KHULASA
Mut'a ilikuwako wakati wa Mtume.
Ndoa hiyo si upuuzi, hasha Mtume S.A.W. kuruhusu upuuzi.
Si kosa kuwa haina shahid, Walii, chakula wala kurithi.
Hata ndoa za daima, kwa Sunni huwa hivyo.
Dharura iliyowekewa Mut'a mpaka leo iko, kwa hivyo lazima iendelee.
Baadhi ya masheikh wa kisunni wanakubali kuwa dharura iko, lakini wao wanapendelea kujipuli na kuhadaa. LIPI BORA!!