rudi maktaba >Akida >

Rudi nyuma Yaliyomo  

3.Sahifa-i-Sajjadiyah

NDOTO YA Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w.

Siku moja Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. aliingia Msikitini na kuwaambia Ma-Sahaba, “Je niwasimulieni ndoto niliyoiota ?”

Ayah za Qur'an Tukufu zizungumziazo Jannat

Makala haya yemkusanywa na kutarjumiwa na

Amiraly M.H.Datoo - Bukoba Tanzania

Utaratibu ufuatao umetumika kuandika Surah na Ayah za Qur'an Tukufu : 5 : 119 hii ikimaanisha kuwa katika Surah ya 5 ya Qur'an Tukufu Ayah ya 119.

No.

Maudhui inayozungumzwa

Sura namba na Ayah namba

1

Afya bora katika Jannat

19 : 62

2

Ahadi na Jannat

25 : 16

3

Allah swt na Wakazi wa Jannat

35 : 34, 36 : 58

4

Amani ya Wakazi wa Jannat

52 : 20

5

Bahati za Wakazi wa Jannat

52 : 25

6

Baraka za Jannat

2:25, 2:36, 10:10, 15:46, 16:31, 22:23, 22:24, 25:10, 43:71, 43:73, 47:12, 47:15, 52:17, 52:18, 52:19, 52:22, 55:48, 55:50, 56:23, 56:33, 56:37, 57:12, 69:23, 69:24, 76:20, 76:22, 77:43, 82:13, 85:11, 87:8

7

Batili katika Jannat

19 : 62

8

Bi. Hawa katika Jannat

7:19, 7:20, 7:22

9

Bustani ya Jannat

13:23, 15:45, 16:31, 47:15, 61:12, 65:11, 66:8, 76:14, 85:11,98:7

10

Chakula cha Wakazi wa Jannat

8 : 74

11

Chakula cha watu wa Jannat

56:21

12

Chemichemi ya Tasnim katika Jannat

83:27, 83:28

13

Chemichemi za Jannat

15:45, 44:52,55:50, 76:17, 88:12

14

Daraja za Jannat

17:21, 46:19, 55:62

15

Familia ya Wakazi wa Jannat

52 : 21

16

Furaha ya Wakazi a Jannat

7:43, 88:9, 101:1

17

Furaha katika Jannat

37 : 58

18

Furaha za Wakazi wa Jannat

37 : 45

19

Habari njema za Jannat

50 : 35

20

Hali za Jannat

35:35, 76:29

21

Hariri iliyofumwa ya Jannat

76:21

22

Heshima katika Jannat

37 ; 42, 39 : 73

23

Heshima ya Wakazi wa Jannat

36 : 56

24

Hotuba za Wakazi wa Jannat

88 : 11

25

Hour al-‘Ayn katika Jannat

37 : 48

26

Huruma za Wakazi wa Jannat

44:53, 56:16

27

Huzuni katika Jannat

35:34, 35:35, 36:48

28

Imani katika Jannat

36:55

29

Jannat katika maisha baada ya hapa ulimwenguni

2 : 25

30

Jannat kwa ajili ya wema

35: 33

31

Jannat Mlezi

37 : 42

32

Jannat na maisha ya baada ya hapa ulimwenguni

3 : 133

33

Jannat na wacha-mungu

50 : 31

34

Jannat ya wacha mungu

3 : 133

35

Jannat ya Wacha mungu

13:35

36

Jannat ya Wacha-mungu

38 : 49

37

Jinn katika Jannat

55:46

38

Kauli njema za wakazi wa Jannat

56 : 25

39

Kazi katika Jannat

36 : 55

40

Kinywaji cha Wakazi wa Jannat

37:45

41

Kitulizo cha Wakazi wa Jannat

18 : 31

42

Kituo cha karibu katika Jannat

83:28

43

Kuchekeshana kwa Wakazi wa Jannat

52:23

44

Kuelekea Jannat

5:119, 9:89

45

Kuingia katika Jannat

2:214, 3:185, 4:13,15:45, 15:46, 18:31, 1963, 36:26, 40:8

46

Kuishi katika Jannat

14:23, 15:47, 15:48, 76:16

47

Kuishi kifahari katika Jannat

35:34

48

Kuisifu Jannat

25 : 76

49

Kujamiiana katika Jannat

37 : 42

50

Kujamiiana kwa Wakazi wa Jannat

15 : 47

51

Kunyimwa kwa Jannat

5:72, 7:40, 38:77, 70:39

52

Kuridhika katika Jannat

92 : 21

53

Kuwastarehesha Wakazi wa Jannat

3 : 198

54

Lungilungi ( ua) la Jannat

56 : 28

55

Maamkiano katika Jannat

14:23, 19:62, 33:44, 36:58

56

Maamkizi ya Watu wa Jannat

13:23, 13:24, 14:23, 15:46, 56:26

57

Mafundisho ya Wakazi wa Jannat

7:43, 56:25, 78:35

58

Mahala ilipo Jannat

53 : 15

59

Mahala pa kupumzikia kwa ajili ya Wakazi wa Jannat

25 : 24

60

Maisha ya Wakazi wa Jannat

7 : 49

61

Majadiliano katika Jannat

37 : 54

62

Majeruhi katika Jannat

36 : 58

63

Makazi katika Jannat

9 : 72, 10 : 9

64

Makazi ya Jahannam na Jannat

7 : 50

65

Makazi ya Jannat na Jahannam

7 : 44, 7:54

66

Malaika wa Jannat

39 : 73

67

Malazi ya Wakazi wa Jannat

55:54

68

Malezi katika Jannat

36:57, 37:42

69

Malezi ya Wakazi wa Jannat

19 : 62

70

Malipo ya Jannat

2:25, 9:89, 9:11

71

Maneno katika Jannat

22:24

72

Manukato ya Jannat

83:26

73

Mapambo ya Wakazi wa Jannat

18 : 31

74

Mapenzi na usawa miongoni mwa Wakazi wa Jannat

10:23, 21:102, 21:103, 35:35, 50:34, 50:35, 52:23, 52:25, 55:54, 55:76, 56:12, 56:15, 56:20, 56:28, 56:31, 76:41, 88:15, 88:16

75

Mapokezi katika Jannat

25:75

76

Masharti ya Jannat

25 : 16

77

Mashujaa wa Imani katika Jannat

9:21, 9:98, 61:12

78

Matembezi katika Jannat

39 : 73

79

Matunda ya Jannat

44:55, 47:15, 55:52, 55:54, 55:68, 56:20, 56:28, 56:32, 69:23, 76:14

80

Mavazi ya Jannat

76 : 21

81

Mavazi ya Wakazi wa Jannat

18:31, 22:23, 44:53

82

Mazulia ya Jannat

88 : 16

83

Mazungumzo na Wakazi wa Jannat

37 : 50

84

Mazungumzo ya kipuuzi katika Jannat

19 : 62

85

Mikusanyiko katika Jannat

15 : 47

86

Miti ya Jannat

3:198, 4:57, 56:28, 56:29

87

Mito ya Jannat

88 : 15

88

Mito ya Jannat

2:25, 3:198, 4:57, 5:119, 7:43, 9:72, 9:89, 9:100,10:9, 58:22, 61:12, 65:11, 66:8, 98:7

89

Mtume Adam a.s. katika Jannat

2:35, 2:36, 7:19, 7:20, 7:22, 20:118

90

Mtume katika Jannat

9 : 89

91

Mwanamwali mzuri wa Jannat kwa ajili Wacha-mungu

38 : 49

92

Mwito kuelekea Jannat

2: 221

93

Neema za Wakazi wa Jannat

52:22, 52:23, 77:43

94

Ombi katika Jannat

36:57, 41:31, 44:55

95

Sababu za Jannat

19: 60, 57:21, 58:11, 58:22, 61:12, 66:8, 76:6, 76:12, 85:11

96

Shughuli za Wakazi wa Jannat

26:55, 83:25

97

Shukurani za Wakazi wa Jannat

7:43, 10:10, 35:35

98

Sifa kwa ajili ya Jannat

3:136, 3:142, 5:65, 14:23, 20:75, 25:15, 25:75

99

Starehe za Wakazi wa Jannat

36:56, 36:57, 52:18, 87:8, 89:26

100

Starehe za Wakazi wa Jannat

7:43, 15:47

101

Starehe za Wakazi wa Jannat

35:33, 36 :56, 37:58

102

Starehe zilizopo katika Jannat

37:42, 27:45, 37:48, 39:32

103

Tafrija za Wakazi wa Jannat

56 : 16

104

Uchovu katika Jannat

15:48, 35:35

105

Udugu wa Wakazi wa Jannat

10 : 10

106

Ufalme wa Jannat

18:31, 52:20, 55:76, 56:15, 83:35, 88:13

107

Uhalisi wa Wakazi wa Jannat

7 : 43

108

Uhuru katika Jannat

39:73

109

Uhuru wa Wakazi wa Jannat

56:33

110

Ukaribisho kwa Wakazi wa Jannat

50 : 34

111

Ukarimu wa Wakazi wa Jannat

37:42

112

Ukuu wa Wakazi wa Jannat

41 : 40

113

Ukweli katika Jannat

5 : 119

114

Ukweli wa Jannat

39 : 32

115

Ukweli wa Wakazi wa Jannat

15 : 47

116

Umilele katika Jannat

2:25, 2:82, 3:136, 3:198, 4:13, 4:57, 4:122, 5:85, 18:3, 19:61, 25:16, 25:76, 35:35, 37:58, 39:73

117

Umilele wa Jannat

43:71, 4:73, 44:56, 47:15, 48:5, 50:34, 56:33, 57:12, 64:9, 65:11, 76:11, 76:19, 98:8

118

Urafiki wa Wakazi wa Jannat

52:25

119

Uroho wa Jannat

70 : 36

120

Usahihi wa Wakazi wa Jannat

15 : 46

121

Usalama wa Wakazi wa Jannat

50:34, 52:18

122

Usalama wa Wakazi wa Jannat

15:46

123

Ushindani kwa ajili ya Jannat

3 : 133

124

Usumbufu katika Jannat

35 : 35

125

Utajiri wa Jannat

55 : 64

126

Utayari wa Jannat

3 : 133

127

Uthamini wa Jannat

9:89, 9:100, 13:24, 20:76, 44:57, 57:21

128

Utofauti katika Jannat

17:21

129

Uuwezo wa Jannat

12 3 : 133

130

Uwastani wa Jannat

76:13

131

Uwingi wa Jannat

55 : 62

132

Uzoefu wa Wakazi wa Jannat

44:53, 56:16

133

Vijana wa Wakazi wa Jannat

56: 17

134

Vinywaji vya Jannat

47:15, 56:18, 56:19, 76:16, 76:17, 83:26, 83:27, 88:14

135

Vito vya thamani katika Jannat

22:23, 35:33, 76:21

136

Vitu vya fahari vya Wakazi wa Jannat

7 : 50

137

Vyakula vya Jannat

83 : 26

138

Vyakula vya Jannat

7:50, 43:71, 47:15

139

Wafanya ‘ibada katika Jannat

3:136, 16:31, 19:85, 38:49, 39:73, 44:55, 44:55, 47:15, 50:35, 52:17, 52:18, 52:19, 52:20, 52:21,54:54, 54:55, 78:32, 78:37

140

Wahamiaji katika Jannat

9:21, 9:22, 22:59

141

Wahudumu kwa ajili ya Wakazi wa Jannat

52:24, 76:15

142

Wahudumu wa Jannat

52:24, 56:17, 76:19

143

Wakazi wa Jannat katika Jannat

22 : 24

144

Wakazi wa Jannat katika Jannat

22 : 24

145

Wakazi wa Jannat na Hour al-‘Ayn

37 : 48

146

Wakazi wa Jannat na marafiki zao

37 : 54

147

Wakazi wa Jannat na Wake zao

36 : 56

148

Walio okoka katika Jannat

76:6, 83:23, 88:10

149

Wanawake wa Jannat

56:36

150

Warithi wa Jannat

23 : 10

151

Washika Vikombe wa Jannat

76:15, 76:16, 83:23

152

Watenda mema katika Jannat

11:23

153

Watenda Usahihi katika Jannat

3:198, 10:9, 76:5, 77:44, 82:13, 83:23, 83:24

154

Watu wa Jannat

7:40, 7:43, 7:49, 25:15

155

Watu wa Vitabu na Jannat

2 : 111

156

Waumini katika Jannat

7:49, 9:22, 9:72, 9:100, 10:9, 11:23, 30:15, 40:81, 41:31, 43:70,48:5, 56:39, 57:12, 61:12, 64:9, 69:24, 70:35,76:22, 85:11, 98:8

157

Zawadi za Wakazi wa Jannat

18 : 3



[1] Nipo ninakitayarisha kitabu juu ya maudhui haya.

[2] Iwapo utapenda kusoma habari zaidi juu ya maudhui haya ya Tawbah, jipatie kitabu nilichokitafsiri cha Syed Dastaghib Sirazi

kinachozungumzia ka marefu na mapana kuhusu somo hili.

[3] Ninajaribu kutoa maelezo machache ili kuwezesha kueleweka vizuri ili nawe msomaji uweze kuchangia mawazo na kuweza kupanua ilimu yako. Hata hivyo itawabidi kufanya utafiti zaidi ili kujua mafhum ya usia huu vizuri zaidi.


Rudi nyuma Yaliyomo