rudi maktaba >Fiqh >Yaliyomo >

 

WALII

Amesema Abu Hanifa na Zufar na Sha'aby na Zuhry:

"Atakapofunga ndoa mwanamke bila ya walii na akawa mume huyo ni kuf'u (anayefanana naye kwa akhlaq) ndoa hiyo ni sahihi".

TAZ: Bidayatul Mujtahid J. 2 uk. 10 Mughni ya Ibnu Quddama J. 7 uk. 337.