rudi maktaba > Fiqh > Yaliyomo >

SALAAT UL WAH-SHI

Ni sunna usiku wa kwanza wa kuzikwa maiti kusali sala rakaa mbili kwa ajili ya yule maiti na namna yake ni kama hivi:

Unanuia moyoni kwamba nasali rakaa 2 salaatul-wahshi, katika rakaa ya kwanza baada ya suratul Faatiha (AL-HAMDU) utasoma Aayatul Kursi, na rakaa ya pili baada ya "AL-HAMDU" utasoma sura ya IN-NAA ANZAL-NAA mara kumi, na ukisha toa salamu. Utasema "AL LAA-HUM-MA SAL-LI ALAA-MUHAM MADINI WA AA-LI MUHAM-MAD WAB-ATH THA-WAA BAHAA ILAA QABRI (FULAN jina la maiti) unaweza kusali wakati wowote usiku huo, lakini ni bora baada ya sala ya 'ISHA.

(Tajan) Taja jina la Maiti.