rudi maktaba > Fiqh > Yaliyomo >
Dua ya Kuuaga Mwezi wa Ramadhan
Ni Sunna ya Mtume (s.a.w.) aliyomfunza Jabir bin Abdillahi Al Ansariy kuwa, katika Juma ya mwisho ya Ramadhani, maneno haya yasomwe:
Ee Mola: Usiijaalie Ramadhani ya mwaka huu kuwa ndiyo mwisho wetu wa kufunga. Kisha ninakuomba Unijaalie niwe mwenye kurehemewa wala Usinijaalie kunyimwa (malipo bora).