rudi maktaba >Fiqh >Yaliyomo >

 

CHAKULA

Amesema Muhammad Abdul Rahmani:- "Mwanamke Nashiz (anaegoma kuingiliwa na mumewe) ni haramu kwa Ijmai, kunaondoa haki ya kupewa chakula".

TAZ:

Rahmatul Umma fyi Ikhtilafil aimma uk. 224.

Imepokewa kutoka kwa Nakh'i na Sha'aby wamesema:

"Chakula ni mukabala wa jimai (kumwingilia) atakapozuia kuingiliwa, atazuiliwa kupewa chakula".

TAZ:

Fiqhus Sunna J. 2 uk. 151 na 149