Ukweli kuhusu Uislamu

Wanachosema wasiokuwa Waislamu kuhusu…

Uislamu

Dini inayokuwa haraka  sana ulimwenguni

Huu ni mkusanyo  mfupi wa nukuu kutokakwa watu  mashuhuri mbali mbali wasioWaislamu, wakiwemo wasomi, waandishi mafilosofa, washairi, wanasiasa, na wanaharakatiwa Mashariki na Maghribi. Kwa  tunavyojua hakunahata mmoja aliyewahi kuwa Mwislamu. Kwa hiyomaneno haya huonesha maoni yao binafsi juuya vipengele mbali mbali  vyaUilsmau.

Sarojini Naidu (1879-1949)

Mwandishimshairi nammoja wa viongozi wenye kuonekana zaidi wa kabla yaUhuru wa India. Rais wa National Congress ya India na gavana wa kwanza mwanamke wa India huru.

[Lecture on “The Ideals of Islam.” angaliakhutuba namaandishi ya Sarojini Naidu, Madras, 1918 uk. 167-9]

Avnold J. Toynbee (1889-1975)

  Mwanahistoriawa Kiingereza, mhadhiri wa chuokikuu cha Oxford.

[Civilization on trial, new York, 1948, P 205]

William Montgomery Watt (1909-   )

Profesa (wa heshima) wa  masomo ya Ki-Arabu naki-Islamu kwenye chuo kikuu cha Edimburgh.

[Islamic and Christianity Today, London, 1983, p. ix]

Bertrand Russel - (1872-1970)

Filosofa wa Kiingereza, Mwanahisabati, na tunzo yaNobel ya Laureate, ambaye kwamba msisitizo wake juu ya uchambuziwa kimantiki kwa kiasi kikubwasana umeshawishi  mwenendowa filosofia ya karne ya20.

[History of Western Philosophy, London, 1948, p. 419]

Hamilton Alexander RoskeenGribb - (1895-1971)

Mwanachuoni mustashiriki anayeongoza wawakati wake.

[Whither Islam, London 1932,P.379]

[Mohammedanism, London, 1953, P.33]

James A. Michener. (1907-1997)

Mwandishi anayeongoza wa Kimarikani, mpokeaji wa shahada za heshimaya

udaktari katika fani tano  kutoka  vyuo vikuu thelathini na pamoja natunzo ya medali

ya Rais yaUhuru (Presidential Medal of freedom) tunzo la kiraia la juu kabisa la

Amerika.

[Islam- The Misunderstood Religion, Readers’ Digest  ( American Edition)May 1955]

Edward Gibbon (1737-1794)

Anachukuliwa kamamwanahistoria mkubwa wa Kiingereza wawakati wake.

[History of the Saraanempire,  London1870-54]

· “Halisi  zaidi  kuliko mfumo waZoroasta, wenye mawazo mapana nahuru zaidi kuliko sheria yaMusa, dini ya Muhammad yaweza kuonekana kwamba  haikinzani sana  na akili  kama itikadi ya  fumbo  na ya kidhana, ambayokatika karne ya  saba   imetweza wepesi  wa Injili”

[The history of the Delineand fall of Roman Empire, vol.5.p 487]

Javed Diamond.

 Profesa wa fiziolojiakatika chuo kikuu cha UCLA school of Medicine, mpokeziwa tunzo ya Pulitzer prize for General  Non- fiction  katika 1998

[Guns, Germs and Steel-The fates of Haman Societies 1997, P 253]

Annie Besant (1847-1933)

Mwanateosofia waKiingereza na kiongozi mzalendo katika India, Rais wa India National Congess l 917

[The  life and Teachings of Muhammad  Madras 1932 p. 25-26]

Mtarjumi:  Dr M S Kanju

Al`Itrah Foundation