MTUME ALIKWENDA MWENYEWE AU NI NJOZI?

Tukio la Israa, wako baadhi ya Waislamu wanao ona kuwa Mtume (s.a.w.) alioteshwa na wala hakwenda mwenyewe akiwa macho. Na mategemeo yao ni ile habari aliyoisimulia Mwana Aisha kuwa: "Siku hiyo hakukikosa kiwiliwili cha Mtume".

Taz: Tarikhul Khamisi J. 1 Uk. 308

Al' mawahibul laduniyya J. 2 Uk.2