Jina lake ni Ali, Kunya (jina la utoto) yake ni Abul Hasan, na jina lake la heshima ni Naqi (Mtakatifu). Kwa sababu Imamu Ali bin Abi Talib [a] na Imamu Ali Ridha [a] nao walikuwa na Kunya ya Abul Hasan, Imamu Ali Naqi [a] anaitwa Abul Hasan wa Tatu. Mama yake ni Bibi Samanah Khatuun.