Makala haya yametarjumiwa na

Amiraly M.H.Datoo 

Bukoba Tanzania

datooam@hotmail.com

(12 March 2003 muafaka wa 8 Muharram 1424 Hijriyyah )

 

The .HTML version of this book is taken from
www.al-islam.org and ebooked by www.ShiaLibrary.com and www.islamkutuphanesi.com . May Allah be pleased with all.

>>ASSALAMU  'ALAYKUM YA SHUHADAA-I-KERBALA<<

JARIBU KUTEMBELEA JANGWA LA KARBALA, AMBAPO KUNA MAFURIKO YA DAMU, MVUA ZA MACHOZI NA NYOYO ZINAZOLIA KILIO CHA KIU CHA AL ‘ATASH….

ENEZA UJUMBE WA KARBALA … ENEZA DINI YA ISLAM …, DINI YA KWELI NA YENYE KUDUMU ….

 

Imam Hussain ( a.s.) awasili Karbala huku akiuongoza msafara wake wa Wananyumba wa Mtume Muhammad s.a.w.w. wakiwemo ndugu, jamaa, wanawake na watoto wakiwa jangwani

 


Imam Hussain (a.s.) akiongea na watu wa  Kabila la Asad na akipatana nao kuhusu ununuzi wa ardhi ya  Karbala

 


Imam Hussain (a.s.) akilihutubia jeshi la  ‘Umar ibn Sa'ad (AL) kabla ya kuanza kwa Vita

 


Imam Hussain (a.s.) akikubalia bay’a ya watu wawili. Hur (A) akiomba msamaha na kujiunga na kambi ya Imam Hussain ( a.s.)
 


Imam Hussain (a.s.) akizileta maiti za waliouawa Shahidi katika mahema yao.

 


Vita pamoja na maadui (AL)

 


Ali al-Akber (a.s.) kijana mwenye umri wa miaka 18 mwana wa kiume wa Imam Hussain ( a.s. ) akifa Sahihidi mikononi mwa baba yake aliyekuwa amedhoofika.

 


Abbas (a.s.) akiwa katika mto Furati akiwaangalia vile majeshi ya adui  ‘Umar ibn Sa'ad (AL) walivyokuwa wakikimbia


Imam Hussain (a.s.) akimwinua mtoto mchanga  ‘Ali Asgher (A) kuelekea jeshi lisilokuwa na aibu wala haya wala huruma, akimwombea maji mtoto huyo, ambapo jeshi kwa kikatili lilimwua mtoto huyo kwa mshale wenye midomo miwili
 


Imam Hussain (a.s.) akiwaaga wakina mama katika hema.  Al Wida' Al Akhir

(Kuaga kwa mara ya mwisho) 


Imam Hussain (a.s.) akiwa vitani

 


Akiwa ameanguka Imam Hussain (a.s.) akisubiri mwito wa  Allah (swt)

 


Zuljana akirejea kwa akina mama bila ya kuwa na mmiliki wake kurejea hemani.

 


Wanawake watakatifu na watoharifu wa Nyumba ya Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. ( Ahlul Bayt a.s. ) wakijitupa miguuni mwa Zuljana ambaye amerejea bila ya Imam Hussain ( a.s. ).


Wananyumba wakiwa pamoja na Zuljana asiye na bwana wake, wakilia juu ya kifo cha Imam Hussain ( a.s. ).Wanawake wa wanayumba ya Imam Hussain ( a.s. ) wakilia kwa maangamizo na mateso na dhuluma yaliyoyapata katika masaa machache yaliyo pita.
 


Kiwiliwili bila kichwa cha Imam Hussain ( a.s. ) Kilichokuwa kimeachwa katika jangwa la Karbala baada ya Vita

 


Maadui wa jeshi la ‘Umar Saad (AL) waanza uporaji na kuchoma moto mahema ya wananyumba wa Ahlul Bayt a.s. ambamo waliobakia ni wanawake, watoto na wagonjwa tu - Shame Ghariba

 


Katikati ya hofu na vitisho, wananyumba wa Imam Hussain ( a.s. ) wajikusanya mbele ya Imam aliyeshika hatamu ya Uimamu, Al Imam – ‘Ali ibn Hussain Zayn al-‘Abidin (a.s.)

 


Wakiwa wamefungwa minyororo mizito shingoni na miguuni na huku wakitembezwa kwa miguu  - Imam 'Ali Zaynul-‘Abidin (a.s.), wanawake, watoto na wagonjwa  wachukululiwa mateka

 


Zainab (a.s.) na Imam ‘Ali Zayn Al ‘Abidin (a.s.) wakiwa katika baraza la viongozi makatili na dhalimu

 


Imam ‘Ali Zayn al-‘Abidin (a.s.) akiwa katika baraza la  Yazid ibn Mua'awiyaah (AL) huku kichwa cha Imam Hussain (a.s.) kikionyeshwa

 


Imam ‘Ali Zayn Ali ‘Abidin (a.s.) akimhutubia Yazid (AL) katika baraza lake

 


Idumu milele bendera ya Islam ambayo iliokolewa na damu toharifu ya Mashahidi wa Karbala

 

 

HUSSAIN YU HAI DAIMA...YEYE JANA PIA ALIKUWA HAI NA LEO PIA YU HAI NA DAIMA ATAKUWA HAI …..

 

… DAMU YA HUSSAIN  ( a.s. ),

SABR YA ZAINAB ( a.s. )
MAUAJI YA KARBALA,

NDIYO YALIYOOKOA
 LA-ILAHA-ILLALLAH...

 

 

>>ILTIMAAS-E-DUA'A, MO'MIN MOHTAAJ-E-DUA'A<<