáúãõÑúÊóåóäõ ÈöÈóáöíøóÊöåö¡ ÃóäóÇ ÇáúÞóáöíáõ ÇáúÍóíóÇÁö¡ ÃóäóÇ ÇáØøóæöíáõ ÇáúÚóäÂÁö¡ ÈöÍóÞøö ãóäö ÇäúÊóÌóÈúÊó ãöäú ÎóáúÞößó¡ æóÈöãóäö ÇÕúØóÝóíúÊóåõ áöäóÝúÓößó¡ ÈöÍóÞøö ãóäö ÇÎúÊóÑúÊó ãöäú ÈóÑíøóÊößó¡ æóãóäö ÇÌúÊóÈóíúÊó áöÔóÃúäößó¡ ÈöÍóÞøö ãóäú æóÕóáúÊó ØóÇÚóÊóåõ ÈöØóÇÚóÊößó¡ æóãóäú ÌóÚóáúÊó ãóÚúÕöíóÊóåõ ßóãóÚúÕöíóÊößó ÈöÍóÞøö ãóäú ÞóÑóäúÊó ãõæóÇáÇóÊóåõ ÈöãõæÇáÇÊößó¡æóãóäú äõØúÊó ãõÚóÇÏóÇÊóåõ ÈöãõÚóÇÏóÇÊößó. ÊóÛóãøóÏúäöí Ýöí íóæúãöíó åóÐóÇ ÈöãóÇ ÊóÊóÛóãøóÏõ Èöåö ãóäú ÌóÇÑó Åáóíúßó ãõÊóäóÕøöáÇð¡ æóÚóÇÐó ÈöÇÓúÊöÛúÝóÇÑößó ÊóÇÆöÈÇð¡ æóÊóæóáøóäöí ÈöãóÇ ÊóÊóæóáøóì Èöåö Ãóåúáó ØóÇÚóÊößó¡ æóÇáÒøõáúÝóì áóÏóíúßó¡ æóÇáúãóßóÇäóÉö ãöäúßó¡ æóÊóæóÍøóÏúäöí ÈöãóÇ ÊóÊóæóÍøóÏõ Èöåö ãóäú æóÝì ÈöÚóåúÏößó¡ æóÃóÊúÚóÈó äóÝúÓóåõ Ýöíú ÐóÇÊößó¡ æóÃóÌúåóÏóåóÇ Ýöí ãóÑúÖóÇÊößó¡ æóáÇó ÊõÄóÇÎöÐúäöí ÈöÊóÝúÑöíØöíú Ýöí ÌóäúÈößó¡ æóÊóÚóÏøöí ØóæúÑöíú Ýöí ÍõÏæÏößó¡ æóãõÌóÇæóÒóÉö ÃóÍúßóÇãößó. æóáÇó ÊóÓúÊóÏúÑöÌúäöí ÈöÅãúáÇÆößó áöí ÇÓúÊöÏúÑóÇÌó ãóäú ãóäóÚóäöí ÎóíúÑó ãóÇ ÚöäúÏóåõ¡ æóáóãú íóÔúÑóßúßó Ýöí Íõáõæáö äöÚúãóÊöåö Èöí¡ æóäóÈøöåúäöí ãöäú ÑóÞúÏóÉö ÇáúÛóÇÝöáöíäó¡ æóÓöäóÉö ÇáúãõÓúÑöÝöíäó¡ æóäóÚúÓóÉö ÇáúãóÎúÐõæáöíäó. æóÎõÐú ÈöÞóáúÈöí Åáóì ãóÇ ÇÓúÊóÚúãóáúÊó Èöåö ÇáÞóÇäöÊöíúäó¡ æóÇÓúÊóÚúÈóÏúÊó Èöåö ÇáúãõÊóÚóÈøöÏöíäó¡ æóÇÓúÊóäúÞóÐúÊó Èöåö ÇáúãõÊóåóÇæöäöíäó¡ æóÃóÚöÐúäöí ãöãøóÇ íõÈóÇÚöÏõäöí Úóäúßó¡ æóíóÍõæáõ Èóíúäöí æóÈóíúäó ÍóÙøöí ãöäúßó¡ æóíóÕõÏøõäöí ÚóãøóÇ ÃõÍóÇæöáõ áóÏóíúßó. æóÓóåøöáú áöí ãóÓúáóßó ÇáúÎóíúÑóÇÊö Åáóíúßó¡ æóÇáúãõÓóÇÈóÞóÉö ÅáóíúåóÇ ãöäú ÍóíúËõ ÃóãóÑúÊó¡æóÇáúãõÔóÇÍøóÉó ÝöíåóÇ Úóáóì ãóÇ ÃóÑóÏúÊó. æóáÇó ÊóãúÍóÞúäöí Ýöíãóäú ÊóãúÍóÞõ ãöäó ÇáúãõÓúÊóÎöÝøöíäó ÈöãóÇ ÃóæúÚóÏúÊó¡ æóáÇó Êõåúáößúäöí ãóÚó ãóäú Êõåúáößõ ãöäó ÇáúãõÊóÚóÑøöÖöíäó áöãóÞúÊößó¡ æóáÇó ÊõÊóÈøöÑúäí Ýöíãóäú ÊõÊóÈøöÑõ ãöäó ÇáúãõäúÍóÑöÝöíäó Úóäú ÓõÈõáößó. æóäóÌøöäöíú ãöäú ÛóãóÑóÇÊö ÇáúÝöÊúäóÉö¡ æóÎóáøöÕúäöí ãöäú áóåóæóÇÊö ÇáúÈóáúæì¡ æóÃóÌöÑúäöí ãöäú ÃóÎúÐö ÇáÇöãúáÇÁö¡ æóÍõáú Èóíúäöí æóÈóíúäó ÚóÏõæøò íõÖöáøõäöí¡ æóåóæìð íõæÈöÞõäöí¡ æóãóäúÞóÕóÉ ÊóÑúåóÞõäöí. æóáÇó ÊõÚúÑöÖú Úóäøöí ÅÚúÑóÇÖó ãóäú áÇó ÊóÑúÖóì Úóäúåõ ÈóÚúÏó ÛóÖóÈößó¡ æóáÇó ÊõÄúíöÓúäöí ãöäó ÇáÇãóáö Ýöíßó¡ ÝóíóÛúáöÈó Úóáóíøó ÇáúÞõäõæØõ ãöäú ÑóÍúãóÊößó¡ æóáÇó ÊóãúäóÍúäöí ÈöãóÇ áÇó ØóÇÞóÉó áöíú Èöåö¡ ÝóÊóÈúåóÙóäöí ãöãøóÇ ÊõÍóãøöáõäöíåö ãöäú ÝóÖúáö ãóÍóÈøóÊößó¡ æóáÇó ÊõÑúÓöáúäöí ãöäú íóÏößó ÅÑúÓóÇáó ãóäú áÇó ÎóíúÑó Ýöíåö¡ æóáÇó ÍóÇÌóÉó Èößó Åáóíúåö¡ æóáÇó ÅäÇÈóÉó áóåõ¡ æóáÇó ÊóÑúãö Èöíó Ñóãúíó ãóäú ÓóÞóØó ãöäú Úóíúäö ÑöÚóÇíóÊößó¡ æóãóäö ÇÔúÊóãóáó Úóáóíúåö ÇáúÎöÒúíõ ãöäú ÚöäúÏößó¡ Èóáú ÎõÐú ÈöíóÏöíú ãöäú ÓóÞúØóÉö ÇáúãõÊóÑóÏøöÏöíäó¡ æóæóåúáóÉö ÇáúãõÊóÚóÓøöÝöíúäó¡ æóÒóáøÉö ÇáúãóÛúÑõæÑöíäó¡ æóæóÑúØóÉö ÇáúåóÇáößöíäó. æóÚóÇÝöäöí ãöãøóÇÇÈúÊóáóíúÊó Èöåö ØóÈóÞóÇÊö ÚóÈöíÏößó æóÅãÂÆößó¡ æóÈóáøöÛúäöí ãóÈóÇáöÛó ãóäú ÚõäöíÊó Èöåö¡ æóÃóäúÚóãúÊó Úóáóíúåö¡ æóÑóÖöíÊó Úóäúåõ¡ ÝóÃóÚóÔúÊóåõ ÍóãöíÏÇð¡ æóÊóæóÝøóíúÊóåõ ÓóÚöíÏÇð¡ æóØóæøöÞúäöí ØóæúÞó ÇáÇöÞúáÇóÚö ÚóãøóÇ íõÍúÈöØõ ÇáúÍóÓóäóÇÊö¡ æóíóÐúåóÈõ ÈöÇáúÈóÑóßóÇÊö¡ æóÃóÔúÚöÑú ÞóáúÈöíó ÇáÇÒúÏöÌóÇÑó Úóäú ÞóÈóÇÆöÍö ÇáÓøóíøöÆÇÊö¡ æóÝóæóÇÖöÍö ÇáúÍóæúÈóÇÊö¡ æóáÇó ÊóÔúÛóáúäöí ÈöãóÇ áÇó ÃõÏúÑößõåõ ÅáÇøó Èößó ÚóãøóÇ áÇ ó íõÑúÖöíúßó Úóäøöí ÛóíúÑõåõ¡ æóÇäúÒóÚú ãöäú ÞóáúÈöí ÍõÈøó ÏõäúíóÇ ÏóäöíøóÉ Êóäúåì ÚóãøóÇ ÚöäúÏóßó¡ æóÊóÕõÏøõ Úóäö ÇÈúÊöÛóÂÁö ÇáúæóÓöíáóÉö Åáóíúßó¡ æóÊõÐúåöáõ Úóäö ÇáÊøóÞóÑõÈö ãöäúßó¡ æóÒóíøöäó áöíó ÇáÊøóÝóÑøõÏó ÈöãõäóÇÌóÇÊößó ÈöÇááøóíúáö æóÇáäøóåóÇÑö¡ æóåóÈú áöí ÚöÕúãóÉð ÊõÏúäöíäöí ãöäú ÎóÔúíóÊößó¡ æóÊóÞúØóÚõäöí Úóäú ÑõßõæÈö ãóÍóÇÑöãßó¡ æóÊóÝõßøõäöí ãöäú ÃóÓúÑö ÇáúÚóÙóÇÆöãö¡ æóåóÈú áöí ÇáÊøóØúåöíÑó ãöäú ÏóäóÓö ÇáúÚöÕúíóÇäö¡ æóÃóÐúåöÈú Úóäøöí ÏóÑóäó ÇáúÎóØóÇíóÇ¡ æóÓóÑúÈöáúäöí ÈöÓöÑúÈÇáö ÚóÇÝöíóÊößó¡ æóÑóÏøöäöí ÑöÏóÂÁó ãõÚóÇÝÇÊößó¡ æóÌóáøöáúäöí ÓóæÇÈöÛó äóÚúãóÇÆößó¡ æóÙóÇåöÑú áóÏóíøó ÝóÖúáóßó æóØóæúáóßó¡ æóÃóíúÏúäöí ÈöÊóæúÝöíÞößó æóÊóÓúÏöíúÏößó¡ æóÃóÚöäøöí Úóáóì ÕÇáöÍö ÇáäøöíøóÉöæóãóÑúÖöíøö ÇáúÞóæúáö æóãõÓúÊóÍúÓóäö ÇáúÚóãóáö. æóáÇó Êóßöáúäöí Åáóì Íóæúáöí æóÞõæøóÊöí Ïõæäó Íóæúáößó æóÞõæøóÊößó¡ æóáÇó ÊóÎúÒöäöí íóæúãó ÊóÈúÚóËõäöí áöáöÞÇÆößó¡ æóáÇó ÊóÝúÖóÍúäöí Èóíúäó íóÏóíú ÃóæúáöíÇöÆßó¡ æóáÇó ÊõäúÓöäöí ÐößúÑóßó¡ æóáÇó ÊõÐúåöÈú Úóäøöí ÔõßúÑóßó¡ Èóáú ÃóáúÒöãúäöíåö Ýöí ÃóÍúæóÇáö ÇáÓøóåúæö ÚöäúÏó ÛóÝóáÇóÊö ÇáúÌóÇåöáöíäó áÇöáÇÆößó¡ æóÃóæúÒöÚúäöí Ãóäú ÃõËúäöíó ÈöãóÇ ÃóæúáóíúÊóäöíåö¡ æóÃóÚúÊóÑöÝö ÈöãóÇ ÃóÓúÏóíúÊóåõ Åáóíøó¡ æóÇÌúÚóáú ÑóÛúÈóÊöí Åáóíúßó ÝóæúÞó ÑóÛúÈóÉö ÇáúÑøóÇÛöÈöíäó¡ æóÍóãúÏöí ÅíøóÇßó ÝóæúÞó ÍóãúÏö ÇáúÍóÇãöÏöíúäó¡ æóáÇó ÊóÎúÐõáúäöí ÚöäúÏó ÝÇÞóÊöí Åáóíúßó¡ æóáÇó Êõåúáößúäöí ÈöãóÇ ÃóÓúÏóíúÊõåõ Åáóíúßó¡ æóáÇó ÊóÌúÈóåúäöí ÈöãóÇ ÌóÈóåúÊó Èöåö ÇáúãóÚóÇäöÏöíäó áóßó¡ ÝóÅäøöí áóßó ãõÓóáøöãñ¡ ÃóÚúáóãõ Ãóäøó ÇáúÍõÌøóÉó áóßó¡ æóÃóäøóßó Ãóæúáóì ÈöÇáúÝóÖúáö¡ æóÃóÚúæóÏõ ÈöÇáÇÍúÓóÇäö¡ æóÃóåúáõ ÇáÊøóÞúæóì¡ æóÃóåúáõ ÇáúãóÛúÝöÑóÉö¡ æóÃóäøóßó ÈöÃóäú ÊóÚúÝõæó Ãóæúáóì ãöäúßó ÈöÃóäú ÊõÚóÇÞöÈó¡ æóÃóäøóßó ÈöÃóäú ÊóÓúÊõÑó ÃóÞúÑóÈõ ãöäúßó Åáóì Ãäú ÊóÔúåóÑó¡ ÝóÃóÍúíöäöí ÍóíÇÉð ØóíøöÈóÉð ÊóäúÊóÙöãõ ÈöãÇ ÃõÑöíÏõ æóÊóÈúáõÛõ ãóÇ ÃõÍöÈøõ ãöäú ÍóíúËõ áÇó ÂÊöí ãóÇ ÊóßúÑóåõ æóáÇó ÃóÑúÊóßöÈõ ãóÇ äóåóíúÊó Úóäúåõ¡ æóÃóãöÊúäöí ãöíúÊóÉó ãóäú íóÓúÚóìäõæÑõåõ Èóíúäó íóÏóíúåö¡ æóÚóäú íöãöíöäåö¡ æóÐóáøöáúäöí Èóíúäó íóÏóíúßó¡ æóÃóÚöÒøóäöíú ÚöäúÏó ÎóáúÞößó¡ æóÖóÚúäöí ÅÐóÇ ÎóáóæúÊõ Èößó¡ æóÇÑúÝóÚúäöí Èóíúäó ÚöÈÇÏößó¡ æóÃóÛúäöäöí Úóãøóäú åõæó Ûóäöíøñ Úóäøöí¡ æóÒöÏúäöí Åáóíúßó ÝóÇÞóÉð æóÝóÞúÑÇð¡ æóÃóÚöÐúäöí ãöäú ÔóãóÇÊóÉö ÇáÇóÚúÏóÇÁö¡ æóãöäú Íõáõæáö ÇáúÈóáÇÁö¡ æóãöäó ÇáÐøõáøö æóÇáúÚóäóÂÁö¡ ÊóÛóãøóÏúäöí ÝöíãóÇ ÇØøóáóÚúÊó Úóáóíúåö ãöäøöí ÈöãóÇ íóÊóÛóãøóÏõ Èöåö ÇáúÞóÇÏöÑõ Úóáóì ÇáúÈóØúÔö áóæúáÇó Íöáúãõåõ¡ æóÇáÇÎöÐõ Úóáóì ÇáúÌóÑöíÑóÉö áóæúáÇó ÃóäÇÊõåõ¡ æóÅÐóÇ ÃóÑóÏúÊó ÈöÞóæúã ÝöÊúäóÉð Ãóæú ÓõæÁð ÝóäóÌøöäöí ãöäúåóÇ áöæÇÐÇð Èößó¡ æóÅÐú áóãú ÊõÞöãúäöí ãóÞóÇãó ÝóÖöíÍóÉ Ýöí ÏõäúíóÇßó ÝóáÇó ÊõÞöãúäöí ãöËúáóåõ Ýöíú ÂÎöÑóÊößó¡ æóÇÔúÝóÚú áöí ÃóæóÇÆöáó ãöäóäößó ÈöÃóæóÇÎöÑöåóÇ¡ æóÞóÏöíãó ÝóæóÇÆöÏößó ÈöÍóæóÇÏöËöåóÇ. æóáÇó ÊóãúÏõÏú áöíó ãóÏøÇð íóÞúÓõæ ãóÚóåõ ÞóáúÈöí¡ æóáÇó ÊóÞúÑóÚúäöí ÞóÇÑöÚóÉð íóÐúåóÈõ áóåÇ ÈóåóÂÆöí¡ æóáÇó ÊóÓõãúäöí ÎóÓöíúÓóÉð íóÕúÛõÑõ áóåóÇ ÞóÏúÑöí¡ æóáÇó äóÞöíÕóÉð íõÌúåóáõ ãöäú ÃóÌúáöåóÇ ãóßóÇäöí¡ æóáÇó ÊóÑõÚúäöí ÑóæúÚóÉð ÃõÈúáöÓõ Èöåó¡Ç æóáÇó ÎöíúÝÉð ÃæÌöÓõ ÏõæäóåóÇ.ÇÌúÚóáú åóíúÈóÊöí Ýí æóÚöíÏößó¡ æóÍóÐóÑöí ãöäú ÅÚúÐÇÑößó æóÅäúÐóÇÑößó¡ æóÑóåúÈóÊöíÚöäúÏó ÊöáÇóæóÉö ÂíÇÊößó¡ æóÇÚúãõÑú áóíúáöí ÈöÅíÞóÇÙöí Ýöíåö áöÚöÈóÇÏóÊößó¡ æóÊóÝóÑøõÏöí ÈöÇáÊøóåóÌøõÏö áóßó¡ æóÊóÌóÑøõÏöí ÈöÓõßõæäöí Åáóíúßó¡ æóÅäúÒóÇáö ÍóæóÇÆöÌöí Èößó¡ æóãõäóÇÒóáóÊöí ÅíøóÇßó Ýöí ÝóßóÇßö ÑóÞóÈóÊöí ãöäú äóÇÑößó¡ æóÅÌóÇÑóÊöí ãöãøóÇ Ýöíåö ÃóåúáõåóÇ ãöäú ÚóÐóÇÈößó. æóáÇó ÊóÐóÑúäöí Ýöí ØõÛúíóÇäöí ÚóÇãöåÇð¡ æóáÇó Ýöí ÛóãúÑóÊöí ÓóÇåöíÇð ÍóÊøóì Íöíä¡ æóáÇó ÊóÌúÚóáúäöí ÚöÙóÉð áöãóäö ÇÊøóÚóÙó¡ æóáÇó äóßóÇáÇð áöãóäö ÇÚúÊóÈóÑó¡ æóáÇó ÝöÊúäóÉð áöãóä äóÙóÑó¡ æóáÇó ÊóãúßõÑú Èöíó Ýöíãóäú ÊóãúßõÑõ Èöåö¡ æóáÇó ÊóÓúÊóÈúÏöáú Èöíó ÛóíúÑöí¡ æóáÇó ÊõÛóíøöÑú áöíú ÅÓúãÇð¡ æóáÇó ÊõÈÏøöáú áöí ÌöÓúãÇð¡ æóáÇó ÊóÊøóÎöÐúäöí åõÒõæóÇð áöÎóáúÞößó¡ æóáÇó ÓõÎúÑöíøÇð áóßó¡ æóáÇó ÊóÈóÚÇð ÅáÇøó áöãóÑúÖóÇÊößó¡ æóáÇó ãõãúÊóåóäÇð ÅáÇøó ÈöÇáÇäúÊöÞóÇãö áóßó¡ æóÃóæúÌöÏúäöí ÈóÑúÏó ÚóÝúæößó¡ æ ÍóáÇóæóÉó ÑóÍúãóÊößó æóÑóæúÍößó æóÑóíúÍóÇäößó æóÌóäøóÉö äóÚöíúãößó¡ æóÃóÐöÞúäöí ØóÚúãó ÇáúÝóÑóÇÛö áöãóÇ ÊõÍöÈøõ ÈöÓóÚóÉ ãöäú ÓóÚóÊößó¡ æóÇáÇÌúÊöåóÇÏö ÝöíãóÇ íõÒúáöÝõ áóÏóíúßó æóÚöäúÏóß¡ æóÃóÊúÍöÝúäöí ÈöÊõÍúÝóÉ ãöäú ÊõÍóÝóÇÊößó¡ æóÇÌúÚóáú ÊöÌóÇÑóÊöí ÑóÇÈöÍóÉð¡ æóßóÑøóÊöí ÛóíúÑó ÎóÇÓöÑóÉ¡ æóÃóÎöÝúäöí ãóÞóÇãóßó¡ æóÔóæøöÞúäöí áöÞÇÁóßó¡æóÊõÈú Úóáóíøó ÊóæúÈóÉð äóÕõæÍÇð áÇó ÊõÈúÞö ãóÚóåóÇ ÐõäõæÈÇð ÕöÛöíÑóÉð æóáÇ ßóÈöíÑóÉð¡ æóáÇó ÊóÐóÑú ãóÚóåóÇ ÚóáÇóäöíóÉð æóáÇó ÓóÑöíÑóÉð¡ æóÇäúÒóÚö ÇáúÛöáøó ãöäú ÕóÏúÑöí áöáúãõÄúãöäöíäó¡ æóÇÚúØöÝú ÈöÞóáúÈöí Úóáóì ÇáúÎóÇÔöÚöíúäó¡ æóßõäú áöí ßóãóÇ Êóßõæäõ áöáÕøóÇáöÍöíäó¡ æóÍóáøöäöí ÍöáúíóÉó ÇáúãõÊøóÞöíäó¡ æóÇÌúÚóáú áöíó áöÓóÇäó ÕöÏúÞ Ýöí ÇáúÛóÇÈöÑöíúäó¡ æóÐößúÑÇð äÇãöíÇð Ýöí ÇáÇÎöÑöíäó¡ æóæóÇÝö Èöíó ÚóÑúÕóÉó ÇáÇóæøóáöíäó¡ æóÊóãøöãú ÓõÈõæÛó äöÚúãóÊößó Úóáóíøó¡ æóÙóÇåöÑú ßóÑóÇãóÇÊöåóÇ áóÏóíøó¡ ÇãúáÇú ãöäú ÝóæóÇÆöÏößó íóÏóíøó¡ æóÓõÞú ßóÑóÇÆöãó ãóæóÇåöÈößó Åáóíøó¡ æóÌóÇæöÑú Èöíó ÇáÇóØúíóÈöíäó ãöäú ÃóæúáöíóÂÆößó Ýöí ÇáúÌöäóÇúäö ÇáøóÊöí ÒóíøóäúÊóåóÇ áÇöóÕúÝöíÂÆößó¡ æóÌóáøöáúäöí ÔóÑóÂÆöÝó äöÍóáößó Ýöí ÇáúãóÞóÇãóÇÊö ÇáúãõÚóÏøóÉö áÇöóÍöÈøóÇÆößó¡ æóÇÌúÚóáú áöíó ÚöäúÏóßó ãóÞöíúáÇð Âæöí Åáóíúåö ãõØúãóÆöäøÇð¡ æóãóËÇÈóÉð ÃóÊóÈóæøóÃõåóÇ æóÃóÞóÑøõ ÚóíúäÇð. æóáÇó ÊõÞóÇíöÓúäöí ÈöÚóÙöíãóÇÊö ÇáúÌóÑóÇÆöÑö¡ æóáÇó Êõåúáößúäöí íóæúãó ÊõÈúáóì ÇáÓøóÑóÇÆöÑõ¡ æóÃóÒöáú Úóäøöí ßõáøó Ôóßøò æóÔõÈúåóÉ¡ æóÇÌúÚóáú áöí Ýöí ÇáúÍóÞøö ØóÑöíÞÇð ãöäú ßõáøö ÑóÍúãóÉ¡ æÃóÌúÒöáú áöí ÞöÓóãó ÇáúãóæÇåöÈö ãöäú äóæóÇáößó¡ æóæóÝøöÑúÚóáóíøó ÍõÙõæÙó ÇáÇöÍúÓóÇäö ãöäú ÅÝúÖóÇáößó¡ æóÇÌúÚóáú ÞóáúÈöí æóÇËöÞÇð ÈöãóÇ ÚöäúÏóßó¡ æóåóãøöíó ãõÓúÊóÝúÑóÛÇð áöãóÇ åõæó áóßó¡ æóÇÓúÊóÚúãöáúäöí ÈöãÇ ÊóÓúÊóÚúãöáõ Èöåö ÎóÇáöÕóÊóßó¡ æóÃóÔúÑöÈú ÞóáúÈöí ÚöäúÏó Ðõåõæáö ÇáÚõÞõæáö ØóÇÚóÊóßó¡ æóÇÌúãóÚú áöí ÇáúÛöäì¡ æóÇáúÚóÝóÇÝó¡ æóÇáÏøóÚóÉó¡ æóÇáúãõÚóÇÝóÇÉó¡ æóÇáÕøöÍøóÉó¡ æóÇáÓøóÚóÉó¡ æóÇáØøõãóÃúäöíúäóÉó¡ æóÇáúÚóÇÝöíóÉó¡ æóáÇó ÊõÍúÈöØú ÍóÓóäóÇÊöí ÈöãóÇ íóÔõæÈõåóÇ ãöäú ãóÚúÕöíóÊößó¡ æóáÇó ÎóáóæÇÊöí ÈöãóÇ íóÚúÑöÖõ áöíó ãöäú äóÒóÛóÇÊö ÝöÊúäóÊößó¡ æóÕõäú æóÌúåöí Úóäö ÇáØøóáóÈö Åáóì ÃóÍóÏ ãöäó ÇáúÚóÇáóãöíäó¡ æóÐõÈøóäöí Úóäö ÇáÊöãÇÓö ãóÇ ÚöäúÏó ÇáÝóÇÓöÞöíäó¡ æóáÇó ÊóÌúÚóáúäöí áöáÙøóÇáöãöíäó ÙóåöíÑÇð¡ æóáÇó áóåõãú Úóáì ãóÍúæö ßöÊóÇÈößó íóÏÇð æóäóÕöíÑÇð¡ æóÍõØúäöí ãöäú ÍóíúËõ áÇó ÃóÚúáóãõ ÍöíóÇØóÉð ÊóÞöíúäöí ÈöåóÇ¡ æóÇÝúÊóÍú áöíó ÃóÈúæóÇÈó ÊóæúÈóÊößó æóÑóÍúãóÊößó æóÑóÃúÝóÊößó æóÑöÒúÞößó ÇáæÇÓöÚö¡ Åäøöí Åáóíúßó ãöäó ÇáÑøóÇÛöÈöíäó¡ æóÃóÊúãöãú áöí ÅäúÚóÇãóßó¡ Åäøóßó ÎóíúÑõ ÇáúãõäúÚöãöíúäó¡ æóÇÌúÚóáú ÈÇÞöíó ÚõãúÑöíú Ýöí ÇáúÍóÌøö æóÇáúÚõãúÑóÉö ÇÈúÊöÛóÂÁó æóÌúåößó íóÇÑÈøó ÇáúÚóÇáóãöíäó¡ æóÕóáøóì Çááåõ Úóáóì ãõÍóãøóÏ æóÂáöåö ÇáØøóíøöÈöíäó ÇáØøóÇåöÑöíäó¡ æóÇáÓøóáÇóãõ Úóáóíúåö æóÚóáóíúåöãú ÃóÈóÏó ÇáÇÈöÏöíäó.

Dua ya 47

DUWA ZAKE (A.S.) SIKU YA ARAFA SIFA NJEMA NI ZAKE ALLAH BWANA WA

ULIMWENGU

O Allah! Sifa Njema ni Zako. Mbuni wa mbingu na Ardhi. Mwenye Utukufu na ukarimu. U bwana wa Mabwana.

Mwabudiwa wa kila mfanya ibada. Muumba wa kila kiumbe. Mrithi wa kila kitu (Hapana kitu mfano wake) wala kwake haifichiki elimu ya kitu.

Na yeye akizunguka kila kitu. Yeye akichunga kila kitu. Wewe ndiye Allah..Hapana Miungu Ila ni wewe.

Huna kifani peke yako. Mmoja mwenye kujitenga. Wewe u Allah! Hapana miungu isipokuwa wewe.

U mkarimu mpaji!

U Mtukufu mwenye kutukuka. U mkubwa mwenye kujitukuza. Wewe ndiye Allah hapana miungu isipokuwa ni wewe.

Ungazi ya juu kabisa mwenye kujinyanyuwa. Mwenye Nguvu Stadi. Wewe ndiyo Allah. Hapana Miungu isipokuwa wewe.

Mwingi wa Rehema mwenye huruma. Mjuzi wa kila kitu mwenye hekima. Wewe ndiye Allah. hapana Miungu isipokuwa wewe.

Msikiaji Muonaji. Wa Tangu na Elewa. Wewe ndiye Allah. Hapana Mingu isipokuwa wewe. Mkarimu mkarimu mno.

Wa milele wamilele mno!

Wewe ndiyo Allah. hapana Miungu isipokuwa wewe. Huna mwanzo upo kabala ya chochote. Utaendelea kuwa baada ya kila idadi.

Wewe ndiye Allah. hapana Miungu isipokuwa Wewe. Aliye karibu katika kuwa kwake ngazi ya juu. Na u Daraja ya juu katika ukaribu wake.

Na wewe ndiyo Allah. hapana miungu isipokuwa wewe. Mwenye uzuri na Utukufu.

Mwenye Utukufu na sifa njema. Wewe ni Allah hapana miungu isipokuwa Wewe ambaye amevifanya vitu viwe bila ya asili. Umevianzisha ulivyo vianzisha bila kuiga. Wewe ndiye ambaye umekadiria kila kitu makadirio. Umekirahisisha kila kitu rahisisho. Umekipanga kilicho chini yako kwa mpango. Wewe ndiye ambaye hakukusaidia katika kuumba kwako mshirika. Wala hakukusaidia katika amri yako waziri. Wala hujawa na shahidi wala kifani. Wewe ndiye ambaye umetaka likawa ulilotaka bila muhali.

Umehukumu ikawa hukumu yako adilifu. Wewe ndiye ambaye mahali hapawezi kukufanya uwe ndani yake. Haijapata kuwa mamlaka mbele ya mamlaka yako.

Wewe ndiye ambaye umekihesabu kila kitu kwa idadi. Umekifanyia kila kitu muda, umekifanyia kila kitu makadirio. Wewe ndiye ambaye akili zimeshindwa kuitambuwa dhati yako.

Zimehemewa fahamu kutambuwa namna yako. Macho yameshindwa kudiriki ulipo! Wewe ndiye ambaye huwekewi mipaka. usijezingirwa ndani ya mipaka Hujafanyiwa mfano usije kuwa upo ndani ya mifano.

Hukuzaa usije kuwa mzaliwa. wewe ndiye ambaye huna aliye kinyume nawe asije kukupinga.

Hapana kilicho sawa na wewe kisije kukushinda. Wala huna mpinzani ili akupinge. Wewe ndiye ambaye aliyeanzisha na kubuni. Amezusha na kuanzisha. Amefanya vizuri kutengeneza aliyotengeneza.

Utakatifu ni wako. utukufu ulioje washani yako. Miongoni mwa mahali. mahali pako ni pa juu sana.

Imeipasua haki furkani yako, Utukufu ni wako umpole ulioje upole wako?

Mwenye huruma ilioje huruma yako! Mwenye hekima ulioje ujuzi wako!

Utakatifu ni wako Mfalme huonekani mpaji mwenye wasaa. Uko wa daraja ya juu, ilioje daraja yako ya juu!

Mwenye Uzuri na utukufu, ukubwa na sifa njema. Utakatifu ni wako umekunjuwa mikono yako kwa mema.

Mwongozo umejulikana kutoka kwako mwenye kukuomba. Dini au dunia atakukuta.

Utakatifu ni wako. Atanyenyekea mwenye kukutambuwa. Walio chini ya arshi yako wamenyenyekea kwa ajili ya utukufu wako.

Wamefuata ili kusalimu amri kwako viumbe wako wote. Utakatifu ni wako, uhisiwi wala huguswi. Huguswi wala hudanganywi. Hutolewi wala hupingwi, hukurubiwi wala hubishwi. Uhadaiwi wala hufanyiwi vitimbi Utakatifu ni wako. Njia yako ni ardhi laini amri yako ni ongofu nawe uko hai kimbilio la milele. Utakatifu ni wako.  kauli yako  ni maamuzi  thabiti.  Na hukumu yako hapana budi. Utashi wako thabiti. Utakatifu ni wako. hapana wakukataa utashi wako.

Wala hapana mbadilishaji wa maneno yako. Utakatifu ni wako, mwenye alama zitiazo kiwi macho. Muumba wa mbingu. muumba wa Roho, Himidi ni yako, himidi ya kudumu kwa kudumu kwako. Sifa njema ni zako. sifa njema za kudumu kwa neema zako. Sifa njema ni zako sifa njema iendayo sambamba na fadhila zako.

Sifa njema ni zako. sifa njema zazidisha radhi zako. Sifa njema ni zako. sifa njema zi pamoja na kila mwenye kukuhimidi. Shukrani huwa ndogo mbele yake shukrani ya kila mwenye kushukuru.

Sifa njema haipaswi kwa yeyote isipokuwa wewe. Hautafutwi ukaribu kwa yoyote isipokuwa ukaribu kwako. Sifa njema ambayo kwayo huidumisha (Fadhila) ya kwanza. Na huwa ni sababu ya kudumu ya mwisho.  Sifa njema

huongezeka kila zinapokariri zama. Sifa njema wanashindwa wahifadhi kuihesabu, inazidi ile walioihesabu katika kitabu chako waandishi. Sifa njema itauzidi uzito wa arshi yako Tukufu, na kulingana na kiti chako kilichoinuka. Sifa njema ambazo malipo yake yatakamilishwa na wewe malipo yake yataenea juu ya malipo yote.

Sifa njema ambazo sehemu yake ya nje ina uwiano na ya ndani. Na sehemu yake ya ndani yalingana na ukweli wa nia. Sifa njema hajakusifu hajapata kukusifu kiumbe mfano wake.

Wala fadhila zake hazijui yeyote asiyekuwa wewe. Sifa njema ambazo mwenye kujitahidi kuzizidisha husaidiwa.

Haitokuwa Rehema ikiwa kuishinda. mrehemu Rehema yenye kuridhisha ambayo haitokuwa rehma juu yake. Mola wangu Mrehemu Muhammad na Aali zake. Rehema itakayomridhisha na itayozidisha juu ya ridhaa yake. Mrehemu Rehema itakayokuridhisha na itazidisha Radhi yako kwake. Mrehemu Rehema ambayo hutomridhia ila kwayo. Wala hautoiona nyingine kuwa na thamani.

Mola wangu mrehemu Muhammad na aali zake. Rehema ambayo itakayoivuka ridhaa zako. Na itaungana na muungano wa kubaki kwako. Wala haitokwisha kama vile maneno yako hayatokwisha.

Bwana wangu mrehemu Muhammad na Aali zake. Rehema zitakazo jinadhimu na Rehema za Malaika wako na Manabii wako na Mitume wako na watii wako na ndani yake mutakuwa na swala za waja wako miongoni mwa majini wako na wanaadamu wako na za wenye kukubaliwa nawe.

Na zitaungana na sala za kila ulichokiumba miongoni mwa jinsi ya viumbe wako.

Mola wangu Mrehemu yeye na Aali zake Rehema itayoizunguka kila Rehema iliyopita na itakayo kuja.

Mrehemu yeye na watu wa nyumbani mwake. Rehema ikuridhishayo na kila aliye chini yako italeta pamoja na hiyo Rehema utaongezeka pamoja nayo Rehema hizo. Na kuzidi kwa kadiri siku zinavyorudia ziada yenye kuongezeka.

Hatoweza kuihesabu asiyekuwa wewe. Mola wangu warehemu walio wema zaidi katika Aali zake. Ambao umewachagua kwa ajili ya amri yako. Uliowafanya kuwa hazina ya Elimu yako. Na walinzi wa Dini yako.

Ni Makhalifa wako katika ardhi yako. Wao ndio hoja yako dhidi ya viumbe (waja) wako.

Umewatakasa kutokana na uchafu na ujusi na kuwafanya tohara kwa utashi wako. Na umewafanya njia ya kwenye Jannah yako.

Mola wangu mrehemu Muhammad na Aali zake Rehema itayowakithirishia kitu katika kipaji chako na ufadhili wako. Itayowajazia hadhi ya huruma zako na manufaa yako kwao.

Mola wangu Mrehemu Muhammad na Aali zake Rehema ambayo mwanzo wake kikomo wala muda wake hauna mwisho.

Mwendeleo wake hauna mwisho. Mola wangu warehemu Rehema inayolingana na uzito wa arshi yako na walio chini yake. Rehema zijaazo mbingu zako na vilivyo juu yake, (zenye) kulingana na idadi ya ardhi zako na vilivyo chini yake na vilivyo kati yake Rehema itakayowasogeza karibu yako. Itakayokuridhisha na wao wataridhika. Na kuungana na walio mfano wako milele.

O Allah! Hakika wewe umeiunga mkono dini yako nyakati zote kwa Imamu uliomweka akiwa mwongozo kwa waja wako na mnara katika nchi yako. Baada ya kuwa umeunga kamba yao na yako. Na umeifanya kuwa ni sababu ya kuifikia ridhaa zako. Na umewajibisha utii wake. Na umehadharisha kumuasi. Umeamrisha kutekeleza amri zake. Na kujiziwiya na katazo lako, na asimtanguliye mwenye kumtanguliya wala asibaki nyuma yake mwenye kubaki nyuma.

Yeye ni kinga ya waombao hifadhi na ni kimbilio la waumini na kishiko cha wenye kushikamana. Ni mwanga wa ulimwengu.

O Allah! mwongoze walii wako kushukuru juu ya uliyomneemesha nayo. Wasituongoze mfano wake kumuhusu yeye. Mjaalie kutoka kwako uwezo wa kumsaidia. Mfunguliye ufunguzi rahisi. Msaidie kwa nguzo yako yenye uwezo mkubwa. Uzidishe nguvu mgongo wake. Utie nguvu mkono wake. Msaidie kwa Malaika wako. Mwongozee Malaika Askari wako washindi, kupitia yeye kiimarishe kitabu chako na mipaka yako na sheria yako na Sunna za Mjumbe wako.

Rehema zako.

 O Allah! iwe juu yake na Aali zake. Kupitia yeye huisha walichokifisha wadhalimu miongoni mwa mwongozo wa dini yako. Kupitia yeye isuguwe kutu ya dhuluma itoweke mbali na njia yako Kupitia yeye iondowe shida iwe mbali na njia yako. Kupitia yeye waondolee mbali waliopotoka kombo na njia yako. Wafuate kupitia yeye waitakiao njia yako iliyonyooka kupinda pinda. Lainisha upande wake kwa ajili ya marafiki zake. Mkunjuliye mkono wake juu ya maadui zako. Tupe huruma yake, Rehema zake upendo wake. Tujaaliye kuwa wenye kumsikiliza watii kwake wenye bidii kwa limridhishalo, wenye kuungana katika kumsaidia na kumlinda. Tuwe karibu nawe na kwa Rasuli wako. Rehema zako O Allah! ziwe juu yake na Aali zake.

O Allah! warehemu wapenzi wao watambuwao daraja yao. Wafuatao njia yao, wafuatiliao athari zao, wenye kushikamana na mashiko yao, wenye kushikamana na wilaya yao, wafuatao Uimamu wao, wenye kusalimu amri yao, wenye kujitahidi kuwatii, wenye kungoja siku zao, wenye kuelekeza macho yao kwao, Rehema na baraka zenye kuongezeka safi mpya mpya zenye kunukia, uwape wao usalama na wa roho zao, yaweke pamoja mambo yako katika Ta'kwaa, iweke sawa hali yao. Warejelee. Hakika wewe ni mwingi wa kurejea mwenye Rehema na mbora wa wenye kusamehe na tujaaliye tuwe pamoja nao katika nyumba ya salama.

Kwa Rehema zako. Ewe Mrehemu zaidi kuliko warahimu wote.

O Allah hii ni siku ya Arafa. siku ulioipa Utukufu, heshima, na ukubwa, umetawanya humo Rehema zako, umeonesha humo wema kwa msamaha wako. Umekithirisha humo upaji wako kwayo umewafadhili waja wako.

Allah nami ni mja wako ambaye ulimneemesha kabla hujamuumba, na baada ya ulivyomuumba ukajaaliya kuwa miongoni mwa uliowaongoza kwa ajili ya Dini yako. Na ulimuwafikisha kwa ajili ya haki yako, ulimuhifadhi kwa kamaba yako, ulimwingiza katika kundi lako na umemwongoza kuwa rafiki wa rafiki zako.

Na kuwa adui kwa maadui zako, kisha ulimwamuru hakufuata amri yako, ulimkemea hakukemeka, umemkataza asikuasi, amekhalifu katazo lako na kutenda katazo lako, si kwa kukupinga wala kuonesha kiburi dhidi yako, bali matamanio yake yamemtuma afanye ulichokitenga na kumuhadharisha akisaidiwa kwa hilo na adui yako na adui wake. Akajitosha kwenye hilo (katazo) hali yu atambua fika kamio lako akiwa na ithibati na uvumilivu wako ingawaje alilazimika mno katika waja wako kwa ajili ya uliyompa asingethubutu kufanya.

Mimi ni huyo mbele yako! mwenye kudharaulika, dhalili mnyenyekevu, duni mwenye woga nakiri mzigo mkubwa wa dhambi nimeubeba na makosa makubwa nimeyatenda naomba hifadhi ya msamaha wako nakusihi sitara katika rehema zako nikiwa na yakini kuwa hakuna awezae kunilinda dhidi yako mlinzi. Wala hawezi kuniziwiya dhidi yako mziwiyaji, hivyo basi ni hurumiye kama umuhurumiavyo mwenye kutenda dhambi, nikirimu kama unavyomkirimu mwenye kujitupa mbele yako kwa msamaha wako.

 Ni hurumie kwa ambalo haliwi kubwa kwako kumhurumia mwenye kukutazamia kutokana na msamaha wako. Nijaaliye katika siku hii sehemu natapatapa kwa ajili yake, hadhi katika ridhaa zako wala usinirudishe mikono mitupu kama ambavyo warudivyo wafanya Ibada yako miongoni mwa waja wako. Ingawaje sijatanguliza mema kulinganisha na waliyotanguliza miongoni mwa mema. Hakika nimetanguliza Tawheed yako na kukanusha dhidi na kufanana na wewe na nimekuja kwako kupitia milango ambayo umeamrisha ujiwe.

Na nimejikurubisha kwako kwa namna ambayo hajikurubishi yeyote kwako ila kwa kujikurubisha kwayo. Kisha nimefatilia hayo kwa kurejea kwako kwa kujidhalilisha na kujitweza kwako na kwa dhana njema kwako na kuwa na imani na ambayo uliyonayo, nimefanya jozi ya matumaini kwako ambayo mara chache hukosa mwenye kukutumainia. Nimekuomba ombi la mtu duni, dhalili, msikitikiwa, misikini, mwenye woga, mwomba hifadhi, yote hayo akiwa na woga akijitetea akiomba kinga na kusitiriwa.

Si mwenye ufedhuli kwa kiburi cha wafanyao kibri. Si mwenye kujitukuza na utashi wa watii wala mwenye kutumainia uombezi wa waombezi ningali mnyonge wa wanyonge. Dhalili wa madhalili. Ni mfano wa chembe ndogo mno ya vumbi.

Oh! We ambaye hawaharakii watenda maovu wala hawaziwii wenye maisha ya raha. Oh! yule ambaye atendea ihsani kwa kuwaokoa waliojikwaa. Na huwafadhili kwa kuwapa muda.

Watenda makosa:

Mimi ni mtenda maovu, mwenye kukiri mkosefu. Mwenye kujikwaa.

Mimi ndiye ambaye nimethubutu mbele yako. Mimi ndiye ambaye amekuasi makusudi. Mimi ndiye ambaye nimejificha nisikuabudu na kujitokeza mbele yako kwa majivuno. Mimi ndiye ambaye amewaogopa waja wako na kujiaminisha kwako. Mimi ndiye ambaye hakuogopa adhabu yako wala kuhofia ukali wako. Mimi ni mwenye kujikosea binafsi. Mimi niko rehani wa kujisibu kwangu.

Mimi sina haya.

Mwenye taabu sana, kwa haki ya uliyemuainisha katika viumbe wako. Na kwa uliyemchaguwa kwa ajili yako. Kwa haki ya uliye mteua kutoka viumbe wako. Na uliyempembuwa kwa kazi yako. Kwa haki uliye unganisha utii wake na utii wako. Na uliyemfanya kumuasi yeye ni kama kukuasi wewe.

Kwa haki ya uliyeunganisha kumpenda kwake na kukupenda kwako. Na uliyeambatanisha kumfanyia uadui ni kukufanyia uadui.

Nikinge katika siku yangu hii kwa kile ambacho wamkinga nacho mwenye kukuomba kwa shauku kubwa akijitakasa.

Akiomba hifadhi kwa msamaha wako akitibu nichunge kwa ambacho unawachunga nacho watu wako watii na wakaribu kwako na wenye daraja kwako. Nipembuwe kwa unachowapembulia wenye kutekeleza ahadi yako.

Na aliyejitaabisha nafsi yake kwa ajili yako ameishughulisha katika ridha zako. Usinichukuliye makosa kwa kuzembea kwangu kuhusu haki yako. Na kuvuka kadiri yangu kwenye mipaka yako.

Na kukiuka hukumu zako. Usinivute kwa kunipa muda (huku ukijaza maovu yangu kwenye daftari ya maovu) mvuto wa aliyeniziwiya kheri zilizo kwake wala hakukushirikisha katika kuteremsha neema zake kwangu.

Nizinduwe kutoka usingizi wa walio ghafilika na usingizi wa wafujaji na sinzio la waliotupiliwa mbali.

Uchukuwe moyo wangu kwenye lile ulilo watumikisha wafanya ibada waliojitowa. Na ulikowatiisha wachamungu na kwayo umewaokoa wenye kuzembea.

Nikinge mbali na kitacho niweka mbali na wewe. Na kitakachoziwiya kati yangu na hadhi yangu kwako. Na ziwiya juhudi yangu kwako

Nirahisishiye njia ya kheri kuelekea kwako.

Na kupambana kuzielekea kama ulivyoamuru usinifute katika uwafutao miongoni mwa wanaopuuza uliyoahidi. Wala usiniangamize pamoja na uwaangamizao miongoni mwa wajitiao katika hatari ya chuki yako. Wala usinitanguwe katika uwatanguwao miongoni mwa waliopotoka toka kwenye njia zako.

Niokoe kutoka kwenye funiko la fitina. Niepushe toka kwenye umio la balaa. Nikinge na kuchukuliwa na kuwepwa muda. Zuwia kati yangu na adui anipotezaye na upuuzi uniangamizao na dosari inipatayo. Usinigeuziye uso mgeuzo wa usiye mridhia baada ya ghadhabu yako.

Usinikatishe tamaa kukutumainia ili nisije zidiwa na kutokwa na matumaini ya rehema zako. Wala usinipe mtihani ulio zaidi ya uwezo wangu ili usije ukanifanya nizidiwe na uzito wa unitwishacho kutokana na fadhila za mahaba yako.

Usinitume kutoka mkononi mwako utumwaji wa asiyekuwa na kheri yeyote, wala umuhitajii wala harejei kwako.

Usinitupe mtupo wa aliyetoka nje ya jicho la uangalizi wako. Aliyezingirwa na udhalilisho wako.

Ni afadhali unishike mkono ili uniokowe kutokana na hamaniko la waliopotoka, na kuteleza kwa waliodanganyika, na hali mbaya ya walioangamia.

Ni feleti kutokana na balaa ulio waonjesha tabaka za waja wako na vijakazi wako.

Nifikishe ngazi za uliyemtilia manani uliyemneemesha, uliyemridhia, umemfanya aishi kwa sifa njema. Na ukamchukua kwako kwa heri, univike utepe wa kujitoa kwenye (mambo) yanayo haribu matendo mema, yaondoayo baraka.

Ufunulie moyo wangu kujiziwiya na matendo mabaya, matendo yafedheha.

Usinishughulishe kufanya ambalo siwezi lifikia isipokuwa kupitia kwako, kwa kuwa mbali na ambalo huridhiki na mimi isipokuwa kwa hilo.

Ondoa moyoni mwangu kupenda dunia nyonge iziwiayo kilicho kwako, inaziba kumpata mtetezi kwako, inaondoa jaribio la kupata ukaribu na wewe.

Na pambambiye kubakia peka kwa ajili ya ibada yako usiku na mchana. Nipe hifadhi itakayo nikurubisha kukuogopa wewe. Itakayo niweka mbali na kutenda uliyo yaharamisha. Itakayonikomboa kutokana na utumwa wa dhambi kubwa itishayo.

Nipe utakaso kutokana na uchafu wa maaswi. Niondolee uchafu wa makosa. Nivike na vazi la hali njema. Nivishe joho la msamaha wako. Niviringishe katika wingi wa neema zako. Nivishe na fadhila zako na ihsani yako. Nipe nguvu kwa tawfiki yako na mwongozo wako.

Nisaidiye kuwa na nia njema na kauli ya kuridhisha, na kazi ikubaliwayo.

Wala usiniwakilishe kwenye uwezo wangu na nguvu zangu, mbali na uwezo wako na nguvu zako. Usinidhili siku utakayonifufua kukutana na wewe.

Usiniumbuwe mbele ya wapenzi wako, wala usinisahaulishe kukukumbuka. Usiniondolee shukrani yako, bali nilazimishe nayo katika hali ya kusahau wakati wa mghafala wa wasio zijua neema zako.

Niongoze (moyoni) kusifu ulionitendea, na niyatambue uliyonitunukia nayo.

Jaalia londeo langu kwako zaidi kuliko londeo la wa londeawo. Na himidi yangu kwako iwe zaidi kuliko himidi ya wenye kukuhimidi.       

Usinitupe wakati wa haja yangu kwako. Usiniangamize kwa ajili ya niliyokutendea. Usinichape kofi kama ulivyowachapa kofi wakupingao. Kwani mimi nasalimu amri kwako. Najua kuwa hoja ni yako, na wewe ni mbora wa fadhila, mzoefu wa kufanya ihsani.

 Ni mwenye kustahiki kuogopwa, wastahiki kutoa msamaha, na kwamba kwako msamaha bora kuliko uadhibu. Na kwamba wewe kusitiri kwako ni karibu mno kuliko kufichuwa sitara.

Nihuishe maisha mema yatakayo lingana na nitakayo, na yatayafikia niyapendayo kwa namna ambayo siyafanyi uyachukiayo, wala sitendi uliyoyakataza.

Nifishe kifo cha ambaye nuru yake yapita mbele yake na kuliani kwake. Nidhalilishe mbele yako nitukuze mbele ya viumbe wako. Niteremshe nikiwa peke yangu kwako, ninyanyuwe kati yawaja wako. Nitosheleze kwa asiye na haja na mimi nizidishiye haja na ufakiri   kwako. Nikinge na masimbulizi ya maadui na kushukiwa na balaa, udhalili na shida.

Nikinge na lile ulionalo kwangu kwa ajikingacho nacho mwenye uwezo wa kupiga kwa nguvu lau si huruma yake. Nakushika kwa sababu ya dhambi lau kama si saburi yake. Uwafanyiapo gumu mtihani au uovu niokoe kwa kuwa naomba sitara yako.

Kwa kuwa hujasimamisha kisimamo cha fedheha katika dunia yako, usinisimamishe kisimamo mfano wake katika akhera yako.

Nifanyie ihsani mbili ya mwanzo kwa ya mwisho wake. Mafao yako yametangulia kwa matukio yake. Usinirefushie muda ambao moyo wangu utakuwa mgumu kwa ajili yake. Usinigonge    na    kigongo    ambacho    kunawiri    kwangu kutatoweka.

Usinitupe udhalili ambao utaidogesha hadhi yangu wala upungufu kwa ajili yake tamaa haitojulikana nafasi yangu. Usinihofishe hofu ambayo itanikatisha wala woga ambao kwa ajili yake nitabakia na woga.

Jaalia woga wangu uwe katika tishio lako, na hadhari yangu iwe katika kutoacha kwako kwangu udhuru na onyo lako. Woga wangu uwe nisomapo aya zako usitawishe usiku wangu kwa kuamka humo kwa ibada yako. Nakubaki peke yangu nikikesha kwa ajili yako.

Utulivu wangu ni kwako tu, na kuzileta haja zangu kwako. Na kukulalamikia wewe katika kuikomboa shingo yangu iepukane na moto wako. Na unipe kimbilio kutoka mahali ambapo watu wake ana adhambu.

Usiniache kipofu nikitangatanga katika ujeuri wangu, wala katika mfadhaiko wangu mpaka muda.

Usinifanye niwe onyo kwa mwenye kuonyeka. Wala mfano wa adhabu kwa mwenye kuzingatia.

Wala usiwe jaribio kwa mwenye kuangalia. Usinifanyie vitimbi pamoja na uwafanyiao vitimbi. Usinibadilishe na mwingine. Usinibadilishe jina, wala usinibadilishe mwili, usinifanye kichekesho kwa viumbe wako wala kuwa mfuasi wa chochote isipokuwa ridhaa zako. Wala kuwa mtumishi kwa yeyote isipokuwa kulipiza kisasi kwa ajili yako.

Nionyeshe ubaridi wa msamaha wako, na utamu wa rehema zako, na raha zako, utulivu wako, na bostani ya kipeo cha raha yako.

Nionjeshe utamu wa kuwa na faragha kwa uyapendayo, kwa wasaa katika wasaa wako. Na kufanya juhudi katika mambo ambayo yaletayo ukaribu na wewe na kwako.

Nizawadie kwa zawadi miongoni mwa zawadi zako.

Ifanikishe biashara yangu; rejeo langu lisiwe la hasara. Nihofishe mahali pako, nipe shauku ya kukutana na wewe. Ipokee toba yangu toba isio rejelewa dhambi usibakishe pamoja nayo dhambi ndogo wala kubwa. Usiache kosa pamoja na (Toba) lawazi wala la siri.

Niondolee chuki kifuani mwangu kwa waumini lifanye moyo wangu uelemee kwa wanyenyekevu. Kuwa kwangu kama uwavyo kwa watu wema ni pambe na mapambo ya wachamungu nijaalie usemi mkweli kwa waliopita na utajo wenye kukuwa katika wakati ujao nichukuwe kwenye uwanda wa watu wa kwanza.

Nikamilishiye neema yako, nidhihirishiye ukarimu wako. Ijaze mikono yangu faida zako. Nisongezee zawadi ya ukarimu wako. Nifanye jirani wa watu wema miongoni mwa mawalii wako, katika janna uliyoipamba kwa ajili ya wateule wako. Nizingirishe kwenye zawadi zako tukufu mahali palipo andaliwa kwa ajili ya wapenzi wako.

Nijaalie kwako mahali nitakuwa nakimbilia nikiwa mtulivu.

Na marejeo nitarejeako na macho yangu kupata utulivu. usinipime kwa ukubwa wa maovu yangu wala usinihilikishe siku siri zitakapo fichuliwa.

Niondowe kila aina ya shaka na hali isiokuwa wazi. Nijaalie njia katika ukweli kutoka kila aina ya rehema. Nizidishie sehemu ya zawadi katika ukitowacho.

Nipe hadhi kubwa ya ihsani katika utoaji wako wa ufadhili. Ujaalie moyo wangu kuwa na itibari na yaliyopo kwako. Hima yangu iwe kwa ajili ya ambalo ni lako. Nitumikishe kwa yale uwatumikishayo wenye ikhilaasi kwako. Unyweshe moyo wangu utii wako wakati nyoyo zitakapovutwa vingine.

back next