rudi maktaba >Fiqh >Yaliyomo >

MAREJEO YA SADAKA KATIKA QUR’ANI TUKUFU

Na

MAUDHUI

SURAH : AYAH

1

‘Ibada katika Sadaka

2:261; 2:262; 2:265; 2:272; 9:99; 76:9; 90:6

2

‘Ibada na Sadaka

22:35

3

Asili ya Sadaka

4:78; 4:79

4

Athari za Sadaka

2:177; 2:261; 2:268; 2:271; 3:92; 3:180; 5:12; 32:16; 47:36; 51:19 57:7; 57:10; 57:11; 57:24; 68:17; 69:34; 70:35; 90:17; 92:21

5

Baraka zitokanazo na Sadaka

30:39

6

Biashara na Sadaka

34:39

7

Faida za Sadaka

9:103

8

Habari watoao Sadaka

22:37

9

Hishima katika Sadaka

2:148

10

Imani baada ya Sadaka

41:6

11

Imani na Sadaka

32:16

12

Kanuni za Sadaka

2:177; 6:141; 9:104

13

Kasoro katika kutoa Sadaka

17:29

14

Kuachwa kwa Sadaka

3:180; 4:39; 68:17; 74:43

15

Kuepusha Sadaka

63:10

16

Kunyenyekea katika Sadaka

3:92

17

Kusikitika kuhusu Sadaka

90:4; 90:6

18

Kusita katika Sadaka

2:195; 2:254; 2:268; 9:67; 63:10

19

Kutumia mali katika Sadaka

2:215; 2:245; 17:29; 23:57; 23:100; 24:33; 47:36; 47:37; 47:38; 57:11; 63:10; 68:19;

20

Kuwa na moyo kwa Sadaka

2:177

21

Lipeni Sadaka kutokea mbao

22:28; 22:36

22

Mabaya katika Sadaka

2:262; 2:264

23

Mabedui na Sadaka

9:98

24

Mafanikio ya Sadaka

90:10

25

Majamaa wapewe Sadaka

2:177; 2:215

6

Makatazo kutoka Sadaka

63:7

27

Malengo ya Sadaka

3:117

28

Malipo ya Sadaka

35:32

29

Malipo ya Sadaka

56:18

30

Mambo mapya katika Sadaka

57:10

31

Manufaa ya Sadaka

2:195; 2:272

32

Masharti ya Sadaka

76:9

33

Masikini wapewe Sadaka

2:215; 51:19

34

Masikitiko juu ya Sadaka

90:6

35

Matumizi ya Sadaka

2:273

36

Mumin na Sadaka

27:3

37

Mwelekeo katika Sadaka

2:148

38

Nia katika Sadaka

92:19

39

Njia za Sadaka

11:31

40

Nyayo za Sadaka

9:103; 51:19; 58:12

41

Ongezeko kufuatia Sadaka

30:39

42

Sadaka bora kabisa

2:273

43

Sadaka itokanayo na urithi

89:19

44

Sadaka kwa kupiga magoti

5:55

45

Sadaka watoao makafiri

6:136

46

Sadaka watoao Wanafiki

9:53; 9:54

47

Sadaka ya Allah swt

2:195; 2:245; 3:17; 30:38; 42:38; 56:18; 63:7; 63:10; 64:16; 64:17; 65:7; 73:20; 92:18;

48

Sadaka za makafiri

6:136

49

Swala la Sadaka

2:215

50

Taratibu ya Sadaka

2:215

51

Uchoyo katika Sadaka

47:37; 53:34; 57:10; 57:24; 68:17; 68:19; 68:28; 69:34; 89:17

52

Ufujaji katika kutoa Sadaka

17:29

53

Uhakika wa Sadaka

2:261; 2:265; 5:12; 90:4; 90:6

54

Umuhimu wa Sadaka

2:196; 2:277; 14:31; 28:54; 30:38; 35:29

55

Umuhimu wa Sadaka

6:141

56

Unafiki katika Sadaka

2:264; 2:266; 2:270; 4:38; 4:39

57

Upotevu au Sadaka ?

34:39

58

Ushawishi katika Sadaka

2:245; 3:180; 4:40

59

Utaratibu wa Sadaka

3:92

60

Uthamini wa Sadaka

9:104

61

Utumiaji wa Sadaka

2:273

62

Uwajibu katika Sadaka

2:262; 2:263; 2:264; 2:266; 90:6

63

Uwastani katika Sadaka

2:195; 25:67

64

Uwema katika Sadaka

2:177

65

Vipangimizi katika Sadaka

2:268

66

Vipimo vya Sadaka

2:219

67

Wakati wa Sadaka

2:274

68

Wanafiki na Sadaka

63:7

69

Wayahudi na Sadaka

5:12

70

Sadaka za wana wa Israil

2:83

71

Sadaka za Mayahudi

2:43

72

Utaratibu wa Sadaka

9:104