UTANGULUZI

Katika wakati huu wa machafuko kunapokuweko hatari nyingi za kila aina kwa amani yetu, tunahisi kwamba maisha ya hii minara ya Uchamungu na hekima takatifu yatazisaidia akili zetu zilizojaa mataizo. Hapa tunayaelezea maisha ya Imamu wa kumi, Imamu Ali an-Naqi [a].