CHAKULA
Amesema Muhammad Abdul Rahmani:- "Mwanamke Nashiz (anaegoma kuingiliwa na mumewe) ni haramu kwa Ijmai, kunaondoa haki ya kupewa chakula".
TAZ:
Rahmatul Umma fyi Ikhtilafil aimma uk. 224.
Imepokewa kutoka kwa Nakh'i na Sha'aby wamesema:
"Chakula ni mukabala wa jimai (kumwingilia) atakapozuia kuingiliwa, atazuiliwa kupewa chakula".
TAZ:
Fiqhus Sunna J. 2 uk. 151 na 149