Isma'il ibn Zakariya, Khalqani al-Kufi

Dhahabi anaandika katika kitabu cha Mizan al I'tidal kuwa yeye ni mwaminifu na ni Mshi'a na kwamba riwaya zake zipo zimeandikwa katika vitabu sita vya Sahih. Riwaya, mapokezi yake ya Ahadith yanapatikana katika Bukhari na Muslim. Yeye amefariki huko Baghdad, mwaka 104 H.