rudi maktaba >Fiqh >Yaliyomo >

 

SHAHIDI

Amesema Ibn Mundhir:- "Haikuthibiti habari yoyote (sahihi) katika kushuhudia ndoa." Na hivi ndivyo walivyokuwa wakifanya (kuoa bila ya kuweka mashahidi) Abdullah bin Umar (mtoto wa Khalifa wa pili) na Alhasan bin Ali, Ibnuz Zubeir, Salim, na Hamza (watoto wa Ibnu Umar).

TAZ:

Mughni ya Ibnu Quddama J. 7 uk. 339

Nailul Awtar J. 6 uk. 260

Fiqhus Sunna J. 2 uk. 57

Bidayatul Mujtahid J. 2 uk. 19

Ikhtilaful Ulamaa uk. 123